ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Miss you guys nilikuwa najiuliza mmeenda wapi wanangu
Love U so much Peter.Mungu awabariki benroyal film producers
Huwezi amini niliacha kuwach movie mwamba iz back respect
Ila wewe kaka upo vizuri sana 🤗
Jaman benroyar munaweza Hadi munaweza Tena mungu awajalie mufikie malengo❤❤❤❤❤
❤❤❤mlikua wapi wanangu,mbona mlipotea hivyo tunawapenda sanaa 2 mtupewendelezo wa zile mlizo acha basi
Benroyol naomba nafasi na mie napenda sana kujiunga pamoja nanyi .nina upendo mkubwa na sanaa ya uwigizaji
Yup well cme back
Kazi nzuri Sana tumetoka mbali. Salimika Sana Modesta love you
Benroyal wana kazi nzuri tatizo ni wanachelewesha kazi...much love from kenya 001
Mlipotea sana wazee ijue cc tupo dar akin tunawafuatilia sana kazi zur ongezen juhudi
Kaka benloyalty hii movie nzur sana maana mmeelezea changamoto ambazo tunazipitia mitaani kwenye mahusiano na maisha ya kawaida
Leoo nime muona class mate humuu, jescaaa mambo vp
Wow, this movie is so amazing, it made my day. Watching from Uganda
Wakwanza Leo hapa...I really love this channel. Thanks 🙏 on the behalf of Ugandans who missed this 😊
Thanks for watching
Daaah jamani ongereni Sana kwa hiyi movies Kali Sana big un sana
nzuri sanh lkn mwakaa sana bila kutuletea vitu watu wagu❤ bonny nakupenda banh
Duh, niliwamiss sana asee. Kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉
Nawapenda
ntatupia kakofia kangu na kakiatu kangu hapo, ntakusanya watoto, kumbe hunijuagi. My favourite part❤❤
😂😂😂😂Nafurahi ombilangu limejibiwa maan nilikuwa napenda san hawa jama wataweza movie pamoja
Movi zenu ni nzuri saaana tu tunapenda kufuatiria kwa mfurulizo mzuri A to z
Napenda sanaa movie zenu naomba nitoe kama ushauri tunaomba muwe mnatuwahishia pls
Huwa nawafuatilia sana movie zenu mko vzuri na mpo tofauti sana ❤
Nawakubali sana wadau
Nawakubali sanaa. Jitahidini kupandisha kaz kwa wakati
Alafu @mbanga napenda sana hip-hop zenyu + nala mzalendo🎉🎉
niliwamiss sana alafu nawapenda sana Ndiyo mnafanya kazi nzuri sana🌹♥
Location zenu pia ziko sawa I love it
Mnaish maish ya furah san good job Big ap san
BP mmekimya sana watunguyaz...watching from Mombasa
Saaafiiiii, Yan nimefurahi atari, Kama kuna comedy fran hivi, ❤❤
Safi brother kazi nzuri rafiki
Kazi kazi bila kuchoka mzigo ni wamoto 🔥🔥🔥
Nimefurahi sana kumuona bavo humu ndani
Benroyal my best channel in Tanzania huwa mnaangusha vitu Kali Kali sana ila tu mnatufanya tungoje sana
Karibu sana
sema nampenda uyu dada paula dah bas tu
Bora mmetuletea, maana tulihitaji sana kazi kama hizi
Hatimaye mmeludi watu wa mungu, mwasamola miss you ❤
kitu kikali sana❤❤
Napenda sana kazi zako Ben❤
Ila barnaba na mona.mona sauti kama katoto❤❤❤.barinba pacha wa luka sura mpaka sauti mpaka tabasam naisi ndungu🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kazi nzuri nawapenda sana❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
AMANI mbona hajaimalizia jamani movi kaliii tunatamani muendelezo ule tuupate na mampya baadae
Aisee turikua tumewamiss saana kaka bonny
Oyaa!! Wanakubl sn ❤ ila shid sauti bro increase the volume please, na wekeni dizeni chach ya kichapo mwanangu 👊 yaan namanish ngumi bro
Nmecheka sana 😂😂 kazi nzuri sana
Sema mmekaa kuachia kaz
daaah nikajua mmedata na bunji mmetukosea sana 😂😂😂😂😂
Alooh me sijawahi kuwapinga 🙋♀️ May God Bless You For what You doing♥️♥️ Congratulations sana Tulimic Kitu kutoka kwa benroyal picture hatimay You are back 🙌🏽🙌🏽
Kuwamiss tu nimewamiss mmejua kututelekeza jaman ❤❤❤
Dah mwanetu umepotea sana
Oyoooo nili wamiss so poa from Oman ❤❤❤
Daah wanangu wa benroyal mmepotea san leten kaz nawakubli san kaz zenu
Duuuh.....huyo Jamaaa namuonea huruma sanaaaa
Vip bana what happened cz munakaa saana bila kudupatia movie
Mr benroyal
Dah hio sound track noma xana
Zaidi ya Rafiki@benroyal@Bon@miss chuleha❤❤.love u gys
move nzuri sana
I was miss u more
Jamaangu ndevu moja Mr max kaua sanaaa...but Kazi nzuri myamba
Mlikaa kimyaa sanaa
Amani itawale,,,,malizieni❤❤basi
Hongera sana ❤❤❤❤❤ part two lini inatoka
hiii mngeihifadhi kwanza mmalizie ila ya amani .Movie ya amani ikiisha ndio ingefuata hiii
naona mmeniwekea mwanangu wa michezo yenu ya 👊 nimependa sana iyo
Ila ben wewe dah😢😢 una jua kijana
Asante sana
Sema mnajua sana✊
Mona Lisa. ni msichana mrembo sana ningekua na uwezo nimpa zawadi. halafu nawapenda wote. likes zikuje
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 ni nomaaa kikosiiiiiiiii
namkubali sana boni
RAFIKI 😢
Mnakaa sana hadi tunawasahau,naona hata bavo mlimchukua
Kazi nzuri wanangu
Next ❤❤❤❤❤❤❤❤
Nice one
Turikua tumewakumbuka san wanangu ❤❤❤❤❤❤
My brother umerudi ila baadhi ya vipaji nilivyo viona kwako now naviona katika bunji ni furaha
Nala mzalendo
Ila haunaga kaz mbaya
Bonny (Barnaba) ni fundi sana
Ukiona umevaa, basi wengine wamevaa kweli 😂😂😂😂😂😂
Nakukubali sana boni na Nala lakini mnatucheleweshea movie et
Bonny inapendeza sana mkawa mke na mume yani ww bonny na Paula mnapendezana sana niwe wafatilia muda mrefu sana kiufupi mnaendana sana.
Jamani tusiombe like 👍 😂😂😂tafadhaliii una weza uka ozea jela kama #msanii see more.....................
From254 bigup manzee but watu hawanyamazangi hivyo wakuu😂
Kazi nimoto sana
Kubakwa na wanaume nane sio mchezo Ata me ningeogopa 😂😂😂
😢😢 Where is part 2 Benroyal Ileteeee babaaa
Napenda sana kazi zenu
Kk unajua mpaka unaumwa
❤❤ mko vizuri ndugu zangu
Oyaaa humu kuna bavoooo
natamani sana bony na paula liwe kapo mnaendana sana
Wow 😮
Hamna baya wakuu 😂
Tuna miss sana kazi zenu asee
Jaman malizieni na series ya amani, alaf mtuletee msatari wa dam muendelezo wake
Paula is the most beautiful girl in Tanzania, I feel like meeting her in person. Love you all
Miss you guys nilikuwa najiuliza mmeenda wapi wanangu
Love U so much Peter.Mungu awabariki benroyal film producers
Huwezi amini niliacha kuwach movie mwamba iz back respect
Ila wewe kaka upo vizuri sana 🤗
Jaman benroyar munaweza Hadi munaweza Tena mungu awajalie mufikie malengo❤❤❤❤❤
❤❤❤mlikua wapi wanangu,mbona mlipotea hivyo tunawapenda sanaa 2 mtupewendelezo wa zile mlizo acha basi
Benroyol naomba nafasi na mie napenda sana kujiunga pamoja nanyi .nina upendo mkubwa na sanaa ya uwigizaji
Yup well cme back
Kazi nzuri Sana tumetoka mbali. Salimika Sana Modesta love you
Benroyal wana kazi nzuri tatizo ni wanachelewesha kazi...much love from kenya 001
Mlipotea sana wazee ijue cc tupo dar akin tunawafuatilia sana kazi zur ongezen juhudi
Kaka benloyalty hii movie nzur sana maana mmeelezea changamoto ambazo tunazipitia mitaani kwenye mahusiano na maisha ya kawaida
Leoo nime muona class mate humuu, jescaaa mambo vp
Wow, this movie is so amazing, it made my day. Watching from Uganda
Wakwanza Leo hapa...
I really love this channel. Thanks 🙏 on the behalf of Ugandans who missed this 😊
Thanks for watching
Daaah jamani ongereni Sana kwa hiyi movies Kali Sana big un sana
nzuri sanh lkn mwakaa sana bila kutuletea vitu watu wagu❤ bonny nakupenda banh
Duh, niliwamiss sana asee. Kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉
Nawapenda
ntatupia kakofia kangu na kakiatu kangu hapo, ntakusanya watoto, kumbe hunijuagi. My favourite part❤❤
😂😂😂😂Nafurahi ombilangu limejibiwa maan nilikuwa napenda san hawa jama wataweza movie pamoja
Movi zenu ni nzuri saaana tu tunapenda kufuatiria kwa mfurulizo mzuri A to z
Napenda sanaa movie zenu naomba nitoe kama ushauri tunaomba muwe mnatuwahishia pls
Huwa nawafuatilia sana movie zenu mko vzuri na mpo tofauti sana ❤
Nawakubali sana wadau
Nawakubali sanaa. Jitahidini kupandisha kaz kwa wakati
Alafu @mbanga napenda sana hip-hop zenyu + nala mzalendo🎉🎉
niliwamiss sana alafu nawapenda sana Ndiyo mnafanya kazi nzuri sana🌹♥
Location zenu pia ziko sawa I love it
Mnaish maish ya furah san good job Big ap san
BP mmekimya sana watunguyaz...watching from Mombasa
Saaafiiiii,
Yan nimefurahi atari,
Kama kuna comedy fran hivi,
❤❤
Safi brother kazi nzuri rafiki
Kazi kazi bila kuchoka mzigo ni wamoto 🔥🔥🔥
Nimefurahi sana kumuona bavo humu ndani
Benroyal my best channel in Tanzania huwa mnaangusha vitu Kali Kali sana ila tu mnatufanya tungoje sana
Karibu sana
sema nampenda uyu dada paula dah bas tu
Bora mmetuletea, maana tulihitaji sana kazi kama hizi
Hatimaye mmeludi watu wa mungu, mwasamola miss you ❤
kitu kikali sana❤❤
Napenda sana kazi zako Ben❤
Ila barnaba na mona.mona sauti kama katoto❤❤❤.barinba pacha wa luka sura mpaka sauti mpaka tabasam naisi ndungu🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kazi nzuri nawapenda sana❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
AMANI mbona hajaimalizia jamani movi kaliii tunatamani muendelezo ule tuupate na mampya baadae
Aisee turikua tumewamiss saana kaka bonny
Oyaa!! Wanakubl sn ❤ ila shid sauti bro increase the volume please, na wekeni dizeni chach ya kichapo mwanangu 👊 yaan namanish ngumi bro
Nmecheka sana 😂😂 kazi nzuri sana
Sema mmekaa kuachia kaz
daaah nikajua mmedata na bunji mmetukosea sana 😂😂😂😂😂
Alooh me sijawahi kuwapinga 🙋♀️
May God Bless You For what You doing♥️♥️
Congratulations sana
Tulimic Kitu kutoka kwa benroyal picture hatimay You are back 🙌🏽🙌🏽
Kuwamiss tu nimewamiss mmejua kututelekeza jaman ❤❤❤
Dah mwanetu umepotea sana
Oyoooo nili wamiss so poa from Oman ❤❤❤
Daah wanangu wa benroyal mmepotea san leten kaz nawakubli san kaz zenu
Duuuh.....huyo Jamaaa namuonea huruma sanaaaa
Vip bana what happened cz munakaa saana bila kudupatia movie
Mr benroyal
Dah hio sound track noma xana
Zaidi ya Rafiki@benroyal@Bon@miss chuleha❤❤.love u gys
move nzuri sana
I was miss u more
Jamaangu ndevu moja Mr max kaua sanaaa...but Kazi nzuri myamba
Mlikaa kimyaa sanaa
Amani itawale,,,,malizieni❤❤basi
Hongera sana ❤❤❤❤❤ part two lini inatoka
hiii mngeihifadhi kwanza mmalizie ila ya amani .Movie ya amani ikiisha ndio ingefuata hiii
naona mmeniwekea mwanangu wa michezo yenu ya 👊 nimependa sana iyo
Ila ben wewe dah😢😢 una jua kijana
Asante sana
Sema mnajua sana✊
Mona Lisa. ni msichana mrembo sana ningekua na uwezo nimpa zawadi. halafu nawapenda wote. likes zikuje
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 ni nomaaa kikosiiiiiiiii
namkubali sana boni
RAFIKI 😢
Mnakaa sana hadi tunawasahau,naona hata bavo mlimchukua
Kazi nzuri wanangu
Next ❤❤❤❤❤❤❤❤
Nice one
Turikua tumewakumbuka san wanangu ❤❤❤❤❤❤
My brother umerudi ila baadhi ya vipaji nilivyo viona kwako now naviona katika bunji ni furaha
Nala mzalendo
Ila haunaga kaz mbaya
Bonny (Barnaba) ni fundi sana
Ukiona umevaa, basi wengine wamevaa kweli 😂😂😂😂😂😂
Nakukubali sana boni na Nala lakini mnatucheleweshea movie et
Bonny inapendeza sana mkawa mke na mume yani ww bonny na Paula mnapendezana sana niwe wafatilia muda mrefu sana kiufupi mnaendana sana.
Jamani tusiombe like 👍 😂😂😂tafadhaliii una weza uka ozea jela kama #msanii see more.....................
From254 bigup manzee but watu hawanyamazangi hivyo wakuu😂
Kazi nimoto sana
Kubakwa na wanaume nane sio mchezo Ata me ningeogopa 😂😂😂
😢😢 Where is part 2 Benroyal
Ileteeee babaaa
Napenda sana kazi zenu
Kk unajua mpaka unaumwa
❤❤ mko vizuri ndugu zangu
Oyaaa humu kuna bavoooo
natamani sana bony na paula liwe kapo mnaendana sana
Wow 😮
Hamna baya wakuu 😂
Tuna miss sana kazi zenu asee
Jaman malizieni na series ya amani, alaf mtuletee msatari wa dam muendelezo wake
Paula is the most beautiful girl in Tanzania, I feel like meeting her in person. Love you all