swala ni kwamba hata nyinyi watangazaji hamjajua target ya putin ni ipi pale ukrain sio kwamba hawezi kumsambalatisha ukrain kwa masaa ya kuhesbu hapana..putini kuna kitu anataka kijae kwenye 18 zake..ukrain anasema yupo vitani lakin urusi anasema yupo kwenye oparesheni maalum na ndo mana anatumia vikundi vya kukodi
Liongo tu wewe tupe idadi ya warusi waliokufa ukrein na vifaru vilivyo haribiwa na magari unaongea ujinga tu Ulaya na marekani watu wao wanakula kuku kwa mlija warusi wanahofu duniani
@@angelomalimi2444 😂😂😂 mazumbukuku shida pole sana braza..lakini kaa ukijua kua vita imo ndani ya ukrain sio urusi...na yameungana mataifa yasiyo pungua 30 ili wamtandike atoke wameshindwa ..na mwanaume kasimama peke yake haitaji msaada ..wewe unazijua kuku tu 😂😂😂
Mashoga utayajua yanajitekenya afu yanacheka yenyewe eti watu warekani wanakula kuku ,mbwa mkubwa wewe kama haujui kitu kaa kimya uyo mkuu wa nato mwenyewe anakiri kua urusi anazalisha silaha za kimkakati hatari mara tatu Zaid ya silaha za nato na ulaya yoote acha ujinga wewee Russia kwenye vita ni kama samaki akiwa kwenye maji urusi ana uwezo mkubwa saaaana kama haujui kamuulize Hitler aliishia wapi kama sio urusi hao mbwa wako wa ulaya walishakwenda na maji tulia kama ulivyo unyolewe na putini mbwa
Atasaidiwa nanani kwamfano hao washirika wake anaowategemea rafiki wastor tu co kijeshi mchina hapeleki jeshi lake Ukraine kwasababu yeye mwenyewe yupo ktk foleni anasubiri zamu yake ifike ingizwe ulingoni na Taiwan India hawezi kupeleka jeshi kumsaidia Urusi kijeshi cos hawezi kumkera Uingereza Brazil sote tuelewa hapeleki jeshi lake kumsapot Urusi Iran pia kwambali labda Korea na Belarusi.
Akubali nini na usikute hataki kumaliza vita ili Ulaya na marekani waendelee kuteseka huku anamega maeneo ya Ukraine! Unajua unapopigana pekeyako alafu ukawa na nguvu kushinda adui yako unampiga unavyotaka Kama anapesa mfukoni hizo ukizitaka unachukuwa tuu! Lakini ukiwa na wasaidizi watakwambia ebu muache twende amepigika.
Lete wewe ukweli nyie ndio mlioolewa na mashoga wenzenu uko wa marekani ,mbwa wewe shabaha ya urusi sio ukreni shabaha ya urusi ni nato na marekani acha ujinga ndio mana anawapiga mdogo mdogo bila ata kutumia nguvu kubwa wakati huo mataifa Yako yoote ya mashoga ya ulaya na marekani yanajikanyaga pale ukreini wanapigika kweli kweli Tena wanachaniana kupigana na nchi Moja na bado wanashindwa hivi hili nalo linahitaji degree mbwa wewee kaolewe nao kama vipi sisi wanaume wa shoka tutasimama na Russia na putini mpaka mwisho
Atasaidiwa nanani kwamfano hao washirika wake anaowategemea rafiki wastor tu co kijeshi mchina hapeleki jeshi lake Ukraine kwasababu yeye mwenyewe yupo ktk foleni anasubiri zamu yake ifike ingizwe ulingoni na Taiwan India hawezi kupeleka jeshi kumsaidia Urusi kijeshi cos hawezi kumkera Uingereza Brazil sote tuelewa hapeleki jeshi lake kumsapot Urusi Iran pia kwambali labda Korea na Belarusi.
swala ni kwamba hata nyinyi watangazaji hamjajua target ya putin ni ipi pale ukrain sio kwamba hawezi kumsambalatisha ukrain kwa masaa ya kuhesbu hapana..putini kuna kitu anataka kijae kwenye 18 zake..ukrain anasema yupo vitani lakin urusi anasema yupo kwenye oparesheni maalum na ndo mana anatumia vikundi vya kukodi
Liongo tu wewe tupe idadi ya warusi waliokufa ukrein na vifaru vilivyo haribiwa na magari unaongea ujinga tu Ulaya na marekani watu wao wanakula kuku kwa mlija warusi wanahofu duniani
@@angelomalimi2444 😂😂😂 mazumbukuku shida pole sana braza..lakini kaa ukijua kua vita imo ndani ya ukrain sio urusi...na yameungana mataifa yasiyo pungua 30 ili wamtandike atoke wameshindwa ..na mwanaume kasimama peke yake haitaji msaada ..wewe unazijua kuku tu 😂😂😂
@@angelomalimi2444Acha umama wewe
Mashoga utayajua yanajitekenya afu yanacheka yenyewe eti watu warekani wanakula kuku ,mbwa mkubwa wewe kama haujui kitu kaa kimya uyo mkuu wa nato mwenyewe anakiri kua urusi anazalisha silaha za kimkakati hatari mara tatu Zaid ya silaha za nato na ulaya yoote acha ujinga wewee Russia kwenye vita ni kama samaki akiwa kwenye maji urusi ana uwezo mkubwa saaaana kama haujui kamuulize Hitler aliishia wapi kama sio urusi hao mbwa wako wa ulaya walishakwenda na maji tulia kama ulivyo unyolewe na putini mbwa
Mbona umepotea mdogo wangu
Daah Russia kiboko mwakahuu mashoga wanaisoma namba😂😂😂😂😂😂😂😂
Atasaidiwa nanani kwamfano hao washirika wake anaowategemea rafiki wastor tu co kijeshi mchina hapeleki jeshi lake Ukraine kwasababu yeye mwenyewe yupo ktk foleni anasubiri zamu yake ifike ingizwe ulingoni na Taiwan India hawezi kupeleka jeshi kumsaidia Urusi kijeshi cos hawezi kumkera Uingereza Brazil sote tuelewa hapeleki jeshi lake kumsapot Urusi Iran pia kwambali labda Korea na Belarusi.
MUNGU tu mwenye uwezo wakupiga Putin hapa duniani lakini wanadamu au watawala WA dunia hii anawahona kama karatasi tu
Haoo ni mashoga tu wasio jielewa wapige hao mashoga
Yuko na mchina na mkorea na muiran nawengine wamejificha nyumba ya paziaa
Broo leo nimekubali kutokana na habari yako
Urusi ni taifa kubwa, ni nchi yenye eneo kubwa duniani na ni nchi inayo uthubutu na maamuzi yake
Putin anavunja records za Watangulizi wake km Vladimir Lenin,Leon Trotsky na Joseph Stalin na kuandika historia yake mwenyewe
Kweli kabisa
Awapige baba .wanarohombaya.putine wapige baba
Putin lazima afe
Hakuna nchi aggressive kwa vita duniani kama urusi
Imeshindwa vita urusi mwaka mzima anahangaika
How about US
@@angelomalimi2444 anahangaika na nani? Na uyo anaehangaika nae kati yao nani anabondwa?
@@michaeldjunior1023 US stori tu anavamiaga weak countries kama oraq libya yemen, afghanstan na bado anachangia na washirika
Hawezi kutaka msaada kwasababu hadi sasa urusi hajatumia jeshi lake anatumia asikari wakukod kwaio hakuna shida anayopata urusi ikibid atafanya ivo
Amehitaj msaada ila marekani imezitishia nchi zitakazo mssaidia zitakiona cha moto
Avulumishe nyuklia maghalibi wanamsadia ukrein wapo weng sana
Kweli urusi ni shuja
Acheni uongo putin hapigani pekee yake
Na aliyosema sasa hivi yametimia...nchi za NATO zinataka mzozo uishe!
🎉
hamna kitu
Sijakusukia mudamrefu
Putin anatakiwa kufahamu ezi za ujerumani hakupigana namataifa mengi kiasi hicho akubali usaidizi tuimalize vita
Akubali nini na usikute hataki kumaliza vita ili Ulaya na marekani waendelee kuteseka huku anamega maeneo ya Ukraine! Unajua unapopigana pekeyako alafu ukawa na nguvu kushinda adui yako unampiga unavyotaka Kama anapesa mfukoni hizo ukizitaka unachukuwa tuu! Lakini ukiwa na wasaidizi watakwambia ebu muache twende amepigika.
Huyu kiumbe nikatika watu ambao namuombea sanaa miaka mingi katika uhai wnguuu...mungu amlindee
@@asantembise6ebwana eeeh!! Tuko pa1 ktk hyo Dua
putin juuuu
Halaa Putin 😊
Uongo mtupu hadi sasa ameshashindwa. Na ameshindwa. Ukilipua gesi ndani huku akiwa na wewe upo NDANI ni uwendawazimu. Kwahiyo Hawezi kufanya hivyo.
Lete wewe ukweli nyie ndio mlioolewa na mashoga wenzenu uko wa marekani ,mbwa wewe shabaha ya urusi sio ukreni shabaha ya urusi ni nato na marekani acha ujinga ndio mana anawapiga mdogo mdogo bila ata kutumia nguvu kubwa wakati huo mataifa Yako yoote ya mashoga ya ulaya na marekani yanajikanyaga pale ukreini wanapigika kweli kweli Tena wanachaniana kupigana na nchi Moja na bado wanashindwa hivi hili nalo linahitaji degree mbwa wewee kaolewe nao kama vipi sisi wanaume wa shoka tutasimama na Russia na putini mpaka mwisho
B
Atasaidiwa nanani kwamfano hao washirika wake anaowategemea rafiki wastor tu co kijeshi mchina hapeleki jeshi lake Ukraine kwasababu yeye mwenyewe yupo ktk foleni anasubiri zamu yake ifike ingizwe ulingoni na Taiwan India hawezi kupeleka jeshi kumsaidia Urusi kijeshi cos hawezi kumkera Uingereza Brazil sote tuelewa hapeleki jeshi lake kumsapot Urusi Iran pia kwambali labda Korea na Belarusi.