Imepokewa pia kuwa Abuu Maalik Al-Ash'ariyy alisema: "Nilimuuliza baba yangu, 'Ee baba yangu, uliswali nyuma ya Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na nyuma ya Abuu Bakr, 'Umar, 'Uthmaan na 'Aliy (Radhwiya Allaahu 'anhum ajma'iyn). Je, walikuwa wakisoma Qunuwt katika Swalaah ya Alfajiri?' Akajibu, Ee mwanangu, hili ni jambo jipya lililozushwa,'" [Imesimuliwa na wapokezi wote (watano) isipokuwa Abu Daawuwd].
Darili mojawapo kiama ni kuwepo kwa UDOGO WA ELIMU. na ndio tunaokwenda nao. Kwa mfano Maulidi ndani ya Quran tukufu haimo, lakini na wala Mtume wa wa Mwenyezi Mungu hakufanya wala hakuhusia, lakini bado watu wanabishana kwalo. Huo ni udogo wa elimu.
leta dalili أولاً القنوت في الصبح غير مشروع على وجه الدوام، بل هو غير مشروع، بل أقل أحواله أن يكون مكروهاً، وظاهر النصوص أنه بدعة؛ ولهذا ثبت في حديث سعد بن طارق الأشجعي عن أبيه أنه سأل أباه، قال: يا أبت! إنك صليت خلف رسول الله ﷺ، وخلف أبي بكر وعمر وعثمان وعلي ، أفكانوا يقنتون في الفجر؟ فقال: أي بني محدث قال طارق لابنه: أي بني محدث، وطارق من أصحاب النبي ﷺ، رواه أحمد رحمه الله والترمذي والنسائي وابن ماجة بإسناد جيد، فهذا يدل على أنه غير مشروع القنوت في الصبح، هذا القنوت الدائم، فهو محدث لم يفعله الرسول ﷺ ولا أصحابه، يعني: ولا الخلفاء المذكورون. وذهب قوم من أهل العلم إلى أنه يستحب كـالشافعي رحمه الله وجماعة، واحتجوا بحديث جاء عن أنس أن النبي ﷺ كان يقنت في الصبح حتى فارق الدنيا لكنه حديث ضعيف عند أهل العلم ليس بثابت، والصواب أن القنوت في الصبح إنما هو في النوازل خاصة، إذا نزل بالمسلمين نازلة مثل الحروب التي يشنها الأعداء فيشرع القنوت، كما قنت النبي ﷺ شهراً يدعو على أحياء من العرب؛ لما قتلوا جماعة من أصحابه ، وقنت يدعو على قريش مدة من الزمن، هذا لا بأس به، هذا مشروع عند الحاجة إليه، لكن ليس بدائم بل مؤقت شهر شهرين ثم يتركه، هذا مشروع للنوازل والحاجة التي تعرض من عدوان على المسلمين من عدوهم، فيقنت في الدعاء عليهم كما فعله المصطفى صلى الله عليه وسلم، أما القنوت الدائم في الصبح أو في غيرها فهذا غير مشروع بل هو بدعة، وأقل أحواله أن يكون مكروهاً؛ لأنه خلاف الأحاديث الصحيحة، والله المستعان. نعم
Mashekh na nyoooote muliosababisha haya yakafanyika mola awabarikie kwani yanafungua weeengi macho ila ninapendekezo kongamano lisiwe lasiku Moja kueleza wanazuoni wooote waelezwe mashekh wa 2 kwaupana zaidi
Kusoma kusoma kusoma! Kila mara maneno ni hayohayo! Sijui hiyo elimu itafanyiwa kazi makaburini! Mnatuchosha na talbis ibilis zenu,uma wa mtume(saw) inaenda mrama mmekalia porojo
@@JamalMohamedibnusaalim Sina shaka na Hilo," kusoma hakuna mwisho" ttzo kusoma hlf hufanyii kazi ulichosoma, unakua kama yahudi haki unaijua hlf hutumii elimu ulosoma! au punda umebeba maji halafu kiu kinakuumiza
Leo munampongeza kesho akizizungumzia Bidaa zenu munazo zipenda musije mukamkanyaga na kumtukana kwa kumuita myahidi kwa kua kila anaye piga vita bidaa nyie humuita myahudi
بارک الله فیکم العلامة استفدنا الحمدلله رب العالمین
بارك الله فيكم يا شيخنا العزيز
DHIKRI FIKRI SHUKRI SUBRI
Jazaaka llahu khayra.
Huyu nishekhe kwelikweli mungu amjaze kheri
Umesema kweli mashaAllah
moja ya msheikh wachache walio baki wanaofundisha ilmu na sio ushabiki wa kimadhehebu
Imepokewa pia kuwa Abuu Maalik Al-Ash'ariyy alisema: "Nilimuuliza baba yangu, 'Ee baba yangu, uliswali nyuma ya Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na nyuma ya Abuu Bakr, 'Umar, 'Uthmaan na 'Aliy (Radhwiya Allaahu 'anhum ajma'iyn). Je, walikuwa wakisoma Qunuwt katika Swalaah ya Alfajiri?' Akajibu, Ee mwanangu, hili ni jambo jipya lililozushwa,'" [Imesimuliwa na wapokezi wote (watano) isipokuwa Abu Daawuwd].
Darili mojawapo kiama ni kuwepo kwa UDOGO WA ELIMU. na ndio tunaokwenda nao. Kwa mfano Maulidi ndani ya Quran tukufu haimo, lakini na wala Mtume wa wa Mwenyezi Mungu hakufanya wala hakuhusia, lakini bado watu wanabishana kwalo. Huo ni udogo wa elimu.
Hapa anafundishwa Bachu
hawo maimam wa4 hawakuhitalifiana kwenye nafs lakini mtu yawakosea kwenye shina umkubalitu ilikuwaje ibni temia akaendajela
leta dalili أولاً القنوت في الصبح غير مشروع على وجه الدوام، بل هو غير مشروع، بل أقل أحواله أن يكون مكروهاً، وظاهر النصوص أنه بدعة؛ ولهذا ثبت في حديث سعد بن طارق الأشجعي عن أبيه أنه سأل أباه، قال: يا أبت! إنك صليت خلف رسول الله ﷺ، وخلف أبي بكر وعمر وعثمان وعلي ، أفكانوا يقنتون في الفجر؟ فقال: أي بني محدث قال طارق لابنه: أي بني محدث، وطارق من أصحاب النبي ﷺ، رواه أحمد رحمه الله والترمذي والنسائي وابن ماجة بإسناد جيد، فهذا يدل على أنه غير مشروع القنوت في الصبح، هذا القنوت الدائم، فهو محدث لم يفعله الرسول ﷺ ولا أصحابه، يعني: ولا الخلفاء المذكورون.
وذهب قوم من أهل العلم إلى أنه يستحب كـالشافعي رحمه الله وجماعة، واحتجوا بحديث جاء عن أنس أن النبي ﷺ كان يقنت في الصبح حتى فارق الدنيا لكنه حديث ضعيف عند أهل العلم ليس بثابت، والصواب أن القنوت في الصبح إنما هو في النوازل خاصة، إذا نزل بالمسلمين نازلة مثل الحروب التي يشنها الأعداء فيشرع القنوت، كما قنت النبي ﷺ شهراً يدعو على أحياء من العرب؛ لما قتلوا جماعة من أصحابه ، وقنت يدعو على قريش مدة من الزمن، هذا لا بأس به، هذا مشروع عند الحاجة إليه، لكن ليس بدائم بل مؤقت شهر شهرين ثم يتركه، هذا مشروع للنوازل والحاجة التي تعرض من عدوان على المسلمين من عدوهم، فيقنت في الدعاء عليهم كما فعله المصطفى صلى الله عليه وسلم، أما القنوت الدائم في الصبح أو في غيرها فهذا غير مشروع بل هو بدعة، وأقل أحواله أن يكون مكروهاً؛ لأنه خلاف الأحاديث الصحيحة، والله المستعان. نعم
Mashekh na nyoooote muliosababisha haya yakafanyika mola awabarikie kwani yanafungua weeengi macho ila ninapendekezo kongamano lisiwe lasiku Moja kueleza wanazuoni wooote waelezwe mashekh wa 2 kwaupana zaidi
Mkipatikana mashekh kama nyie wenye uelewa wa kujua maana ighitilafu na misimamo ya maimam wanne nisawa uislam duniani tungekuwa wamoja
Kusoma kusoma kusoma! Kila mara maneno ni hayohayo! Sijui hiyo elimu itafanyiwa kazi makaburini! Mnatuchosha na talbis ibilis zenu,uma wa mtume(saw) inaenda mrama mmekalia porojo
Kusoma hakuna mwisho ndo mana unaambiwa usome
@@JamalMohamedibnusaalim Sina shaka na Hilo," kusoma hakuna mwisho" ttzo kusoma hlf hufanyii kazi ulichosoma, unakua kama yahudi haki unaijua hlf hutumii elimu ulosoma! au punda umebeba maji halafu kiu kinakuumiza
Leo munampongeza kesho akizizungumzia Bidaa zenu munazo zipenda musije mukamkanyaga na kumtukana kwa kumuita myahidi kwa kua kila anaye piga vita bidaa nyie humuita myahudi