Sunshine (with English Subtitles)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ธ.ค. 2014
- Rufu ni kijana msomi na mwenye hasira. Hakubaliki kazini kwasababu ya ulevi, madawa ya kulevya na wanawake ambao wamemsababishia matatizo mengi. Akiwa na miaka 22 tu tayari anatumia madawa ya kupunguza makali ya virusi vya ukimwi na kujiingiza kwenye maisha ya uhalifu mdogo mdogo.
Rufu anatoka kwenye familia nzuri na yenye upendo. mama yake, mama Eva ni mwanamke anayefanya kazi kwenye mgahawa kwa bidii na mtoto wake Eva
Mama Eva anajua maisha ya Rufu yanategemea kula chakula chenye afya, na kuishi kwa kutumia dawa zake. Anawasiwasi kuhusu mtoto wake na dhiki inamuua.
Wakati Mama Eva amezimia na kushauriwa kwamba anahitaji upasuaji wa moyo wakati familia yake ni duni. Rufu anaamua kuliweka jambo hili mikononi mwake mwenyewe. Afanye nini ili apate fedha kwa ajili ya mahitaji ya familia na kuokoa maisha mama yake.
Hii ni hadithi ya upendo kati ya mama na mtoto wake.
--------------------
Rufu is educated and smart but restless and angry. He can’t hold down a job and is easily distracted by drink, dope and women, which have landed him nothing but trouble. At just 22 he’s already on ARVs and slipping into a lifestyle dominated by petty-crime.
Rufu is from a good and loving family. His mother, Mama Eva, a hard working entrepeneur, runs a successful restaurant with his siter Eva.
Mama Eva knows Rufu’s survival depends on healthy eating, living and adherence to his medication. She is worried sick about her son. And the stress is killing her.
When Mama Eva collapses and advised that she needs heart surgery the family cannot afford, Rufu decides to take the matter in his own hands. How far will he go to secure the cash the family needs to save his mothers life?
A story of unconditional love between mother and son.
Bongo movie | swahili - เพลง
Movie nzuri maudhui Bora kabsa ❤❤😊,
wale wakusoma comment huku tunaangalia tujuane please😂
Wow! Powerful and very spiritual, a shout out and Love to all my Tanzanian actor brothers and sisters. Peace and Love from America. I'm learning kiswahili on my own and hope to travel to Dar in 2022. Peace.
if you need a partner to practice Swahili with just hit me up
Saf San Ben pol umetisha
jamani hakuna kama mama na kila siku namuombea mama yangu ampe maisha marefu na mpenda sana mama
2022 still watching. Good work benpol. Mum iz the best 4eva😍
Safi sana Ben pol ..sahii umeua game na +254
wow Ben pol unajitaidi kwa hiyi filamu bwana fresh kabisa
woow ni nzur sana mmejitahid sana alf nimefurai kumuona kaka angu niliyepotezana nae miaka kadhaa#Ally komba
Be blessed all mothers all over the world 🙏
Sijawahi kuona upendo halisi zaidi ya upendo wa mama!! I love you my mom
Safi Ben pol umeigiza vizuri sana
Umejita I do sana Ben pol nimeipenda
Excellent!!! I'm impressed! There are movies in Hollywood, California that aren't as good!
Filamu kali sana yenye uhalisi wa maisha yetu katika jamii yetu, nimefurahi pia kumsikia hadi Hashim Dogo(Mwanaharamu)....Kunta...Kinte.
Sasa asili yapolisi nikuchukiya watu serekali haweziku fatiliya ayinagani watu wanayeswa na police ukali diodisituri police wa africa tunatiya ayibu kuona unaapa kulida raiya kisha ww jokigezo chakutesa raiya
Ndio kwanza naiona leo from 🇴🇲
Imenivutia sana kila wakati kuitizama kiukweli imenigisa sana
Movie kali Sana,ben noma
Ɓonge la movie ƙazi imetulia sana.
Dogo amefanana sana na Ben pol
Daah ben pol we nimukali kinoma daah saluti
hii ndo bongo movie sasa sio hzo zngne production ipo poa sana ipo kitanzania ila ata watu wa nchi zngne wanaona utofaut na uzuri
*Filamu nzuri Sana,kazi nzuri*
Nzuri sanaa big up.
Good job 👏 ben Pol
Benpol unakipaji👍❤❤❤❤
nice movie ....well done benpol
Hiiiii movie nimeiona Zamani Sana Hadi sikumbuki kabla nimjue Ben Pol kwenye musiki
Hi...I'm indonesian 🇮🇩and I love this movie 😄
mm niulize swali bwana maana sielewi hizi filamu zengine zinapatwa na nini adi zinakuwa mbovu na zengine kama hizi zinakuwa zimepata utulivu wa hali ya juu sana.. hongera sana walio l'direct hii filamu imekulia sana
Ben pol kazi nzuri nishaona filamu zote wasanii inahonesha wanaumoja
NIMEMUELEWA ZAIDI GND BIG UP MKUBWA
ben upo vzr kaka umecheza vzr sana
One of the best movie big up😘😘
Thanks mother for helping me mother is mother 😘😘😘😘😘😍🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Nasikia nyakyusa language humo..👏👏
well done Ben pol
Mama mpambanaji anampambania Mwanae na Mtoto anampambania Mama Guud
anyone 2019
Daaaàh huyoo mama anaitendea haki nafasi ake 🤗🤗🤗
Hakuna kama mama jamanmama ni bora
NZURIIIII!!!! Furaha!
Nice 👍 job Ben Pol
Safi xana movies nzuri
Well done Ben piseee
Tunaitaji movies kama hizi bigup mmetisha
Tamu sana hii movie
Nice film
Ben umetisha mzee.
Ben pol uko vizuri
Nzuri sana
Hii movies inanifanya nimkumbuke Mama
wemkali sn kaka lufu
Nice move
Nice movie
nimeipenda sana hii.,, ben peezy umefanya poa sana bro, keep it up.
+charles makunga anyone know the song at 44.01 min holla kinda catchy
Nice one
kali
well done
Safi sana Ben Pol
Carene Faustine nic
wangendeleh hiv bong movei ingekuw mbal saan
Kazi nzuri saan kupita maelezo @Ben pol katishaaa saaan
Nzuri
Very nice story. 🇺🇬
Ben pol ebu jicjanganye huku na kule kumbe unavipaj cio kipaj dah nzur kinyaaaaama
Jamani hii filim inaliza jamani
Nice nimependa
this good movie keep up music and movies everything u are good
Pen pol unafaa
2019 👍
2019. nisaidieni jina la wimbo (15:51 ) Tafadhal
Ben Pol na Eva wote nimewakubali
nice the stl
This was good. Sooo who going to help me learn Swahili 🤗
ladydede88 me
ladydede88 give your contact
Check me i need to learn correct english too +255 0674957446
ladydede88 me
Kinyakyusa kimo raha sana
SIku zote izi nilkuwa wap kuona movie nzur iviiiiiiii
movie nzr
Enzi hizo mshikaji haja toboa😀😀😀😀😀
Young killer Msodoki King wa rap baba nakuelewa sana mkubwa
g
hii movie ni reality kabisa ya familia Yangu kwakweli imenikumbusha mbali
Mtu yeyote kujua wimbo ambao hucheza katika filamu?
Aaa kumbe ata movie unaweza mzee Ben Paul we ni kiboko sema unakuwaka slow ila sio kesi uko poa sn
iv? wagaw tuzo uwa amuon mov zakugawa tuzo iz ndo mov ambazo zina paswa kuchukua tuzo kwa sababu zina elimixh jamii.
Kweli kabisa aho wanaopata tuzo movie zaho ata azieleweki bola hihi
Ben Pol Duuuuh
Nimependa sana hii film, imetulia haina fujo, laiti waigizaji wangeiga mfano kwa hii.
Nani km mama dunian
Ben pol mwafanana na hyo mama sjuwi ni mama ako?
afande hafai
Filamu nzuri! Je, mtu anaweza kuniambia majina ya nyimbo zote?
Mama Ni mama❤❤❤❤
gmd kwa mitanda anatumia jina gani huyu
niS
Next tym..scene zinazo hitaji professional ni bora ..awepo MTU..mwenye.. Iyo professional.. Mfano hao maafande..wamechemka saaana..hawajatosha kabisa..kwenye iyo nafasi..kifupi hawajaitendea haki hiyo scene
anyone know the song at 44.01 min holla kinda catchy
Do you know what the song is called towards the end of the movie?
anyone know the song at 44.01 min holla kinda catchy
Translate
mimefurah kuckia kinyakyusa
youtube top in town
I NEED HELP LEARNING SWAHILI ANYONE ON DOULINGO?
Install audio
Bible
nani Kama mama 😓 nmelia just missing my mum
daaa yani nime toka machozi una sikitisha sana
nani kama mama
+Beatrice Nicholaus I was a hakuna Kama mama jemeni mpenda sana wazazi wenu
Honestly, I really didn't get the message about the whole story
hongera beni mungu kakujaaliavipaji Ila kimzikiungrpendeza sana kuimbagospo kwa jinsiulivyounafaa sana gospo
English bible App
Afrikaans bible App
Arabic bible
Nice movie