Miaka 2 Baada ya Kifo cha Deo Filikunjombe, Haya Ndiyo Maisha ya Mjane Wake
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- Sarah Filikunjombe ni mjane wa aliyekuwa kada muaminifu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Mbunge wa Jimbo la Ludewa mkoani Njombe, marehemu Deo Haule Filikunjombe.
Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
Mwanamama huyo amezungumza na Global Tv Online na Sarah Filikunjombe amethibitisha ushujaa kwa kuendelea kupambana na changamoto za kimaisha na kufikia vilele mbalimbali vya mafanikio.
Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
Mwishoni mwa wiki iliyopita na mwanzoni mwa wiki hii, kwa siku tofauti, waandishi wetu walijipa kazi ya ziada kwa kumtafuta Sarah Filikunjombe ili kujua nini kimeendelea katika maisha yake, baada ya kuondoka kwa mumewe ambapo walibaini mambo mengi mazuri yenye kutia moyo, ambayo mama huyu mpambanaji licha ya kuonekana sisita duu, ameyafanya kwa ujasiri wa kipekee.
Hatimaye Jumanne mchana, Global TV Online ilifika nyumbani kwake, Kijichi Mbagala jijini Dar na kufanya naye mahojiano ambapo alitoa ushirikiano wa kutosha na kufunguka mengi juu maisha yake tangu kuondokewa na mumewe mpendwa.
Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
“Kufiwa ni kovu la milele maishani, kifo cha mume wangu kiliniumiza sana na hata sasa sijapona jereha hilo, nililia, nilihuzunika na bado nahuzunika lakini ilikuwa lazima maisha yaendelee. Tayari aliniacha na watoto ambao bado ni wadogo hivyo wanahitaji uangalizi wa hali ya juu, kwa hiyo ilinibidi nijipange upya namna ya kuwatunza wanangu,” alisema Sarah.
Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
AKaongeza; Ukiondoa nyumba na miradi mingine, mume wangu aliacha kampuni ya Jumbo Camera House, ambalo linajishughulisha na uuzaji wa Kamera za kisasa, lililopo Posta Mpya, kwenye Jengo la Benjamini Mkapa, lakini sikutaka kabisa kutegemea kitu hicho pekee, niliamua kuangalia njia zingine za kuingiza kipato ili nikikusanya huku na huku, maisha yanasonga kwa wepesi.
Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
“Hivyo, nilianza kujishughulisha na kilimo na ufugaji ambapo nafuga kuku wa kisasa na pia nina mabwawa ya kufuga samaki aina ya kambare, vyote hivyo viko wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani.
Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
Pia nimewekeza kwenye vinywaji ambapo nimefungua baa iliyopo Vianzi hukohuko Mkuranga na vilevile niko kwenye hatua ya mwisho kabisa kukamilisha mradi wa kuuza unga wa sembe ambao nitakuwa naufunga kwenye viroba, yote hayo yako chini ya kampuni ya Tripple L, ambayo inawakilisha majina ya wanangu wapendwa watatu, Lee, Levis na Larry ambapo hata nembo ya viroba vya unga itakuwa na picha yetu wote wanne,” alisema Sarah.
Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
Kaza buti mrs phili, Mungu usimuache kbs,na wanao mume wa wajane YESU yupo, atakusaidia kujua wanao watakavyosoma mpk ushangae. Polesana sana
I always love you Sarah
Wewe ni Jasiri...Kazana upo Bora sana
Very happy for you mumy. Happy sababu ya nguvu ulizonazo. Kifo cha Deo kiliwaumiza wengi na ilivyokuwa ghafla ungeweza poteza mwelekeo kabisa. Mungu aendelee kukutunza na kukulinda wewe na wanao.
mungu azid kukupa nguvu dada angu fanya hizo kaz zako hakika amin Deo wa pili anakuja kukuinua tena sasa ndo huyo yupo form 2 tuxid kumwomba mungu azid kumpumzisha kwa aman
Tonny Ford mungu amzidishea nguvu na afya njema Inshaallah awalee watoto wake vema ...Mungu amzidishea utulivu wa kaburi lenye nuru Deo ......
Shamsa Kenya In jesus name
Kambale nakuja kununua
Pole sana mama, Mungu wa wajane na mayatima akutangulie pamoja na wanao, yeye ni mwingi wa rehema na atakuwezesha kwa kila jambo.
Pole dada kazi ya mungu haina makosa, Na hongera kwa biashara.Pia tuwajibikeni wa mama.
Hongera sana mjane mwenzangu, ni kweli maisha lazima yaendelee. Lazima kufunga mkanda ili ndoto za watoto ambazo waume zetu walitaka tufikie zitimie. Ni bidii kwenye kazi na kumuomba Mungu. Nimejifunza kitu kwako, hongera sana
Tumaini Msowoya hahahaaa na wewe mjane kumbe pole
God bless you all the best be strong you are super woman
Mungu aendelee kukupigania
Mungu akusaidie utafika pazuri zaidi. life goes on!.
Hongera sana Shemeji, uko vizuri sana respect sana,always tia juhudi yote yanawezekana na mungu always yuko nasi
Amen Amen. Mungu akupe nguvu na njia mpya ya maisha. Pole kwa yote . Mungu akubariki wewe na watoto. Amen.
POLE SANA DADA.MUNGU NI MUME WA WAJANE NA BABA WA YATIMA.AKUTIE NGUVU RAFIKI WA KWELI NI YASU KRISTO YEYE HANA CONDITIONS MTEGEMEE YEYE NA MTUMIKIE PIA.
uko mrembo dad a hongera sana Allah bless ❤
hongera sana Dada nimejifunza zaid coz ndzo project nafanya
Mungu aendelee kukutia ujasir wa kutenda mambo makubwa zaid ya maendeleo.raha ya milele umpe Ee Bwana
Mungu akupiganie ufanikiwe kwa kila utakalolifanya
BIG UP Sarah.. ujasiriamali ndio mpango wenyewe. keep it up
Daaa yani dada wanawake wote tungekuwa kama sara daa wanaume wangetuheshimu mungu amempa moyo wa ujasiri amejuwa akisononeka na kulia sana watoto watayumba hongera sana sara mungu amekufuta machozi ya mume wako jina la bwana lihimidiwe amen
Duh!!! Hongera mama. Uko juu na uko fit!
Pole sana dada kwa yote,Mungu ni mwema lililopo ni kumtegemea yeye..dada kwa kilimo unachofanya cha matikiti tunaomba msaada wa jinsi ya kupata elimu hii
Hongera sana sana Sarah keep it up mamii marafiki wa zamani michosho tu.
nimejifunza kitu kutoka Kwako Sarah,ubarikiwe sana
mungu azidi kukutia nguvu, mipango ya mungu, inabidi kushukuru
Umenenepa sana Mungu akusaidie na wanao
Veronica Tweve 😅😂napita tyu
kaza buti dadaangu we ni malkia wa nguvu
Nakupongeza Sana Mwanangu. Mama Olive
Asante dada komaa ayo ndio maisha binadamu
mungu akulinde kilagumu litupatapo pana mwanga wa kutokea.Mungu akulinde.
mmm da mzuri
Jodein JMJ even you
Be courage and strong and put your faith in Jesus Christ
pole sana mungu atakutangulia ila kuwa makin maana mafcm wasije kukugawana wakafikiri ni mali za chama zilizotelekezwa
mungu akupe maisha marefu na azidi kukusaidia
pole sana dada Mungu azidi kukuimarisha na kukupa nguvu
Nilikuwa nampenda Filikunjombe kwa utendaji kz wake.
kwauzuri huu na malikiasi alizo achiwa angejibweteka na kutegemea mabwana hongera dada
si kwa unene huu mmh hongera ulipoamua kujiongeza
Mungu mkuu akusaidie na watoto wako. Amen.
BG UP MAMA DEO. MUNGU ATATENDA MENGI ZAIDI . ZIDI KUMSHIRIKISHA MUNGU YEYE AJUA YOTE.
Safi sana dada mungu yu pamoja na wewe mungu akupe nguvu utunze watoto wako
Mungu akutie nguvu mamy
nimejifunza mengi sana kwako
Mwanamke mwenzetu umeshinda. Sote tujifunze kupitia kwako. Napenda sn kujifunza kilimo cha tikiti.
Pole,na hongera mama
Mungu akusaidie dada mkubwa
Blessed
Pole Mungu akupe nguvu
Mwenyenzi Mungu azidi kukupa nguvu na familia yako...ama kweli wema hawadumu REST IN PEACE OUR LOVLY BROTHER AND LEADER...KWELI MHESHIMIWA DEO FILIKUNJOMBE ALIKUA MZALENDO...JEREMIAH 33:3
Amina
ndio tujifunze tusisubiri tu kuletewa ni vema tujishuhulishe tusipende kuwekeza kwa binadam wenzetu wakiondoka tunataabika pole saana dada mungu atakutia nguvu
mungu akuzidishe nguvu zaidi
pole mungu akutie nguvu my dia
Pumzika kwa amani Deo filikunjombe watanzania hawatakusahau juhudi zako.
Mwenyezi Mungu akusimamie.
Mungu aendelee kulipa nguvu jwa kila ufanyalo uwalee watoto
Hongera mum
Wifi yote ni ya Mungu. Chakushukuru Mungu Anakujalia Afya njema. Tunakuombea kwa sala Mungu akupe wepesi wa maisha. ni kweli wanawake tuthubutu tusibweteke nimekukubali sn. Nakutakia kila la Kheri kwa kujituma kwako AMINA.
Pole mungu akutie nguvu
mungu akutie nguvu hao marafiki walikuwa wanafiki tu tambua kuwa hapa ni wapitaji tu.
pole
kila sehemu nakukuta Uko vizuri hutaki kupitwa na habari
Emmanuel Nyansiro hahaahahahah nakwambia m napenda kuangalia yaliomo sipitwi napata mafunzo na kujifunza maisha kupitia humu
mungu azidi kukufunguliya milango
Dena pole sana
one day yes
Hongera mamaa
pole sana dada ila icjal sana kawaida cha msingi kuwa makini sana ktk biashara zako mungu atakubaliki zaidi
pole sana mamy kweli inauma
good time
ushauri usiruhusu kuolewa tena lea hao watoto !
mungu hamtupi mja wake, kaza buti dada. you can
hapo tayari ushampata wa kukuliwaza,ulivyokuwa nzuri hivyo
kwel Dada jiamin tu mtumainie mung na habr yakulaum isiwepo kabsa we nimarikia wangv
M/Mungu azidi kukusimamia na wanao.
Mimi ninaumia sana jamani mnaniliza tena,nilikuwa nampenda sana mchapakazi sana.
Umenenepa dada
Mungu yu nawe cku zote anaujua mwanzo na mwisho wako
brilliant
Ukigombea ubunge jimbo la Ludewa una asilimia kubwa ya kupata. Kaendeleze alipoishia, utaweza.
The XYZ mmh aachane na siasa alee wanae wasiekuwa yatima pande zote mbili.
+Cymah Wandelt mh! kama nakuelewa fulani vile! duh!!
The XYZ ndugu yangu, siasa ni mchezo mchafu, washasema wahenga
+Cymah Wandelt aisee wacha tufanye mengine. Hatarious!
The XYZ ndo hivyo wangu
Tulie huku tunafanya kazi ,quoted
pole dada mwachie mungu pambana!
TAKE IT EASY SEMWANGA FAMILLY. EVERY BAD OF THE LATE SHALL BE SPOKEN. JUST TAKE COURAGE
mungu akupe moyo Wa subra
Vp
keep it's up
Ama Kweli DEO Alikua mzalendo wa Kweli
Na Mimi dada Sarah natamani kufuga samaki ukiwa tayari nikutafute Madam wangu
pia mm naomba kufunzwa upandaji wa tikiti maji
MUNGU HAMTUPI MJA WAKE, HIZO KUROELA YANATAFUTWA MAYAI YAKE KWA AJILI YA KUTOTOLESHA VIFARANGA. TUNAPATEJE?
mungu atakusaidia dada yangu
Hongela sana shem
kumbhaa chapa kazi wala usipate msongo wa mawazo Mola akuepusshe na balaaa utatoka ! AMEN
mama safi sana utanitafuta kwenye namba hii0656554800
OMBENI MIHWELA
mola akupe nguvu ila tupate fuzo maisha nikusaidiana ilimwengine akiondoka usitaabika
Hongera Dada uko vinzuri pambana mamaa na hali yako hiyo ni umejiongeza wachukue mfano kwako jamani wajane pambana na biashara haitakuacha tusikae tuu nyumbani hapana kimbizana na maisha
r.I.p my brother
Sorry
Marafiki wamekukimbia wanakuogopa anakujua tabia yako🤣
SUPER WOMAN SONGA MBELE
Dada uongo huo hizo kucha Ni za kulima kweli
Hujamwelewa yy n mkulima sio lazima ukiwa mkulima lazima ushike jembe pia unaweza ukawa unasimamia tuu so lazima kushika jembe
Ulisimama kwa ajili ya Maendeleo ya nchi si chama. Tulitamani tuwe nawe
Kucha shida
Vp mzgo haujaolewa bdo na ikitokea kuna mtu anautaka jee utakubali
tundamani
Mungu azidi kukusimamia
pole sana
Kingekuwa kipindi cha magu huyo marehemu angepata nafasi kubwa sama
Kwani zitto aliacha kukusaidia?
pole dada umenipa nguvu kweli rafiki wa kweli ni yule uko na shida lool
Zaudat Makula usijali bibie