HANS RAFAEL: KUONDOKA AUCHO, PACOME YANGA NI ANGUKO KUBWA/ KUPATA MCHEZAJI NI KAMALI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 18

  • @pena_tz
    @pena_tz 21 นาทีที่ผ่านมา

    Mimi naona wamefeli waliomleta , na hata huyu aliyetoka singida msimu ukiisha bye bye

  • @HarounKuyawa
    @HarounKuyawa 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Ingekuwa kweli Yanga wangekuwa wanalipa vizuri,bac wacngekuwa wanalipa vizur bac wacngekuwa wanapelekwa Fifa kisa madeni.

  • @biggievandar254
    @biggievandar254 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Ila hii radio daah

  • @TajiriPoti
    @TajiriPoti 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Nyinyi ni mafara mmetumwa kuichafua yanga tupo imara aliyewambia wanaondoka ninani mafara nyinyi

  • @TajiriPoti
    @TajiriPoti 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Njaa inawasumbua kenge nyinyi

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    HICHO CY KIBURI BALI NI KUWABANIA WACHEZAJI

  • @chisongastephen7299
    @chisongastephen7299 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hans unaweza sana,ila huyo Geofrey ni snitch sana kwako kaka

  • @jamespeter2187
    @jamespeter2187 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Achani uchoko yaani kipindi kizima ni yanga yanga yanga

  • @asifznz
    @asifznz 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    HI RADIO SIKU YANGA IKWALIPSHA MABILIONI YA FIDIA YA PESA ,NDIYO WATAJUA KUNYAMAZA KIMYA,CHUNGU IKO JIKONI WEWE NGOJEA TU

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    HAYO NI MANENO YA MKOSAJI. MBONA NA WAO WACHEZAJI WANAOONDOKA TIMU NYINGINE MBONA WANAWACHUKUA? INA MAANA HUWA MAISHA YAO YAMEFELI?

  • @crazydaddy9217
    @crazydaddy9217 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Hans unaongea kama unofficial partner wa matahira fc (🐸)
    1. Unaongea kuwa wana viburi vya kukataa offer hemu lete ushahidi wa offer zilokuja na sio kusema matahira wamesema wamepokea offer matahira fc ni watu qa siasa tuu
    2. Kuhusu mambo ya mikataba hapa tz hakuna team ipo hovyo kwenye masula ya mikaba kuliko matahira fc (🐸)

    • @yokoi-u3g
      @yokoi-u3g 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Hans much know sana na to to to much talking na zaidi kujiona na kwann useme kitu cha viongozi acha kuongea sana kma dada zako

    • @SimonMabigi
      @SimonMabigi 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Taila mama ako unafilwa

    • @SimonMabigi
      @SimonMabigi 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Taila mama ako dunduka we

    • @crazydaddy9217
      @crazydaddy9217 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @SimonMabigi Hahaha dawa imeenza kufanya kazi

  • @saidimaloya4549
    @saidimaloya4549 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hivi mayele anacheza ndani ya Tanzania?

  • @vascombembela3632
    @vascombembela3632 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kiburi inawezekana ikawa ubabe ni siyo uwezo wa kuwalipa vizuri, usisahau Raphael ni kiburi cha yanga kilimfanya Feitoto aondoke! Kwenye kulipa vizuri wachezaji nchi hii hakuna club inayoifikia Simba SC. Hans Acha kudanganya watu kisa Tu ushabiki na unazi na utopolo yako.

    • @ibrahimbenedict1513
      @ibrahimbenedict1513 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kafa.....la sana haka katotoooo. Akili kisoda