LEMA MERERANI -"PESA ALIYOPEWA BILIONEA LAIZER ni CHENI ya KIUNO ya BEYONCE, IMEUA BEI ya TANZANITE"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2024
- LEMA MERERANI - "MADINI ya BILIONEA LAIZER YALIUA SOKO la BEI ya TANZANITE DUNIANI"
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE UWE WA KWANZA KUONA:🏾 bit.ly/3MraYdQ
Yaan serikarini kuna wapumbavu weng weny akili wapo upinzani
Very fact.
Kosoa lkn pia toa basi value inayowezq kuisaidia taifa
Lkn bado nakuona km ndani Yako umejaa na kisasi na uchonganishi tu
Wewe kosoa lkn wambie vijana wafanye Nini Ili kujikuamua na umasikini
Ukiwa muazi sana watu hawawezi kukuelewa kabisa hasa kwa baadhi ya nchi za kiafrika
Watu weusi ndio maana tunapigwa tu nafikili kidogo mnoo wakati duniani wanajua nini maana ya madini.!!!
Kweli sendeka ni jingakubwa
Huyu shogo wa kimachame mshamba sana
Yaani Lema anatafuta namna ya kupata fedha kwa wafanya biashara ya madini kwa sababu anaongea hvyo ionekane anawatetea
Hiyo ni fact
Mm naona chadema hawana sera ndio maana wanakuja kutukana tuuuu
Chongamoto ni nyingi wakisema wanyamanze utakuwa mjinga sana hautoerewa unazulumiwa vp na hao bi tozo
Mama Samia ana akili sana kuwaruhusu kuongea ili tuone pumba zao
Kabisa
Huyu taaahira wanamruhusuje kufanya ujinga wa hivi, yeye kaona kiuno cha beyonce? Namsikitikia sana mama yenu aloruhusu huu ushenzi
Huu ndio ukweli ...
Lile nyumbu limekufa kima Sana .
Nyumbu ni baba ako na mama ako.
Hata wewe utakufa tu, hakuna atakayeishi milele.
Nadhani Nyumbu ni ww unaetekwa akili na wanasiasa, amka naona uko usingizini.
Nadhani Nyumbu ni ww unaetekwa akili na wanasiasa, amka naona uko usingizini.
Nadhani Nyumbu ni ww unaetekwa akili na wanasiasa, amka naona uko usingizini.
Kiboko yenu ametangulia mbele ya haki mwenyezi mungu amtangulie amlipe kwa mema aliyoyafanya
Kibooi yao wapi ngosha mshamba alikuwa anajifanya mwamba kiko wapi sasa! Katesa, kapoteza watu n yeye yupo shimoni
Unasema kiboko kwa kukataa hoja yule hakuwa mwanasiasa Rais gani utaki uchaguzi Mbowe mtu mdogo unamwita gaidi yule aliko achomwe moto
aliyekufa na aliyebaki nani kiboko😄😄
Kizur alicho fanya tofauti na kufirisi watu
@@yowermisher6468 we mganda uwezijua kizuri alichofanya
Nchi imechangamka sasa,🤣
Huyu baba anamatatizo maana ukimuangalia juu Hadi chidi havizidi hata laki na bado anadharau watu. Pole mkosa vya maana vya kuongea. Na wananchi mnapiga tu makofi na Bado familia inasubiri upeleke kitu waweze kujikiz
Lema huna jipya umechanganyikiwa ubunge hupatikani milele
Huyu sasa uhuni umezidi
Lema sikiliza comment za watu UNAKIHARIBU CHADEMA. Mbowe chukua hatua kwa hili jamaa naona likiendelea HAMTOBOI!
Hiki chama kinapaswa kuchukua hatua ya kubadilisha uongozi ili waje watu wenye maono na mtazamo tofauti. Hii mikutano ya hadhara ni ushindi mkubwa sana kwa CCM kwani wanajimaliza wenyewe sasa , hongera sana kwa mama Samia kwani ifikapo 2025 hawa hawatakuwa na issue.
Njoo ww upandisha hadhi
Sasa wanawasema watu wenye hela zao, ili nako walambishwe asali wasiokuwa na hela wanatukanwa wanafanya kazi ya laana
Kama mtu anaongea fact namna hii halaf wabongo wanakebeh na kumtukana.. aisee.. mi naona watanzania waachwe wafe njaa aisee maana weng akil hakuna na ni tatizo
Bob huna lolote wewe na lema mna afya ya akili huyo kazi yake kutukana hatoi sera zake za chama kazi matusi tu mbwa huyo ana lana ya hayati magufuli inamtufuna
Mim nasemaga mchagga ni mchagga tu dah
Acha ukabila wewe 2023 unaabudu mambo ya ukabila
Haya mataahira ya cdm yanajionaga yanajua kila kitu, unakosoa kila kitu alafu wewe huna alternative ya kuendeleza nchi, shithole mind, kama ndio wewe wanakuagiza uongee ujinga ili wakupe kiti ugombee urais 2025, mtakufa kifo kibaya sana! Mlikimbia nchi maana late JPM hakutaka vibaka waropokaji katika nchi!
Hivi mfano serikali itangaze bei bilion 50 ikanunuliwa halafu umwite chumban laizer umpe bilion 10 hivi nan atakubali huyu ndo mjinga wa mwsho
Magu magu mlimkimbia sasa mmerudi
Kiboko yenu magu mna bahati sana
Alikuwa mshamba
Lema hakuna mtu mjinga sana wewe huna lolote
Kumekucha kutukana watu mama kwanini uliyaruhusu haya
Si ili apate sifa aonekane anaitendea haki Demokrasia, ujinga huu huuwezi kuta kwenye zilizoendelea anakosa kutoa hoja kazi kuiga sauti za wengine sasa si aende kuwa msanii tu.
Kwamujibu wakatiba mama hajaruhusu kwamahaba yake karuhusu mikutano kwamujibu wakatiba yajamuhuri yamungano Tanzania nahiyo hatiba ndiyo iliyomuweka madarakani bila yakufuata katiba watanganyika musingalikubali mama samia kuwa saisi wamungano kwaiyo nayy kafata katiba ndomikutano munaiyona inaendelea kwamujibu wajamuhir yamungano watanzania hakuna raisi wowote tanzania atakaezuiya mikutano yahazara rabda raisi uwe dikteta ndoutazuiya kwamabavu
@@omarhababuu3159 vipi kuhusu kufuta kesi za Lema, katiba gani imefuatwa mkuu???
Au tunakatiba mbili nchini?
@@gersonfungo5893 tatizo lema ilikuwa hanakesi uditekta ndoulofanya lema apewe kesi zamchongo namulitaka kumuuwa ndoakakimbia boda tz mpaka kenya mungu akamjalia zake ziko akawakimbia viongozi wanaotaka waish milele lakini mungu kafanya rehma zake mamasamia kawatoa mashehe uwamsho kafuta kesi zote zamchogo kazi iendelee zama zamaditekta zimeisha mungu nimwema
@@omarhababuu3159sasa hii ni mkutano au ngonjera toa kitu cha kuijenga jamii Co kuropoka ovyo.
Ni ujinga mnoooo mmebaki kubwabwaja fala ninyi fyooooooo
😂😂😂😜kwl ushamba