Hivi najiuliza hawa wapinzani wana sera gani kumzidi huyu mzee...na bado wanampoda MAGUFULI na kuna watu watapigia kura upinzani wanatafuta nini haswa..au ni ushangiliaji tu...sisi wakenya tunamuhitaji huyu mzee na africa nzima wanamuangalia kisha kuna kina lissu wanaongea saaaaana kweli mutamuacha huyu mzee...ila napima uzito kwa like zenu hapa nione kama magufuli tena gonga like
Ni kweli uyasemayo Ila huyu namkubali sana zaidi ya sana, hapo Kama umechunguza ametumia akili sana Kuna huyo jamaa wa Kwanza kumpelekea hayo mahindi akafanya Kama ni magumu sana anataka mengine na ndipo akapewa Yale mengine Kama ni mtego ameshaukimbia zamani. Ila zaidi tusiwafikirie vibaya Watanzania wenzetu hao wote wanania njema ya kumuuzia muhindi Raisi wetu. Mungu Atubariki kwa sote InshaAllah.
"Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
Jamaa wa usalama aliyepeleka mahindi Mara ya pili aliandaliwa Kama unaona Mara baada ya kuitwa yule wa pili hakusumbuliwa kama yule wa kwanza. Hapo usalama kwa Mhe Rais ni wakitosha.
Jamani Kuna watu wanahofu kuhusu rais kula mahindi labda niwaambie kitu Kama mnakumbuka mwanzo kabisa wakati rais anapokea mahindi alimpa kanal Kwanza Yale yalienda kufanyiwa vipimo kwaiyo ondoeni hofu haiwezi kutokea rais kuzurika Hawa wasaidizi wapo makini kabisa kwaiyo ondoeni hofu jamani
Kwa style hii magu hakosi kura... jpm mjanja sana hii ni indirect campaign lkn vile vile ni njia ya kujiweka karibu na wananchi... hivyo watu automatically wanampenda
Mheshimiwa naomba usiwe na was was urais n wako wasikutishe hao walowezi waliotumwa maana tang aje uyo majeruh amekuwa na jaziba sana anataka apigwe akusingizie wew mheshimiwa
Hivi najiuliza hawa wapinzani wana sera gani kumzidi huyu mzee...na bado wanampoda MAGUFULI na kuna watu watapigia kura upinzani wanatafuta nini haswa..au ni ushangiliaji tu...sisi wakenya tunamuhitaji huyu mzee na africa nzima wanamuangalia kisha kuna kina lissu wanaongea saaaaana kweli mutamuacha huyu mzee...ila napima uzito kwa like zenu hapa nione kama magufuli tena gonga like
Safi sana ndugu.
Nakubaliana na wewe.
Huyu Raisi wetu ni wa kipekee zaidi.
Hilo ndo jembe Magufuli 💪 oyeeeee 🔥✔️🇹🇿💯
Kula zote kwa magufulii
Sijawahi ona Raisi anajiamini hv mpaka kula hadharani hivyo
Ukimuamini Mungu hautakua na wasi wasi wowote
Raha ya magufuli akitoa ahadi huwa anatimiza
😂😂😂😂😂 mh Rais Magufiri uko vizuri
Huyu ndio raisi wetu tundu na membe tupa kule
Tena tupa mbali sio karibu
Alafu magufuli acha kula kula hovyoo bado tunakuitaji haswaaa....acha Kabisa usitufanye tukapata mangonjwa ya moyo buree😚😅
Ni kweli uyasemayo Ila huyu namkubali sana zaidi ya sana, hapo Kama umechunguza ametumia akili sana Kuna huyo jamaa wa Kwanza kumpelekea hayo mahindi akafanya Kama ni magumu sana anataka mengine na ndipo akapewa Yale mengine Kama ni mtego ameshaukimbia zamani. Ila zaidi tusiwafikirie vibaya Watanzania wenzetu hao wote wanania njema ya kumuuzia muhindi Raisi wetu.
Mungu Atubariki kwa sote InshaAllah.
Dah ee mwenyez mungu muangaliee huyu baba umpe maisha marefuu yenye baraka telee 😘nakupendaa saana rais wetu
"Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
Nakuunga mkono mkuu
Naunga mkono hoja
Tatz ngoma ikinoga Sana itakera.cunaona gadaf walovyomfanya
Miaka mitano yenye baraka ,tuna Muomba Mungu mingine mingi ya Baraka
Nina kila haki kujivunia utanzania wangu
Kwa kweli huyu Raisi ni wa pekee sana mambo yake social kweli kweli Rais anakula mahindi mbele ya raia hatuwez kupata Rais wa pekee kama haya
Swadakta.
Nakubaliana na wewe over 💯
Smart mind Mr. Rais 👐
Hivi baada ya Miaka 5 ijayo akimaliza kipindi cha 2, hatapatikana tena Rais kama huyu!!
Eeh! Mwenyeenzi MUNGU Tuandalie Rais Mwingine kama huyu....
No no no tutafanya chochote kwa uweza wa mungu ataendelea kua nae in shaalah 😭😭😭
Hayupo
Hapa ni kubadili katiba tu
Hapa tufanyeni lolote tumuongezee muda tu.
Aongezewe mda
Mungu wangu mbavu zangu,eti kupanuliwa
Nimeipenda hii
Aliyesikia mama anawaomba kupanuliwa anyooshe mkono
Magufuli baba Lao 🤣 🤣❤️
Love you my president
Rais kuwa makini usile ivyo vya njian tunakupenda baba
Hapo hawez kudhurika coz ni mstukizo hakuna aliejiandaa
Jamaa wa usalama aliyepeleka mahindi Mara ya pili aliandaliwa Kama unaona Mara baada ya kuitwa yule wa pili hakusumbuliwa kama yule wa kwanza. Hapo usalama kwa Mhe Rais ni wakitosha.
JPM anaamani na kazi aliyoifanya ndio maana yuko free na nafsi yake!
Baba lao oyeeeeee
Jamani Kuna watu wanahofu kuhusu rais kula mahindi labda niwaambie kitu Kama mnakumbuka mwanzo kabisa wakati rais anapokea mahindi alimpa kanal Kwanza Yale yalienda kufanyiwa vipimo kwaiyo ondoeni hofu haiwezi kutokea rais kuzurika Hawa wasaidizi wapo makini kabisa kwaiyo ondoeni hofu jamani
Halafu yule wa kwanza kabisa mahindi yake yalirudi yakachukuliwa ya mwngn ndo ujiulize hapo, wanasema ulipo tupo
Big up Mr President mtetezi wa wanyonge Raha sana kuwa na Raisi mtetezi wa wanyonge
Big up president John Joseph pombe magufuli
Muguuu safi sana
Rais wa watu ahsante
Kwa style hii magu hakosi kura... jpm mjanja sana hii ni indirect campaign lkn vile vile ni njia ya kujiweka karibu na wananchi... hivyo watu automatically wanampenda
Lakini hii huwa ni kawaida yake
Uzuri wa Magu yeye toka kitambo anatembelea wananchi sehem mbalimbali kwahiyo hii jikama tabia yake hasubiri Campaign
MAGUFULI 🎶 JEMBE JEMBEEE 🎶RAIS WETU JEMBEEE🎶HAPA KAZI TU!
Kwanin rais huyu asiongezeewe muda?????
Kazi na Bata hahahah sf sana
Safi sana Rais wangu
daah cjui itakuaje kama utakataa kuendelea kuongoza nchi....nawaona wale wapiga madili wakifurahia kuondoka kwako......je waruhusu hili??? JPM miaka 5 mengine but icwe mwsho plz.....
Ila huyu mzee muhuni😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kupanuliwaaaaa
Usalama walushapita hapo
Nimeipenda hii
Kama umesikia "kupanuliwa"acha like apaa 😅😅😅
Hahahahaha
Mtacheka saangapi
Daah magufuli ni raisi wa kuigwa na mfano wa dunia!
We jpm watanzania tunakukubali
Baba pamoja sanaaaaa
Magufuli oyeeeees
Mnataka kupanuliwa wapi?🤣🤣🤣
Hahahahaha kupanuliwa
Eti kupanuliwa😂😂😂😂
Mzee baba. Mungu ni mwema.
Mama anataka kupanuliwa
Jiwe la Tanzania
Mwaka huu tutaona mengi kwa hii kauli yakupanuliwa sijui Nani aanze kupanua maana yule mama kakataa amesema tupanuliwe hukoooo kwa Bibi Salehe
Jamaa kapeleka mahindi mwisho akarudishwa kuwa mahindi magumu na akachukua mengine mshikaji akasepa.
Hata Wachoma mahindi sio wa kawaida
Kupanuliwa wap mnataka
Huyu ndio rais tunaetaka taka nchi hii sio maneno mengi bila vitendo
Nimecheka kweliiii
Viva jpm
Dumila oyeeeeeeeeee neeema hiyo
Rais pendwa nchini
Mheshimiwa naomba usiwe na was was urais n wako wasikutishe hao walowezi waliotumwa maana tang aje uyo majeruh amekuwa na jaziba sana anataka apigwe akusingizie wew mheshimiwa
Eti mama unataka kupanuliwa wapi
Hahaaa kupanuliwa
😃😃
alisimama wapi? mbona globa tv online mnaaandika headings zisio na kichwa??wapi hapa jamni...mue na vichwa vizuri
Kuna kituo kunaitwa feri baada ya kupita dumila ukiwa unatoka dom ndipo alisimama
@@ramadhanomary510 oh ok...asante sana Ramadhan
😀😀
😆😆😆
Eti kupanuliwa huko shambani. Hahaha aaaaa
🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣
Mahindi matamu sana.
Haaaaaaaaa inachekesha
KUPANULIWA, HAHAHAHAHHAAAAAAAAA.. BARABARA.