Hongera wakili, ule uwanja ilijengwa kwa force account mpaka leo haujaisha, mi dhahiri hela nyingi zilizotoka ki mchezo na zimepigwa. Kuna watu waliojinufaisha.
Ana hoja kubwa na ya muhimu sana wakifanya hivi selikali itajifunza hata kama wataiba sio hivi yaani kwa sasa wanaiba sana mpaka inatia uchungu unga kg 2000 wanajilimbikizia wao tu hata kama isisaidie wasomi waonyeshe ukomavu na uchungu wa mali ya umma
Shida yako ni nini hása? Hivi kuna chochote unachoelewa au ni umbumbumbu. Hawa mawakili ni wanataaluma wanasheria wanaotumia taaluma zao kupinga ufisadi, wizi na ubadhirifu uliokithirikwa jeuri na kiburi kisheria. Je, wewe una upeo wowote kuhusu taaluma hiyo? Heshimu taaluma za watu acha kusukumwa na mihemko ya ushabik na kiitikadi uchwarai. Ebu tufafanukie maana ya misappropriation of funds au embezzlement of funds!
Hongera wakili, ule uwanja ilijengwa kwa force account mpaka leo haujaisha, mi dhahiri hela nyingi zilizotoka ki mchezo na zimepigwa. Kuna watu waliojinufaisha.
Mmmhhh mama kaiva hata mtafute njia ya kumuingiza chaka hamtaweza
Good move. I will join the race.
Afadhar mawakil mwendelee kuwapa shule awa wahun wanapewa uongoz kichwan hakuna kitu
tatizo huko mahakamani wote ma CCM awawezi toa haki wanalinda nafasi zao 😁😁 wasipoteze tonge owenda tumboni
Hongera mzalendo tunakuombea sana katika hili
Hivi wewe unaye waona hana hoja wewe kibaraka mkubwa
HONGERENI WANA WA NCHI YA TANGANYIKA
Kwani ni uwanja wa Mwanza tu, je was it value for money, mbona uwanja bado haujakamilika! is Mwanza airport is it a pilot to this!
Niko hapa kwa sasa ila uwanja wa ndege wa mwanza ni aibu
Anawashwa huyo
Ninyi mawakili.hamna kazi yakufanya .inasaidia nini..Huna hoja yoyote
Hakika hela za matapeli unazira kwa kuwatetea
Waovu na waharibifu wataifa hili
Hunaa Akilii ebuu nendaa kajisadie chon uje upyaa unawezaa pata Akilii
Ana hoja kubwa na ya muhimu sana wakifanya hivi selikali itajifunza hata kama wataiba sio hivi yaani kwa sasa wanaiba sana mpaka inatia uchungu unga kg 2000 wanajilimbikizia wao tu hata kama isisaidie wasomi waonyeshe ukomavu na uchungu wa mali ya umma
Shida yako ni nini hása? Hivi kuna chochote unachoelewa au ni umbumbumbu. Hawa mawakili ni wanataaluma wanasheria wanaotumia taaluma zao kupinga ufisadi, wizi na ubadhirifu uliokithirikwa jeuri na kiburi kisheria. Je, wewe una upeo wowote kuhusu taaluma hiyo? Heshimu taaluma za watu acha kusukumwa na mihemko ya ushabik na kiitikadi uchwarai. Ebu tufafanukie maana ya misappropriation of funds au embezzlement of funds!
EEMUNGU WASAMEHE HAWAJUI WALIJIBULO😢😢😢