KIJANA WA KITANZANIA ALIYEBADILI IST YAKE NA KUWEKA MFUMO WA GESI “NAOKOA ELFU 25 KWA SIKU”

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2024
  • Philipo ni kijana wa kitanzania ambaye amejiajiri kwa kufanya kazi ya udereva wa taxi za mtandaoni, mwaka 2018 alikata tamaa na kutaka kuachana na kazi hiyo sababu ya gharama za petrol kuwa juu na ndipo alipoamua kubadili mfumo wa gari yake Toyota IST ianze kutumia gesi na sio petrol.

ความคิดเห็น • 126

  • @iddypandu4285
    @iddypandu4285 3 ปีที่แล้ว +10

    Huo mtungi wa gesi kwa kweli ni mzigo na unachukua nafasi ya kueka mizigo huko nyuma ...maboresho zaidi yanahitajika kwa kweli

  • @najifa2012
    @najifa2012 3 ปีที่แล้ว +5

    Habari?
    Mimi ni mtumiaji wa Gesi kwenye gari kwa miaka miwili sasa.
    Interview fupi haijajumuisha mambo mengi sana kuhusu gesi hiyo, ambayo imeleta maswali mengi hapa kwenye comment chache nilizosoma.
    Kwanza gesi inayotumika ni aina gani?kuondoa hofu kwa watumiaji.
    Pili faida na hasara za kutumia gesi kwenye gari.
    Mwisho ni uwezo au nguvu (Pulling) ya gari unapotumia gesi kwenye gari unaongezeka au kupungua.
    Sijajua muuliza maswali au mtu waliyepata kueleza ndio mlikosa.
    Ahsante.

    • @TechAfrica
      @TechAfrica 3 ปีที่แล้ว

      Naomba wewe utujibu hayo maswali ili tujifunze, Asante

    • @evaristmarco7697
      @evaristmarco7697 3 ปีที่แล้ว

      Uko vizuri

  • @ahmadnassor7375
    @ahmadnassor7375 3 ปีที่แล้ว +5

    Technology inakua sana . kwa.wale wa mtwara nadhan mnaziona Lory za Dangote kwa sasa nyingi zina mitungi ya Gas zinatumia. Ivo hata wale wa diesel mnaweza watafuta Dangote management mtwara wawaambie wanafanyaje. Its not new things

  • @khalidtv6200
    @khalidtv6200 3 ปีที่แล้ว +16

    Naiona hiyo biashara ya mfumo wa biashara ya Gas za magari kuwa kubwa zaidi miaka michache ijayo

    • @Wiz_greecho
      @Wiz_greecho 11 หลายเดือนก่อน

      Ila serikali yetu itaweka kodii izo ADI gesi tutaiyona chungu bro

  • @borntown6945
    @borntown6945 3 ปีที่แล้ว +23

    ANAESOMA KOMENT KAMA MM LIKE TWENDE SAWA😀

  • @mopimanta5250
    @mopimanta5250 3 ปีที่แล้ว +12

    Nashaur
    1. wataalam wa hii wawe na IPR (Intellectual Property Right) ili kulinda taaluma yao.
    2. Vituo vya kuweka gesi viwe vingi hadi mikoani.
    3. Umma tupewe elimu, hususan wamiliki wa magari.

    • @nrwawanndeny7394
      @nrwawanndeny7394 3 ปีที่แล้ว

      Wazungu wanayo tayari

    • @ahmuhally4430
      @ahmuhally4430 3 ปีที่แล้ว

      Vituo kuwa vingi inategemea na idadi ya wateja wa system hiyo kwanza

  • @hallin9561
    @hallin9561 3 ปีที่แล้ว +4

    Hii technologia imeanza kutumika ulaya tangu 80's. Sisi tu waafrica tunachelewaga sana kufikiwa na technologia za kigeni

  • @tracogenes.u60
    @tracogenes.u60 3 ปีที่แล้ว +3

    Woow namimi nahitaji matangazo ya kazi zangu.

  • @salumtama9481
    @salumtama9481 3 ปีที่แล้ว +4

    Jamaa noma sana

  • @IbrahimMohamed-fk5cc
    @IbrahimMohamed-fk5cc 3 ปีที่แล้ว +1

    Nilisikiaga Iran Magari yao yanatumia Gas like 10 years ago msi mnajuwa sie tulikuwa nyuma kidogo mfano train ya umeme ndio tunaanza soon lakini wenzetu walianza kitambo lakini mbeleni kwa kweli tutaamia kwenye Gas pia hata china kuna mji awayataki magari ya petroleum wao ni gas tu au Tz kwa sasa kupikia ni gas kwa asilimia kubwa🙏🙏🙏

    • @IbrahimMohamed-fk5cc
      @IbrahimMohamed-fk5cc 3 ปีที่แล้ว

      Pia tushukuru Mungu nchi yetu tumebalikiwa na Gas mfano mwengine Magari ya kubeba cement ya Dangote pia wanatumia gas kwa mfanya biashara yoyote kwake ni furahaa coz atasave hela nyingi yaani tuchukuwe 25000x30=x10=7500000 kwa miezi kumi kwa mtu anaye juwa kusave ni lazima apate maendeleo mfano kwa mda huo unao uwezo kununuwa kiwanja cha kupima nje ya mji mfano kibaha au kwengine believe that na mwaka wa pili ukaanza ujenzi mwaka wa 3 unaamia kwenye nyumba yako pia ukitaka ramani nicheki au ntakutajia website utazikuta ni bure au pia nenda kwenye Instergram account yangu ni (Ibrahimkingstone) utazikuta napenda watu waendelee

  • @kisaga
    @kisaga 3 ปีที่แล้ว +7

    mie nafkiri bwana dereva wa uber usije kujisahau mara kwa mara pia uwe unaangalia (fire extinguisher) yako kama ipo imara likitokea janga lolote la moto.

    • @junioryasin5306
      @junioryasin5306 3 ปีที่แล้ว +2

      Ipo sku haina jna atajuta

    • @borntown6945
      @borntown6945 3 ปีที่แล้ว +1

      Tanzania Raha sana sihami mm😀

    • @nicospack3893
      @nicospack3893 3 ปีที่แล้ว +2

      @@borntown6945 😀😂🤣

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 3 ปีที่แล้ว +2

    Tatizo tz serekal haitaki kuchangamkia fursa ..gesi ipo. Lkn hawataki kutumia .. vitechnologia vidogo tu vinawashinda...lkn tunasikia..watu wanamaelim kibao sijui ya nn

  • @richardayoub7711
    @richardayoub7711 3 ปีที่แล้ว

    Kijana big up Sana.

  • @HealthyMindtz
    @HealthyMindtz 3 ปีที่แล้ว

    Nakubali philipo .. IST yetu naona imenoga.

  • @kalaisonimwampashi-1gym387
    @kalaisonimwampashi-1gym387 3 ปีที่แล้ว +1

    Safi 🙏🙏

  • @Mzayanine
    @Mzayanine 3 ปีที่แล้ว +2

    Huyu muongo mafuta ya 40k kwa uber that's not really,uber sio rahisi kutumia mafuta ya elfu 40,kwa trip town sio kwa ist

    • @aggreyenock1221
      @aggreyenock1221 3 ปีที่แล้ว

      Kabisa

    • @chax255
      @chax255 3 ปีที่แล้ว

      Unajua wateja wake anatega wp anafanya kazi masaa mangapi kwa siku? Je anatumia uber tu au na bolt. Wajuaji sana wabongo.

    • @Mzayanine
      @Mzayanine 3 ปีที่แล้ว

      @@chax255 kama unaongea bila ya experience ya haya mambo,kunyamaza ni bure

    • @najifa2012
      @najifa2012 3 ปีที่แล้ว

      Wewe ndio muongo mafuta 40 machache.

    • @Mzayanine
      @Mzayanine 3 ปีที่แล้ว +1

      @@najifa2012 kama tukifanya umeshinda kutakua na tatizo gani

  • @user-rl1vr1fd1r
    @user-rl1vr1fd1r 3 ปีที่แล้ว +3

    Uber na IST nyingi zinatumia gesi siku hizi

  • @newbornhaule1635
    @newbornhaule1635 3 ปีที่แล้ว +2

    Kazi Nzuri Hivi ikipata ajali si lazima ilipuke hii

  • @tuinukecommunityempowermen2158
    @tuinukecommunityempowermen2158 3 ปีที่แล้ว +2

    Magari ya Dangote nayo, yanatumia Mfumo wa gesi.

  • @kiri5807
    @kiri5807 2 ปีที่แล้ว

    Hiyo miyungi ya gas imethibitishwa ? Temperature yetu ni kubwa hakuna hatari yakuripuka?

  • @khalfanibobewe4278
    @khalfanibobewe4278 3 ปีที่แล้ว +8

    Mh! kwa ninavyo ifaham ges huo mchezo siwezi kuufanya hata kidogo

    • @mudriqhamidu6031
      @mudriqhamidu6031 3 ปีที่แล้ว

      Ni aidiya mzr bt ni hatari zaid cz ges km ges haitaki miki miki ni bidha inatoitaji utulivu sn

    • @masterdaveprojections
      @masterdaveprojections 3 ปีที่แล้ว

      Hatari ya patrol je, zote ni nishati nomaaa na hatari sana

    • @samwelsengati1369
      @samwelsengati1369 3 ปีที่แล้ว

      Hamna chochote mzee hata petrol ni hatar

    • @BenLeeBl
      @BenLeeBl 3 ปีที่แล้ว

      Hakun nafuuu...zote n hatari

  • @kato_tz
    @kato_tz 3 ปีที่แล้ว +2

    Sasa hivi nikipanda Taxi au Uber nitakuwa namuuliza Dereva kama anatumia gas au Mafuta, kama ni gasi nashuka maana unaweza kukuta kama mko jikoni hivi mnatokota ah ah

  • @junioryasin5306
    @junioryasin5306 3 ปีที่แล้ว +3

    Mambo ya ges syo yakuzoea yanahtaj umakn sana

  • @maalimmachichanatangu2609
    @maalimmachichanatangu2609 3 ปีที่แล้ว

    Kiwango hicho tunaitaji wadau pamoja na selikali ili kuwez kutizam kama fulsa itakayoweza kukuza na kuleta maendeleo makubwa katika taifa pia Kuwait wafanya biashala ya petrol nawo wawez kufafanuwa ni jis gani iweze kufany ili iselet hasala kwao pia kwa selikali pia kwa wananchi kijumla

  • @mohamedfaris3000
    @mohamedfaris3000 3 ปีที่แล้ว +2

    Kwann Tz musitengeneze kiwanda cha kutengeneza magari yaani otamatic yake ni gesi na sio mafuta, tfdhl comment kwa ushauri zaidi, au taaluma zaidi inahitajika?

    • @nrwawanndeny7394
      @nrwawanndeny7394 3 ปีที่แล้ว

      Reginald Mengi alikua na mpango huo na tayari alishaufanyia majaribio ila isivyo bahati roho yake ikaacha mwili

    • @emmanuelbitungwa766
      @emmanuelbitungwa766 3 ปีที่แล้ว

      Uko nje ya Tz?

    • @nrwawanndeny7394
      @nrwawanndeny7394 3 ปีที่แล้ว

      @@emmanuelbitungwa766 hapana

  • @benedictorkambanga5209
    @benedictorkambanga5209 3 ปีที่แล้ว +2

    Ndio mnagunduwa Leo mbona kitambo na sheli zame zipo ubungu

  • @josephemmanuel3175
    @josephemmanuel3175 3 ปีที่แล้ว

    Watakuuwa bro

  • @lirastanley390
    @lirastanley390 3 ปีที่แล้ว

    Wenyewe wanajua au maana hiki ni kifungo ujue ni uharibifu wa brand za makampuni ila congratulations kwa waTanzania wenzangu ubunifu ndio maisha

  • @brianmayunga1010
    @brianmayunga1010 3 ปีที่แล้ว

    Hii ipo sana China

  • @musaguga
    @musaguga 3 ปีที่แล้ว +2

    Bila Shaka anaua biashara ya petrol

  • @callebjoshua7117
    @callebjoshua7117 2 ปีที่แล้ว

    uwo mtungi si unauwa shock up

  • @armanichicandow1225
    @armanichicandow1225 3 ปีที่แล้ว +1

    mtawaua njaa waarabu

  • @charlesschamngadya1998
    @charlesschamngadya1998 3 ปีที่แล้ว +1

    Saf Sana

  • @hassansultan6511
    @hassansultan6511 3 ปีที่แล้ว +2

    Mi naona kwa watanzania sis tutakuja kulipuana na ges

  • @highvoltages4169
    @highvoltages4169 3 ปีที่แล้ว +5

    Anaokoa 25,000/=kwa simu 1,
    Kwa wiki anaokoa 175,000/=
    Kwa mwezi anaokoa 700,000/=

    • @mussaabdiel9797
      @mussaabdiel9797 3 ปีที่แล้ว +1

      Iko sawa lkn soko la mafuta bd liko wazi

    • @latifamkulazi8378
      @latifamkulazi8378 3 ปีที่แล้ว

      Kwa mwaka 9000000

    • @ngwelesalu8348
      @ngwelesalu8348 3 ปีที่แล้ว

      @@mussaabdiel9797 Tanzania tuna ges ya kutosha itasaidia kutengeneza Soko la gasi yetu

    • @kalumbugideon4159
      @kalumbugideon4159 3 ปีที่แล้ว +1

      Gesi yetu itatusaidia Sanaaaaaaa....ni mapema mno hila Mungu atusaidie Sana...tunahitaji Sana Elimu....

  • @alhamud2721
    @alhamud2721 3 ปีที่แล้ว +1

    Mmmmmh makubwa

  • @evaristmarco7697
    @evaristmarco7697 3 ปีที่แล้ว

    Ni gesi ya aina gani kwanza ?,
    Sio tu gesi ,gesi mnawapa watu hofu
    Muuliza maswali tafadhari hii interview inabidi uiludie au uende kwa hao wanaofunga huu mfumo ili watu wapate kuelewa zaidi

  • @ussimohamed6344
    @ussimohamed6344 3 ปีที่แล้ว

    Huu mfumo wa gesi ni mzuri sana kwa mazingira Pia. Itakuwa vizuri Kama watautangaza ili jamii watumie mfumo hii. Sababu inachangia Pia kupunguza marazi ambayo jamii inapata kutokana uharibifu wa mazingira.

  • @ayubuhamimu1440
    @ayubuhamimu1440 3 ปีที่แล้ว +3

    Thats danger

  • @zakariageorge8657
    @zakariageorge8657 3 ปีที่แล้ว

    Ninavyojua gesi ukiibeba lazima ukitaka kuitumia usubili mda wa dk kadhaa ndo itumike kwa sababu ya mtikisiko,sasa je unapoendesha gari manake mtikisiko upo mkubwa sana hususani kwenye matuta,hiyo hali ipoje kitaalamu kulingana na huu mfumo huu wa gari?

    • @davieabsonvlog2656
      @davieabsonvlog2656 3 ปีที่แล้ว +1

      Gas ni tofauti boss sio zote zinafanana

    • @badigrandson1728
      @badigrandson1728 3 ปีที่แล้ว

      Tuulize sisi waendeshaji ma gas tankers

    • @josephatjoseph1755
      @josephatjoseph1755 11 หลายเดือนก่อน

      @@davieabsonvlog2656 hii hailipuk kirahisi sio

  • @sigbelitusmtatina2601
    @sigbelitusmtatina2601 3 ปีที่แล้ว +3

    Brother brother tupo pamoja

    • @husseinhassan6438
      @husseinhassan6438 3 ปีที่แล้ว

      Pia gesi ni environmentally good hai leti pollution . Gari kati kati ya mji zote ibadilishiwe kwa gesi.

  • @keagleeagle821
    @keagleeagle821 3 ปีที่แล้ว

    Naona mwaka mmoja uliipita mlitoa hii story ya magari ya gas

  • @drroble.gurhan3594
    @drroble.gurhan3594 3 ปีที่แล้ว

    GAS Nihatari kwa maisha mwanadamu.

  • @Sokesia
    @Sokesia 3 ปีที่แล้ว +1

    *Nikajua SABUFA kumbe gesi*

  • @chrispinchristopher3914
    @chrispinchristopher3914 3 ปีที่แล้ว

    Sasa hiyo si hatari jamani bahati mbaya ukipata ajari hiyo gesi ikapasuka itakuwaje

    • @maujanjatv24h41
      @maujanjatv24h41 3 ปีที่แล้ว +1

      Tatizo ulikimbia chemistry 😂

  • @dennisafricana7630
    @dennisafricana7630 3 ปีที่แล้ว

    Ana save 175k kwa week ambayo ni 700k kwa mwezi 🤯

    • @kevonash3494
      @kevonash3494 3 ปีที่แล้ว

      Ahh we 😁 iyo esabu yake ya mdomoni tu

  • @moricemorice75
    @moricemorice75 3 ปีที่แล้ว

    Naona Sasa tunaendelea

  • @fadhiliswidhun9779
    @fadhiliswidhun9779 3 ปีที่แล้ว

    M bado mfumo wao ingewezekan mtung usikae butini ningeunga mkono lakn bado natafakar itapendeza sana kama japan wakizileta zenye mfumo huo tu huu wa kbongo bongo mmmh vp usalama wake lakn nafas bado inachukuliwa na mtungii

  • @salimbabz3070
    @salimbabz3070 3 ปีที่แล้ว

    Wole wako usije ukaingiwa nyuma kisawa sawa uta shangaa na mlepuko

  • @qassimayoub1616
    @qassimayoub1616 3 ปีที่แล้ว

    Kitakachokikuta m simo

  • @josengumbi4029
    @josengumbi4029 3 ปีที่แล้ว +1

    Ikitokea umepata ajali naikatokea rikeji vip hautokei Moto.

    • @davieabsonvlog2656
      @davieabsonvlog2656 3 ปีที่แล้ว

      Hata petrol ikitokea likeji kwenye ajali ni moto unawaka

  • @pressuresmasululi4212
    @pressuresmasululi4212 3 ปีที่แล้ว

    Gas ni nzuri,ila nawaomba wajaribu kumodify mitungi wa gas,waubadili shape unachukua nafasi kubwa sana.

  • @shabanimbenu2163
    @shabanimbenu2163 3 ปีที่แล้ว +2

    UKO VIZURI KWA MAELEZO🙏

  • @charlesschamngadya1998
    @charlesschamngadya1998 3 ปีที่แล้ว +2

    Du nimekubal

  • @othumanlorenzo260
    @othumanlorenzo260 3 ปีที่แล้ว

    Kiboko kabisa

  • @mursallusinde9189
    @mursallusinde9189 3 ปีที่แล้ว

    Vp huu mfumo hta kweny mabasi inawezekana au ni gar ndgo tu🙄🙄

    • @mussahamoud7053
      @mussahamoud7053 3 ปีที่แล้ว

      Kwenye mabasi inawezeka,ila gharama yake kubwa ,

  • @japharhussein4159
    @japharhussein4159 3 ปีที่แล้ว

    VP kuhusu madharayake rakini

  • @tcdccompany2412
    @tcdccompany2412 3 ปีที่แล้ว

    poa dogo umejitaidi

  • @alesnema9596
    @alesnema9596 3 ปีที่แล้ว +1

    Muripuko wake uyo atamufupa hamutapata siku yamulipuko yake jamani musisubutu kumwiga Mana muzungu aliyitengeneza kwa njia yamavuta magesi yakupika musitamani kabisa

  • @tourismtourism9204
    @tourismtourism9204 3 ปีที่แล้ว

    Naogopa gesi nisije nikalipuka vifaa vyingi vinaweza kusababisha moto

  • @davidjailos1031
    @davidjailos1031 3 ปีที่แล้ว

    Hii itatusaidia xana kupunguza gharama za petrol kupungua chamsingi huyo mwenye hiyo knowledge afundishe na mafundi wengine asiwe mchoyo

    • @wj1421
      @wj1421 3 ปีที่แล้ว

      Mmmh ganda la ndizi

    • @stellamajura4593
      @stellamajura4593 3 ปีที่แล้ว

      Naijua nchi yangu huu mfumo ukishawekwa kwenye magari mengi tu bei ya gas inapanda

  • @kaizamulinda633
    @kaizamulinda633 3 ปีที่แล้ว

    Hii nayo siyo uhujumu uchumi? Nahisi hii taarifa si njema...ngoja tusubiri.

    • @faridmohamed203
      @faridmohamed203 3 ปีที่แล้ว +1

      naimagine serekali inasubiri mufunge wengi kisha ndo inatangaza kila mwenye gasi atakuwa anahujumu uchumi anaetaka kuendelea na mfumo wa gasi alipie kodi ya gasi

    • @highvoltages4169
      @highvoltages4169 3 ปีที่แล้ว +1

      Hapana
      Sio uhujumu uchumi,
      Kwasababu gas na petrol zote zinalipiwa kodi

    • @imanmodern
      @imanmodern 3 ปีที่แล้ว

      Acha roho mbaya kama makufuli

    • @burudaniasili6824
      @burudaniasili6824 3 ปีที่แล้ว +3

      Uko nyuma sana ya muda ndugu yetu. Mfumo huo ulifanyiwa majaribio katika magari ya serekali haswa baadhi ya wizara. Na wanao fungu ni chuo cha DIT ambacho kimeruhusiwa kufanya hivyo. Kwasasa maroli mengi sana ya dangote yamefungwa huo mfumo. Gari ndogo nyingi za biashara zina huo mfumo na ukumbuke gas ni yetu wemyewe kutoka mtwara.

    • @kaizamulinda633
      @kaizamulinda633 3 ปีที่แล้ว +2

      @@burudaniasili6824 oh kumbe! Kweli niko nyuma sana (katika hili) Sikujua hilo, nashukuru nimejua.

  • @amindadi24
    @amindadi24 3 ปีที่แล้ว

    Huyu jamaa nimesoma nae. Mdogo wake na James milinga. James Milinga alikuwa Kichwa sana kipindi hicho mwaka 2010. Ila kwa taarifa nilizonazo ni kwamba James Milinga amefariki. +255 693 732 226 nitafute humu ndugu yangu Milinga

  • @mwakajr1987
    @mwakajr1987 3 ปีที่แล้ว

    Tatizo gas station hakuna Mimi no mdau pia

    • @gloryhyacintharichard7253
      @gloryhyacintharichard7253 3 ปีที่แล้ว +1

      Kuna kampuni ambayo inahusika kuweka mfumo mzima wa gas na pia ukitaka kujaza gas inapoisha unawasiliana nao.

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 3 ปีที่แล้ว

    Tatizo tz serekal haitaki kuchangamkia fursa ..gesi ipo. Lkn hawataki kutumia .. vitechnologia vidogo tu vinawashinda...lkn tunasikia..watu wanamaelim kibao sijui ya nn

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 3 ปีที่แล้ว

    Hilo limtungi tuuu mie limenichosha kbs