Kwa majina naitwa tony ni mtoto wa tatu kwa mama yangu ambae ana watoto watatu,wa kwanza na wa pili ni dada zangu na wa mwisho ni mimi Tony Ambae Ni Last Born
JAMANI NIMECHELEWA MIE😢ILA HAPAJA HARIBIKA JAMBO BORA NIMEFIKA ..WACHA NIENJOY ZANGU MIE..AHSANTE ANKO JAY KWA KIGONGO KIPYA ❤BILA KUMSAHAU MWANDISHI WETU LISSA MWALA..POKEENI MAUWA HAYO KUTOKA KWETU WASIKILIZAJI WENU 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Hakika tumeamini unatupenda kweli mungu akubariki na akuzidishie kwa kazi yako nasi tunakuombea sana mungu akupe afueni upone haraka tunakupenda pia kwa bidii ya kazi yako nzuri congratulations 👏👏👏🎉🎉🎉❤❤❤
Aisee Tony naona huyapend maisha yako utatupwa kwenye mashimo ya migodi,unakula sahan moja na boss wako tena kwa mikono michafu ooooh,balaa linakunukia
Daah kumbe kuna wanaume wanajipendekeza kutoa msaada kumbe una lako jambo, dogo ashajisahau tayari 😂😂😂 aliponea kufukiwa machimboni kisa mwanamke wa mtu hivi anajibebisha tena kwa mke wa mtu, hebu tuangalie digo ataishia wapi manake amezid😢kule mwanzo alitoroka kisa kulala na dem wa rafiki yake, hapa kaingilia ndoa ya watu, 😅😅daah I feel for this guy siatafute dem wake😊
Namshukuru mungu Kwa kukujalia ubora wa afya,natumaye inaendelea vizuri Kwa Sasa,am so happy to hear your voice 😊, thanks so much for the love y've shown us❤❤❤
Next tym ukiona mwanamke amependeza naumeambiwa na boss wako huyu mkewangu bora muachee lkn miyeyuko ya hisia ungefia hapo shimoni nani angejua umekufaa hayaa utakapo pona ukiona wanawake kuwa naheshima nao yani wanaume bn uko na happy lkn tamaaa unamtaka cheupe haya kakupoxaa naalikudanganya atakulinda kwa danga lake hiloo
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 ata msip like nisha zoeya tu 😢😢
Wakwanza jamani nipen like zangz❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hongera dear 😘😘😘😘
@@anjelinandambuki-fi4ip 😍😍😍😍😍😍
Ongel
😍😍😍
Waaah,,dda Lisa Mwala leo unatupunga na last born,,asante Anko J kwa smlz zenye nafunzo
No sixteen jmn give my likeee😂
Kwanza niliboeka leo LAST BORN kafanyanini haya tunasikiliza ili tujuwe mich u LISSA MWALLA❤🥰
❤
Hongela sana best friend wang kwa kaz nzuli ila pumzika upone maana mafua yana umiza sana
Yanaumiza Sana
Pole sana Ankoj wangu ❤️❤️🥰
Ngoja tule.raha na last born toka kwa kipenzi chetu Liza mwalla asante anko joy jamani nilikua nimeboeka hapa ❤
Very good anko just love you
Mim kama kawaida yangu nafaid masontojo ya miez iliyopita,nasikiliza kwanza last born nitarud kucoment
Leo nimekuwa wa kwanza Asante anko jay💋💋😘
Leo nmekuwa wa pili duuh nmepiga hatua anyway tuendelee na simuliz nzuri
Jamani mapenzi Haya hinahumeza tana sana hukipata mzuri shukuru mungu
Wow 😲 am happy today ebu tuone hope umepoa mpendwa wetu
JAMANI NIMECHELEWA MIE😢ILA HAPAJA HARIBIKA JAMBO BORA NIMEFIKA ..WACHA NIENJOY ZANGU MIE..AHSANTE ANKO JAY KWA KIGONGO KIPYA ❤BILA KUMSAHAU MWANDISHI WETU LISSA MWALA..POKEENI MAUWA HAYO KUTOKA KWETU WASIKILIZAJI WENU 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Acha nimuongeze mauwa 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹💓💓nampa ongera pia Allah azdi kumpa furaha na kipaji chake cha utunzi Mungu akibariki
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪😂😂😂😂wa mwisho leo😢😢😢
💞💞💞❤️ jmn jmn ako j ww mh utauwa kwautamu
Ankojay tunasubiri kwahamu sana part 2 aissseee
Asante kaka pole situmekupa ruhusa upumnzike kaka afya muhimu
Natumai akoy j unaendelea vizuri ❤
Duhh acheni tu mapenzi jamaa kama ticha ally wapo ase😭😭😭
Mashallah anko Jay jazakalwau da lisa Allah awajalie kila lakheri
Asante anko jay kwa simuliz tamu ❤❤❤❤❤
Anko jey vipi Hali yako mzm uko powa pole na kazi simulizi nzuri hii ❤❤❤🎉🎉🎉
Ewaaa...watu mko haraka jmn🤣😂😂😂😂😂
Anok j kaz nzuri❤❤❤
Mpole ni kamtu kabaya hatareee❤❤❤❤
Number 1
Nime,wah❤❤
❤❤❤ pole daer
No1😂😂 twende nalo
akojay Asante kwa simulizi tamu tamu ❤❤❤sishikiki niki kitako
Hakika tumeamini unatupenda kweli mungu akubariki na akuzidishie kwa kazi yako nasi tunakuombea sana mungu akupe afueni upone haraka tunakupenda pia kwa bidii ya kazi yako nzuri congratulations 👏👏👏🎉🎉🎉❤❤❤
Asante Akoy j Kwa simulizi zenye mafunzo❤❤❤🎉
Jamani wa mbozi kujeni huku ❤❤❤
Jaman mbon epesod 2 siipat
Daa,kweli kichwa cha chini kikiachwa kifanye kazi ni hatari kwa maisha ya mwanaume😂😂😂😂
Nimewahii leo🎉🎉🎉
Asantee,Lissa,mwaLLa
Wa9 leo jaman 🎉🎉🎉
Haijalishi nimechelewa ila nimefika shukrani anko jay and Lisa mwalla❤❤❤
Asante Anko j nimewahii twande nalo
Leo nimeiwayi ❤❤❤
Anko jay vp mafuwa pole asante kwa kutusisimua na simulizi tam
Jamani mbn mm hii simulizi sielewi part zingine zimerukwa ama mm ndo sijaelewa😮
Nimewahi vipi anko Jay simulizi unaendelea vizuri❤
Pongez sana Lisa pamoja na anko jay kwa simuliz tamu,ingawa nimechelewa lakin nimefika
Anko jay kuna watu wengine wavivi
Sisi twaenjoy tuu hapa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪wapi nduruuu ya ankojay na lissa mwala
Asant dj wetu🎉
Lisa Mwallatukum bushie wajibu wa wazazi hasa jamii za wafugaji
ᴺⁱᵐᵉᵏʷᵃᵐᵃ ʰᵃᵖᵒ ᵏʷᵃ ᵐᵏᵒⁿᵒ ʷᵃ ˢʷᵉᵃᵗᵉʳ😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Mnipee🌹🌹🌹🌹
Very nice one Anko jay we always❤❤❤❤
❤❤❤❤ pole na kuumwa
Asante anko j
Enyewe maisha wakati mwingine hayatabiriki kweli Tony jipe tuu mda mambo yatakaa sawa kwani mapenzi nayo yamekuwa kizungumkuti kwako
Leo nimewahi
Shkran kwa simulizi safi ankojey ❤❤
Watu mnawahi lol 😂😂
Wa mwishooo😂😂😂
Wow ❤❤❤❤❤❤❤❤
Aisee Tony naona huyapend maisha yako utatupwa kwenye mashimo ya migodi,unakula sahan moja na boss wako tena kwa mikono michafu ooooh,balaa linakunukia
😂😂😂 sema wanaume kukataa kitumbua! mhhm,alifaulu Yusuph huko Misri tu,😂😂😂 ni wadhaifu jamani
@@avelinabaluhya2804 😁😁😁kweli
❤❤❤❤❤
Tonny wew Tony umeepuka kifo kwa boss wako migodini,sasa upo na madam mke wa teacher,uwe makin hatar iko mbele yako
Leo WA kumi na Tisa nimewahi
Unajua anko j huyu mwandishi Lisa mwala me namkubali sana kwasb simulizi zake yaani zinasismua na kufundisha
Nakupenda pia ❤
Hi Lissa mwalla? ahsante Ankojay kutuletea simulizi ya Lissa nilim6 acha ni 🪑🎧🌹🙏🙌
Hatimaye tumefikiwa wakina Happy😂😂
Lakini Jana tulielewana upuzike Anko why😂😂😂😂😂
😢 wengine waligoma
@@ankojay_ pole Mungu atazidi kukuponesha na kukupa nafuu ya uzima,,In Sha Allah
Shukran anko J pamoja na mtunzi wetu ❤❤❤❤
Saluti kwako lissa mwalla
Napenda simulizi zako nasauti Yako anko Jay upewe ulinzi
Part3 ikowap
Daah kumbe kuna wanaume wanajipendekeza kutoa msaada kumbe una lako jambo, dogo ashajisahau tayari 😂😂😂 aliponea kufukiwa machimboni kisa mwanamke wa mtu hivi anajibebisha tena kwa mke wa mtu, hebu tuangalie digo ataishia wapi manake amezid😢kule mwanzo alitoroka kisa kulala na dem wa rafiki yake, hapa kaingilia ndoa ya watu, 😅😅daah I feel for this guy siatafute dem wake😊
❤❤❤❤mpenzi umepona😊
Namshukuru mungu Kwa kukujalia ubora wa afya,natumaye inaendelea vizuri Kwa Sasa,am so happy to hear your voice 😊, thanks so much for the love y've shown us❤❤❤
Wow ❤❤❤❤❤❤
Wow
❤❤❤❤❤❤
Hapa kwenye mnyama anko jay nimekuelewa😂😂😂
Next tym ukiona mwanamke amependeza naumeambiwa na boss wako huyu mkewangu bora muachee lkn miyeyuko ya hisia ungefia hapo shimoni nani angejua umekufaa hayaa utakapo pona ukiona wanawake kuwa naheshima nao yani wanaume bn uko na happy lkn tamaaa unamtaka cheupe haya kakupoxaa naalikudanganya atakulinda kwa danga lake hiloo
Nzuri❤❤❤❤❤
❤❤❤🎉
Nani mwingine akili yake imekita kambi kwa Lisa na Lisa pekee zingine aiiiii
Tuna subiri sehemu ya pili kwa hamu kubwa
Wa pili leo❤❤❤
Nilikumiss lisa
❤❤❤❤
Nzuli 😊
Ank wew sulima kwamb unaumw engesubil upone anko wetu
❤❤❤❤❤ nc
Raha❤❤
🥰🥰🥰so happy
Asate sana ako Jay ubalikiwe sana
❤😂❤😂❤😂❤asante sana anko jay na lisa mwalla
🗣️❤️✨❤️✨🙏🏽
🎉🎉❤❤
❤❤😂😂😂😂🎉🎉🙆🤔 poooooo
❤❤🎉
Lisa mwalla na ankojay ni moto
Jamn sijachelewa sana nipeni na mm like❤❤
Jaman me kila siku wa mwisho Lakin nafaidi mwenzenu na simulizi Tena tamu
Binge la simulizi
Subir nisikilize last born pacha wangu 😅kafanyajee