PENZI LA MTOTO WA BOSS 💞 NA DADA WA KAZI PART 58 | Love Story

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ม.ค. 2025
  • #love #penzilamtotowaboss

ความคิดเห็น • 1.6K

  • @Dontatv255
    @Dontatv255  11 วันที่ผ่านมา +676

    DAAH NAMUONEA HURUMA TINA ANATESEKA 😢 SIJUI NIMSAIDIE??

    • @RamadhaniJulias
      @RamadhaniJulias 11 วันที่ผ่านมา +31

      Acha hayo mambo mbaya analipwa ubaya kaka hayo ndo malipo yake

    • @JaneJane-h2i
      @JaneJane-h2i 11 วันที่ผ่านมา +16

      😂😂😂😂 kwangu Mimi namutaka hapo

    • @agnesspeter5181
      @agnesspeter5181 11 วันที่ผ่านมา +8

      Wewe Tena kaka

    • @jacquelinemuthina
      @jacquelinemuthina 11 วันที่ผ่านมา +11

      Umsaidie ukubuki vile alikusaliti Acha huruma 😂😂😂😂😢😢

    • @MaryIgnation
      @MaryIgnation 11 วันที่ผ่านมา +12

      Kitakuramba tena oooh we msaidie uone😮😮😮 acha ateseke mwisho wa ubaya aibu......
      Ubaya ubwela😅😅😅😅

  • @VeronicahOtwori
    @VeronicahOtwori 11 วันที่ผ่านมา +72

    Watu wa Latifah hoyeeeeeeeeeeee kuja uku tuko n meeting nyuma y tent 🎪 😄😄😄😄😄😄😄😄😄🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸

  • @EstellaMuteramyie
    @EstellaMuteramyie 11 วันที่ผ่านมา +133

    Anae Soma hii coment Mungu ampe maisha marefu❤🎉

  • @JastFinancial02
    @JastFinancial02 11 วันที่ผ่านมา +458

    Wana @DoNTA TV Wangapi wamefatilia hii drama Toka mwanzo adi sasa like hapa tuwatambue 🙏🤲🙏❤

    • @jamilashabani8580
      @jamilashabani8580 11 วันที่ผ่านมา +1

      🎉🎉

    • @JastFinancial02
      @JastFinancial02 11 วันที่ผ่านมา +1

      @jamilashabani8580 hongera

    • @MusaSaidy-wc7bo
      @MusaSaidy-wc7bo 11 วันที่ผ่านมา +1

      Nawapenda 🎉🎉🎉🎉🎉

    • @Ramla-b3s
      @Ramla-b3s 11 วันที่ผ่านมา +1

      Mh,, nawapenda sanaa

    • @FloraFredy-c3l
      @FloraFredy-c3l 11 วันที่ผ่านมา +1

      Tupo hapa

  • @DianaMutua-i8y
    @DianaMutua-i8y 11 วันที่ผ่านมา +90

    Lati my best actress ever❤❤❤🎉🎉wacha nimpe maua 💐💐💐

  • @movitsmart
    @movitsmart 11 วันที่ผ่านมา +175

    Leo nimejalibu kuwahi jaman naombeni like 100 from Burundi 🇧🇮to Kenya 🇰🇪

    • @AlexNsavyimana
      @AlexNsavyimana 11 วันที่ผ่านมา +3

      🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

    • @CynthiaNizigiyimana-w9h
      @CynthiaNizigiyimana-w9h 11 วันที่ผ่านมา

      🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮​@@AlexNsavyimana

    • @denniskasyuko2194
      @denniskasyuko2194 11 วันที่ผ่านมา +2

      Kazi safi, mapema do best

    • @LatiffahHassan
      @LatiffahHassan 11 วันที่ผ่านมา +3

      ❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮

    • @MetrineNelima-i4w
      @MetrineNelima-i4w 11 วันที่ผ่านมา +1

      Uko wapi nije kukusalimia 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🤣🤣

  • @meselinajemiely9912
    @meselinajemiely9912 11 วันที่ผ่านมา +117

    Hii move inatakiwa kuwekwa azam TV maana inafunza sana wanao pendwa iwekwe gonga like 🎉🎉🎉

    • @DaniKisitu
      @DaniKisitu 11 วันที่ผ่านมา +2

      sio azam tv tu iwekwe kabda ya taarifa ya habar 😂

    • @meselinajemiely9912
      @meselinajemiely9912 11 วันที่ผ่านมา

      @DaniKisitu umeona ee

    • @KhadijaChileu
      @KhadijaChileu 11 วันที่ผ่านมา

      Azam tv wanazingu

    • @EliaElia-b1p
      @EliaElia-b1p 11 วันที่ผ่านมา +1

      Duuu 😂😂😂😂😂​@@DaniKisitu

    • @joshuasakwa1548
      @joshuasakwa1548 11 วันที่ผ่านมา

      Waweke hio Azam yenu channel ya Kijiji alafu sisi Kenya tuone aje

  • @KiboxMedia
    @KiboxMedia 11 วันที่ผ่านมา +240

    Walio Shuhudia kuona Mzee gamba anajinasisha Kwa Hard trap , ili kimrambe kupitia uaminifu Kwa Denis Mwaga like 🤸🤸

    • @LucknessPeter
      @LucknessPeter 11 วันที่ผ่านมา +3

      🤸🤸🤸🤸

    • @SufyanahAomabdalazez-dk9pw
      @SufyanahAomabdalazez-dk9pw 11 วันที่ผ่านมา +1

      Na kitamramba tu😂😂😂😂😂

    • @Phoebenafula
      @Phoebenafula 11 วันที่ผ่านมา +3

      Acha anazwe kabisa 🤣🎉🎉❤❤🇰🇪

    • @AaAa-tf7sl
      @AaAa-tf7sl 11 วันที่ผ่านมา

      Mm naona anamchelewesha😂😂

    • @PancrasMunga
      @PancrasMunga 11 วันที่ผ่านมา

      I coment you from kenya good job 🎉

  • @EsterIsaya-b9m
    @EsterIsaya-b9m 11 วันที่ผ่านมา +378

    Nakupenda sana rati gongeni like wanampenda rati kama mimi

  • @RedempterMary
    @RedempterMary 11 วันที่ผ่านมา +44

    Japo wa mwisho... Sijachelewa sana. Asante sana Wana Donta Tv kwa kazi nzuri. Mwenye unasoma hii comment Mola akujalie maisha marefu ya heri ❤️🥳

  • @BeatriceAron-nf3rv
    @BeatriceAron-nf3rv 11 วันที่ผ่านมา +26

    Lati, lati, lati, nmekuita mara tati kusisitiza upendo wang kwako, really your the good actress, unajua kuvaa uhalisia, naomben like zang kwa hili jmn

    • @MuwenimanaLeoncie
      @MuwenimanaLeoncie 11 วันที่ผ่านมา

      Ndagukunda ravu uri umwana mwiza ndi irubavu

    • @ABCDArina
      @ABCDArina 11 วันที่ผ่านมา

      Hakuelewi hajui kinyarwanda

    • @BeatriceAron-nf3rv
      @BeatriceAron-nf3rv 11 วันที่ผ่านมา

      @@ABCDArina na kwel cmwelew jmn

    • @BeatriceAron-nf3rv
      @BeatriceAron-nf3rv 11 วันที่ผ่านมา

      @@MuwenimanaLeoncie translate plz

  • @GloryLembris.Saningo
    @GloryLembris.Saningo 11 วันที่ผ่านมา +27

    Jamn Candy pole mwaya ni hali ngumu sanaa😢😢😢 Ila Loveness big up sisy uko vizurii snaa good advisor ❤❤

  • @agathaKamuya
    @agathaKamuya 11 วันที่ผ่านมา +39

    kenya🇰🇪waonaji kelv hatuchelewi na hii move hasa ya penzi 🎉🎉🎉🎉🎉tena❤❤❤❤❤ perfect.like bona sipatiii....

  • @ButoyiThierryve
    @ButoyiThierryve 11 วันที่ผ่านมา +147

    Oooh mimi hapa Mtoto wa bossi wa Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 naomba}Like kutoka watu wabongo na Burundi na Kenya nipeni Like ata 3 tuuu tashukuru

    • @SifaBaranyizigiye-o4h
      @SifaBaranyizigiye-o4h 11 วันที่ผ่านมา +1

      😂

    • @oystellaoscar5151
      @oystellaoscar5151 11 วันที่ผ่านมา +1

      Kwa hyo na wewe tukutaftie dada wa kaz au😂😂😂
      Naomba nikutunuku Tina

    • @HawaIrankunda
      @HawaIrankunda 11 วันที่ผ่านมา

      ​@@oystellaoscar5151😂😂😂😂😂❤

    • @ButoyiThierryve
      @ButoyiThierryve 10 วันที่ผ่านมา +1

      @@oystellaoscar5151 Nitafutie sasa

    • @خديجه-ه3ف
      @خديجه-ه3ف 10 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

  • @JabanFranklin
    @JabanFranklin 11 วันที่ผ่านมา +60

    Nimekua bored lakin kaka kelvin asanti,wenye mumefatilia hi movie toka mwanzo tujuwane kwa likes much love ❤️❤️❤️ from Uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬

  • @mathatippe7781
    @mathatippe7781 11 วันที่ผ่านมา +78

    Tunaoipendaaaa hiii bongo move tupia like zako hapaaaaaaa

  • @IssahNkana
    @IssahNkana 11 วันที่ผ่านมา +71

    Nafasi ya lati yaani lati anaitendea haki Yuko vyema Sana nimempenda bure Yuko sirias uhalisia umbo na sauti ana tendea haki safi Sana Tina kwisha hapo so Kwa Kend na mama kelvin waliolea chawa kiunoni ikawang'ata Sasa hapo Kwa lati kikomoo Hadi kupika na Bado kama umeipenda hiyo kama mie like ❤

    • @خديجه-ه3ف
      @خديجه-ه3ف 10 วันที่ผ่านมา

      Tuko pamoja lati anajuwa❤❤❤

  • @LauraKhisa-y6r
    @LauraKhisa-y6r 11 วันที่ผ่านมา +40

    Ndo kudonjo Maua yangu mnipe baana🎉❤ nawapenda kutoka Kenya🥰

  • @Zuonist-y3q
    @Zuonist-y3q 11 วันที่ผ่านมา +26

    Wangapi hatujajutia mabadilishano ya ratifa,ananikoshaaa❤❤

  • @DamarisDammie
    @DamarisDammie 11 วันที่ผ่านมา +65

    Wa kwanza Toka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 humuu tu ❤❤❤

  • @Divinah-kem
    @Divinah-kem 11 วันที่ผ่านมา +6

    Loveness nimejifunza mengi kutoka kwako may gd bless you and keep up❤❤❤

  • @PriscaEliah-z4s
    @PriscaEliah-z4s 11 วันที่ผ่านมา +21

    Haya mm wa mwisho nipeni like zang ❤️❤️

  • @TausiMokiwa
    @TausiMokiwa 11 วันที่ผ่านมา +31

    Mapema sana nishafika nusu nijikwae nilivyo kimbia😂😂😂

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it 11 วันที่ผ่านมา +27

    TURIOTOKA KWENYE SIRI YAHUBA SEASON TU NAOMBA TUJUWANE KWA IIKE 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @winniemwaka3202
    @winniemwaka3202 11 วันที่ผ่านมา +6

    Lati😅😅mpeleke🎉🎉unavyotaka😅😅😅huyo tina nakupenda sana na ww kendi😮mwambie ukweli bonny🎉atakuelewa❤❤kwenye penzi la kweli hakuna pingamizi dadaa❤❤❤

  • @denniskasyuko2194
    @denniskasyuko2194 11 วันที่ผ่านมา +5

    Loveness my best actor,mtoto mwenye hekima kweli🌹🌹🌹🌹(flag🇰🇪🇰🇪🇰🇪)

  • @OliverPaul-y3e
    @OliverPaul-y3e 11 วันที่ผ่านมา +7

    Maskini Candi kapata kijana mzuri kweli lakini je vipi kuhusu afya yake.na loveness ndoanaejua ukweli wote naje wataanzaje kuwaweka wazi family pamoja na rafiki wa candi😢😢😢 pole sana candi usikate tamaa.kama unampenda candi mpe pole❤❤❤

  • @TutiMwalilino
    @TutiMwalilino 11 วันที่ผ่านมา +4

    Mnajua sana kila mtu kavaa uharisia wake jmn donta tv lati congratulation loveness onger kwa sir kubwa na ushaur mzur

  • @MANGELI_111
    @MANGELI_111 11 วันที่ผ่านมา +23

    Leo nime wahi namimi mnipe ata maua yangu jameni 🎉🎉🎉nawatakia maisha marefu🎉🎉

  • @afsamimi2780
    @afsamimi2780 11 วันที่ผ่านมา +9

    Nampenda Latifa ssa😅unajuw kumkomoa Tina😂

  • @jacquelinemuthina
    @jacquelinemuthina 11 วันที่ผ่านมา +23

    Leo nimewahi mapema kenya 🇰🇪 like 10 wakuuu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @maryamrashid-s6
    @maryamrashid-s6 11 วันที่ผ่านมา +13

    Hivi mbona n mtoto wa boss na dada wa Kazi pekeake hakuna movie nyingne jaman coz kuna watu nmewamiss kama james,wembe kunambi na wengineo wanawake wengine siwajui majina ila wako wengi na uyu viky arudi kwetu jamani mbona alihamia kwenye hakuna furaha kama DONTA TV ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

    • @AidathRweyongeza
      @AidathRweyongeza 11 วันที่ผ่านมา

      Ingia kwenye hii acaunt zipo nyingi mno ni wewe tu sema hii ndo ipo 🔥🔥🔥

    • @GraceVISAMAYANI-gj1xm
      @GraceVISAMAYANI-gj1xm 10 วันที่ผ่านมา

      Mulete victoria

    • @maryamrashid-s6
      @maryamrashid-s6 10 วันที่ผ่านมา

      By the way nishamaliza zote imagine kwanza ile ya kesho yangu na nyinginezo but napenda ya chozi langu hio haijaisha nimeishaisubiria na hailetwi yenye sikuiangalia kwa DONTA TV n hio ya before I meet you hio ndo siangalii kabsa, but najua Kuna ile ya DONTA family pia, ila hakuna shida yenye itanipendezea nitaangalia ok thanks 🙏

  • @KsjajjajajSnnssnnssnsn
    @KsjajjajajSnnssnnssnsn 11 วันที่ผ่านมา +18

    Jamani mwalala hapa dontatv 😂😂😂😂,wenye wanakubaliana na lovenees wagonge like hapa ,lovenees hongera dada unakaa na moyo wa utu unatumia kauli nzuri atakama mtu anajiona mpweke unahisi uko haii😊😊🎉❤❤

  • @DymphnaDoris
    @DymphnaDoris 11 วันที่ผ่านมา +10

    Glad nimefika mapema 😊

  • @SolutionsSammy
    @SolutionsSammy 11 วันที่ผ่านมา +14

    Mimi Léo jamani nimewai kweli ❤❤❤❤🎉🎉🎉 naomba like zangu kutoka kwa donta tv pamoja na washabiki wote munaowo fatiliya movie yatu mzuri 😊😊😊😊😊

  • @RomainMusangu
    @RomainMusangu 11 วันที่ผ่านมา +4

    Musichoke na kazi zemu inafundisha watu wengi kabisa❤ mimi hapo LUBUMBASHI 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 ninamifwata kila hatuwa zemu

  • @francisFrancis-m8v
    @francisFrancis-m8v 11 วันที่ผ่านมา +33

    Jaman me Leo wakwanzaaaa naomba like

  • @OmanOman-y7z
    @OmanOman-y7z 11 วันที่ผ่านมา

    🎉❤❤❤😂 hongeleni Sanaa Kwa kazi nzur sana munazidi kutupa Raha wallah 🎉❤❤😂😂

  • @salomecherotich-ie7mv
    @salomecherotich-ie7mv 11 วันที่ผ่านมา +13

    Always my favourite🎉❤❤❤❤❤❤

  • @ElizabethKwekwe-t4u
    @ElizabethKwekwe-t4u 11 วันที่ผ่านมา +30

    Naomba likes jaman from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪

  • @PreciousKizwingx
    @PreciousKizwingx 11 วันที่ผ่านมา +31

    Wanomkubali kelvin gonga like hapa hata kumi❤

    • @ScholaSeverine
      @ScholaSeverine 11 วันที่ผ่านมา

      😊

    • @FloraFredy-c3l
      @FloraFredy-c3l 11 วันที่ผ่านมา +1

      @@PreciousKizwingx kelvin namkubali sana

  • @ShamimShamy
    @ShamimShamy 11 วันที่ผ่านมา +2

    Lati yani tangu tina awe karibu na wewe haweza kunywa maji yashuke, wew nikiboko🎉 Kelvin # lavenes ❤ kendy jikubali hy ni hali yakawaida sn❤ my

  • @gadafimuemede2985
    @gadafimuemede2985 11 วันที่ผ่านมา +31

    Wakwanza Leo from 🇲🇿🇲🇿

  • @SaidatHussein
    @SaidatHussein 11 วันที่ผ่านมา +5

    Jameni huyu lati ana mipasho mizurii😂😂au mwaonajee

  • @neemakoi6635
    @neemakoi6635 11 วันที่ผ่านมา +10

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉good job 👏

  • @RosetteKahuga
    @RosetteKahuga 8 วันที่ผ่านมา +2

    Sauti ipo chini sana wana Donta Tv

  • @BrendaKhalayi
    @BrendaKhalayi 11 วันที่ผ่านมา +57

    Karibu episode inaisha na hata sitawaipata like eeeh jamani😢

    • @JapanDullahBoy
      @JapanDullahBoy 11 วันที่ผ่านมา +1

      Hzo like zinakusaidia nin

    • @BrendaKhalayi
      @BrendaKhalayi 5 วันที่ผ่านมา

      @@JapanDullahBoy mbona unauliza Ivo lambda niulize

    • @BrendaKhalayi
      @BrendaKhalayi 5 วันที่ผ่านมา

      Asante Kwa likes jamani

  • @فيصلالبادي-ح1غ
    @فيصلالبادي-ح1غ 11 วันที่ผ่านมา +7

    Mtuongezee dakika jamani mchezo mzuri ❤

  • @IreneWilliam-t1m
    @IreneWilliam-t1m 11 วันที่ผ่านมา +15

    Jmn wa kwanz leo🎉🎉🎉😊

  • @AngelThomass-ht8vv
    @AngelThomass-ht8vv 11 วันที่ผ่านมา +2

    Loveness wangu nakupendaa sanaa an kastaarab kenyewe adi rahaa❤😊😊

  • @stellahwafula-tn3gd
    @stellahwafula-tn3gd 11 วันที่ผ่านมา +9

    Much love from kenya 😢

  • @NaicMalliack
    @NaicMalliack 10 วันที่ผ่านมา +2

    I know nimelate but latiiiiii unamkumbusha mwenzio machungu jmn Ila ni vzr dada lati🎉🎉❤❤❤❤

  • @ZudySon-h5e
    @ZudySon-h5e 11 วันที่ผ่านมา +13

    m wakwanza leo🎉🎉🎉

  • @ruthmkutano1862
    @ruthmkutano1862 11 วันที่ผ่านมา +14

    Jameni 2mins😢 natayari kuna watu wamenitangulia😅😅😊hongerani sana😊

  • @tototundu8159
    @tototundu8159 11 วันที่ผ่านมา +5

    Kevin kendyy asimupe ukimwi uwo mwanaume ntaumia jaman😔😔😔🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮♥️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @neykidoti102
    @neykidoti102 11 วันที่ผ่านมา +4

    Watu mko serious an shwaaaa shwiiii mko ndani 🎉🎉🎉

  • @TijaLilawola
    @TijaLilawola 11 วันที่ผ่านมา +4

    Mnachelewesha sana movie 😢😢😢

  • @LoiceKatana-ci1tx
    @LoiceKatana-ci1tx 11 วันที่ผ่านมา +2

    Kazi safi Lati maua yako mpka kieleweke tuu jwa Tina😂😂 kadi ya clinic hana na alikua na mimba

  • @VeroMelisa
    @VeroMelisa 11 วันที่ผ่านมา +19

    Kama unapenda loveness na roho yake ya uvumilivu,ukamilifu,na utu ambao binadamu wengi hatuna,nipe laiki,Mimi hapa toka KENYA ❤

  • @zitafuraha2807
    @zitafuraha2807 11 วันที่ผ่านมา +3

    Tangu nilianza kufatiliya iyi serie sijawayi pata hata like moja, nafata Uganda🇺🇬

  • @Ni.Chadrack
    @Ni.Chadrack 11 วันที่ผ่านมา +8

    Today I'm the first
    Nipitie na like jamaniii 😅

  • @VioletNyaboke-te5sf
    @VioletNyaboke-te5sf 5 วันที่ผ่านมา +1

    Naomba like ata kumi kutoka kenya ak nafuatilia tangu mwazo sijapata like ata moja❤❤

  • @AndrewFundi
    @AndrewFundi 11 วันที่ผ่านมา +11

    Leo nimewahi jamn likes ndugu zangu 🎉🎉🎉

  • @Mpinda-h8d
    @Mpinda-h8d 11 วันที่ผ่านมา +2

    Blaza kazi mzuri blaza umetisha sana from Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @VeronicaIbrahim-wv4dg
    @VeronicaIbrahim-wv4dg 11 วันที่ผ่านมา +3

    Mungu awabariki wote mnao ifuatilia hii movie amen🎉🎉🎉❤

  • @AmaniNangerembe
    @AmaniNangerembe 10 วันที่ผ่านมา

    Good nice one story brother Kelvin 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤

  • @AnitaMsigwa
    @AnitaMsigwa 11 วันที่ผ่านมา +8

    Leo nimekula wa kwanza mungu awape maisha marefu wote watakao like ❤

    • @LatifaMatayo
      @LatifaMatayo 11 วันที่ผ่านมา

      Umekula au umekuwa

    • @AnitaMsigwa
      @AnitaMsigwa 8 วันที่ผ่านมา

      @@LatifaMatayo hahahahaha kumbe nimechapia

    • @LatifaMatayo
      @LatifaMatayo 8 วันที่ผ่านมา

      @@AnitaMsigwa ndio

  • @benjaminnyangena9490
    @benjaminnyangena9490 11 วันที่ผ่านมา +2

    🇰🇪hii drama nzuri sana❤❤❤

  • @TabithaShija
    @TabithaShija 11 วันที่ผ่านมา +3

    Ila Tina n mzr jmn apew maua yak 🎉🎉🎉❤❤🎉🎉

    • @fatmatraashidu8522
      @fatmatraashidu8522 10 วันที่ผ่านมา

      Ana Uzuri Gani kashakongoroka sjuwi hata ana shida Ganii

  • @GladysNanjala-e7e
    @GladysNanjala-e7e 11 วันที่ผ่านมา +2

    Lati uko vizuri 🎉🎉🎉

  • @BronwTz
    @BronwTz 11 วันที่ผ่านมา +16

    Leo sijachelewa Sana jamani naombeni like hata Tano 5 tuu 🙏🏻❤️🎉🎉

  • @ElizaLikolika
    @ElizaLikolika 11 วันที่ผ่านมา

    Nakupenda sana loveness una maneno mazuli sana ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Dogokingo
    @Dogokingo 11 วันที่ผ่านมา +20

    Mimi Ndo wakwanza maomba like zangu tafazali nawapenda sana Donta tv

  • @SHAZIMINA55
    @SHAZIMINA55 11 วันที่ผ่านมา +1

    Tunapenda hii nyimbo zote zimetuliya na movi yaje na kibosh media kuwandika mesji kusapote kujahapa kuliko juwakali ❤❤❤

  • @Shedede
    @Shedede 11 วันที่ผ่านมา +9

    Wa kwanza from Kenya likes zikam yawa

  • @SaumuLugogo
    @SaumuLugogo 11 วันที่ผ่านมา

    Waaa LATIY nakuamini sana yaani hii movie unaecheza kama weww ukomakinj sana upewe mauwa yako🎉❤❤ MUNGU akuogoze ufike mbali dadangu🇰🇪

  • @SkitaWairimu-hp5tp
    @SkitaWairimu-hp5tp 11 วันที่ผ่านมา +6

    Kuchelewa na dakika 40 Dio inasababisha mkose kunipa likes jamani😢

  • @nasibabdullahi8655
    @nasibabdullahi8655 11 วันที่ผ่านมา +2

    Naomba likes pia... kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪nimetazama kutoka mwanzo Hadi Sasa... nawapenda loveness na Kelvin

  • @ElizabethJerryson
    @ElizabethJerryson 11 วันที่ผ่านมา +8

    Hata mm nmewah npeni like zangu jamaniiiiiiiiiiii

  • @SuzanaMnyambe
    @SuzanaMnyambe 11 วันที่ผ่านมา +1

    Vipande vya “yaliyopita”ni virefu sana punguzeni jmn 🙏☺️

  • @VailethFelix
    @VailethFelix 11 วันที่ผ่านมา +18

    Kelvin hongera sanaaa 🎉

  • @RasooEdward
    @RasooEdward 11 วันที่ผ่านมา +2

    Candy kw izi nguo za ushwazii nd ametoka poa aky💋💋💋🎉🎉

  • @Saumu-p8v
    @Saumu-p8v 11 วันที่ผ่านมา +3

    Lati wa Sasa kiboko ya madoa sugu🤣🤣🤣kuliko kali ka mwanzo 🤣🤣🤣 nawapenda Wana donta tv 🎉

  • @RashidKhanOmar
    @RashidKhanOmar 11 วันที่ผ่านมา +11

    wakwanza leo wanangu nipeeni like zangu🎉🎉🎉🎉🎉

  • @FawzaRobert
    @FawzaRobert 10 วันที่ผ่านมา

    Mmepunguza dakika naona
    Hingern wote nawapend❤❤❤❤❤ lati maua yako🎉🎉

  • @sjdjdj2909
    @sjdjdj2909 11 วันที่ผ่านมา +5

    🎉🎉🎉❤❤❤mubarikiw kabsa

  • @UnrulyHope-e9j
    @UnrulyHope-e9j 11 วันที่ผ่านมา

    Big up Donta tv 👏👏👏kwa filamu nzurii mauwa yako kelvin n wahusika wote 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @FarajiJackson
    @FarajiJackson 11 วันที่ผ่านมา +12

    Jamañ namm Leo wakwanza nipen🎉🎉🎉🎉

  • @vavavava-ed7lg
    @vavavava-ed7lg 10 วันที่ผ่านมา

    Keddy I love you keep strong don't cry😭 Nawapenda jamani from Rwanda 🙏

  • @MaryMutisya-w4i
    @MaryMutisya-w4i 11 วันที่ผ่านมา +3

    Tina maviii makubwa teseka sana

  • @Keymulume-yr1tm
    @Keymulume-yr1tm 11 วันที่ผ่านมา

    🇨🇩🇨🇩🇨🇩 pamoja sana Mungu azidi kuwajaliya mzidi kuelimisha jamii zaidi na zaidi sina maneno mengi ila mbarikiwe🙏🙏

  • @GloriaNahimana-x8p
    @GloriaNahimana-x8p 11 วันที่ผ่านมา +11

    Wakwanza leo atao nipa like mungu amubaliki🎉🎉

  • @TonyCristy-j6e
    @TonyCristy-j6e 10 วันที่ผ่านมา +1

    Leo nimechelewa kidogo lakini naomba like 👍 Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🙏🌹❤️❤️❤️🔥💐🍎🍎🌹🌹🌹

  • @EdinaWhite-t1c
    @EdinaWhite-t1c 11 วันที่ผ่านมา +4

    Kila mtu yeye ni wakwanza haya namm leo nimewahi nipeni like hata tano bas

  • @MujongaSelemani
    @MujongaSelemani 11 วันที่ผ่านมา

    🎉🎉🎉🎉❤❤😊 nazikubali izo movie donta 😊😊😊

  • @theclapeter
    @theclapeter 11 วันที่ผ่านมา +5

    Haya sasa kitu Hicho ❤

  • @CarolyneNyanchama-yk1gf
    @CarolyneNyanchama-yk1gf 11 วันที่ผ่านมา

    Bonnie ni handsome ❤❤ much love from 🇰🇪🇰🇪ila kelvin next movie utuletee Rashid, Victoria na James nmewamiss sana

  • @MasokaFilemon-u1k
    @MasokaFilemon-u1k 11 วันที่ผ่านมา +4

    Nawakubali sana yaani toka picha ilivyo hanza mpaka ivi bado tunawafatiliya tu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @AminaMwavita
    @AminaMwavita 11 วันที่ผ่านมา

    Congratulations keep it up good job 💞❤💕♥️🥰😍😘

  • @SaidaSeif-v4j
    @SaidaSeif-v4j 11 วันที่ผ่านมา +4

    Jamaniiii mpo vizuri