Ijue sheria ya ardhi Tanzania part 1

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 8

  • @amirmahenge5007
    @amirmahenge5007 2 ปีที่แล้ว

    Elimu itolewe hongera itv kwakutuelimisha Mimi nimerepia hati Ila wanashindwa kunipa hati nazungushwa tu dokumenti zote ninizo nafanyaje nipo mafinga

  • @WakupereeWakutelezaa
    @WakupereeWakutelezaa 2 หลายเดือนก่อน

    Shukran sana kwa elim

  • @liliansiteto6601
    @liliansiteto6601 3 ปีที่แล้ว

    Samahani mwana Shelia, Ikiwa nilijega nyumba yangu miaka mwaka ishirini na nne iliyo pita mwisho kwa amani,ivisasa ndani ya mwaka Minne naambiwa nitoke nipo kwenye eneo la taasisi,na jengo hilo sithani kama hata miaka Kumi na zaidi imefika,sasa mbaya zaidi wamekula wakifyeka mazao yangu, nihaki kweli naomba msaada

    • @liliansiteto6601
      @liliansiteto6601 3 ปีที่แล้ว

      Jengo hilo LA taasisi sithani kama linafikisha hata miaka kumi

  • @magangakiyabo3429
    @magangakiyabo3429 2 ปีที่แล้ว

    Je mtanzania bara anarusiwa kumilki ardhi kihalali Zanzibar ???

  • @DavidJuma-c8v
    @DavidJuma-c8v ปีที่แล้ว

    Je nikiwanaalidhi niliopewa nakamati yaalidhi badae mtuakaja kudai nimahame yababuyake nitasaidiwaje

  • @mahamoudabas8555
    @mahamoudabas8555 4 ปีที่แล้ว

    Samahan ndugu, are you advocate or land surveyor? U basade as advocate. Wana register ma land

  • @MrKidava
    @MrKidava 8 หลายเดือนก่อน

    Je mabalaza ya kata yanamamlaka ya kutoa hukumu