FIZI BARAKA / UJENZI NA MAENDELEO KATIKA KATA LA AEBAZ JIJINI BARAKA

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 17

  • @user-tn7ic2ky3i
    @user-tn7ic2ky3i 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona Baraka inahitwa jiji nilivyoona jiji letu sikuona Gari hata moja

  • @NyangeManenoNyamax
    @NyangeManenoNyamax 6 หลายเดือนก่อน

    Nafurai sana kuona baraka kabisa ❤❤❤ ila maendeleo ni pole pole, siku moja bitakuwa sawa Kwasababu ya Leo sio kama ya zamani

  • @suzanne9517
    @suzanne9517 2 หลายเดือนก่อน

    Baraka imeshaendelea kweli

  • @djumadjumbe6907
    @djumadjumbe6907 3 หลายเดือนก่อน

    Alaska anatetea kinywaji😅😅😅

  • @delphinmartial07
    @delphinmartial07 6 หลายเดือนก่อน

    Ninyi ni mbwa sana, nawakubali kiunyama

  • @ClaverSelemani
    @ClaverSelemani 7 หลายเดือนก่อน

    TANGANYIKA TV 🔥

  • @EshimaniMauridi-im8gi
    @EshimaniMauridi-im8gi 3 หลายเดือนก่อน

    Jama anapenda pombe sana

  • @lumanyaenyonyi98
    @lumanyaenyonyi98 7 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu bwana wa kwanza kuhuliza ao kuhojii anajua kuhongea

  • @lumanyaenyonyi98
    @lumanyaenyonyi98 7 หลายเดือนก่อน

    Tanganyika Tv muko juu sana yaani munatuhuwa na Raha kweli ,nina miaka nyingi tangu nitoke nyumbani kumbe kumesha hendelea kweli, hadi nasikia hamu. Muna nipa wazo lingine sikua nategemea kama BARAKA inaweza kua hivi. BARAKA OYEEE .

  • @loveunicorn1252
    @loveunicorn1252 7 หลายเดือนก่อน

    Baraka ni atari na majengo asante sana kwakutupa image ya baraka tuna enjoy

  • @lumanyaenyonyi98
    @lumanyaenyonyi98 7 หลายเดือนก่อน +1

    Tunahomba tuhone Cartier BANDRO, KIBONJWA KUMATONGO, MAKAPAGNE. , Cartier MBAVU MOJA.

  • @EshimaniMauridi-im8gi
    @EshimaniMauridi-im8gi 3 หลายเดือนก่อน

    Nimepa penda sana nipo🇺🇸

  • @rozamarcelle1241
    @rozamarcelle1241 7 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @selemanimmeswa3556
    @selemanimmeswa3556 7 หลายเดือนก่อน

    Safi sana

  • @saidiamisiwilondja3999
    @saidiamisiwilondja3999 5 หลายเดือนก่อน

    Tatizo tunarogana Sasa wivu wakijinga

  • @fredericmbokobest
    @fredericmbokobest 3 หลายเดือนก่อน

    Kweli nimejipa muda kufuata maoni mbali mbali ya watu kutokana na hali ya sasa ya kata lilokuwa pendwa zaidi katika jiji la Baraka, na mengi yana ukweli ndani yake, na hilo nikutokana na janga la maji namna lilivyo zuri kata hiyo kwa ukubwa kuliko kata zingine, lakini pale mtu anapo hinua mdomo na kusema kwamba kwa sasa Aebaz ndo imekuwa kata ya mwisho baraka, huo ni uashabiki tu na uzalilishaji tu. Maana mpaka sasa hivi aebaz imo bado kwenye tatu bora

  • @DavidNahimana
    @DavidNahimana 2 หลายเดือนก่อน

    aibadze ikingaliki buchavu