ULINZI WA RAIS SAMIA NOMA! TAZAMA ALIVYOFIKA NYUMBANI KWAO KIZIMKAZI NA NDEGE ZA KIJESHI UTAPENDA..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 80

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 ปีที่แล้ว +8

    Tunahitaji hospital ya Kanda ya kaskazini ijengwe Arusha tuachane na kcmc na tuachane na hospital ya bugando tujenge hospital ya Kanda ya ziwa zilipe kodi

  • @AugustinoGidamara-z6b
    @AugustinoGidamara-z6b 8 วันที่ผ่านมา

    Kizii mkazii hoyeee bwejuuu safiii makunduchii mpoooo kazi ienderee suruu raising wetu

  • @LamerkWarwo-cq7qr
    @LamerkWarwo-cq7qr หลายเดือนก่อน +1

    Ulinzi mdogo haiwezekani helicopter inatua kienyeji namna hivi bila kutangulia ulinzi wa rais ase sema uzuri nchi yetu imejaa Aman Ila ulinzi inabidi uongenzweee na umakini uwe mkubwaa God bless mama 💚💚🇹🇿✔️

  • @ABDULLAOALI
    @ABDULLAOALI ปีที่แล้ว +4

    Hongera mama, Mungu ibariki tanzania Mungu ibariki znz

  • @AugustinoGidamara-z6b
    @AugustinoGidamara-z6b 8 วันที่ผ่านมา

    Karibu samia salimia paje tuko nyuma yako

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 ปีที่แล้ว +2

    Tunahitaji hospital za kidini zijitegemee na zisipate bajeti kutoka serikali kuu na serikali zijenge hospital zake za kanda

  • @FarhatSeif-p3t
    @FarhatSeif-p3t ปีที่แล้ว

    Zanzibar ni kisiwa kimezungukwa na bahari. Usafiri lazina boti au ndege/helikopta. Walinzi wamefupisha safari. Kutoka air-port au bandarini hadi Kizimkaazi ni maili nyingi sana. Ndio wameona bora helikopta ni moja kwa moja kutoka dodoma hadi Kizimkaazi. Na ndio penye shuguli.

  • @salimothmanhoza
    @salimothmanhoza ปีที่แล้ว +1

    Akifa mama kwa mujibu wa katiba,Philip Mpango anakuwa Rais? Itafutwe mpya kuepuka mashaka haya

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 2 หลายเดือนก่อน

    Mashallah

  • @FarhatSeif-p3t
    @FarhatSeif-p3t ปีที่แล้ว +1

    Ccm acheni ushamba. Kila jambo mnavaa magwanda yenu tu. Kwani hizo sherehe ni za chama??

  • @ABDULLAOALI
    @ABDULLAOALI ปีที่แล้ว

    Inajiweka sawa!!! Hy bwn kiswahili chetu hicho!

  • @user-fi2xy4tw3p
    @user-fi2xy4tw3p 6 หลายเดือนก่อน

    Honger mam Samia unaupig mwing

    • @FabianTebeka
      @FabianTebeka 4 หลายเดือนก่อน

      Acha ujinga anaupiga mwingi kwa kusafiri kila wakati wakati hospital akuna madawa, maisha magumu mawaziri wakina mwigulu nchemba wanaiba fedha na hayupo wa kuwatisha sasa ingekuwa marehemu magufuri thubutu kuiba fedha wangezitapika na mda wote anawateua wa nzanzibar tu

  • @iddihassan2677
    @iddihassan2677 ปีที่แล้ว +1

    Yaani ww mtangazaji saut kma unasoma nasar hujuw kutangaza bado uka some Tena

  • @PhilipoMussa-kd6nw
    @PhilipoMussa-kd6nw 3 หลายเดือนก่อน

    Mama Samia sisi watoto wa masikini tunaomba mchango wako selection za kujiunga kidato Cha Tano Ziandike upya maana Kuna wanafunzi tumeonewa tumechagua sayansi afu tumetumwa ATI

  • @abdul-rahmanal-sis7097
    @abdul-rahmanal-sis7097 20 วันที่ผ่านมา

    Mtangazaji at mkuu wa mkoa wa kusini anaitwa nani

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 ปีที่แล้ว +3

    Wacha aponde raha

  • @SeveriniTemu
    @SeveriniTemu 3 หลายเดือนก่อน

    Safii kukumbuka nyumbani Kila jambo hufanikiwa wanaporudi kushukuru makwaooo Kila kiongozi. Wajifunze kwa mama na hasa wabunge kweye maeneo yaoooo

    • @FatnaAlly-go7yt
      @FatnaAlly-go7yt 2 หลายเดือนก่อน

      Oooh Allah nijaalie na unipe nguvu NAMI niwe ni miongoni mwa kutekeleza inshallah

  • @sadakombo-li7yi
    @sadakombo-li7yi ปีที่แล้ว

    Mama samia nione mkizimkaz mwenzio niko pemba please nione

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 ปีที่แล้ว

    Helcopter mmezionaaa😂😂😂

  • @SAIDIMUKSIN-iy2op
    @SAIDIMUKSIN-iy2op ปีที่แล้ว +2

    Mbona anashukia porin jmn

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz ปีที่แล้ว +1

      M2 kwao unataka ashukie wapi mjini au ushaona wapi helicopter ikatua mjini

    • @FarhatSeif-p3t
      @FarhatSeif-p3t ปีที่แล้ว

      Ndio eneo kubwa la kushuka kwa helikopta. Kashukia Kizimkazi ni shamba kama hamjui.

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz ปีที่แล้ว

    Inakuaje muandishi wa habari upo mbali na sehemu ya tukio kwann usisoge karibu

  • @pendonathan7735
    @pendonathan7735 หลายเดือนก่อน

    Mfano achujue Kwa Ibrahimu traore
    Tumechoka na ujinga wa viongozi wa Africa. Muungeni mkono raisi mwenzenu

  • @salehesalehe2967
    @salehesalehe2967 ปีที่แล้ว +1

    Safi mama fanya kazi tuki pamoja

  • @PauloMassawe-py6eb
    @PauloMassawe-py6eb 21 วันที่ผ่านมา

    Mamanyumbanininyumbanipelekamaendeleokwenu

  • @TimothyAlex-it2lm
    @TimothyAlex-it2lm 2 หลายเดือนก่อน

    Kazikazi

  • @sarahmuhammed6872
    @sarahmuhammed6872 ปีที่แล้ว

    Huyu mwandishi vipi?? Side yoyotevwaexa kumuinterview bila kumshika

  • @muzneali4747
    @muzneali4747 ปีที่แล้ว

    Mama Samia Jenga kiwanja cha ndege hapo

    • @Azikiwe-qi6jd
      @Azikiwe-qi6jd ปีที่แล้ว

      Your have a mind of lazzy people, wewe ni mzembe wa kufikiri, unata kusema kila kiongozi anapoingia madarakani lazima ajenge kiwanja cha ndege kwao, unajua hali ya kiwanja cha ndege chat kwa sasa?

    • @sarahmuhammed6872
      @sarahmuhammed6872 ปีที่แล้ว +1

      ​@@Azikiwe-qi6jdmaxuri kawaida huigwa

  • @ally0thmanfundikira463
    @ally0thmanfundikira463 ปีที่แล้ว +2

    Mtoto huyo warda mwalimu alikua anamtesa sana na anasema kazaa na polisi mkubwa ni kibaha mama yake nakuomba sana msaidie mueshimiwa ninakuomba fuatilia global tv

    • @sarahmuhammed6872
      @sarahmuhammed6872 ปีที่แล้ว

      Swali aliempeleka kwa huyo.mwl mkuu ni nani??? Mpaka wakawa wanamtafuta???

  • @mariammalendeja370
    @mariammalendeja370 ปีที่แล้ว

    maghufuli nataman ungemuona zuena ooh ungemuona zuwena eeh zuuwena

  • @ally0thmanfundikira463
    @ally0thmanfundikira463 ปีที่แล้ว +2

    Mueshimiwa Rais ninakuomba mama yetu tuonee tuonee huruma ingilia kati sakata la mtoto Warda Muhamed aliyepotea kule kinahan kiwa anakaa na mwalimu huyu mwalimu anakivuna yuko na mkubwa tusaidie fiatilia global tv

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz ปีที่แล้ว

      Wa2 wake wapo kazini kulishulikia ilo subra muhimu sn

  • @rahma6189
    @rahma6189 ปีที่แล้ว

    Kwani huyo ni raisi wa zanziba

  • @HamadHamad-oy7mp
    @HamadHamad-oy7mp ปีที่แล้ว

    Nakupenda mzee kikwete nakupenda mama Samia

  • @FarhatSeif-p3t
    @FarhatSeif-p3t ปีที่แล้ว

    Hata Magufuli alijenga kwao na uwanja mkubwa wa kutua ndege yake tu. Kikwete kajenga kijiji cha kifalme kwao Bwagamoyo. Ali Hassan mwinyi ndi hasemeki kwao huko na msasani. Kuna ajabu gani Mama samia kutua kwa helikopta? Au kufanya jambo la maendeleo ya Umma? Acheni roho mbaya Wakavirondo nyie.

  • @PauloMassawe-py6eb
    @PauloMassawe-py6eb 21 วันที่ผ่านมา

    Mamanyumbanininyumbanipelekamaendeleokwenuhatakamanyumbaniyaudongo

  • @DadialiDadi
    @DadialiDadi 11 หลายเดือนก่อน

    Haikuhusu kama Rai's wa znzbar wa bars Kula chuma iyooooo😅😅😅😅

  • @VenaEliki
    @VenaEliki ปีที่แล้ว

    Naona mambo mnayoyafanya wewe na magufuri ni Kama uchifu mbona hatujaona marais awamu ya Kwanza mpaka yanne hawakujitwika ufalme Kama huo

  • @FarhatSeif-p3t
    @FarhatSeif-p3t ปีที่แล้ว

    Watanganyika mliwazarau wazanzibali mkaona hawawezi. Mumeona Mama anavyo tusuta? Mama unaweza Hekooooo❤

    • @FabianTebeka
      @FabianTebeka 4 หลายเดือนก่อน

      Acha ujinga anaupiga mwingi kwa kusafiri kila wakati na wanzanzibar unasema anatusuta kwa kusafiri kila wakati anasababisha maisha kuwa magumu mawaziri wakina mwigulu nchemba wanaiba fedha akuna wa kuwazuia kipindi cha magufuri thubutu kuiba fedha wangezitapika na huyu mama ata akiongoza milele awezi kumfikia magufuri kamwe

  • @IjumaaIjumaa
    @IjumaaIjumaa ปีที่แล้ว

    Sirikali iache kutegemea hispitali za kidini ijenge zake na iache hispitali za kidini zijitegemee zijiendeshe zenyewe bona zinaingiza mapato

  • @zuberymwenge6780
    @zuberymwenge6780 ปีที่แล้ว +1

    Kudadeki tutakutana kaburinj

  • @MICHAELPANCRASS
    @MICHAELPANCRASS ปีที่แล้ว

    SAUTI YA WATU NI SAUTI YA MUNGU

    • @FarhatSeif-p3t
      @FarhatSeif-p3t ปีที่แล้ว

      Na wengi ndio tunata waekezaji waje ili tuneemeke tulokua wengi. Acheni unoko wenu mtatafuta njia ya kupitisha magendo na kokeni zenu na kukwepa kodi kwa kisingizio eti mizigo ya Kanisa. Madam Samia Oyeeeee mitano tenaaaa

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 ปีที่แล้ว

    gabon niger

  • @deusurio9056
    @deusurio9056 ปีที่แล้ว

    Watanzania kama hamtakaa na kuomba Mungu awafungue ktk uwezo wakufikiri ,Iko siku mtauzwa mkiwa mmelala, hii ccm wanalaana na Wala hawajali maisha yenu ,wao ni kuuza rasilimali zenu ,Kila rais inaeingia anauza kilichobaki, kilicho Baki ni bahari ardhi mlima kmanjaro vikiuzwa mtakwenda kuwa wakimbizi kwenye nchi yenu

  • @MICHAELPANCRASS
    @MICHAELPANCRASS ปีที่แล้ว

    Nchi hii tunahitaji maombi sana Mungu atuepushe na hiki kikombe

    • @jolemerci2155
      @jolemerci2155 ปีที่แล้ว

      Kwa kweli umeona muonekano wa hiyo ndege? Yani Tanzania kwa sasa imeongozwa n'a farao

  • @chankamba
    @chankamba ปีที่แล้ว

    Herocopita 😂😂 wameziona

  • @MICHAELPANCRASS
    @MICHAELPANCRASS ปีที่แล้ว

    Hahahaha

  • @rahma6189
    @rahma6189 ปีที่แล้ว

    Kumbe kwao ni masikini hivo ndio mana anachetuka

  • @solomonwanjala9351
    @solomonwanjala9351 6 หลายเดือนก่อน

    Unaongea sana

  • @ayubumoha6313
    @ayubumoha6313 ปีที่แล้ว

    Hii nch imekuwa basi Tena magufuli ameondoka na vyake😭😭😭😭😭

  • @MICHAELPANCRASS
    @MICHAELPANCRASS ปีที่แล้ว

    TUKUTANE 2025

  • @onelovetz7935
    @onelovetz7935 ปีที่แล้ว

    Usifanye maigizo Kama ya chadema yakukwea na ndege huku wananchi hoyi huko ndiko kujenga nchi hakuna kutembea na gali

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz ปีที่แล้ว

      Unatakaje labda hebu acheni chuki nyie dah au tukupe ww urais halafu utembe kwa mguu

  • @suleimanmwita-oh1up
    @suleimanmwita-oh1up ปีที่แล้ว

    kisa nini huna akili ww

    • @salehesalehe2967
      @salehesalehe2967 ปีที่แล้ว +1

      Hivi unajua wakatoliki walisaini mkataba serikali isijenge hospitali pale ambapo wao wamejenga na sasahivi wanaipinga serikali Sasa Bora serikali iachane nao

    • @FarhatSeif-p3t
      @FarhatSeif-p3t ปีที่แล้ว

      Na wewe mwehu haswaaa

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 ปีที่แล้ว

    Vitu vya kitoto

    • @onelovetz7935
      @onelovetz7935 ปีที่แล้ว

      Nakupata hanashida na wananchi wanakula Bata ogopa wanaokwea na ndege hawawezi kujenga nchi

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga5798 ปีที่แล้ว +1

    Seema cna kituuu na hasiraaaa sanaaaa ila mda unakuja ardhi italoa damuuuu

  • @Clement-px8eg
    @Clement-px8eg ปีที่แล้ว

    Mama yenu huyoo abaki hukohuko

    • @salehesalehe2967
      @salehesalehe2967 ปีที่แล้ว

      Mjinga wewe ulitaka mama yako ndo awe rais

    • @Clement-px8eg
      @Clement-px8eg ปีที่แล้ว

      Sina.mama

    • @FarhatSeif-p3t
      @FarhatSeif-p3t ปีที่แล้ว

      Huyo mnae mitano tenaaa. Mnaona aibu Mzanzibari tena Mwanamke kaongoza kwa muda mfupi sana, kaleta maendeleo kibao huko Tanganyika. Kazi kusema Wazanzibari kazi yetu kula urojo tu. Hiyo ndio faida ya urojo. Mama Samia ni Chaguo la Mungu❤

    • @FabianTebeka
      @FabianTebeka 4 หลายเดือนก่อน

      Acha ujinga chaguo la MUNGU kwa kusafiri kila wakati ww unajua tokea awe rais ametumia kiasi gani kwa ajili ya safari, gharama aliyotumia kwa miaka 3 ni zaidi ya aliyotumia magufuri kwa miaka 6 na nchi inadaiwa matilioni ya shilingi alafu unaongea upumbavu akuna rais alifeli kama huyu na ataendelea kufeli mwamba ameondoka na akili zake ata raisi husen mwinyi alisema alipokuwa wanamuoji TBC na mnukuu alisema tuta chukua mdaa mrefu kupata kiongozi wa kariba ya magufuri. Kwa hiyo nyinyi semeni ila ukweli utabaki kuwa ukweli.