Nondo za Fatma Karume Juu ya Utendaji wa Mahakama Dhidi ya Matamko ya Kisiasa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 15

  • @adenmwakalobo760
    @adenmwakalobo760 หลายเดือนก่อน +2

    Thanks madam Fatma for this great presentation, how I wish you could do more well-researched presentations like this! Reasons you gave for the almost dysfunctional judiciary in TZ after the promulgation of the 1977 constitution are quite valid; it was the wind that blew off the last flickering flame where judiciary independence was concerned

  • @hamissomary6869
    @hamissomary6869 หลายเดือนก่อน +2

    Nakuelewa sana dada"hyo katba ya 1977 ilikuwa ni soecial kwa chma cha Ccm"mpa saihz tunateseka nahyoo na mbwa wa serikali ya ccm

  • @user-ii7yw9ng5d
    @user-ii7yw9ng5d หลายเดือนก่อน

    Ahsante shangazi,umenipa darasa!

  • @tgeofrey
    @tgeofrey หลายเดือนก่อน

    Our pride

  • @mayazamzam7274
    @mayazamzam7274 หลายเดือนก่อน

    Tenaaaaa! CCM oyeeeee!

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything หลายเดือนก่อน

    👊✌️👍

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 หลายเดือนก่อน

    Huyu hajui kuswahili.Sitaki hata kumsikiliza kabisa hata sauti anaibadilisha kuwa ya kiswangereza😢😢😢Ongea lugha moja ,siyo lugha mbili kwa wakati mmoja😢.
    A ibu .Kwanini usihamie Uingereza😢.
    Aibu Aibu .system problem😮😮so what.Unaongea.utumbo tu.Hufai kuongea na sisi kama raia
    .
    Wivu mtupu wewe kwa Mama Samia😢😢Aibu

    • @WilsonSonoko-qi5be
      @WilsonSonoko-qi5be หลายเดือนก่อน +2

      Unaweza kuwa na mawazo mazur ila ukashauri vibaya na kuharibu nia yako ya ushauri na kuwa matusi
      Plz for that

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 หลายเดือนก่อน

      Umuonee wivu kwa lipi. Nenda shule uje kinachoongelewa

    • @ezekielkiduge8730
      @ezekielkiduge8730 หลายเดือนก่อน

      Wewe uliogopa umande unaona wivu unapoona watu wakishusha nondo zao kwa weledi mkubwa na lugha mbalimbali huo ni uchawa!!!!!!

    • @user-bn4br7qm7r
      @user-bn4br7qm7r หลายเดือนก่อน +1

      Wivuu Kama mtoto wa kike

    • @adenmwakalobo760
      @adenmwakalobo760 หลายเดือนก่อน

      Kweli ingefaa asichanganye lugha, lakini kudai ana wivu kunaonesha wewe hujui lolote ktk mjadala huu! Ni kiza totolo kwako! Aliyoyazungumza ni ya maana mno juu ya kasoro kubwa zilizo ktk mfumo wetu wa utoaji haki na ufumbuzi wake! Hutaelewa mpaka uwe na kiasi fulani cha ufahamu (elimu), si kwa kukudharau bali ndiyo kweli yako! Na ndiyo sababu ya wewe kutoona kingine bali "wivu kwa SSH"