NIMEPOTEA ULAYA NIKATOKEZEA KIJIJINI | ANAISHI KIJIJINI NAOGOPA KUCHINJWA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025
  • Maisha ya kijijini kwa wenzetu, ambavyo kunavutia 🥰🥰

ความคิดเห็น • 49

  • @mwekesomamrema7416
    @mwekesomamrema7416 ปีที่แล้ว

    Bravo beautiful. Ni vyema kabisaa unavyojieleza - sio vizuri mwanamke kutegemea wanaume. Chapa kazi na ujibambe mwenyewe my friend 😂😂

  • @WitnessShamba-wm4tq
    @WitnessShamba-wm4tq ปีที่แล้ว +3

    Jamani hii si masaki na mbezi beach kabisa 😂

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 ปีที่แล้ว +4

    Napenda sana life la kijijini❤❤❤

  • @jessicamwasandube944
    @jessicamwasandube944 ปีที่แล้ว +2

    Wow ni kizuri sana huko,yaani mie bora tu kama kuna huduma muhim

  • @mathayofesto9421
    @mathayofesto9421 ปีที่แล้ว +3

    Wenzetu wanazingatia mipango miji sana ndo maana nyumba zao zimekaa kwenye mpangilio mzuri sio kama huku aiseeee 😂

  • @EstherWawanji
    @EstherWawanji ปีที่แล้ว +2

    Beautiful village

  • @cleopatrahenry7541
    @cleopatrahenry7541 7 หลายเดือนก่อน

    Natamani huko nipate hata wazee wa kulea , naimani ukifanya kazi maeneo ya huko maisha ya takuwa rahisi

  • @KilengaJoseph
    @KilengaJoseph ปีที่แล้ว +6

    hata vijiji vyetu vizuri sana shena kama kwetu kilimanjaro ni full kijani cha ndizi😅

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 ปีที่แล้ว

    Aunt wangu ujuwe hicho kijij hapo kama mwenyewe unavyokiita kinajitegemea kwa mengi . Uslinganishe ulaya na vijiji vya Tanzania ambavyo mahitaji yao meengi yanatoka mjini. Lakini hapo naamini wanakila kitu. Maofisi , mjini (centrum) wao na wenyewe, hosipitali yao mashule yao nk. Hawahitaji kwenda kutafuta kazi mjini, wao na wenyewe hapo watemetengene 3:05 😢za ajira zao . Kwa hiyo hicho siyo kijiji kama vijiji vyetu mi.aamini hako ni kajimbo, na huno ndani kunavijiji.

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  ปีที่แล้ว +1

      Lakini nyumbani na jamii yetu inaamini kijiji basi mi kijiji zaidi ya Nyumbani na pengine wanachinja watu.. ndiomana nimewaletea hapa ili wasafishe Macho na watoe mawazo mabaya waliyokua wanafikiria

    • @mwanahamisimwelesi6682
      @mwanahamisimwelesi6682 ปีที่แล้ว

      Kijiji kama masaki

    • @mwanahamisimwelesi6682
      @mwanahamisimwelesi6682 ปีที่แล้ว

      ​@@OfficialDatingAssistancenikutumie namba yangu namaongezi yamuimu

  • @fauziasultanikilewa7602
    @fauziasultanikilewa7602 ปีที่แล้ว +1

    Qjijini quna maghorofa jmn mashaallah

  • @vero57
    @vero57 ปีที่แล้ว +1

    Kila mahali kijijini ni kuzuri sanaaa!!!

  • @glorymasy7687
    @glorymasy7687 ปีที่แล้ว +2

    Huku ndio masaki 😂😂😂😂😂😂

  • @salvinahassan8778
    @salvinahassan8778 ปีที่แล้ว +1

    Sio pazuri sana, nilienda Kwa wadatch kijijini ni kuzuri sana

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  ปีที่แล้ว +2

      Je ni sawa na vijiji ambavyo jamii yetu nyumbani wanafikiria ambao hawajafika kwa wa Dutch ?

  • @marrypius576
    @marrypius576 ปีที่แล้ว +1

    Yan natamani kuishi huko jamn Mungu sikia maombi yangu

  • @MelaniaFuime
    @MelaniaFuime 9 หลายเดือนก่อน +1

    Woow

  • @khadijaabdulaziz8297
    @khadijaabdulaziz8297 ปีที่แล้ว +3

    Dada shena nakushaur vaamtandio

  • @MneneNicodem-zd9sh
    @MneneNicodem-zd9sh ปีที่แล้ว

    Mambo!
    KWA HIYO dada TZ utarudi lini?
    Au ndo basi wazungu wamekung'ang'ana!

  • @emarycianakitwenga9813
    @emarycianakitwenga9813 ปีที่แล้ว

    Pazuri sanaa

  • @maryamrashid8499
    @maryamrashid8499 ปีที่แล้ว

    Umenichekesha sana😂😂😂

  • @sellysang7504
    @sellysang7504 ปีที่แล้ว

    Hi beautiful very nice yes very clod here too ❤❤

  • @joslinchuwa1298
    @joslinchuwa1298 ปีที่แล้ว

    Kuzuri sana❤

  • @nahlahassan-fd6le
    @nahlahassan-fd6le ปีที่แล้ว

    Kijijini lkn kuzur sanaaa❤❤❤

  • @lujuomjanja2866
    @lujuomjanja2866 ปีที่แล้ว

    ni wapi huko?

  • @mwanahamisimwelesi6682
    @mwanahamisimwelesi6682 ปีที่แล้ว

    Kijiji kama masaki dah

  • @annasolomon9855
    @annasolomon9855 ปีที่แล้ว +3

    Kijiji? Mbona kijiji ni kizuri kuliko hata Arusha mjini 😅😅

  • @agnesandrew2742
    @agnesandrew2742 ปีที่แล้ว +1

    ❤❤❤❤

  • @sleeprelaxation8431
    @sleeprelaxation8431 ปีที่แล้ว

    life ya kijijini kwenye nchi zilizo endelea ni raha zaidi,

  • @NeemaAbdon
    @NeemaAbdon ปีที่แล้ว

    Uko poa mdg wangu?

  • @saphinamarwa8360
    @saphinamarwa8360 ปีที่แล้ว +1

    Yaan pazuri kama mjini 😂

  • @edgarelikana7204
    @edgarelikana7204 ปีที่แล้ว

    Kijijini kuna msauzi 😂😂😂

  • @milkaboaz1244
    @milkaboaz1244 ปีที่แล้ว +2

    Mbona kizuri jamani

  • @StephanJimmy-uj7rw
    @StephanJimmy-uj7rw ปีที่แล้ว

    Shena me cjui kiingereza hyo ndo changamoto

  • @edwardlubega5428
    @edwardlubega5428 ปีที่แล้ว

    Me like your

  • @NiceWatson-y7e
    @NiceWatson-y7e ปีที่แล้ว

    Aan kama nje ya mji kizur sana

  • @dorcaskarago2876
    @dorcaskarago2876 ปีที่แล้ว

    Wazungu awapendi kuona mweusi kijijini kwao

  • @Lizzyktd
    @Lizzyktd ปีที่แล้ว +1

    Kunzur kama usukuman vile😂😂😂😂

  • @deborampagama5950
    @deborampagama5950 ปีที่แล้ว

    Nitafute rafiki huko