BMCC Ebenezer Choir Ft Boaz Danken_Watu Wanasema Mimi Nani (Official Video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
- Na Uzima Wa milele ndiyo huu, wakujue wewe, MUNGU wa pekee wa kweli na YESU Kristo Uliyemtuma Yohana 17;3.Je! unamjua Yesu Kristo ni nani kwako binafsi? Katika Mathayo 16:13 Yesu aliwauliza wanafunzi wake watu wanamjuaje, na mwishoni aliwageukia haohao wanafunzi wanamjuaje. Aliyemjibu alimjibu kwasababu Mungu alimfunua Yesu ndani yake, Acha Yesu ajifunue ndani yako umjue na kumwabudu kibinafsi, na Hivyo utapata ujasiri wa kumuhubiri, kumuimba na kumkiri YESU mbele za watu. Maana ukimuonea aibu mbele za watu yeye atakuonea aibu mbele za Baba wa Mbinguni.
Location: Recorded at TAG-BMCC Church, Mwanza Tanzania
Music arranged & Directed by Aman Victor Gyunda
First Keys: Aman Victor Gyunda
Second Keys: Michael Chadi
Third Keys: Eliya Yohana
Forth Keys: Joseph
Basist: Evance Gregory
Drums: Nehemiah Barashikwa
Lead guitar 1: Joseph Kasomo
Lead Guitar 2 : Eric Chitungo
Saxaphone: Dickson Maige
Backvocals: BMCC Ebenezer Choir
Event Coordinated by Kelvin Charles
Audio Captured by B&W_Productions, Sadock Elias
Mastered & Mixed by B&W_Productions, Sadock Elias
Video Captured by SP Visual
Sound Engineer: Lusekelo Mwakyoma (EUN Audio)
Lights by SP Visual
Sio siri huyu ni zaidi ya nabii.. 🙌🙌
Nani kama wewe Yesu❤️
Wimbo wa baraka sana 2025🙌
WIMBO HUU NI INJILI TOSHA ...BEING BLESSED FROM KENYA
Amen be blessed
Hakikaaa mmefanya kazi njemaaa mungu awape kibali zadii🎉
Aaaaah HALLELUJAH Nimebarikiwa sana !!Ahsanteni kwa kutubariki hakika wanaotaka kumjua Yesu waje kwa huu Wimbo kunajibu
Amen amen
Wimbo una bariki
Home sweet home. great job! GLORY TO GOD!
Yes! Thank you!
JESUS upako wa ajabu sana
Amen ubarikiwe
Tukutane mbinguni wana wa Mungu. Tusikubali kukosa wapendwa .
Amen ubarikiwe
Good song be blessed
Mungu awabariki sanaaaa
Amen ubarikiwe
Huyu ni nani upepo na bahara yamtii yamtii haleluyaaaaaaaaaaaaaa jehofha
Amen
Hakuna Mungu mwingine, Mungu awabariki mno nabarikiwa sana na wimbo huu kweli Mungu ni Mungutu habadiliki tangu mwanzo na sasa niyeye pekee anadumu milele.
Utukufu kwa Mungu
Goooosebumbs
Hakuna Mungu mwingine kama wewe aleluya, Amen.
Halelujah! Huyu ni mfalme wa dunia aliyekuja kuwakomboa watu na dhambi zao!
Jibu la swali ambalo wengi wamekuwa wakijiuliza kuhusu YESU, limebebwa kwenye wimbo huu... Sasa ulimwengu wote pokea jawabu hilo kwa Jina La YESU🔥🇹🇿
Amen
Kabisa yaani
Kwakweli Utukukufu ni kwa Bwana kwa kazi hii njema 🔥
Nimebarikiwa sana na wimbo huu mmbarikiwe sana watumishi wa Mungu
I've just realized how deeply The Choir and Min Boaz are dedicated to evangelizing through song🙏. Thank you for simplifying the scriptures 📖 and making them more relatable. May GOD continue to anoint your work ✨, guide you in wisdom 💡, and use you as a vessel to touch many lives ❤.
Amen thank you groly to God
From tiktoc to here someone like my comment
Amen
What a song. Wimbo umejaa neno, theology tupu, melody nzuri, vocals, instruments etc. Bwana awabariki sana.
Utukufu kwa mfalme YESU
Only Boaz Danken and Bcc Ebenezer Choir should touch this comment 😢😢
Groly to God
Mungu awabariki Sana.🙏
Amen amen
Huyu ni Yesu aliyeniokoa nikiwa mtumwa mkubwa wa Dhambi na leo amenifinyanga upya.❤
Amen ubarikiwe
upako wa ajabu umeikalia nyimbo hii, namtukuza Bwana Yesu
Amen🙏🙏🙏
Mungu wa kuabudiwa milele na milele
Amen
Barikiwa sana brother modekeai see you brother keep it up and all of you did a great job in the name of Jesus
Kabla yako hajawahi kuwepo MUNGU mwingine
Na hata baada yako kamwe Hatakuepo MUNGU mwingine,
Uko mmoja tu hivyo ndivyo🙏
Baraka za Kimbingu zisipunguke kwenu
Mtunzi wa wimbo huu nampa heko nyingi lakini bassist kanikosha pia kila kitu ni kizuri 👏👏👏👍 wimbo ni 🔥
Amen ubarikiwe
Hii nyimboo ni hatari Kuna mungnikoo mkubwaa Sanaa 🎉🎉🎉🎉🎉
Mungu azidi kuwainua zaidi na zaidii
Amen amen
Uhalisia pekee wa Kristo Yesu umejaa kupitia huu wimbo❤God bless all the team🎉
Amen
Glory to God for this gifts and ministry
.May God heal our hearts through this song
Hongera sana kwa kazi njema may God bless you
Amen
Bonge la Wimbo Kweli Mungu ni Mkuuu ndio maana Fadhili zake na Busara zake Hazichunguziki maana anatenda Mambo Makuu kila Siku. Mbarikiwe sana ❤❤❤❤❤❤❤
Utukufu kwa YESU
Hakuna kama Mungu, hakuna mwingine, hayupo milele. MUNGU AWABARIKI KWA NYIMBO HII YENYE MAMLAKA YA KIUNGU.
Hallelujah 🙌 Utukufu ni kwa Yesu " Akiongea ana hekima maneno yake yanaingia mpaka moyoni" 😀😀
Amen
❤❤❤ Mimi nasema Yesu ni Mungu❤❤.
Mungu awabariki, huduma yenu ni kubwa mno.
Amen utukufu kwa YESU
This is the best song kai 🤗🤗 glory to Jesus . Sir Kelvin nasikia uandishi wako nauona apa kabisa Mungu awabariki jamaniii ✊✊✊
Amen sifa na utukufu kwa YESU
POWERFUL🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤🔥 NANI KAMA YESU🥰🥰
Ubarikiwe
Huyu ni nani? Upepo na bahari vyamtiii. Nani kama wewe YESU
Amen YESU atukuzweee
Mbinguni, duniani na kuzimu hakunaga kama Mungu huyu YESU.
NI ALPHA NA OMEGA.
Tuseme amen
Amen ubarikiwe
Waoooo,,, very powerful song
Thanks Lord for your grace
Ubarikiwe
Very powerful 👏 🙌🏽
Mungu ni wewe peke yako 🧎♀️🧏♀️🙏😍
Amen 🙏
Ubarikiwe
2030 Song For real I'm appreciating creativity,melodies, music and every thing contained in
Bwana awabariki sana
Hakuna kama MUNGU wetu haleluyaa 🔥🔥🙌🙌
Powerful powerful wuuuuuuuuuuuu!!
Be blessed amen
Sasa ulimwengu wote pokea jawabu la swali ambalo limekuwa gumzo sana kwenye dini zetu🔥🔥🔥🙌🇹🇿
Ubarikiwe
Baraka nyinginyingi zimiminike kwenu
Amen
Yesu ni mfalme wa milele yoteeeee
Hakikaa
🎉 NZURI SANA.
Utukufu kwa Mungu
Aminaaaa🙏 mungu awabarikiiiiiii sanaaaa.♥️♥️
Kazi njema sana,keep shinning Ebenezer choir,
Hongereni sana, Mungu awabariki kwa Utumishi huu
Ahsante utukufu kwa YESU
Hallelujah 🔥🔥
Ubarikiwe
Nani kama wewe Yesu🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌
YESU tuu
Wow wow we glorify you lord🎉
Amen
Glory to God!
Amen
🔥🔥🔥♥️♥️♥️
Mungu awabariki ebeneza na mtumish wa mung boaz mmefa jambo kwa utukufu wa mung,,,❤
Amen
So powerful ❤❤❤
Utukufu kwa yesu
Utukufu kwa YESU
Hongereni sana wana ebenezer... 🔥
Ahsante ubarikiwe
Huu wimbo ni injili ya ukombozi hakika
Amen utukufu kwa YESU
Kazi nzuri sana watumishi wa Mungu
Amen
Hongereni Ebenezer ❤
Powerful ❤❤❤❤❤
Amen
Hakuna Mungu mwingine 🔥, you people are going into places soon.
Amen amen
Best gospel song 2025 and beyond💪🇹🇿👍
Amen naiwe hivyo
Bassist 🔥🔥
Amen
Mungu mkuu😢
Amen amen
Wimbo wa baraka sana utukufu ni mwingi sana ❤❤❤❤❤
Amen ubarikiwe
Aaaaaameni 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amina sana watumishi wa mungu
Wow wow powerful massage I received in Jesus name ohooo alhelluhaya glory to Jesus
Amen receive according to your faith in the name of Jesus
Hakuna mungu mwingine
Uwiiii ameeeen amen
Be blessed
Just fire🔥🔥 nice song,
Amen
Mungu awabariki hakika wimbo huu umeniomgezea kitu ki Iiman
Ubarikiwe sanaa
Hallelujah Hallelujah Hallelujah Jamani🎉
Amen
Barikiwa sana
Mungu awabariki sana
Best song 🎉🎉🎉
Mbarikiwe mnoo
Amen
Oohhhh haleyuyaaaa Wewe ndie kristo
Amen
Woow sound 👌
Amen utukufu apewe YESU
Wowo MD amani maua yako Mungu akutunzee 😂❤
Ubarikiwe
Atunzwe sana huyu kaka
Beuty
Amina Amina MUNGU awabariki sana
Amen
❤❤🔥🔥🔥
Nice song
Groly to God
Hallenlujahh
Amen
MULUNGU WANGA ❤❤❤
Amen
❤ 5:00
❤❤❤
Hallelujah
🙌🙌
Waooho!!😊
Be blessed
Glory to God
Amen