WATOTO WAKE WANANIDHAMU KWELI HASA WANAUME, KWA RIKA LAO NA MAMBO AMBAYO MZEE ALIKUWA ANAYAPATA KWA AKINA KIGOGO, LAKINI WAMENYAMAZA KIMYA MUNGU AWAPE NGUVU
Yaani huyu mzee alikuwa na nidhamu ya hali ya juu ambayo inafaa kuingwa siyo kama ujinga wenye huwa naona watu wakituonyesha mitandaoni mtu hata akipata mume anaanza kutuonyesha mitandaoni .
Tafadhali uwe unafanya tafiti za kina zenye taarifa yakini. Kadhalika jipange katika simulizi zako huna haja ya kurejea maneno na kujilamba lamba mdomo ulimi kama vile unakula asali kwa kidole..Fanya uhariri kabla ya kurusha habari unayokusudia. Zingatia weledi na misingi ya taaluma ya habari USIKURUPUKE!
Hiyo ni kweli maana naskia watoto Wa mama janet ni Jesca na Joseph hao wengine watano anajua mzee Kwa vile wasukuma hawana tabia ya kuficha watoto katika misiba yao
Ni wa janeti namjua alipana kirumba mwanza mwaka 92 nikiwa chuoni tayari alikuwa na watoto 2 enzi hizo za miaka 92 sema ni wanene na hapendi kujionyesha wote wanae
Kweli baada ya kifo ndio unabaki ukisifiwa sana wakati sifa hizo hazito kusaidia kitu. Tunavo msifu kwasasa tungeanzia tangia mwanzo ingekuwa njema sana
Yani huyu Baba ni wa tofauti sana sana jamani da watoto wengine wa wajumbe wa nyumba kumi wanajiona . Haya ni malezi bora sana hakutaka kuweka wanae mitandaoni . Heshima kubwa sana ni familia yenye adabu sana inayojielewa sana.
Sizipendi habari za umbea. Mbona mambo ni mengi,familia ya mzee ya nini sasa. Tutangazie na ya kwako ikoje tujue. Story haina dhima ya msingi. Hayo yalikua ni maisha yake binafsi,tuletee mambo ya msingi
0 content deceiving title,nawaheshimu kwa kudumisha lugha ya kiswahili lakini mnapoteza utamaduni kwa kufuata dini za njhe nakuitwa majina ya wayahudi na wazungu eti maria joseph...only in Africa
Mungu aifunike familia hii na kuihekimisha zaidi-Amen.
Allah awaongoze, wawe na msimamo Kama mjomba magu
Maneno meng nenda straight kweny point
Namfaham dada Edina nimekaa nae sana kwakwel mwandishi hajakosea chochote
Maashaallah
Wapo vizuri kabisa
Ee mungu wape nguvu kwenye hili familia ya marehem magu 🙏🏻
Amin
Rais alikuwa ni mtu mwenye nidhamu ndio maana amewaambukiza na watoto wake Mungu awabariki sana
WATOTO WAKE WANANIDHAMU KWELI HASA WANAUME, KWA RIKA LAO NA MAMBO AMBAYO MZEE ALIKUWA ANAYAPATA KWA AKINA KIGOGO, LAKINI WAMENYAMAZA KIMYA MUNGU AWAPE NGUVU
Hakika ni wastaabu kweli mungu awape moyo huo huo.
Sanaa kwawatoto wamitandaoni walivyo hata kujiposti kuwa mim ndio mtot wa rais hakuna lakin wengine mtoto wamwenyekit wamtaaa utamjua Hadi twetta huko
Amina!
Ameni
Amina!
Naamini mungu alikwisha kukupokea tangu ulipotutòka ghafla mungu azidi kulinda mama janeth famìlia yake
Magufuli utakumbukwa daima amina
Mungu ailaze roho yake peponi amina
Watoto wanafanana na magufuli
Dahhh shujaa wetu mungu yu pamoja nawe ttakukumbka daima tutzdi kukupend siku zot shujaa wetu
MAGUFULI Rest In Peace my dear brother we love you and all ways we love you.
Wasukuma kwa ufupi ulea watoto wao kwa nidhamu na hukuzwa kufuata Mila na desturi zao
Kwl mung hachukuw wasiwooh sistaahil bal anaach wasiy sastahil❤❤❤❤
Yani wandishi wakibongo story fupi ataanzia mbali sanaa
😄😄😄
😂 😂 😂
Tatizo ni views. 😀
True
Mmh huyu wa kiume mnene ni baba copy! Na Jesca pia amefanana sana na baba....alafu nagundua walipenda sana majina yanayoanza na 'J'
Sababu wote baba na mama ni J pia
Cheki watoto wa mwalimu Nyerere hawakuwa na masifa, na hawa wa mpendwa wetu hawakujionyesha kabisa
Asante dada 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Thanks sisters
Unazunguka sana go strait to the point
Family hii inaheshima Sana .na inapendeza Kama mume ni Raisi Basi inatosha make awe nyumbani atulie. Nini kuhangaika.
Vizuri sana, hamna haja ya kuweka kwenye media SAFI SANA, nimependa hii sanaa
Kabisa
Duh Mungu awatie nguvu.. Tumeumia sana
Mwandishi , makumira iko Arusha na sio Dar kama ulivyosema. Jifunze kutoa taarifa ulizo na uhakika nazo
Unapuyanga tuu.. Maneno mengiii
Wasukuma hatunaga sifa yakutangaza watoto wetu
Nana nana nini wewe unaboa
Punguza Maneno.. eleza jambo moja kw moja
Mume wa wajane na baba wa yatima, Mungu mwenye mamlaka atawalinda na kuwaongoza..
Mungu wetu mwenye nguvu atawafariji..
We mwandishi,umejiandaa vzr kutuletea hayaaa.bd sana
Jmn mung awape nguvu
Jmn mung awape nguvu
Unaongea mno na wee mwandishi
Hawa watoto ni militu lakini sio wakumbwa sana kiivyo
Kwakweli
Km huyu bonge mrefu jmn juzi tu alikuwa primary!
Mdogo sn
Wanene,hasa hao wakiume
Maneno kibaoooooo Nenda kwenye point
Tumekumiss baba magufuri
Mkojani
Yaani huyu mzee alikuwa na nidhamu ya hali ya juu ambayo inafaa kuingwa siyo kama ujinga wenye huwa naona watu wakituonyesha mitandaoni mtu hata akipata mume anaanza kutuonyesha mitandaoni .
Mama Maria Nyerere alikuwa shupavu sana kwenye siasa. Alikuwa kiongozi wa Umoja wa Wanawake Tanzania kwa muda mrefu tu.
Sawa
Hawa wengine watoto wao walikuwa na masifa tu ambao ni ushamba tu ,
Ongea point acha ujinga
Ndio safi sio kama hawa tunaona humu
huyo kama nyerere hapendi kutangaza watoto wake
Well the man didn't believe in birth control. Good for him and his kids.
Tafadhali uwe unafanya tafiti za kina zenye taarifa yakini. Kadhalika jipange katika simulizi zako huna haja ya kurejea maneno na kujilamba lamba mdomo ulimi kama vile unakula asali kwa kidole..Fanya uhariri kabla ya kurusha habari unayokusudia. Zingatia weledi na misingi ya taaluma ya habari USIKURUPUKE!
Hili ni funzo kubwa kwa huyu baba nimependa sana hii .
Du rais wetu yuko watoto wake amewafundisha nidhamu na heshima Mungu awabariki sanav
Hakuna kitu hapa.Title hivi maelezo vile.Du!!This is Bongo.
Kaacha watoto 7 walitakiwa kuwa nane karudi tena uje utuletee habari kamili halafu Edna alifunga ndoa Magu akiwa waziri.
Dah huluma🙏
Nenda kwenye point kama title yako maneno yasiwe mengi inachosha
ICE yogati og
Mm kwa mtazamo wangu hao wakubwa sio wa mama janet
Kwel kabisa
Hiyo ni kweli maana naskia watoto Wa mama janet ni Jesca na Joseph hao wengine watano anajua mzee Kwa vile wasukuma hawana tabia ya kuficha watoto katika misiba yao
Ni wa janeti namjua alipana kirumba mwanza mwaka 92 nikiwa chuoni tayari alikuwa na watoto 2 enzi hizo za miaka 92 sema ni wanene na hapendi kujionyesha wote wanae
Wakwake wote nimke wake wa ujana sema huyu mama Yuko vizur
Kwanin wasiwe wa kwake?
Tyyy
Unasauti nzuri lakini hebu jaribu kuongea contents za muhimu intro inaboa unarudia vitu
Majina Yana j sababu baba na mama yao ni akina j
Maneno mengi mno
Mmmh tokativu women
Poleni ndugu zangu
Kweli baada ya kifo ndio unabaki ukisifiwa sana wakati sifa hizo hazito kusaidia kitu. Tunavo msifu kwasasa tungeanzia tangia mwanzo ingekuwa njema sana
Sasa hao watoto wametambuliwa baada kufa baba, sas mbona huelewi
Uwezi kutangaza nenda karime tu
Acha kumu katisha Tamaa mwezako, kwanza wewe mwenyewe ujui kishwahi neno kalime unatamuka karime,jifunze kuwatia moyo wezako
Alizaa vzr sn JPM😄
Fukunyua basi Edna anafanya wapi kazi,namtaka..
Jamani muwe waelewa ndoa alifunga mwaka 78 sasa watotowawe wadogo mpaka leo
Ndo alifunga mwaka 1989
Mke azaliwa 67 au 68 afunge ndoa 78?
Mbona eti alikuwa na wake wawili
Mfano mzuri wa kuigwa sio kuweka familia mbelembele kuleta usultani Tz. Ooo mtoto wa nyoka ni nyoka!
Yani huyu Baba ni wa tofauti sana sana jamani da watoto wengine wa wajumbe wa nyumba kumi wanajiona . Haya ni malezi bora sana hakutaka kuweka wanae mitandaoni . Heshima kubwa sana ni familia yenye adabu sana inayojielewa sana.
.maneno mengi ww
Unaongea Sana ingia kwenye point
Cha ajabu unaetupa taarifa tunazijua kuliko wewe mtoaji, watoto 7 wasema sita
Mbele yake nyuma yetu
Maneno mwengi Bila point
Aliuliwa kwa ushunjaa wake
Tena majina ya biblia kabisa.
Makumira ipo arusha
Majina yanajiludia huko kwetu mafia kunamtaa unaitwa arusha
Hao ndio marais wetu badae
Acheni umbea. Familia ya mzee inawahusu nini. Hata nyie waandishi ni wambea mno,habari ya hivi inatusaidia nini? Acheni familia za watu
Hao watoto mbona wakubwa sana, alizaa akiwa secondary school??
Wasukuma wanazaa sana,tena watoto wengi kwa mpigo.
Mili2 hiyo
Vero kwa umri wa magu kuwa na watoto hao ni sawa
Hao wakubwa sn sio wa mama Janet
Ila wewe
Achen kufukunyua yasio wahusu miaka yote mlikua wap
Alieinama kama baba mwenyewe
wazid kupendana na mung awe mbele yaoooooo
To
Wewe naye muongo tu inamaana mama Janet ana miaka 61 kama mume wake. Watoto wenyewe unataja mpaka 8 wakati wapo 7.
Hata mie nmeshangaa jamani
Anaweza kuwa na miaka hiyo 61. Mbona kuna wanandoa wengine mwanamke ana umri mkubwa kuliko mume
@@veronicatweve9015 moja alikufa wakati bado hajawa raisi
Mh mkewe wala hajafikisha 60 mdog bado
Nikitu ambacho hakipo Huyo mama hawezi kuasana miaka na mmewake
Nawapa pole
Talking too much 😏
MUNGU awape nguvu familia ya magu
Hapo Kuna Siri kubwa kwa baba hao watoto wakubwa Sina hakika Kama ni wa mama jenet
Sasa kama ndoa walifunga 1989 mchezo ..hao miaka yao unakuta ni 30 tu sema ni bonge
Kumbuka aloa mwaka 82 Ivo ni miili Tu
@@coletashirima2193 kwani mnabishani nini mbona kikwete kamuoa Salma kamkuta na watoto wengine
Jamani siri gani tena !!! Hiyo ni miili mikubwa tu.... mume wangu Ana umri Sawa na wa MAREHEMU na Mm sina miaka 60 lakini tuna watoto km hao
Ni kweli jaman hao Ni miili tu lakini Ni wadogo Sana unakuta mtoto wa mwaka 1998 Ana watoto watatu
Sizipendi habari za umbea. Mbona mambo ni mengi,familia ya mzee ya nini sasa. Tutangazie na ya kwako ikoje tujue. Story haina dhima ya msingi. Hayo yalikua ni maisha yake binafsi,tuletee mambo ya msingi
0 content deceiving title,nawaheshimu kwa kudumisha lugha ya kiswahili lakini mnapoteza utamaduni kwa kufuata dini za njhe nakuitwa majina ya wayahudi na wazungu eti maria joseph...only in Africa
Na hata hao wakubwa pia mama yao ni huyo mama Janet ?mbona wanaonekana kulingana kiumri au hata kuwa wakubwa kuliko huyo mama Janet?
Hapana
Mugu awatuze🙏😭
Hao watoto mama mmoja baba mmoja??
Yes mama mmoja
Apana sio kweli
Hawapo kwenye siasa hawa
Historia itaandikwa kwa rais wetu kwani alijitolea kwajili yetuu
bonsoir Dieu vous protège vreman mois c'est pasta Josué DIEU Madi dé vénir prière à avec là famille ni mugu à n'a ni tu Man
Alifunduka??????
Umbea tu
Ngonie
U should have brought pictures of Magufuri's children instead of talking too much. Useless work
Mnakuaje nenda direct na mlichiandika umbea mwingi wa Nini Nani hajui Kama meko kafa
Huna haya ww hahaa, et meko nahku linataka kujua hbr ya family ake, aibu yako
Mistiola ni jina kike au?
Afu usiwe unaiongelea familia yao ushaambiwa halikuwa hapendi kuwaweka mtandaon
(Makala maalum) KIVUTIO CHA UTALII - SONGWE HOT SPRING. MAJI MOTO YENYE UWEZO WA KUIVISHA CHAKULA👇..
th-cam.com/video/Lor7XeILY10/w-d-xo.html