BARAKA BANDARINI | KUTANA NA KIJANA MTANZANIA ANAYEISHI FIZI ,AFUNGUKA MAZITO KUHUSU MAISHA YAKE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 21

  • @blackeaglemjeda8113
    @blackeaglemjeda8113 11 หลายเดือนก่อน +1

    Akuna swaili ya Tz apo 😂

  • @issafrederick
    @issafrederick 9 หลายเดือนก่อน +1

    I did understand well this interview, bro amesema kwamba wabembe ni watu hambo wanashindwa kujielewa😪. anamaanisha nini?

  • @ngendaniyeniyonkuru8826
    @ngendaniyeniyonkuru8826 12 วันที่ผ่านมา

    Aise shukurani ya Punda ni mateke. Wabembe kutoka Congo ndiyo wanao nufaika na maliasili ya Tz, kuliko makabila mengine kutoka katika Nchi za jirani.

  • @greysonchogga4379
    @greysonchogga4379 9 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu kama ameishi Tanzania basi ameishi kigoma

  • @godfreyally-ps3fo
    @godfreyally-ps3fo 12 วันที่ผ่านมา

    Congo hakuna vita?🤔

  • @abeidkhamis6130
    @abeidkhamis6130 6 หลายเดือนก่อน

    Baraka si jiji ni mji

  • @didamanyanya595
    @didamanyanya595 11 หลายเดือนก่อน

    Anaijuwa vizur Tanzanian au

  • @salumjrsaidjr7150
    @salumjrsaidjr7150 ปีที่แล้ว

    Congolese nchi nzuri tuache ubaguzi

  • @didamanyanya595
    @didamanyanya595 11 หลายเดือนก่อน

    Kiukweli watanzania tuna moyo sana sijisifii

  • @dawdahewabora7788
    @dawdahewabora7788 ปีที่แล้ว

    Sawa sana!

  • @NgenaBiambo
    @NgenaBiambo หลายเดือนก่อน

    Jambo rashidi

  • @samirmswahili
    @samirmswahili ปีที่แล้ว

    Kuna nchi ya africa kweli ina maisha mazuri kuliko tz 😂 kila cku mnakimbilia tz bila documenti na mnapewa msada

    • @mrdanico5937
      @mrdanico5937 ปีที่แล้ว

      Ukrainian ni wakimbizi kwa sasa ndo inamaanisha wana maisha mbaya

    • @samirmswahili
      @samirmswahili ปีที่แล้ว

      @@mrdanico5937 ndo ubaya wenyewe uwo huwezi kukimbia sehem kama sio mbaya

    • @salumjrsaidjr7150
      @salumjrsaidjr7150 ปีที่แล้ว

      Acha wehu kwani Congo siyo nchi ya kuishi acha ubaguzi?

    • @samirmswahili
      @samirmswahili ปีที่แล้ว

      @@salumjrsaidjr7150 mbaguzi uyo mshkaj hujamskia au utakandia vip nchi inayokupen nafac??

    • @dawdahewabora7788
      @dawdahewabora7788 ปีที่แล้ว

      DRC CONGO analipa UNITED of the world ma billion of the dollar kilamwaka kwaajili ya wakimbizi" ! na UNHCR sasa nayeye analipa Tanzania kwa ajili ya kupokeya wakimbizi! na ndugu mu Africa. juwakama duniani akuna msahada wa bure.

  • @saidijuma5424
    @saidijuma5424 ปีที่แล้ว

    Dogo umechemsha