MCHUNGAJI SIMBA WAMALIZANA NA JEAN CHARLES AHOUA KIUNGO KUTOKA IVERY COAST WAPINZANI WASILETE TIMU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 มิ.ย. 2024
  • KWA HABARI NA MATANGAZO
    TUPIGIE SASA
    0753393036 CALL
    0625466848 WHATSAPP

ความคิดเห็น • 28

  • @BahatiBahati-hn8en
    @BahatiBahati-hn8en 2 วันที่ผ่านมา +3

    Nakuombea mungu akupe maisha marefu mchungaji.chapa kazi kaka.mangungu atoke tukupe kiti hicho kaka.

  • @alfoncekasanyi6584
    @alfoncekasanyi6584 3 วันที่ผ่านมา +2

    Utopolo mna kazi kubwa pamoja na kuwa mabingwa bado mnateseka.Chama ameosaidia Simba Sana kwenye mechi za kimataifa

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 2 วันที่ผ่านมา +2

    ASANTE MUNGU KM NI KWELI CHAMA AMEBAKI SIMBA

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 2 วันที่ผ่านมา

    KABLA YA LIGI KUANZA VISOMO NA MADUWA AL BADIRI NI MUHIMU SANA KUNA WATU WANA WAROGA NA KUVURUGA SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d วันที่ผ่านมา

    Sasa wew unamtaka mamsako aje acheze kwenda zako ukome kumtaja mutare nyau wew

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 2 วันที่ผ่านมา +1

    LIGI YA TZ NI YA MAJUNGU NA KUROGANA TATIZO LIKO HAPO

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 2 วันที่ผ่านมา +2

    KM NI KWELI CHAMA AMEBAKI SIMBA MASHABIKI TUMEFURAHI SANA. JMANI NI KWELI ?

  • @erasmusleonidas6729
    @erasmusleonidas6729 3 วันที่ผ่านมา +2

    Achana na Joshua wewe yule ni kiumbe kingine

  • @charleslucas4365
    @charleslucas4365 วันที่ผ่านมา +1

    Kwani muntare aisaidie tim kwani anacheza peke yake

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d วันที่ผ่านมา

    Tunakula raha mwakani simba nguvu moja

  • @shaabanramadhan
    @shaabanramadhan 3 วันที่ผ่านมา +4

    Mchungaji unafeli mchezaji mmoja peke yake hawezi kuisaidia timu.bado uelewa wako katika Mpira ni mdogo

    • @emmanuelmaige251
      @emmanuelmaige251 วันที่ผ่านมา

      Wewe umeleta wachezaji wangapi ulie na uelewa mkubwa was mpira

    • @barakaPaulo-ei8zp
      @barakaPaulo-ei8zp วันที่ผ่านมา

      We mbn yanga walikua nafurh tetes za cham kwenda kule alikua anaenda kuchez mwenyew?? Km imekuumaa vunga

    • @HamidUbwa
      @HamidUbwa 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      😅

  • @shashikanumi7673
    @shashikanumi7673 3 วันที่ผ่านมา

    Mchungaji unatufelisha sana hao waliopeleka timu makundi walifanikiwaje

  • @user-kl6uj2dh9y
    @user-kl6uj2dh9y 2 วันที่ผ่านมา

    Mkileta wabovu itakuwavo2 mchezaji mzr hafeli kiasichakukosa nafasi 5. Had 7

  • @NicholausDior
    @NicholausDior วันที่ผ่านมา

    WW mchungaji aujui mpila kaakimya kama auna la kuongea

  • @sautikuu212
    @sautikuu212 2 วันที่ผ่านมา

    Kama hili suala la Chama ni kweli basi itakuwa huzuni sana kwa wanasimba tunaojielewa

  • @aminielimushi8709
    @aminielimushi8709 3 วันที่ผ่านมา

    Afrika ya mashariki na east Africa,,,wale ttuliohitimu 1993 tupooooo

  • @raymondsekabigwa5907
    @raymondsekabigwa5907 2 วันที่ผ่านมา

    Kweli mchungaji taile kabisa. Wasema kweli , kweli kabitha

  • @patrickkilongo3214
    @patrickkilongo3214 2 วันที่ผ่านมา

    Pesa haitosh mchungaji ,, weka kibunda aaf pendekeza wachezaji wako

  • @hassanntankwa4156
    @hassanntankwa4156 2 วันที่ผ่านมา

    Swala Latim bado nalikataa vipi inonga tulimtoa kwenye timu gani naleo yupo wapii

  • @shashikanumi7673
    @shashikanumi7673 3 วันที่ผ่านมา

    Mwalimu unafeli

  • @ZakariaSimon-gp1gr
    @ZakariaSimon-gp1gr 2 วันที่ผ่านมา

    Joshua ni hatal nan alkuja tunaye mjua

  • @NicholausDior
    @NicholausDior วันที่ผ่านมา

    Mchungaji unataka kutupiga wewe auna mpango bwan

  • @awesujuma9839
    @awesujuma9839 2 วันที่ผ่านมา

    Huna kigezo wewe angalia mengine tu

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.6999 2 วันที่ผ่านมา

    Mchungaji Kigezo chako cha Usajili hakifai. Mchazaji anaweza kufanya vizuri hata kama anatoka timu isiyoshiriki Club Bingwa.
    Mchezaji hachezi pekee yake na hata kwenye timu zinazocheza Club Bingwa kuna baadhi ya wachezaji wa ovyo tu ambao hawawezi kusajiliwa na timu hata zile ambazo hazishiriki
    Tutafute vigezo halisi vya kisoka. Haiwezekani kila mchezaji aanzie kwenye timu zinazoshiriki club Bingwa tu.