MASWALI TATA YA WAKRISTO YAJIBIWA NA DR.MWALUSMBO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- Je, Yesu ni Mungu? Je, Mungu Ananafsi tatu?
Haya ni baadhi ya Maswali ambayo yamewasumbua sana wakristo wengi na kuwafanya wasiwe na Imani sahihi.
Karibu ujifunze kupitia Majibu ya maswali haya, unaweza uliza pia kama unswali lolote na utapata Majibu.
#drmwalusambo
#gospelmusic
#bibleknowledge
#gospel
#biblestudy
#maswali
#nenolamungu
#america
#kiswahili
#africa
#africanmusic
#gospelmusic
#mwalusambointernational
#love
Asante Baba
, Mungu ni mmoja hana nafsi tatu, yeye anaitwa Bwana Yesu Kristo. Nafsi ya Mungu ni Neno
Mungu ni mmoja yesu ni mwana wa Mungu na roho ni Roho ya Mungu tusichangany mamb
Semina nyingine imefanyika Juni, nyingine itafanyika Desemba.
Mhh! Hapo kwenye Mungu Mmoja Nafsi tatu umetuchanganya....Tangu mwanzo Mungu Alisema Natufanye Mtu kwa mfano wetu....Yesu Kristo Anasema Mimi na Baba tu Umoja...Nafsi Yesu Kristo Alipokuwa Akibatizwa, Nafsi Mungu Baba Sauti yake ikasikika Huyu ni Mwanangu Mpendwa Msikieni Yeye...Yesu Kristo Anasema Naenda kwa Baba na Roho Mtakatifu Atakuja kwenu...Professor.. Mungu ni Mmoja katika Nafsi Tatu.
Elewa kuwa Mungu so binadamu kusikika Kwa sauti kusikuchanganye.jiulize yesu akiwa mdogo Je nguvu za Mungu hazikuwepo?
Amina🙏
Tar ngapi semina nyingine? Tunatamani tuhudhulie.
28-30 mwezi huu wa sita, Iringa
Ubarikiwe baba nimekuelewa
E,,🙄
Pumbafu