washabiki wabong ni wasenge kwel mnataka mchezaj wa aina gan yanga walimludisha makambo alafu wakamleta na mayele ila alie kua ikiibwa sana alikua n makamb japo aliondoka kaacha jina ila alipotea mashabiki wasimba hamna utuliv sijui mmelogwa
We nae mr @klik hapa Tv unatuzingua bhn badala utuwekee skills za mchezaj na magoli alofunga short and clear unatuekea had sehem anafnyiwa faulu alafu unarudia mara kumi, mchezaj ana magoli 23 msimu ulopita hapa umetuekea moja tukuelew vp ss
Simba siyo kwamba inaleta wachezaji wa bovu ni wazuri sema wanalogwa na kina mzee mpili upande wa pili ogopa,,wanatumia kila mbinu namuna wanavyotaka simba kuiharibu ,marefa,uchawi ,kununua timu na kuzizamini kwenye ligi ili mradi simba apotee ,,,viongozi wasipokua makini hata kama wamulete ronado atakuja kuwa mbovu ,
Acha zana za ovyo mtu kama unajua unajua tu. Kama huyu dogo apo hamna anacho cheza akija hapa unadhani atafanya nini. Mbona halogwi azizi ki. Akina kagele wamecheza mpaka wakaisha aliwaloga nani. Ama chama.
Ahmed unajua Mpira, Simba ya Sasa ilikuwa inamuhitaji yule Charles ahoua awe sawa ili atengeneze nafasi sio streka, hatuna shida na streka lkn kwa sababu wao ndo wameamua it's okey
Huyo ni mzuri tena sana, tatizo letu shabiki wa simba tunataka striker awee anashinda tuu no hio so boli realmadrid kulikuwa na ronaldo kisha benzema wakati benzema ndo striker basi mbna alikuwa anapitwa idady ya magoli . Tuacheni ushabiki wa kisenge Huyo huyo mzuri sn tuu kwanza anaweza kuficha mpira kuondoka na beki sasaa tunataka nini jengn tuacheni ushamba hebuu ikiwa kocha kamuamn ww nan usimuamin
@@KlikHapaTV 😃😃😃 uswaazee mzeee hawajuwii kuwa huyo wanaemtaka wao mayele nae kwenye nafsi 4 aweza pata 1 au 2 zilizobak akakosaa me nhs ni chaguo sahihi piia kwa7b usm alger ligi yao ni ngumu mnoo tofaut n yetuu
Nyooo Tanzania ndo ligi ngumu mnoo huyu jamaa m najua wachezaji Yan Bora Yule mukwala wetu Yan kwa hio pesa borea watoe sadaka kumamamke hamna mtu humo
Alafu nyie watu wa yanga kwanini msikomenti kwenye timu yenu uyu sio mchezaji wenu anajua ajui ni wasimba embu fanyenyi yenu ss simba atufatiliii wachezaji wenu nyie viherehere vimewadi achaneni na simba yetu nanyi mbaki na yanga yenu
@@mussammanga7791 kwanza mm sina mashaka na timu yangu mzeee sjuw umeelewa hpoo eeee inapaswa ukumbuke hata barselona ilikuwa n yamoto asaiv wap huuo ndo mpira mzeee ... au ww unatizama mpira wa simba n yanga eee kama unakaa mikowani hukoo usibishne kuhusu mpira tafadhali
TUKIRI KWAMBA HATUNA TEAM NZURI YA SCOUTING..AFRIKA INA VIPAJI VINGI SANA KWENYE MAENEO YOTE UWANJANI, NI SUALA LA HELA TU KUPATA QUALITY PLAYERS. TUACHANE NA HAWA WACHEZAJI AMBAO HAWANA LOLOTE. TUJIFUNZE KWA YANGA LINAPOFIKA SUALA LA KUSAJILI WACHEZAJI WAZURI NA WENYE MSAADA KWA TEAM
HAKUNA MCHEZAJI HAPA...KAMA NI KWELI VIONGOZI NA KOCHA WAMEMPENDEKEZA HUYU NDIO AONGOZE SAFU YA USHAMBULIAJI, BASI TUSITEGEMEE MAAJABU YOYOTE. HIZI HELA SI BORA WATAFUTE MCHEZAJI WA NDANI MWENYE UZOEFU NA LIGI
@@KlikHapaTV watanzania NI wengy wanaojua kukoemesha kama wale wakina lusajo bonge za wachezaji ila wamekosa team kubwa Tu Yan team yetu mafala kweli yan
Kiukweli viongozi wa simba kila siku watakuwa wanavunja mikataba ya wachezaji unasajili mchezaji hata takwimu hana alafu unaenda kumsaji viongozi wameja siasi tu na projo.
Mchezaji mzuri sana shida ya watanzania wanaharaka na wamejaaa dharau wanafikiri kilakitu in siasa ndo maana hats timu yetu ya taifa haifanyi vizuri
Asante kwa maoni yako, Karibu tena KLIK HAPA TV na Usisahau Kusubscibe channel yetu kama Bado
Wakuu uyo mchezaji mzuri tu January yanga walimlia Sana wakapgwa bao na warabu yanga wakaenda chukua guede tuombe mungu mchezaji angaliw TH-cam waku
@@tebelehondo8268 hawa mashaniki wengn sijuw wakoje au hawajawahi kucheza bolii huyooo dogo chafuu asaa wee sbr atuwee hp msimbaz nnd watajuwa tuu maana mchezaj haangaliwii n kuthminiwa youtube
Asante kwa maoni yako, Karibu tena Klik Hapa TV
Hapa litakufa jitu good control, high pressing, speed the good player
Tusubirie
washabiki wabong ni wasenge kwel mnataka mchezaj wa aina gan yanga walimludisha makambo alafu wakamleta na mayele ila alie kua ikiibwa sana alikua n makamb japo aliondoka kaacha jina ila alipotea mashabiki wasimba hamna utuliv sijui mmelogwa
Watu Wanataka mtu mrefu ikipigwa Haruki
. Anafunga waaah
Washabiki wa simba tulieni tunajenga timu tulieni msiwe na araka kama Cha kwanza
Yaani wabongo ni shida...kwahiyo hapa mmeishaona mchezaji na kumhukumu!
Asante kwa maoni yako, Karibu tena Klik Hapa TV
Atakaa benchi sana na dirisha dogo atatoka atasemwa sana Simba team kubwa.
Asante kwa maoni yako, Karibu tena KLIK HAPA TV na Usisahau Kusubscibe channel yetu kama Bado
We nae mr @klik hapa Tv unatuzingua bhn badala utuwekee skills za mchezaj na magoli alofunga short and clear unatuekea had sehem anafnyiwa faulu alafu unarudia mara kumi, mchezaj ana magoli 23 msimu ulopita hapa umetuekea moja tukuelew vp ss
kaka Umeangalia mpaka mwisho lakini?
Simba siyo kwamba inaleta wachezaji wa bovu ni wazuri sema wanalogwa na kina mzee mpili upande wa pili ogopa,,wanatumia kila mbinu namuna wanavyotaka simba kuiharibu ,marefa,uchawi ,kununua timu na kuzizamini kwenye ligi ili mradi simba apotee ,,,viongozi wasipokua makini hata kama wamulete ronado atakuja kuwa mbovu ,
🎉
Duuuuh
Acha zana za ovyo mtu kama unajua unajua tu. Kama huyu dogo apo hamna anacho cheza akija hapa unadhani atafanya nini. Mbona halogwi azizi ki. Akina kagele wamecheza mpaka wakaisha aliwaloga nani. Ama chama.
Fund la mpir lionel Christian ateba
Calm down,Kuna watu ndo wamemuona Leo af washa Anza kucoment.mchezaji haangaliwi hivo
Sure
Kwanz ww mshabiki huchangii chochote kaa kmy au uhame timu nyooo kelele tu Simba tunaipenda😊
Daaaah mbona unahasira sana
Tatizo la simba ni namba 10 sio stereka
kwanini unasema hivyo
Ahmed unajua Mpira, Simba ya Sasa ilikuwa inamuhitaji yule Charles ahoua awe sawa ili atengeneze nafasi sio streka, hatuna shida na streka lkn kwa sababu wao ndo wameamua it's okey
@@KlikHapaTV ashakujibu miraj hapo chin
Wanangu mbn tunachezewa Akili zetu mm sijaona Cha Ajabu hapo😢😂😂😂
Daaah bora mose phiri
Asante kwa maoni yako, Karibu tena Klik Hapa TV
NYINYI WAPUMBAVU AMBAWO MMETUMWA SHENZ ZENU TUACHIE NA MCHEZAJI WETU PUMBAVU
Kasajiliweni nyie sasa mnaojua maana mnatupigia kelele tu
😂
Huyo ni mzuri tena sana, tatizo letu shabiki wa simba tunataka striker awee anashinda tuu no hio so boli realmadrid kulikuwa na ronaldo kisha benzema wakati benzema ndo striker basi mbna alikuwa anapitwa idady ya magoli . Tuacheni ushabiki wa kisenge
Huyo huyo mzuri sn tuu kwanza anaweza kuficha mpira kuondoka na beki sasaa tunataka nini jengn tuacheni ushamba hebuu ikiwa kocha kamuamn ww nan usimuamin
Asante kwa maoni yako. Karibu tena Klik hapa TV
@@KlikHapaTV 😃😃😃 uswaazee mzeee hawajuwii kuwa huyo wanaemtaka wao mayele nae kwenye nafsi 4 aweza pata 1 au 2 zilizobak akakosaa me nhs ni chaguo sahihi piia kwa7b usm alger ligi yao ni ngumu mnoo tofaut n yetuu
Nyooo Tanzania ndo ligi ngumu mnoo huyu jamaa m najua wachezaji Yan Bora Yule mukwala wetu Yan kwa hio pesa borea watoe sadaka kumamamke hamna mtu humo
@@Dully_star kumbe we mpumbavu at unakaa wap kwanza stk kubishna n mpenz viaz mm
Mashabiki jamani wasimba tunaongea mno hebu tunyamaze tuwaombee wachezaji mbona wenzetu utopolo hawawasemi wakwao, tuwaombee pia nguvu za giza zipo,huwesi mjaji mchezaji utube bwana
Bonge la mchezaji huyo, punguzen maneno kila ht Hawa ambao walikichafua daby ya kariakoo juzi kipindi wanatambulishwa mliongea sana
Mchezaji au mchezeweji huy 😅😅😅😅
Asante kwa maoni yako, Karibu tena Klik Hapa TV
Mchezajii hewa huyu daah cjui scout ya simba inafelii wap
scout ya simba kweli inafeli MO inabidi alijue ilo wachezaji tunaoleyewa ni wa ovyo sana
Hapa hamna mshambuliaji 😮
Kaka hilo chezaj let nyie wachezaj wet mliwaita wazee kumbe mlikuwa mnawataka kwahy kaa kwa kutuliaa UBAYA UBWELA
Mangungu asipotoka simba, simba sahauni ubingwa!
Asante kwa maoni yako, Karibu tena Klik Hapa TV
Nafikiri Mpanzu ndiye mkombozi pekee aliyekuwa amebaki ukweli ndio huo
Asante kwa maoni yako, Karibu tena KLIK HAPA TV na Usisahau Kusubscibe channel yetu kama Bado
Dah...watu tunajua kuharibu Pesa aisee
Kwa mara ya kwanza TH-cam imeonesha ukweli namna mchezaji alivyo😂
Amna mchezaji hapa
Asante kwa maoni yako, Karibu tena KLIK HAPA TV na Usisahau Kusubscibe channel yetu kama Bado
Hamna kitu hapo 😂😂
Asante kwa maoni yako, Karibu tena KLIK HAPA TV na Usisahau Kusubscibe channel yetu kama Bado
Kwa body yake mabeki wataita maji mmaaa
Mtuonee uluma mashabiki du tunaumia😢😢
Asante kwa maoni yako, Karibu tena KLIK HAPA TV na Usisahau Kusubscibe channel yetu kama Bado
Bone la striker cjawah ona
Asante kwa maoni yako, Karibu tena KLIK HAPA TV na Usisahau Kusubscibe channel yetu kama Bado
Yipe alo changamka😅😅😅
Tusubirie muda
Niwa jinga kwakuona siklls
Asante kwa maoni yako, Karibu tena KLIK HAPA TV na Usisahau Kusubscibe channel yetu kama Bado
Hapa hamna mchezaji viongozi simba upigaji mwingi
mwaka huu Mo alisema anaingia mwenyewe kwenye usajili
Mh mh mh mh napita me pia nimeujulia mpira ukubwan
Kama mna leta chezaji wa ivi siafadhali muache kusajiri fact afai kabisa
😂😂
Kweli baba
Mmezidi kila kitu akifanya simba kwenu nongwa kwani ni wakwenu uyu achaneni na msimbazi bnaa
Asante kwa Maoni yako
Amna mchezaji apa
Asante kwa maoni yako, Karibu tena Klik Hapa TV
Mh mbona celew hapo amna skills zozote magoli Amna nn hicho ukwel cjaelewa chochote mchezaji mzuri tuongeona magoli kama yote hapo😂😂😂😂
Mwambieni gemu ijayo ni tarehe 19 mwezi wa 10,2024!
Tunashukuru kwa maoni yako, Karibu tena KLIKHAPA TV
Hatuogopi
Hiyo mashine nyie
Amna kitu
Asante kwa maoni yako, Karibu tena Klik Hapa TV
Skauti ya Simba 😂😂😂 Sasa huyu n Koblan Nani zaidi 4:46
😂
Mpira una mambo mengi kuna kuendana na Mfumo wa falsafa ya uchezaji wa timu pia.
Asante kwa maoni yako, Karibu tena KLIK HAPA TV na Usisahau Kusubscibe channel yetu kama Bado
Anazurura tu uwanjan nikama jobe😂😂😂
Asante kwa maoni yako, Karibu tena KLIK HAPA TV na Usisahau Kusubscibe channel yetu kama Bado
Simba kama machoko😢
😂
Hamna mchezaji hapo😅
Kuna nini
Mzuli jamaa subilini muone anajua
Asante kwa maoni yako, Karibu tena Klik Hapa TV
Viongozi waliopo simba wengi ni madalali
garasha
Asante kwa maoni yako, Karibu tena KLIK HAPA TV na Usisahau Kusubscibe channel yetu kama Bado
🤣🤣🤣🤣🤣aseee simba tunautanii huyuuu bora htaaa jobe
Asante kwa maoni yako, Karibu tena KLIK HAPA TV na Usisahau Kusubscibe channel yetu kama Bado
Wawastan ila siyo mbay
Asante kwa maoni yako, Karibu tena KLIK HAPA TV na Usisahau Kusubscibe channel yetu kama Bado
highlights za ovyo, si usngepost, au huwez kutafta, kupotezeana muda tu
Weka za kwako kaka, ili Upunguze Makasiriko
Ndio uwezo wake huyo mchezaji ulitaka aonyeshwe anafunga magoli? Au
@@damianmcba9525 Acha shobo babu, Mvp anaoneshwa magoli mawili unasema ndo uwezo wake, tumia akili we fala
@@KlikHapaTV we umeweka
Huyu jamaa hajanivutia hata kidogo labda aje abadilikie huku
Anaweza kubadilika labda
😅😅😅😅😅
Huyo nigalasha Bora fredi maick
Fred inaonekana Kocha hamkubali kivile
Simba hiyu si mchezaji tafuteni mwingine.
Asante kwa maoni yako, Karibu tena Klik Hapa TV
Yaani simba cjui tuna mkosi gani tokea alivyo ondoka kagele hatuja wahi kupata 4wad wa uhakika
Asante kwa maoni yako, Karibu tena KLIK HAPA TV na Usisahau Kusubscibe channel yetu kama Bado
daah wakawaida tu sion maajabu anyway ngoja tutamuona
Asante kwa Maoni yako
Sijamkubali
Asante kwa maoni yako, Karibu tena KLIK HAPA TV na Usisahau Kusubscibe channel yetu kama Bado
Kwani chama wakati anakuja si mlimuona kituko
sidhani kwa Chama kama ilikuwa hivi
Nyie utopolo acheni kelele
Asante kwa maoni yako, Karibu tena Klik Hapa TV
Apo tumepigwa
APEWE Muda
Umeona😂😂😂
Bora wangeeacha tu
Asante kwa maoni yako, Karibu tena Klik Hapa TV
Ngoja tusubir tuone
Asante kwa maoni yako, Karibu tena KLIK HAPA TV na Usisahau Kusubscibe channel yetu kama Bado
Simba siyo wajinga kulipa 520M
Usm Algiers sio wajinga pia kumuachia , huku wakipata hasara ya mil.200+ , kumbuka nao malengo yao ni kufanya vzur kwenye cafcc
Asante kwa maoni yako, Karibu tena Klik Hapa TV
Unajua mashabik wang wasimba nashindwa kuwaelewa
kwanini kaka?
hawajui mpira hata kidgo ndo shida😂
ange ondoka ayubu kwakua majelui abak vnja bey
Asante kwa maoni yako, Karibu tena Klik Hapa TV
Ngoj tuon uwanjan
Asante kwa maoni yako, Karibu tena KLIK HAPA TV na Usisahau Kusubscibe channel yetu kama Bado
Hakuna hela ndio maana!
Asante kwa maoni yako, Karibu tena Klik Hapa TV
Alafu nyie watu wa yanga kwanini msikomenti kwenye timu yenu uyu sio mchezaji wenu anajua ajui ni wasimba embu fanyenyi yenu ss simba atufatiliii wachezaji wenu nyie viherehere vimewadi achaneni na simba yetu nanyi mbaki na yanga yenu
Asante kwa Maoni yako
Ninyi Simba Nan katuloga 😳😳😳
😂😂😂 kwanini
😂😂😂
APA tume pigwa
Umepigwa ww
Asante kwa maoni yako, Karibu tena KLIK HAPA TV na Usisahau Kusubscibe channel yetu kama Bado
Hakuna straika hapa kwanza mzito Bora ya koblan, wakituletea huyu viongozi watafeli
Asante kwa maoni yako, Karibu tena Klik Hapa TV
Hapo tumepigwa tena hakuna mchezaji hapo
Ni vyema Kusubiria muda uzungumze
Mpira nyinyi mmeujulia ukubwani sio kila mchezaji mzuli mpaka afunge watu wanaangalia umiliki wake wa mpra mbwa Koko nyie kubwe kila wakati
Tulisikia simba wanatafuta mtu wa kutupia nyavuni,,, kuwa tatizo ni goli,, kumbe wanatafuta mtu wa kumiliki mpira?
Mkwala no mzuri niambie Hana hata goli akifika ndani ya 18 anapiga ovyo viongozi kuweni makini
Asante kwa maoni yako, Karibu tena Klik Hapa TV
Bora valentino mashaka kuliko huyo... Sijui viongoz wa simba wamelogwa huyo wanampeleka wap hana hadhi hata ya kuchezea coastal union
Kwamba Huna Imani naye kabisa
Weee tena shika adabu yako mashaka na huyoo au ww kumbee hujuwi boli at yule mashaka sijuwi hata kwa nn amesajiliiwa kwa kweli ni mbovu hatariii
@@princeleesimba353Mmeanza mapema ligi haijaanza, wakt juzi tu mlifungwa na Yanga goli moja mkasema wachezaji hamuwadai leo tena siwo jamani!
@@mussammanga7791 wewee huyo ateba so wa kumbeza kisi y kwamba unamfananisha na mashaka ndio nikasema mashaka kwa huyuu ni mbovu sn ateba n mzur sn
@@mussammanga7791 kwanza mm sina mashaka na timu yangu mzeee sjuw umeelewa hpoo eeee inapaswa ukumbuke hata barselona ilikuwa n yamoto asaiv wap huuo ndo mpira mzeee ... au ww unatizama mpira wa simba n yanga eee kama unakaa mikowani hukoo usibishne kuhusu mpira tafadhali
Ovyo akuna m hezaji hapo
😂
Kama ni huyu du😅😅
Ananini kwanini?
TUKIRI KWAMBA HATUNA TEAM NZURI YA SCOUTING..AFRIKA INA VIPAJI VINGI SANA KWENYE MAENEO YOTE UWANJANI, NI SUALA LA HELA TU KUPATA QUALITY PLAYERS. TUACHANE NA HAWA WACHEZAJI AMBAO HAWANA LOLOTE. TUJIFUNZE KWA YANGA LINAPOFIKA SUALA LA KUSAJILI WACHEZAJI WAZURI NA WENYE MSAADA KWA TEAM
Asante kwa maoni yako kaka, Karibu KLIK HAPA TV
Nyinyi si wakubwa kwanini mjifunze kwa Yanga?
@@mussammanga7791 hahha
@@mussammanga7791Tujifunze kwasabab matako yako ya macho hayaoni sasa NI misimu mi 4 yanga wanatuzidi kusajili kubaaabako elewa bhacy Acha ukuma wakichawa kabaabako
Mfumo wako wa fahamu umeungana na mfumo wa mavi 😂😂
Mnapoleta mchezaji kama huyu caocher mmemshirikisha af mbona ka vile hamna mchezaji hapa
Taarifa zinasema ni pendekezo la kocha
Hamna streka hapa
kuna nini
Hamna kitu wote na Fred ndio hao hao tuuuu
Asante kwa maoni yako, Karibu tena Klik Hapa TV
Simba haina viongozi jman asa wanamsajili huyu ndgu ake na jobe da
😂😂😂 Huwezi kujua labda yaliyomo yamo
HAKUNA MCHEZAJI HAPA...KAMA NI KWELI VIONGOZI NA KOCHA WAMEMPENDEKEZA HUYU NDIO AONGOZE SAFU YA USHAMBULIAJI, BASI TUSITEGEMEE MAAJABU YOYOTE. HIZI HELA SI BORA WATAFUTE MCHEZAJI WA NDANI MWENYE UZOEFU NA LIGI
Wa ndani kama nani?
Mzize
@@KlikHapaTV watanzania NI wengy wanaojua kukoemesha kama wale wakina lusajo bonge za wachezaji ila wamekosa team kubwa Tu Yan team yetu mafala kweli yan
Hakuna mchezaji humu
hahaha
Hakuna mshambuliaji hapa....Bora hata ya mugalu
Tunashukuru kwa maoni yako, Karibu tena KLIKHAPA TV
Kiukweli viongozi wa simba kila siku watakuwa wanavunja mikataba ya wachezaji unasajili mchezaji hata takwimu hana alafu unaenda kumsaji viongozi wameja siasi tu na projo.
Asante kwa maoni yako, Karibu tena Klik Hapa TV
Kwa akili yako USM walinunua mchezaji mbovu, walivutiwa na uchezaji wake ndo maana walimupa miaka 2.5 kwa kiwango chake.
Kwa usajili huu makombe tutachukua ndotoni furkin kabisa
Hujui chochote
Asante kwa maoni yako, Karibu tena Klik Hapa TV
Dilisha dogoo hatoboi daa ilaviongoz wet hawa daaaa😢😢😢
Tunashukuru kwa maoni yako, Karibu tena KLIKHAPA TV
amna kitu hapa tushapigwa tayari
Kwanini?
Kwenda zako utopolo wewe
Punguza hasira
Tusiwe wajinga huyo mchzaji wa hovyo bora fredy maiko kuliko huyo
Asante kwa maoni yako, Karibu tena Klik hapa TV
Sasa ww unasema wa ovyo mwambie baba yako amsajili anefaa ili umpeleke unabwabwaja tuh hata mia hauna pusi ww
Jobe mtubu tunapigwa hapa kwani viongozi hawajui kuhusu mabululu na fiston mayele hiki kiaz kabisa
MAYELE kwasasa Pyramids wenyewe hawataki kumuachia?
Utaweza kuvunja mikataba yao?
Utaweza kuvunja mikataba yao?
Sasa borea waache kuliko kusajili kituko
Sio mbaya, atakaa bench, atacheza mukwala, kama akiendelea kuwa hv
😂
Sijaona maajabuw