JAMANI NIMECHELEWA MIE😢ILA HAPAJA HARIBIKA JAMBO BORA NIMEFIKA ..WACHA NIENJOY ZANGU MIE..AHSANTE ANKO JAY KWA KIGONGO KIPYA ❤BILA KUMSAHAU MWANDISHI WETU LISSA MWALA..POKEENI MAUWA HAYO KUTOKA KWETU WASIKILIZAJI WENU 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Hakika tumeamini unatupenda kweli mungu akubariki na akuzidishie kwa kazi yako nasi tunakuombea sana mungu akupe afueni upone haraka tunakupenda pia kwa bidii ya kazi yako nzuri congratulations 👏👏👏🎉🎉🎉❤❤❤
Namshukuru mungu Kwa kukujalia ubora wa afya,natumaye inaendelea vizuri Kwa Sasa,am so happy to hear your voice 😊, thanks so much for the love y've shown us❤❤❤
Aisee Tony naona huyapend maisha yako utatupwa kwenye mashimo ya migodi,unakula sahan moja na boss wako tena kwa mikono michafu ooooh,balaa linakunukia
Next tym ukiona mwanamke amependeza naumeambiwa na boss wako huyu mkewangu bora muachee lkn miyeyuko ya hisia ungefia hapo shimoni nani angejua umekufaa hayaa utakapo pona ukiona wanawake kuwa naheshima nao yani wanaume bn uko na happy lkn tamaaa unamtaka cheupe haya kakupoxaa naalikudanganya atakulinda kwa danga lake hiloo
Daah kumbe kuna wanaume wanajipendekeza kutoa msaada kumbe una lako jambo, dogo ashajisahau tayari 😂😂😂 aliponea kufukiwa machimboni kisa mwanamke wa mtu hivi anajibebisha tena kwa mke wa mtu, hebu tuangalie digo ataishia wapi manake amezid😢kule mwanzo alitoroka kisa kulala na dem wa rafiki yake, hapa kaingilia ndoa ya watu, 😅😅daah I feel for this guy siatafute dem wake😊
Anko jey vipi Hali yako mzm uko powa pole na kazi simulizi nzuri hii ❤❤❤🎉🎉🎉
Jamani mapenzi Haya hinahumeza tana sana hukipata mzuri shukuru mungu
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 ata msip like nisha zoeya tu 😢😢
Hongela sana best friend wang kwa kaz nzuli ila pumzika upone maana mafua yana umiza sana
Yanaumiza Sana
Pole sana Ankoj wangu ❤️❤️🥰
Waaah,,dda Lisa Mwala leo unatupunga na last born,,asante Anko J kwa smlz zenye nafunzo
Anok j kaz nzuri❤❤❤
Duhh acheni tu mapenzi jamaa kama ticha ally wapo ase😭😭😭
Mpole ni kamtu kabaya hatareee❤❤❤❤
Wa9 leo jaman 🎉🎉🎉
Number 1
No1😂😂 twende nalo
Asante kaka pole situmekupa ruhusa upumnzike kaka afya muhimu
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪😂😂😂😂wa mwisho leo😢😢😢
Mashallah anko Jay jazakalwau da lisa Allah awajalie kila lakheri
JAMANI NIMECHELEWA MIE😢ILA HAPAJA HARIBIKA JAMBO BORA NIMEFIKA ..WACHA NIENJOY ZANGU MIE..AHSANTE ANKO JAY KWA KIGONGO KIPYA ❤BILA KUMSAHAU MWANDISHI WETU LISSA MWALA..POKEENI MAUWA HAYO KUTOKA KWETU WASIKILIZAJI WENU 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Acha nimuongeze mauwa 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹💓💓nampa ongera pia Allah azdi kumpa furaha na kipaji chake cha utunzi Mungu akibariki
Sisi twaenjoy tuu hapa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪wapi nduruuu ya ankojay na lissa mwala
Nime,wah❤❤
❤❤❤ pole daer
💞💞💞❤️ jmn jmn ako j ww mh utauwa kwautamu
Leo nimekuwa wa kwanza Asante anko jay💋💋😘
Anko j tumpee maua yake🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
Hakika tumeamini unatupenda kweli mungu akubariki na akuzidishie kwa kazi yako nasi tunakuombea sana mungu akupe afueni upone haraka tunakupenda pia kwa bidii ya kazi yako nzuri congratulations 👏👏👏🎉🎉🎉❤❤❤
Asante Akoy j Kwa simulizi zenye mafunzo❤❤❤🎉
Jamani wa mbozi kujeni huku ❤❤❤
Kwanza niliboeka leo LAST BORN kafanyanini haya tunasikiliza ili tujuwe mich u LISSA MWALLA❤🥰
❤
Nimewahii leo🎉🎉🎉
Natumai akoy j unaendelea vizuri ❤
akojay Asante kwa simulizi tamu tamu ❤❤❤sishikiki niki kitako
Anko jay vp mafuwa pole asante kwa kutusisimua na simulizi tam
Ankojay tunasubiri kwahamu sana part 2 aissseee
Lisa Mwallatukum bushie wajibu wa wazazi hasa jamii za wafugaji
Asante anko jay kwa simuliz tamu ❤❤❤❤❤
Leo nimeiwayi ❤❤❤
Wee. Ton. Jishauwee. Tuu. Wema. Uliponza🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤🇮🇹🇹🇿🔥
Wewe. Ton. Kumbuka. Kule. Zizin. Kwenye. Magombe. Uli. Tolewamkuku. Na. Kule. Machimboni?? Na. Hapo. Kwa. Techar. Utajijuuu🎉🎉🎉😂😂🇮🇹🇹🇿💪😘
Asante Anko j nimewahii twande nalo
Wewehuyo. Boss. Alisha. Waambia. Atawauwa. Mkitwmbea. Namwanamke. Wake. Ulikosakumbu. Bwege. Ukome🎉🎉🎉🎉🎉🇮🇹🇹🇿👍
Asantee,Lissa,mwaLLa
Haijalishi nimechelewa ila nimefika shukrani anko jay and Lisa mwalla❤❤❤
❤❤❤❤ pole na kuumwa
Ewaaa...watu mko haraka jmn🤣😂😂😂😂😂
Namshukuru mungu Kwa kukujalia ubora wa afya,natumaye inaendelea vizuri Kwa Sasa,am so happy to hear your voice 😊, thanks so much for the love y've shown us❤❤❤
Mnipee🌹🌹🌹🌹
Umeonaee! Unakumbuka shuka kumecha
Daa,kweli kichwa cha chini kikiachwa kifanye kazi ni hatari kwa maisha ya mwanaume😂😂😂😂
Shkran kwa simulizi safi ankojey ❤❤
Asant dj wetu🎉
Nimewahi vipi anko Jay simulizi unaendelea vizuri❤
Leo nimewahi
Aisee Tony naona huyapend maisha yako utatupwa kwenye mashimo ya migodi,unakula sahan moja na boss wako tena kwa mikono michafu ooooh,balaa linakunukia
😂😂😂 sema wanaume kukataa kitumbua! mhhm,alifaulu Yusuph huko Misri tu,😂😂😂 ni wadhaifu jamani
@@avelinabaluhya2804 😁😁😁kweli
Wow ❤❤❤❤❤❤❤❤
Leo WA kumi na Tisa nimewahi
Pongez sana Lisa pamoja na anko jay kwa simuliz tamu,ingawa nimechelewa lakin nimefika
Tonny wew Tony umeepuka kifo kwa boss wako migodini,sasa upo na madam mke wa teacher,uwe makin hatar iko mbele yako
Jamani mbn mm hii simulizi sielewi part zingine zimerukwa ama mm ndo sijaelewa😮
❤❤❤❤mpenzi umepona😊
Jaman mbon epesod 2 siipat
Wakwanza jamani nipen like zangz❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hongera dear 😘😘😘😘
@@anjelinandambuki-fi4ip 😍😍😍😍😍😍
Ongel
😍😍😍
Ok pokea hizo like apo❤❤❤❤
Wa mwishooo😂😂😂
Safi sana
Nzuri❤❤❤❤❤
Wa pili leo❤❤❤
Raha❤❤
Asate sana ako Jay ubalikiwe sana
Next tym ukiona mwanamke amependeza naumeambiwa na boss wako huyu mkewangu bora muachee lkn miyeyuko ya hisia ungefia hapo shimoni nani angejua umekufaa hayaa utakapo pona ukiona wanawake kuwa naheshima nao yani wanaume bn uko na happy lkn tamaaa unamtaka cheupe haya kakupoxaa naalikudanganya atakulinda kwa danga lake hiloo
Enyewe maisha wakati mwingine hayatabiriki kweli Tony jipe tuu mda mambo yatakaa sawa kwani mapenzi nayo yamekuwa kizungumkuti kwako
Very nice one Anko jay we always❤❤❤❤
Daah kumbe kuna wanaume wanajipendekeza kutoa msaada kumbe una lako jambo, dogo ashajisahau tayari 😂😂😂 aliponea kufukiwa machimboni kisa mwanamke wa mtu hivi anajibebisha tena kwa mke wa mtu, hebu tuangalie digo ataishia wapi manake amezid😢kule mwanzo alitoroka kisa kulala na dem wa rafiki yake, hapa kaingilia ndoa ya watu, 😅😅daah I feel for this guy siatafute dem wake😊
Mim kama kawaida yangu nafaid masontojo ya miez iliyopita,nasikiliza kwanza last born nitarud kucoment
😮😮😢😢😮😂😮😅😢😮🎉❤😮😅😢🎉😢😢❤😮😮😮😮😅😢😢😂😂❤😂😂😂❤❤
Kushambulia mama mzazi walimu
Anko jay kuna watu wengine wavivi
Ngoja tule.raha na last born toka kwa kipenzi chetu Liza mwalla asante anko joy jamani nilikua nimeboeka hapa ❤
Very good anko just love you
Saluti kwako lissa mwalla
Leo nmekuwa wa pili duuh nmepiga hatua anyway tuendelee na simuliz nzuri
Hi Lissa mwalla? ahsante Ankojay kutuletea simulizi ya Lissa nilim6 acha ni 🪑🎧🌹🙏🙌
Sivizuri pia mwalimu ni wapuzi
Ank wew sulima kwamb unaumw engesubil upone anko wetu
Hatimaye tumefikiwa wakina Happy😂😂
Wow 😲 am happy today ebu tuone hope umepoa mpendwa wetu
🥰🥰🥰so happy
Asante anko j
Nzuli 😊
❤❤❤❤❤ nc
Unajua anko j huyu mwandishi Lisa mwala me namkubali sana kwasb simulizi zake yaani zinasismua na kufundisha
Nakupenda pia ❤
Nilikumiss lisa
Napenda simulizi zako nasauti Yako anko Jay upewe ulinzi
Part3 ikowap
No sixteen jmn give my likeee😂
Asante simliz nzur❤❤❤❤❤
Hapa kwenye mnyama anko jay nimekuelewa😂😂😂
Nzuri mno
Shukran anko J pamoja na mtunzi wetu ❤❤❤❤
Lakini Jana tulielewana upuzike Anko why😂😂😂😂😂
😢 wengine waligoma
@@ankojay_ pole Mungu atazidi kukuponesha na kukupa nafuu ya uzima,,In Sha Allah
ᴺⁱᵐᵉᵏʷᵃᵐᵃ ʰᵃᵖᵒ ᵏʷᵃ ᵐᵏᵒⁿᵒ ʷᵃ ˢʷᵉᵃᵗᵉʳ😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Tuna subiri sehemu ya pili kwa hamu kubwa
❤❤❤❤❤
Hongrra , Asante
❤😂❤😂❤😂❤asante sana anko jay na lisa mwalla
Sio mjinga ila achana na mpenzi wa boss wako
Anko ni wewe umechapia hapo
Jaman me kila siku wa mwisho Lakin nafaidi mwenzenu na simulizi Tena tamu
Wow
Watu mnawahi lol 😂😂
Mashallah simulizi nzuri
Binge la simulizi
Nani mwingine akili yake imekita kambi kwa Lisa na Lisa pekee zingine aiiiii