🔴

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.ค. 2024
  • KIMEELEWEKA! TAARIFA MPYA USIKU HUU, JEAN BALEKE AMESAINI YANGA? BALAA! UMEONA?

ความคิดเห็น • 17

  • @Izzoh2021
    @Izzoh2021 21 วันที่ผ่านมา +1

    Nikweli kati ya usajili bora wa yanga msimu huu ni kumbakiza kipa hapa wamepambana sana bg up kwa injinia

  • @selemanisalumu-j2c
    @selemanisalumu-j2c 19 วันที่ผ่านมา

    Ninaikubali jangwani ILOVE YANGA ❤

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h 21 วันที่ผ่านมา +3

    Uongozi uliotulia, hawana rongorongo.

  • @thadeusmateru1356
    @thadeusmateru1356 20 วันที่ผ่านมา

    Ni vyema viongozi wetu wenye dhamana ya kusajili wakatambua ile methali isemayo pema usikiapo pema si pema tena. Watambue yaliyotukuta kwa Okra. Tutumie vizuri rasilimali kidogo tulizonazo kusajili kishure na si kuonyeshana umwamba

  • @RosemaryDonald-gu1wh
    @RosemaryDonald-gu1wh 21 วันที่ผ่านมา +1

    Mmh yanga hii itakuwa nihatar

  • @MgolaKatembo
    @MgolaKatembo 21 วันที่ผ่านมา

    Nikweli, jaman?

  • @user-nm2jq7xo5f
    @user-nm2jq7xo5f 21 วันที่ผ่านมา

    Unapokua kiongozi hunasababu ya kusema uongo kumbuka kwa kiongozi watimu kubwa kamayanga ni. ukweli tuu sio chupli chupli?

  • @user-pd4wr7ls5r
    @user-pd4wr7ls5r 21 วันที่ผ่านมา

    Upo sawa kaka

  • @BoscoMwakila
    @BoscoMwakila 21 วันที่ผ่านมา

    Hoya sana

  • @nicodemusmemba1402
    @nicodemusmemba1402 21 วันที่ผ่านมา

    Young Africans ni mabingwa wa CAF champions league 2024/25 na kuendelea

  • @chng1990
    @chng1990 20 วันที่ผ่านมา

    Simba ata watoe kocha mbinguni kipigo kipo pale pale

  • @ChachaJuma-vs2zz
    @ChachaJuma-vs2zz 21 วันที่ผ่านมา

    Kweli au viazi

    • @abedymtore2707
      @abedymtore2707 21 วันที่ผ่านมา

      We unaonaje kwan ety

  • @carrenbenson2111
    @carrenbenson2111 21 วันที่ผ่านมา

    Baleke ni jembe hatar sana

  • @user-up6sw9tf7m
    @user-up6sw9tf7m 21 วันที่ผ่านมา

    Kama na baleke yumo tunaua laia

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 21 วันที่ผ่านมา

    Kama hamna habari za uhakika kwanini mseme yametimia?! Wanayanga acheni kufuatilia hivi vijitv! Mkitaka habari za Yanga jiungeni na App na au notifications za Yanga! Sio wababaishaji!

  • @GeladNkoma
    @GeladNkoma 20 วันที่ผ่านมา

    Ongozi wa yanga upewe mauwa yake