#ZaNdaaaniKabisa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 มิ.ย. 2022
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 121

  • @jamesmahatane2723
    @jamesmahatane2723 2 ปีที่แล้ว +4

    🤣🤣kuna watu wana toa mapovu huku 🤣🤣wali mshangilia sana makoloooooooo

  • @JohnPaul-ch5mw
    @JohnPaul-ch5mw 2 ปีที่แล้ว +7

    MOMO nakubali sana

  • @festomatewa3638
    @festomatewa3638 2 ปีที่แล้ว +2

    nawew chawa Sasa wew umeyatoa wap hayo mmbeya wew

  • @Zuwena-hx8ky
    @Zuwena-hx8ky 2 ปีที่แล้ว +7

    Upumbavu huo mchezaji akisajiliwa hawez kuombwa afunge badala ya yeye kufunga ndo lengo la timu kila mchezaji ajitume afunge

  • @balozimchomvu7779
    @balozimchomvu7779 2 ปีที่แล้ว +6

    Hii nchi ina wajinga wengi sana, kwahiyo kila mchezaji kwenye game kubwa aombe bonus yake binafsi inaingia akilini kweli hiyo! Na bado mshahara wake anakula kama kawaida, huyo akwende tu kwakweli

  • @seifsungura6936
    @seifsungura6936 2 ปีที่แล้ว +3

    Kama ni kweli ndo alitaka hivyo basi hafai.....acha aende huko akeweka masharti...

  • @komboD
    @komboD ปีที่แล้ว +1

    Ricardo mnyamaaa sana

  • @yohanakayinga9279
    @yohanakayinga9279 2 ปีที่แล้ว +1

    Wapumbavu sana Ninyi Koo ukimjengea mchezaj tabia hiyo itakuwaje kwa wengine hatuna mda huo

  • @mogelasaileni4685
    @mogelasaileni4685 2 ปีที่แล้ว

    Jamani nilikua siamini maneno yaraisiwetu mamasamia sasanimeamini hatasisiwanaume kweli wambeya sana

  • @mathayohegwa1792
    @mathayohegwa1792 2 ปีที่แล้ว

    Hafai kuwa mchezaji professional akacheze ndondo anakojipangia

  • @dinhomdulla3320
    @dinhomdulla3320 2 ปีที่แล้ว

    Wewe msenge sana Tena acha kuongerelea Simba

  • @Hfarahani52
    @Hfarahani52 2 ปีที่แล้ว +1

    R.Momo Mbona Umetuwacha kwenye Round About

  • @abdallahrenatus524
    @abdallahrenatus524 2 ปีที่แล้ว +1

    Wachezaji wa kiafrica n ngumu saana kufanikiwa. Yaan mchezaji ameajiliwa alafu anataka alipwe Ili aisaidie timu maajabu

  • @wilbertsanze285
    @wilbertsanze285 2 ปีที่แล้ว +1

    Hizi bonasi zitolewe kazi ya mpira imekuwa kama mpiga debe stand

  • @soccertv293
    @soccertv293 2 ปีที่แล้ว +2

    Momo nimmbea ulisema simba wanamsajili nabi ukaingia chaka,huna za ndani wala za nje unadanganya watu

  • @naukichiwinga2374
    @naukichiwinga2374 ปีที่แล้ว

    Mkuda tu wew

  • @masatumgeta196
    @masatumgeta196 2 ปีที่แล้ว +1

    Punguza miemko umaarufu unakuja tu yani wew umeongea na uyo mweu alafu unatuletea ujinga wa uyo mjinga unapoajiliwa na tim unaajiliwa uli kuisaidia tim sasa tena eti nikiamua gem mnanipa shilingi ngapi utadhania kakodishwa siyo mchezaji kamili wa tim

    • @mwalimumlanzi8106
      @mwalimumlanzi8106 ปีที่แล้ว

      Yaani mchezaji umsajili umlipe halafu akupangie leo ili nicheze kweli nipewe bonus zaidi.duh halafu mwenyewe anaona muhuni yupo sahihi.je waajiri nao waseme hatukulipi kule huruhusiwi.jamaa anakataa ukweli kwamba yy mbea. Halafu hajui km za ndani zipo kotekote ila wadau tunazijua za huku na huku yy anajimwaga na upande huu akiongelea moja upande wa pili lzm aichanganye na upande A na moja kwa saba. Raha yake inafahamika hatuna waandishi na wachambuzi wa michezo

  • @Adeen.1
    @Adeen.1 2 ปีที่แล้ว

    Hiyo mikataba ya ndondo ndo waweza omba uongezewe ukiisaidia team...fala huyo mtoto.

  • @hezronmwambije8043
    @hezronmwambije8043 2 ปีที่แล้ว +1

    Mzeeee wa kuderee yupo kuchomoa betriii

  • @ndaganoanastazia2658
    @ndaganoanastazia2658 2 ปีที่แล้ว +3

    J Lo tenaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @godwinananias5358
      @godwinananias5358 2 ปีที่แล้ว

      Alafu anakwambia ni JUMA LOKALE ndo JR dah momo bhan 😜😜

  • @edisonbenard226
    @edisonbenard226 2 ปีที่แล้ว

    Huyu jamaa mjinga sana mshahara wa mchezanji unakazi bonasi ni kujickia

  • @hussseinmasangya7130
    @hussseinmasangya7130 2 ปีที่แล้ว +3

    Moyaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @nassrahemed9564
    @nassrahemed9564 2 ปีที่แล้ว +1

    Hahahahaaaa Juma lokole lako ilooooo

  • @ibrahimuhincha1457
    @ibrahimuhincha1457 ปีที่แล้ว

    Kazi umbea tu mkeo wanamgonga nigeria

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m หลายเดือนก่อน

    Huyu muongo huyu hata haogopi dhambi

  • @cornerylulangara2280
    @cornerylulangara2280 ปีที่แล้ว

    Wewe siyo mtu wa mpira, kaa kimya

  • @ofreyking5975
    @ofreyking5975 2 ปีที่แล้ว

    Hela za nn wakat ni kazi yake analipwa mshahala kwa kazi hiyo

  • @vitalesmgenge5068
    @vitalesmgenge5068 2 ปีที่แล้ว

    Kama ndivyo bac naendee mana huo niujinga😅😅😅😅

  • @mswakisaid2320
    @mswakisaid2320 2 ปีที่แล้ว

    Wewe ni kiazi tu.
    Hakuna wa kiume wa aina yako

  • @mymbaralitv2968
    @mymbaralitv2968 2 ปีที่แล้ว +1

    JLo 😃😃😃😃😃😃😃

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim 2 ปีที่แล้ว +1

    Kenge jinga sana huyu

  • @dr.rimack8484
    @dr.rimack8484 ปีที่แล้ว

    Duuuuuh 😲😲😲😲😲

  • @kawezaseleman5794
    @kawezaseleman5794 2 ปีที่แล้ว

    Wewe mnafiki

  • @rahimmarions5712
    @rahimmarions5712 2 ปีที่แล้ว

    Hapo na ww unachanganya..aamue game yeye kama nani..je hapo alipokuwa alikuwa kama nani..si mtumishi..why aseme apewe bonus

  • @meshackmwalongo1753
    @meshackmwalongo1753 2 ปีที่แล้ว

    Midia zingine mnajidhalilisha tu.

  • @santoskato9679
    @santoskato9679 2 ปีที่แล้ว +1

    Ivi izi za ndani uwa ni za Simba tu tena mbaya mbaya tuu?? Mbona hatusikii za Yanga?? Kuna bias kwenye hicho kipindi

  • @omarkhamis3909
    @omarkhamis3909 2 ปีที่แล้ว +2

    Sasa Momo Kama wewe hapo utatoa hiyo bonas ?

  • @salumkhamis83
    @salumkhamis83 2 ปีที่แล้ว

    Huna ishu kama mtu umsainiwa unapatana nn nakazi yake kucheza

  • @bigshangazi2945
    @bigshangazi2945 2 ปีที่แล้ว

    🙆🙆🙆

  • @naukichiwinga2374
    @naukichiwinga2374 ปีที่แล้ว

    Kuza midia kwa kuongea unachojiskia.Laik kama wazaz wako wangejua mdomo wako uo ulivo Sidhan ata kama wangekuruhusu kutumia vijiko hom

  • @ammytheboy3098
    @ammytheboy3098 ปีที่แล้ว

    Huu ni uongo wa waz akuna mchezaj kama uyo duniani mnaharibu kipindi kwa kusema yasiyokuwepo

  • @juma6253
    @juma6253 2 ปีที่แล้ว +2

    Momo boya kweli eti goli moya

  • @salimmtanga8230
    @salimmtanga8230 ปีที่แล้ว

    Mzee
    Wa zandani hizo unazo tuletea ni uwongo yy anaweza kumaliza mechi uwanjani yuko pekeyake haingii akilin

  • @mogelasaileni4685
    @mogelasaileni4685 2 ปีที่แล้ว

    Wewe muongo mchezaji awezi kusemaivyo wakatiyeyenimchezaji achakupotoshauma

  • @jokharisuleiman4689
    @jokharisuleiman4689 2 ปีที่แล้ว

    Aaah issue za kifala

  • @venasitkisigavenasitkisiga6837
    @venasitkisigavenasitkisiga6837 ปีที่แล้ว

    Mbona pcha ya dhamani

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 2 ปีที่แล้ว

    Ili kuheshimiana inabidi tuanze kushitakiana. Ili tuheshimiane

  • @cantonaiddy6042
    @cantonaiddy6042 ปีที่แล้ว

    Ww muongo acha kutunga tunga co ya kweli

  • @salumkhamis83
    @salumkhamis83 2 ปีที่แล้ว

    Huna lolote iyo siyo point

  • @kilonzomichael2328
    @kilonzomichael2328 ปีที่แล้ว

    Simba inanipa mawazo mno nitim yangu ila Simba Tim yangu mh!

  • @gervaskisinza1227
    @gervaskisinza1227 2 ปีที่แล้ว

    Nyie waongo tu sababu ni watangazaji wa udaku hamna lolote

  • @annamhagama6512
    @annamhagama6512 2 ปีที่แล้ว +1

    Iv nyie wasaf iv mchambiz ni uyu tu kwanza anacho ongea ni upumbavu tu kila siku kumpost yeye au ndo kisa ndugu wachambuz halis amuwaweki mnaboa sana

  • @nashon7737
    @nashon7737 2 ปีที่แล้ว

    Sas mchezaj anaombaje Hela mnamshabkia wakat ND Kaz yake,,?

  • @abdulrazaqallyshemmela2769
    @abdulrazaqallyshemmela2769 2 ปีที่แล้ว

    Ubwehge huo unaoueleza

  • @olaislukumay2208
    @olaislukumay2208 2 ปีที่แล้ว

    Yani we mpumbavu sana uamue gemu kwa goli moja alafu unajikuta unaongeeeea boya

  • @paulolmabu7161
    @paulolmabu7161 2 ปีที่แล้ว

    Huyu naye ni mjinga tu

  • @emmanuelnono8080
    @emmanuelnono8080 2 ปีที่แล้ว +1

    Pumbavu sana

  • @aminimaimu358
    @aminimaimu358 2 ปีที่แล้ว

    Chukua iyo

  • @MaindaSeketo
    @MaindaSeketo 16 วันที่ผ่านมา

    Vp

  • @Aidansimwanza
    @Aidansimwanza 2 ปีที่แล้ว +6

    Wenye akili watakuelewa wapumbavu ningumu sana

  • @user-xv8dm8gy5u
    @user-xv8dm8gy5u 17 วันที่ผ่านมา

    Benadi molisoni huyò

  • @mwitahassan1934
    @mwitahassan1934 2 ปีที่แล้ว

    Bora umsikilize juma lokole kuliko huyu jamaa kwani umo uwanjani anacheza peke yake wewe na morison nyote mnapakuliwa

  • @mohayussuf2057
    @mohayussuf2057 2 ปีที่แล้ว

    Wewe wacha uwongo kwani anacheza pekeake hata aamua

  • @songomary908
    @songomary908 2 ปีที่แล้ว

    Kwenye hili mimi ni mpumbavu

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 2 ปีที่แล้ว

    Yeye kazi yake na analipwa mshahara kwajili ya kumaliza mchezo aendee tu simba tushapita huko kugombana na wachezaji hakuna mchezaji ndani ya kikosi simba wakamtaka wakashindwa kumzuia ukiona wamemuachia ujue simba hawakua na mipango nae morison

  • @hashimlowela294
    @hashimlowela294 2 ปีที่แล้ว

    Hahahaha et zandaaani

  • @juliethygerald1150
    @juliethygerald1150 2 ปีที่แล้ว

    Sijawah ona wala kusikia pumba kama hizi

  • @abdulrazaqallyshemmela2769
    @abdulrazaqallyshemmela2769 2 ปีที่แล้ว

    Mpuuzi Hugo na umbea wake

  • @fra_nyuki
    @fra_nyuki 2 ปีที่แล้ว +1

    Makofi ya nyani eeeeeeh

  • @nkoydavid9658
    @nkoydavid9658 2 ปีที่แล้ว

    Kwa hyo alisajiliwa Ili afanye kazi gani ikiwa kutumiza wajibu wake Hadi apewe Hela tena ?

  • @sniper93999
    @sniper93999 2 ปีที่แล้ว

    Wenye mind tutakuelewa wengn wataendelea kucomment matusi

  • @habibyabeidy8946
    @habibyabeidy8946 2 ปีที่แล้ว

    Acha ufala na ww mchezaji apewe mechi hio hio moja apewe bonus na wenzake then apewe bonus yake peke ake haingiii akilin au ana kulamba matako nini ndo Mana umekuja kuongea utumboooo

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 2 ปีที่แล้ว +2

    Momo simuelew sema tu ndo ndugu wa diamond😃😃😃 biashara nying africa zinakufa sababu ya kumchukua ndugu kisa tu ndugu hata kama hana uwezo

  • @allyakida3781
    @allyakida3781 ปีที่แล้ว

    Kwahiyo kacheza pekee yake

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 2 ปีที่แล้ว

    Huyo mbeya ingawa anasema sio, story za mtaani au kijiwe.

  • @allyhamisi6394
    @allyhamisi6394 2 ปีที่แล้ว

    sasa mbona Morissette Kate katemwa na simba

  • @patrickmelody4548
    @patrickmelody4548 2 ปีที่แล้ว

    Ongea tu ili uongeze viewers bwana

  • @masumbyomaxmillian5078
    @masumbyomaxmillian5078 2 ปีที่แล้ว

    Unatumwa na nani?

  • @hamzaomary287
    @hamzaomary287 ปีที่แล้ว

    Okwa

    • @DaudSiprian
      @DaudSiprian 11 วันที่ผ่านมา

      Ww hayo nimenine2 tunataka vitendo

  • @elishaelisha6755
    @elishaelisha6755 2 ปีที่แล้ว

    Momo,,,

  • @letasmatema5907
    @letasmatema5907 2 ปีที่แล้ว

    We msenge unatumalizia MB zetu fara wewe

  • @dotogiving9293
    @dotogiving9293 2 ปีที่แล้ว

    Kaka uyu kiongea hajui kabisa ,umekuja kufanya nn interview

  • @siwonikewiliam5104
    @siwonikewiliam5104 2 ปีที่แล้ว

    Huyu mnafiki TU ajui lolote

  • @azizakiswili9063
    @azizakiswili9063 2 ปีที่แล้ว

    Afadhali hata ya juma lokole kuliko wewe,acha ushubwada

  • @AlexAlex-eo7hj
    @AlexAlex-eo7hj 2 ปีที่แล้ว +1

    Mfyuu

    • @daillyathuman4941
      @daillyathuman4941 2 ปีที่แล้ว

      Momo mchezaji ameajiliwa ili iweje? Kama Ni hivyo Simba wako sawa kabisa

  • @eddyrich.3312
    @eddyrich.3312 2 ปีที่แล้ว

    Wasafi nanyi mnapotea kwa kumrusha mtu mmbea kama huyu.

  • @frankzominister1473
    @frankzominister1473 2 ปีที่แล้ว

    Mashoga wa Mond wapo kazini uwongo mwingi kuliko ukweli...😂😂😂

  • @malakigerald8586
    @malakigerald8586 2 ปีที่แล้ว

    Muongo mkubwa wewe,na naanza kuona hii radio kama kijiwe cha wauza kahawa.
    Hicho unachosema ni uongo mweupe.mnaharibu tasinia ya habari kwa kusema uongo kwa jamii.

  • @slimmtani8236
    @slimmtani8236 2 ปีที่แล้ว

    Kwa hiyo mshahara anaolipwa kazi yake?

  • @senenembeya.9753
    @senenembeya.9753 2 ปีที่แล้ว

    Uo umbea mwongo wewe...kwani yy ndo alikuwa mganga wa timu, na ndo kitu ambacho simba haitaki kama ni bonus ni kwa wachezaji wote, basi angecheza mwenyewe.

  • @hamzarumela1784
    @hamzarumela1784 2 ปีที่แล้ว

    yaani mwanaidi dawa yako ni kupeleka posa kwenu tu wallah maana hamna namna

    • @stn4873
      @stn4873 2 ปีที่แล้ว

      Inabidi ufanye hvyo.

  • @Zuwena-hx8ky
    @Zuwena-hx8ky 2 ปีที่แล้ว

    Huo ni Ushamba unaongea kama mtoto wa chekechea

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 2 ปีที่แล้ว

    Mpira wa Tanzania ni upumbavu mtupu

  • @santinoplacid7571
    @santinoplacid7571 2 ปีที่แล้ว

    nimesoma comments zote humu nikagundua kabisa mashabiki wa simba mwaka huu walio wengi wana matatizo ya akili na saikolojia maana sio kwa matusi haya dah ila poleni sana wana msimbazi 😂😂😉

  • @nizarmanji5343
    @nizarmanji5343 ปีที่แล้ว +1

    Upumbavu mtupu

  • @paschalpeter4540
    @paschalpeter4540 ปีที่แล้ว

    Uongo mtupu

  • @Zuwena-hx8ky
    @Zuwena-hx8ky 2 ปีที่แล้ว

    Huo ni uongo tuuu huna lolote wewe

  • @ernestgamba3732
    @ernestgamba3732 2 ปีที่แล้ว +1

    Uzushi na upuuzi tu huo,Simba haina mtu special kiasi cha kutengewa special bonus eti kawahakikishia ushindi...very stupid information ever🚽🚮

  • @prophetmunuo9317
    @prophetmunuo9317 2 ปีที่แล้ว

    Huu ni ujinga mkubwa sana man unaongea, pia unaweza ukawa umetumwa.
    Haiwezekani kwenye team yenye wachezaji 30 mmoja akata bonus yake mwenyewe alafu apewe, nooo. Kwani uwanjani anacheza mwenyewe bhana.
    Huko ndiko kuvuruga team, alafu wewe unatumwa kuja kugombani mchezaji na mashabiki kweeeendrrra huko.

  • @thobiasandrew8375
    @thobiasandrew8375 ปีที่แล้ว

    tazama uwezo wa OKRAH uwanjani 👇👇👇
    th-cam.com/video/mYQWklT6Dqg/w-d-xo.html