Miminawauliza kuchukuliwa video zangu bila ya rizayangu ikasambaza mitandaon bilaya makubaliano sifaidiki na chochote na waomba munisaidie na wapi niazie nipate msaada wenu
Watu wakikosa akili utawajua tu. Sasa jiulizeni nini kinasumbua ikiwa mtu au kikundi fulani kitatoa habari tena tuseme ya uongo. Hakuna athari yoyote itakayoletwa iwapo ukweli upo. Basi nyie wapumbavu mnachojua ni vitisho na manyanyaso kwa raia wema. Aibu tupi
Acha kujidanganya unasema bila radio au gazeti tungeishije wewe vp kwani sisi ni watu wa kwanza kuishi hapa duniani sisi tunaishi bila ya tv na radio we homa nini
FREEDOM OF SPEECH .
Sio kwel mpaka leo uhur wa kujielez haupo kwa wanahabar
Hebu wakisoweni hao wanawake wanaotuninsha vichwa kama hivyo waliivaa baadhi yao mtapata Radhi za Allah
Miminawauliza kuchukuliwa video zangu bila ya rizayangu ikasambaza mitandaon bilaya makubaliano sifaidiki na chochote na waomba munisaidie na wapi niazie nipate msaada wenu
Mmh Mheshimiwa Rais una kazi ngumu bado na watu hawa.chuki zipo kumbe bado.
Porojo to pumbav kweli
Uharo kwenda mbele .
Hata mtufunge sote ukweli haujifichi
Kila mtu anahaki yake katika dunia hii hakuna FIRAUNI au DICTATORSHIP
Watu wakikosa akili utawajua tu. Sasa jiulizeni nini kinasumbua ikiwa mtu au kikundi fulani kitatoa habari tena tuseme ya uongo. Hakuna athari yoyote itakayoletwa iwapo ukweli upo. Basi nyie wapumbavu mnachojua ni vitisho na manyanyaso kwa raia wema. Aibu tupi
Uwongo mtupu msitutishe
upuuzi mtupu mpo kisiasa zaidi
😂😂😂 Kwanza wajifunze lugha ya kiswahili
@@nailamohd7693 mh
@@nailamohd7693 kweli asaa hawajui ata kuongea upuuz t
Mau ah ukereketwa naona
Chochote hakuna
Acha kujidanganya unasema bila radio au gazeti tungeishije wewe vp kwani sisi ni watu wa kwanza kuishi hapa duniani sisi tunaishi bila ya tv na radio we homa nini
🤐🤐🤐🚑🚑