unaulizwa simple and clear watu tunasubir andiko ila unakuta mchungaji anazunguka mwisho hatoi ata andiko anaona kamaliza😂 me naskiliza kwa umakini ila sioni wakristo wakijibu maswali. sasa mtatu-convince vp kuja kwenye dini ya wakristo?
Shafii hajakimbia ulikua mjadala wa waisilamu haukuwa mjadala wa shafii pekeyake.shafii siyeye aliepanga nanianaaza.Nndacha kamawamtaka shafii pekeyake ungeandika barua ya kumtaka shafii pekeyake.ukae meza moja na shafii ndio ujue KOBE hapimwi joto.
@@mwinyiswaleh8388 Shafi anakwepa Ndacha sana. Huu mhadhara ulikuwa uwe kati ya Ndacha na Shafi. Kuna videos Ndacha ameomba mhadhara na Shafi na huyu amekubali. Lakini kwa mhadhara ni wengine, na nyinyi waislamu acheni kuomba omba pesa kwa kupoteza wakati...
Ndacha kazi yako manen
Wewe ni kuni tu!
Ngoja ufe ukachomwe tu, huna jipya
unaulizwa simple and clear watu tunasubir andiko ila unakuta mchungaji anazunguka mwisho hatoi ata andiko anaona kamaliza😂 me naskiliza kwa umakini ila sioni wakristo wakijibu maswali. sasa mtatu-convince vp kuja kwenye dini ya wakristo?
Kumbe makafiri ndio wanakata Muhammad sio mtume ni wakristo
Sule tulia upate kibano😢
huyu shaffi mwoga kakimbia mwalimu ndacha huyu mwoga wa mwisho huyo
ndacha "sijapata mda wa kutosha wa kupambana na hoja zao" 😂 wenzako wala hawajatenga mda kupamban na we😂
Kwahakika ndacha yuko sawa ela Waislamu nimayahudi moto jehanamu ndio tarajio lao
Tangu lini waislam wakakimbia makafiri, uyu ndacha anatetea fungu la kumi na haliko ndani ya bibilia
Na shafi na je
Mmmm!Ndachaaa.
Natoka kenya mm mcha Mungu Andrew chivatsi, mm ni mwamuzi wacha Yesu aje
Ndacha ww hata ukishindwa huezi kukubali mada ya uungu wa yesu Docter Sule alikushinda kwa hoja ulishindwa kusibitisha uungu wa yesu
. Ona mazinge alia kwa unafiq😂😢
Shafii hajakimbia ulikua mjadala wa waisilamu haukuwa mjadala wa shafii pekeyake.shafii siyeye aliepanga nanianaaza.Nndacha kamawamtaka shafii pekeyake ungeandika barua ya kumtaka shafii pekeyake.ukae meza moja na shafii ndio ujue KOBE hapimwi joto.
Huyu shaffi aezi ndacha ata aje na majini, ikiwa kina maxinge,sulle walishindwa,huyu shaffi ni kama chai kwa ndacha
Wafuasi wa marehemu Muhammad wameshindwa kabisa. Poleni. Mazinge, Dr Sule wameshindwa kabisa. Ndacha ni Mwalimu kweli kweli.
😂😂 unajifariji sana😂
@@Mrlover8435 pole sana kwako
Shafii nimsomi Nndacha hamuwezi.kamaunabisha Ndacha kaameza moja na Shafii.ndio utajua Kobe hapimwi joto.
@@mwinyiswaleh8388 Shafi anakwepa Ndacha sana. Huu mhadhara ulikuwa uwe kati ya Ndacha na Shafi. Kuna videos Ndacha ameomba mhadhara na Shafi na huyu amekubali. Lakini kwa mhadhara ni wengine, na nyinyi waislamu acheni kuomba omba pesa kwa kupoteza wakati...
Unakijuw unachosema au ndo unajifariji tu😅😅😅😅
Hoja gani munayo NYIE makafiri yakufanya shafii akimbie
Hata maana ya kafiri hujui
Hedayaaa mwenyezimngu humuhidisha mjaa wake Amtakayeee …ndacha mwenyezimngu haja mtakaa kumuhidishaa
Shafi si muogaa haogopi ela anamuogopa mwenyezimngu …..ndachaa manenoo afuwatee ukwelii
Shafi mwoga
me sioni wakristo wakijibu mada kama wanavyoulizwa. sjui kwann yani 🤔
Shafii kakimbiaaa😂😂😂
Ndacha maneno mengi hatumii maandiko anapaparika Tu ,,,tangu lini Mtu anafuta mavi kwa tishu akawa na akili
Hawamuwezi ndacha kamwe ndacha ni genius
kambia hoja
Mwoga shafi siasa pembeni
😂😂😂shafi na waadhir wa kiislam wana wachapa kwa hio hio bibilia yenu inatosha kuwachapa nayo 😂😂😂😂ndio mujue hamuna jipya mukiambiwa mutoe andiko muna zunguka zunguka tu kukaidi maandiko ya bibilia yenu😂😂😂😂😂😂😂
Vile mutume muhammed kasilimisha majini kapawa zawadi na Mungu yakuishi Jehanamu poleni Waislam
Shafii umekimbia bhana kwan hukujua ww si ndo ulitangaza mkiwa pamoja tena ilikuwa Alhamis nenda pale kwa discussion au debate usijifiche
Shafi mwoga