Dubu kama Dubu, unakuja vizuri sana kakangu. Kikubwa kwenye Kazi epuka mahusiano yasiyo na faida. Nadhani unaelewa , Fanya Kazi weka mipango SAWA utafika mbali sana. Nakuona unakuja na sura ya Kazi kabisa kakangu. Big up sana kaka.
Nice❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Ila dg nilikuwa naomba nafas kufanya Kazi na ww
Kazi nzr Sana Kaka Ila natamani kupata mawasiliano yako
Dubu kama Dubu, unakuja vizuri sana kakangu. Kikubwa kwenye Kazi epuka mahusiano yasiyo na faida. Nadhani unaelewa , Fanya Kazi weka mipango SAWA utafika mbali sana. Nakuona unakuja na sura ya Kazi kabisa kakangu. Big up sana kaka.
Nashukuru sana kaka 🙏
Siijui sana hii tasnia lakini Kazi nzuri sana. Ukihitaaji maboresho (sindano na Maua) karibu sana. Mr White Kimara DSM.
Shukrani 🙏 🤝
Nzuri ,👍
Kazi. Mzuri sana. MashaALLAH
Mungu. Azidi kuwasimamia nawapeda. Kwakweli❤❤❤❤❤
🙏🥰
Kazi bado ni ya 💥💥💥brother nzr sn
🙏🙏🙏
Wew jamaa unakuja vzr San keep pushing bro
Nashukuru sana 🙏
Kali sana sema ongezen mda dakika nane 😢😢😢😢😢😢 n chache jaman na sura zen kama maandaz ya jera 😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Dakika 8 jamani😢😢😢ila wanajuwa kweli kweli
Kali hii Dubu love you❤ na usicheleweshe pt 2❤❤big love from 254🇰🇪🇰🇪
Nashukuru sana 🙏 ❤️
ongera ndugu zetu maendeleo ni muimu na muzidi kuomba mungu mimi nawafata toka congo muji wa kalemi
Tunashukuru sana 🙏
Wahusika mmejua kuvaa uhusika Kazi Nzuri big up Sana ...nakuona mbaLi Sana #dubu
Kazi nzuri ila unachelewesha kaka
Mnisamehe bure hajra kapata msiba kaenda singida anarudi kesho Inshaallah. Akirudi tu tutapandisha kazi🙏🙏👌
Powa kaka
Hii movie ni nzuri sana mashaallah tabarakallah
Nashukuru sana 🙏
Kali sana broo kaza utafika mbali mwanangu
Nashukuru sana 🙏
😂doooh hii kali aiseeh, hongera bro
Nashukuru 🙏
Wao kazi nzur saaana
Nashukuru sana 🙏
Hujawahi kuniangudha Dubu,Nakubali mwanangu nimechelewa kuanza Ila na enjoy
Nashukuru sana 🙏 🥰
❤❤🔥🔥🔥🔥 kazi nzuri kaka
Nashukuru sana 🙏
Hongereni sana kazi nzuri sana sana mpaka mwisho
Tunashukuru sana 🙏
love from kenya hi nayo inaonekana kuwa fire
🙏🙏
One again kaka....naani hii itakuwa kazi nzuri sana....mwanzo tu Iko sawa
Nashukuru sana 🙏
Dubu noma banaaaa pia asikose mwakatobeeeeee 😂
Acha mahusiano kaka
🤣🤣
Kazi nzuri ila tunaomba mwendelezo uwahi
Inshaallah
Kaz nzuri dubu nakubali San movie zako❤❤
Nashukuru sana 🙏
Hahahhhhaha nimecheka sana hongera kwa kitu kizuri
Tunashukuru sana
@@OfficialDubu_tz ok dubu
,nzur sana dubu kaza mzee wa kazi
Nashukuru sana 🙏
Dakika chache jamn
Ishu mnatoa dakika chache xana ila kazi nzuri xana
Nashukuru sana 🙏
Kazi mzur kaka
🙏🙏
Love and shout-out from majengo asee mtoto wa tanoo hapa elly asee ndugu yetu tulia za kukuona mbali tangu unaanza mziki na sasa comedy
Shukrani sana 🙏
Kazi nzuri sn nimeipenda sn
Tunashukuru sana 🙏
Masha allah mungu awafanyie wepes kwenye kazi zenu kazi nzur sana
Nashukuru sana 🙏🥰
Leta mwenye Nyumba season 2 please 🙏 tujue vile mlikaa na mchawi
Inshaallah
Ya moto sana
Nashukuru sana 🙏
Wow kazi nzuri
Nashukuru sana 🙏
Nan kaona ilo buti la jeje gonga like kwa but la jeje
we ni moto mzee🥰 usiicheleweshe sasa boss
Inshaallah 🙏
Kazi nzuri sana ❤❤from 🇰🇪
Nashukuru sana 🙏
Watching from Saudi Arabia madina much love bro❤❤
🙏🙏🥰
@@OfficialDubu_tz mufanye basi muunganishe mpk ndugu zetu wakenya
😢😢😢😢 hii ni moto kabisa
🙏🙏
Kaz nzur kak mungu awasimamie🙏🙏
Amiin Inshaallah 🤲
Kali keep going 💪
🙏🙏
Nakupenda hajra pacha wangu
Kaz nzur san, mpo vzur team ya dubu tz
Mm nakukubaliii sanaaa unajua unajua tenaaa
Nashukuru sana 🙏
Kazi mzuri kaka dubu🎉🌹🌷
Nashukuru 🙏
Unasura kama maandazi y jela😂😂😂😂
🎉🎉🎉🎉🎉
🤣
Kazi nzuri ila jamani nani kaona iko kiatu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣
Number one kutoka Burundi mnipe like zangu
💪🤝🙏
love you dubu kwa series zako😊
Nashukuru sana 🙏❤️
Nakukubal san broo unyama kibao❤❤❤❤
Nashukuru sana 🙏 🥰
Kali sana nakufata kutoka Congo 🇨🇩
Nashukuru sana 💪
Umetisha❤😂😂😂😂
❤️🙏
Dubu umetisha kaka hongera sana ns kundi nzima❤❤❤
Tunashukuru sana 🙏
tupo pamoja ndugu kazisafi
Shukrani sana 🙏
Ilo buti oversaze😂😂😂
M nakupenda dubu😊😊
🙏🥰
Kazi nzuli dubu love from burundi
🙏🙏🙏
Asa dubu usicheleweshe sana hii kama vipi hata jioni tupia sehemu ya pili
🤣🤣 shukrani
Mashallah, pambaneni Mola Yunanyi
Amin Inshaallah
Nakubali sana mko vizuri sana🔥🔥🔥💯
Tunashukuru sana 🙏
Inaweza pambn 2
Kazi nzr sana
🙏🙏
😂😂😂😂😂inacekesha bala😂😂😂😂😂
Kaka napenda sana kazi zako coz kwenye kazi unakuwaga siriuse sana
Nashukuru sana 🙏
part 2 please, from Kenya
🙏🙏
Acting hizi ni fire sana hongereni
Tunashukuru sana 🙏
Noma sana😅
Kazi nzuri sana
Waah nmeipenda hii nangoja part 2❤
Nashukuru sana 🙏
Nimesikia iyo Aile mama badala ule mama😂😂
Nakubarina nanyi wot
Kali sana
🙏🙏🙏
Mwamba ana buti lajeje
Chuma kingine 🔥🔥🔥 hongera kaka
🙏🙏💪
Kaka we nibonge la msanii ushauli wangu ongeza muda
Nashukuru sana 🙏
Safiiiiiii sana
Nakubali kaka
💪🤝🙏
Mchana peupe mnamxika mtuu 😂😂😂halafuu kidogo kidogo unamuona anakuja na mkubwa wako kama shem kivumbii leo😂😂😂
🤣🤣🤣
Aweee sithubutu co kwa ekti iyo yan kufukiwaa kabisa
Nice❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Ila dg nilikuwa naomba nafas kufanya Kazi na ww
Inshaallah
Oya mwanangu sana
💪💪💪
Mwacheni huyo mbiti bwana
Uache kuvaa jezi ndugu unajitafuta bado izi timu noma
🤣🤣🤣 Sawa kaka
😂😂😂😂😂nisameeee mim yatima
🤣🤣
Ety sura kama maandazi ya jellah 🤣🤣🤣🤣🤸🤸🤸kwn yko vp hao maandazii
Kazi kwako dubu tunatarajia kitu fine kama mwenye nyumba mchawi 😂😂😂
Nashukuru sana 🙏
Congratulations guys team group 👏
Tunashukuru sana 🙏
Kali❤
🙏❤️
KAZI nzul 🎉🎉🎉😂😂😂❤❤❤❤
🙏🙏🙏
Mwakatobe angekuwepo ingeua 🔥🔥🔥
🙏🙏
Nakukubali 🎉❤
🙏💪🤝
Safi Sana Kaka
Nashukuru sana 🙏
Chimbeni mki maliza mje mni ambie chepe mlipata wap 😂😂😂😂
Ndio naanza kukufatilia dah😂😂
🙏🙏
Kwamara nyengine tena dubu maiti yake🔥🔥🔥🔥🏆🇲🇿
🙏🙏🙏💪🤝
🙏
Dubu kwa mara nyingine tena
🙏💪
😂😂😂😂hatar
🙏🙏
Kama wa kwanza jamani nipeni like zangu basi hata tano tuh😢😢😢😢❤❤❤
🤝💪🙏