Naomba kupitia ibada hii nikafunguliwe kwa jina nikapate MUME WANGU na mtoto biashara zangu zenye faida kubwa leo leo leo leo leo leo leo leo leo naenda kufunguliwa leo nasio kesho leoooo Napokea Mume wangu leooo naenda kukombolewa
Sasa hapa hauwezi kumfanya mtu kuwa mkristo aliyesimama ktk ukristo. Hayo siyo mahubiri ni utabiri tu kama mtu kuwa kwa mnganga wa kienyeji 😢 Mtu akujishajua siri zake anakuwa dhaifu sana
Hata mapepo yanatabiri lakini huwez kulinganisha utabir unaotoka Kwa Mungu na mashetani,utabiri wa Mungu unakuja na utatuzi wa ki Mungu jumla ila wa kishetani unaweza ukatatua ila ni Kwa muda mfupi sana au Kwa njia ambazo sio halali
Mungu awabariki sana watumishi wa Mungu
Ohhhh my . Nimekujua leo through Prohpet Java. Nafuatilia Papa Lovy. N im soo happy. I will sually come there nikitoka huku Saudi. Mm mkenya
Naomba namimi maisha yangu yarudi kama zaman niwe na Gali madeni yote yaishe nisidaiwe tena amen
Niombee.maisha yangu yaruei.kwma.zamani.nyota.yangu ilikuwa mbali sana
Pasta nibalikie uchumi wangu
Leoooooooooooo naenda kufunguliwa kwa jina la Yesu Napokeaaaaaa
Napokea amina
Napokeya Kwa jina la YESU kristo amen baba 🙏
Najiungamanisha na ibada hii leo naenda kufunguliwa kwa jina la Yesu
Profet malisa naomba msaada wako ninakesi ya familia haiishi nisaiide
Naomba mungu afungue milango na mimi nipate kazi
Kazi kweli na hiz siku za mwisho.
Bora wew umeliona hili maana naona watu wanavyozd kupotea
Amen
I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive
Mungu tufungue na sisi
Yesu naomba.msaada wako kwenye maisha yangu baba wambinguni niponye Mimi na family yangu
Story teller. 😢😢
Amen🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Good❤
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏
Napokea kwa jina la yesu
Amina baba naomba nijue ulipo
Naomba nipon sihir nipoe
Naomba pia nifunguliwe kiuchumi
Mtume nisaidiwe nami kunitabilia
Prophet abarikiweee
Naomba kupitia ibada hii nikafunguliwe kwa jina nikapate MUME WANGU na mtoto biashara zangu zenye faida kubwa leo leo leo leo leo leo leo leo leo naenda kufunguliwa leo nasio kesho leoooo Napokea Mume wangu leooo naenda kukombolewa
Nabii nisaidie na Mimi Aizaki abrahamu mlyuka juu ya mateso yangu
Niombee nipone kutokana na gonjwa la stroke prophet
Amina
Nataka kwenye ibada hii nifunguliwe anonichezea yatoke grohoni kwangu na kifuani kwangu na tumboni kwng nipoe emen
Mungu anakuona wewe mtumishi, hubiria watu makosa yao na sio kuwaeleza mambo yao ambao wanayafahamu tayari.
Asa si kuna MDA wa maubiri na MDA wa kutabiria wasichokijua iyo ndo karama yake
Hujajua nini maana ya unabii kabla ya kuandika hayo maneno Yako ulitakiwa ujue kwanza nn maana ya unabii
Hujitambui
GTH (Go t hell)
Haha tatizo akili zako zime sheki
Ameni
Jane tena 😂😂😂😂
Ameeen papaaa
Sasa hapa hauwezi kumfanya mtu kuwa mkristo aliyesimama ktk ukristo.
Hayo siyo mahubiri ni utabiri tu kama mtu kuwa kwa mnganga wa kienyeji 😢
Mtu akujishajua siri zake anakuwa dhaifu sana
Hata mapepo yanatabiri lakini huwez kulinganisha utabir unaotoka Kwa Mungu na mashetani,utabiri wa Mungu unakuja na utatuzi wa ki Mungu jumla ila wa kishetani unaweza ukatatua ila ni Kwa muda mfupi sana au Kwa njia ambazo sio halali
Usiongee kitu usichokijua
Uwiiiiii kabisa baba uwiii 😭😭😭🤦
Yesu tuponye
🔥🔥🔥 deep
Mungu anisaidie
Asante papa
Amina baba
Naomba utuponye mm na mwanangu maana tunachanjwa chale mpaka usoni
Ameeeen
Najiunganisha na m nataka kufunguliwa kiuchumi
Nataka nifunguliwe nipate mume br nikiwa mzungu au swahili wa ps
amen
Amina
Amen