WIZI MAKANISANI UNATISHA KWA SASA MPAKA MAWE YA UPAKO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 56

  • @Robert-v8f5e
    @Robert-v8f5e 16 วันที่ผ่านมา +3

    Mungu alishasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa ndiyo maana watu wengine hata uwafungie kengere maskioni kuhusu hao chuma ulete wa injili hawakuelewi, Mungu tusaidie.

    • @Baraka-b7u
      @Baraka-b7u 16 วันที่ผ่านมา

      Amen

  • @Joyceisaka
    @Joyceisaka 16 วันที่ผ่านมา +2

    UBARIKIWEEE UBARIKIWEEE SANA MTUMISHI WA MUNGU ALIYE HAI baba Mungu akutunze akuepushee na mabaya maana unayasema ni kwelii na hapa shetani ameguswa kupaya anapapalika huko aliko ombi langu kwa Mungu akuepushee na mitego yote
    Nakuombeaa uzima tuendele kujifunzaa

    • @Baraka-b7u
      @Baraka-b7u 16 วันที่ผ่านมา

      Amen

  • @Joyceisaka
    @Joyceisaka 15 วันที่ผ่านมา

    Mwenye sikio na asikie Roho asema na kanisa. Ubarikiweee sana baba .niliwahi kutumia mafuta ila sikupona kuanzia hapo sitaki kabisa Asante Yesu kwa mtumishii wako uliye nipatia naona mazuri mengi

  • @rebecahosea4849
    @rebecahosea4849 16 วันที่ผ่านมา +2

    Amen. hata miminimewahi kuuzi wa mfagio etinikafagie wabayawangu

    • @Baraka-b7u
      @Baraka-b7u 16 วันที่ผ่านมา

      Pole

  • @EmmaroseJoseph
    @EmmaroseJoseph 16 วันที่ผ่านมา

    Big up Mtumishi wa MUNGU ❤❤❤❤❤❤❤

  • @YESUNIBWANA84
    @YESUNIBWANA84 14 วันที่ผ่านมา

    Amen Amen ni huzuni sanaa hapo mahali umesema wahubiri wawe na huruma ni kweli na ni huruma sana

  • @PerisWanjiru-z8n
    @PerisWanjiru-z8n 15 วันที่ผ่านมา

    Amen Amen asante kwa Mungu wetu kwaneema hii amekupo ya kukemea kweri tu sifa zote kwake YESU CHRITO

  • @PastorJohnKagoro
    @PastorJohnKagoro 16 วันที่ผ่านมา

    Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu.

  • @pastorpetermageta6833
    @pastorpetermageta6833 16 วันที่ผ่านมา +2

    Tuko pamoja sana mtumishi,nimebarikiwa

  • @Upendo6045
    @Upendo6045 16 วันที่ผ่านมา +2

    MUNGU yupo pamoja nawe mtumishi wa YESU KRISTO usiogope usiludinyuma songambele.
    Twajua unavitavikali MUNGU Yupo nawewe ameeen

  • @petershija1723
    @petershija1723 16 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubariki sana kwa ujasiri wa kuhubiri kweli hii.Nyakati hizi mbaya Yesu anahitaji watu ambao, watasimama hadharani na kukemea uovu.
    2 Timotheo 4:
    (2 Timothy)
    2. lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
    ---------------
    Preach the word! Be ready in season and out of season. Convince, rebuke, exhort, with all longsuffering and teaching.
    KAZI UIFANYAYO MCHUNGAJI NI YA UPENDO, MAANA UNAPENDA WATU WASIANGAMIE ,
    Mungu anasema kila mtu ampendaye hunkered na kumrudi.
    Ufunuo 3:
    (Revelation)
    19. Wote niwapendao mimi nawakemea, na kuwarudi; basi uwe na bidii, ukatubu.
    ---------------
    As many as I love, I rebuke and chasten. Therefore be zealous and repent.
    Ubarikiwe sana

  • @mariyammariyam-y3u
    @mariyammariyam-y3u 16 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu akutie nguvu kwa kwel baba 😭😭🙏🙌❤️

    • @Baraka-b7u
      @Baraka-b7u 16 วันที่ผ่านมา

      Amen

  • @Robert-v8f5e
    @Robert-v8f5e 16 วันที่ผ่านมา +2

    Piga kelele usiache yeye aliye wa Mungu atukusikia na asiye wa Mungu hata umfungie vinanda alivyokuwanavyo shetani kabla hajaasi mtu huyo hawezi kukuelewa maana wengine wanatimiza unabii.ubarikiwe sana.

    • @Baraka-b7u
      @Baraka-b7u 16 วันที่ผ่านมา

      Amina

    • @EuniceShane
      @EuniceShane 16 วันที่ผ่านมา

      Ameni kabsa kakaangu

  • @Baraka-b7u
    @Baraka-b7u 16 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu akupe kufanya kusudi lake tufundishe kweli tupo tayari kusikia..na Mungu atatubadilisha

    • @Baraka-b7u
      @Baraka-b7u 16 วันที่ผ่านมา

      Amina

  • @HariytAsd
    @HariytAsd 16 วันที่ผ่านมา +1

    Amen Mungu turehemu tuko hatarini

  • @ObedJKatunzi
    @ObedJKatunzi 16 วันที่ผ่านมา +2

    Amen amen

  • @sarahkishaluli6087
    @sarahkishaluli6087 16 วันที่ผ่านมา +2

    Amina Mchungaji wangu, MUNGU aturehemu

    • @Baraka-b7u
      @Baraka-b7u 16 วันที่ผ่านมา

      Amina

  • @EuniceShane
    @EuniceShane 16 วันที่ผ่านมา

    Amen

  • @AnnaZabron-d5p
    @AnnaZabron-d5p 16 วันที่ผ่านมา +1

    Amen sana

    • @Baraka-b7u
      @Baraka-b7u 16 วันที่ผ่านมา

      Amen

  • @rebecahosea4849
    @rebecahosea4849 16 วันที่ผ่านมา +2

    Amen ameen

    • @Baraka-b7u
      @Baraka-b7u 16 วันที่ผ่านมา +1

      Ameeen

  • @AfirenAfiren
    @AfirenAfiren 15 วันที่ผ่านมา

    Mimi huyu niliwahi tumia maji na kitambaa, Mungu nisamehe na unirehemu, ahsante mtumishi kwa neno la kutuokoa hili tuone mbingu.

  • @TelesiaMwalongo
    @TelesiaMwalongo 16 วันที่ผ่านมา +2

    Hakika mtumishi unaifundisha kweli ya MUNGU

    • @Baraka-b7u
      @Baraka-b7u 16 วันที่ผ่านมา

      Amina

  • @Nenolamaarifa
    @Nenolamaarifa 16 วันที่ผ่านมา +2

    Songa mbele fanya kazi ya Mungu,hakuna kurudi nyuma

    • @Baraka-b7u
      @Baraka-b7u 16 วันที่ผ่านมา

      Amen amen

  • @JordanKibona
    @JordanKibona 16 วันที่ผ่านมา

    👍

    • @JordanKibona
      @JordanKibona 16 วันที่ผ่านมา

      Pastor nimekupata ubarikiwe sana.

  • @JOYCEENOCK-i5m
    @JOYCEENOCK-i5m 16 วันที่ผ่านมา +1

    Aminaaa Baba

    • @Baraka-b7u
      @Baraka-b7u 16 วันที่ผ่านมา

      Aminaaaa

  • @Nenolamaarifa
    @Nenolamaarifa 16 วันที่ผ่านมา

    Danieli 12
    3 Na walio na hekima watang'aa kama mwangaza wa anga; na hao waongozao wengi kutenda haki watang'aa kama nyota milele na milele.

  • @katwigabank5297
    @katwigabank5297 12 วันที่ผ่านมา

    Ukweli utakao kwa Bwana unachoma mioyo..Watu wamjue Mungu na sio mtu au watu

  • @AnnaZabron-d5p
    @AnnaZabron-d5p 16 วันที่ผ่านมา +2

    Hadi mawe wanauza jaman

    • @Baraka-b7u
      @Baraka-b7u 16 วันที่ผ่านมา

      Amen

  • @Baraka-b7u
    @Baraka-b7u 16 วันที่ผ่านมา

    Lazima tuambiwe ukweli..ukweli unauma lakin hamna namna lazima tuponeeee

  • @nazamsangi9939
    @nazamsangi9939 15 วันที่ผ่านมา

    Juzi nimeona Ezekiel wa Kenya ana msumari wa upako ! Jamani msumari bora hata jiwe 😂😂😂😂😂msumari common people of God wake up please Jesus is coming soon guys

  • @YusuphShime
    @YusuphShime 16 วันที่ผ่านมา

    BWANA MUNGU WA ISRAEL azidi kukubaliki na kukutumia kwa viwango vya juu umeongea vitu vizito mno na hii ndiyo injili ya kweli waliyo hubili mitume

  • @paskaliJohn-r5g
    @paskaliJohn-r5g 16 วันที่ผ่านมา

    mimi wachungaji nimewachoka hivyo nitaacha kutoa sadaka harafu nitakua nasali nyumbani

    • @MEMEMEMEMEMEMEMEMEEEW
      @MEMEMEMEMEMEMEMEMEEEW 15 วันที่ผ่านมา

      SAWA SALI TU NYUMBAN ILIMRADI TUU UISHINDE DHAMBI

  • @akothchristine4752
    @akothchristine4752 15 วันที่ผ่านมา

    Amen

  • @shukurusolange4265
    @shukurusolange4265 15 วันที่ผ่านมา

    Amen

  • @heriethmwanguya433
    @heriethmwanguya433 10 วันที่ผ่านมา

    Amen