20% || NINGEKUSAMEHE || Official HD Video

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 1K

  • @GraceGrayson-od4sz
    @GraceGrayson-od4sz 8 หลายเดือนก่อน +34

    2024 still coming back to listen this🙌

  • @FrancoisBilali
    @FrancoisBilali 8 หลายเดือนก่อน +37

    Tunaotizama hii 2024 tujuane kwenye likes

  • @HappySambo-e9d
    @HappySambo-e9d 5 หลายเดือนก่อน +87

    Tunao tizama mwaka 2024 tujuwane kwenye like

  • @Godifreyclassic
    @Godifreyclassic 7 หลายเดือนก่อน +10

    Natizama hii 2024 aichoshi kuwangalia😮😮😮

  • @Bobaleey
    @Bobaleey 9 หลายเดือนก่อน +11

    Kila siku zikikata na miaka kupita nafsi inanikumbusha kuwa kuna kitu kimemiss nacho ni hii ngoma ni ngoma ya chaguo langu muda wote.

  • @Tiondo
    @Tiondo 9 หลายเดือนก่อน +63

    Nani yuko hapa? ✋️ 19th Jan 2024

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 8 หลายเดือนก่อน +13

    Tujuane tunaoangalia 2024

  • @ElizabethJulius-oo5ez
    @ElizabethJulius-oo5ez 7 หลายเดือนก่อน +40

    2024 nimeikumbuka hii ngoma miaka ming saaana gonga like kama tuko pamoja

  • @KeytanWhite
    @KeytanWhite 9 หลายเดือนก่อน +9

    ❤❤❤❤❤❤Hadi leo 2024

    • @NaomiGodlove-e2d
      @NaomiGodlove-e2d 5 หลายเดือนก่อน

      Hatari n🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @kentarmg
    @kentarmg 7 หลายเดือนก่อน +22

    Gonga like apa kama usha sikiya iyi ngoma mu 2024❤🎉

  • @UhaiSaid
    @UhaiSaid 8 หลายเดือนก่อน +11

    Mm natazama mwaka 2024 nime ikumbuka sana

  • @swalemathias6996
    @swalemathias6996 5 ปีที่แล้ว +37

    Msaniii bora Sana kwa Tanzania namkubaria Sana huyu msanii ana kipaji sana

  • @churasuperstar2985
    @churasuperstar2985 ปีที่แล้ว +216

    Tunao Tizama hii 2023 tujuwane kwenye like

  • @hope30807
    @hope30807 9 หลายเดือนก่อน +9

    Wangapi tupo hapa 2024

  • @rapstarkroz1358
    @rapstarkroz1358 6 ปีที่แล้ว +75

    imetishaaaaaaaa 20 percent.,,uko juu tena haujionyeshi!kimya kimya unawazima tu

    • @alexgabriel959
      @alexgabriel959 6 ปีที่แล้ว +3

      Inasikitisha sana mkali wetu kupotea kimaajabu

  • @ESTONIATV
    @ESTONIATV ปีที่แล้ว +19

    Can’t believe I was fortunate enough to be born in this era

  • @luthimunuo8838
    @luthimunuo8838 4 ปีที่แล้ว +3

    Tusidanganyani wadau.ukisikia mziki Basi ujue huku kwa 20%ndipo ulipo.Ningekusamehe Ni wimbo mmoja mzuri Sana kwa mafundisho ya mahusiano au mapenzi.big up Mr tembeza biti Wala usiangalie Nani kabebwa Nani kajibeba.well done🙏🙏🙏

  • @totolakisii5589
    @totolakisii5589 3 ปีที่แล้ว +165

    Wale bado tunaskiza hii nyimbo this is our favourite nipe like 2021

  • @jamesmaramoko1259
    @jamesmaramoko1259 6 หลายเดือนก่อน +9

    Gonga like tuliommisi mwamba 2024 arudi kwenye game

  • @happynejohn8901
    @happynejohn8901 5 ปีที่แล้ว +87

    mpk leo tarehe 13 mwez wa 5 2019 bdo naichek khahah hii ngoma ni hatari 😍😍😍

  • @geraldmwazo126
    @geraldmwazo126 ปีที่แล้ว +22

    2023 still coming back to listen to this song

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk 9 หลายเดือนก่อน +22

    Turolud 2024 uku tena tujuane kw like za kutosha.

  • @ibrahimkadibo810
    @ibrahimkadibo810 4 ปีที่แล้ว +13

    Hii ngoma nilikua naisikia tu, sikuwai kuitilia maanani, lkn pale yalipo nikuta kama yalio imbwa humu...naielewa sana mpaka leo narudia rudia siichoki....2019

  • @thomasmichaeldadi
    @thomasmichaeldadi 2 ปีที่แล้ว +37

    october 2022 still loving this guy.. pure talllent

  • @leahjoram7693
    @leahjoram7693 5 ปีที่แล้ว +440

    Nani anaitizama hii 2019 pamoja nami

  • @matridaboniphace6557
    @matridaboniphace6557 5 ปีที่แล้ว +84

    Huyu ndie alikuwa mwimbaji jaman likeeee zote 2019

  • @bugumbadeus9174
    @bugumbadeus9174 5 ปีที่แล้ว +21

    Hii ngoma iko fit sana kama bado unaichek hii ngoma gonga lyk

  • @irdarwin295
    @irdarwin295 3 ปีที่แล้ว +19

    Je suis trop ravi des chansons et les commentaires de 20%. Et je pense qu'il est le musicien numéro 1 en Tanzanie.

  • @mirajially9178
    @mirajially9178 4 ปีที่แล้ว +291

    Nani anaingalia 2020 kisha nipe like

  • @esharsalums8279
    @esharsalums8279 2 ปีที่แล้ว +99

    2022 still loving this 🎶🥰

  • @DaudiMagoga
    @DaudiMagoga 9 หลายเดือนก่อน +3

    Yamenitokea na wimbo huu upo shh na aliyenitenda nimemtumia wimbo huu ivo asahau kurudi kwangu

  • @Trendingtv896
    @Trendingtv896 10 หลายเดือนก่อน +3

    2024 let’s enjoy Good musics T.B.T

  • @alimarezi7543
    @alimarezi7543 5 ปีที่แล้ว +36

    Kama bado unaikubali hii nyimbo gonga like

  • @thomasnyahende188
    @thomasnyahende188 6 วันที่ผ่านมา

    Mwaka 2024 lakini bado nyimbo za 20% ukizisikiliza zina hit. 🔥🔥🔥

  • @janeshee916
    @janeshee916 6 ปีที่แล้ว +120

    Hahaa msamehehe maana alivyo mjinga aliona Jana yako 😂😂 😂 hakujua kesho yako 😂 2018

  • @Susanmutheu-d3m
    @Susanmutheu-d3m 9 หลายเดือนก่อน +1

    This makes me remember my x 😢good life popote ulipo boaz

  • @veronicakaria9545
    @veronicakaria9545 ปีที่แล้ว +95

    2023 Leo Hii January nimekumbuka hii ngoma.gonga like 👍 hapa

  • @HabibaJuma-w7g
    @HabibaJuma-w7g 8 หลายเดือนก่อน +1

    Uko juu nyimbo nzuri zenye maadil na ujumbe.

  • @J.F.Entertainmenttv
    @J.F.Entertainmenttv ปีที่แล้ว +6

    March 2023 bado nasikiliza hili dude🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @maryamammar1702
    @maryamammar1702 5 ปีที่แล้ว +128

    2019?♥

  • @raphaelgitonga1715
    @raphaelgitonga1715 ปีที่แล้ว +8

    All the way from 2011...am with this guy...Good vibes and great content 💯💯👌 live from Nairobi Kenya 🇰🇪💪

  • @GeradiFaizi-je9me
    @GeradiFaizi-je9me 9 หลายเดือนก่อน +1

    Kazi zuri sana 🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @AbdullHafidh-ze3lg
    @AbdullHafidh-ze3lg 9 หลายเดือนก่อน +6

    Leo hii trh 31/12/2023 nimeukumbuka huu wimbo

  • @mfaumemarie6196
    @mfaumemarie6196 8 ปีที่แล้ว +22

    Kaka penzi yasikuhizi johivyo thx for the song

  • @nalingacomedian3848
    @nalingacomedian3848 4 ปีที่แล้ว +51

    2020 NAICHEKI NINGEKUSAMEHE

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 8 หลายเดือนก่อน +2

    Dahhhh ilinibamba Sana 2010 hii ngoma jamani

  • @khaleedmussa6786
    @khaleedmussa6786 4 ปีที่แล้ว +352

    Kama unaangalia mpaka sas 2020 gonga LIKE HAPA tujuane

  • @yusufurajabuomari647
    @yusufurajabuomari647 4 ปีที่แล้ว +104

    Nani bado anatizama hii mwaka 2020
    Like hapa nitambue uwepo wako

  • @alexndihokubwayo4015
    @alexndihokubwayo4015 3 ปีที่แล้ว +6

    Hatari saana!!!😹😹😹😹mimi nipo mjini Bujumbura leo nimeikumbuka hii ngoma!!

  • @TabureyKobaba
    @TabureyKobaba หลายเดือนก่อน +1

    Tujuane 2024

  • @inriayotz4900
    @inriayotz4900 3 ปีที่แล้ว +85

    Nani anaitazama 2021 pamoja na mimi tujuane apa gonga like

  • @prettyvalentines1932
    @prettyvalentines1932 5 ปีที่แล้ว +8

    Natoka kwa bongo mixx , this was my favourite song in the mixx and l had to search its official video... Nice song♥♥♥💕

    • @asumtabslioman5527
      @asumtabslioman5527 3 ปีที่แล้ว

      Hongera umeendawap jmn duuu🤣💕💕💕💕💕

  • @priscauebertangel
    @priscauebertangel ปีที่แล้ว +11

    2023 still listening to this ❤

  • @zarianyon8978
    @zarianyon8978 2 หลายเดือนก่อน

    Mwaka 2024 yeeeee

  • @kenlynchrispus9640
    @kenlynchrispus9640 ปีที่แล้ว +6

    2023 still in my top 🎶 🔥🔥

  • @Niwaely-v6f
    @Niwaely-v6f 8 หลายเดือนก่อน +1

    2024 nimeamka namuwaza 20%

  • @davidsiahi3710
    @davidsiahi3710 6 ปีที่แล้ว +47

    Nimejipata huku 2018. Bonge la song

  • @aisharamadhan5257
    @aisharamadhan5257 5 ปีที่แล้ว

    Ngoma kalii sanaa yn haichuji ht kidogo 2019, nani anaitamaza afu naisikiliza mda huu kwajili ya x wangu alinitenda mnoo now etii, ananiomba msamaha nikaamua kuja huku kujiliwaza afu nimeidanlody kisha nimemtumia mamaye sitaki ufala wake

  • @kudramzee1475
    @kudramzee1475 5 ปีที่แล้ว +434

    Kama unaangalia mpaka leo gonga like hapa

  • @Jedidiah_Unit
    @Jedidiah_Unit 3 หลายเดือนก่อน

    Tuliokuja 2024🎉

  • @riziwanimakuno4144
    @riziwanimakuno4144 5 ปีที่แล้ว +40

    Bdo iko on fire hii ngoma 2019

  • @jofredykulanga3993
    @jofredykulanga3993 4 ปีที่แล้ว +2

    hahaha jamaani naipenda Sana hii nyimbo nanimwingine anaipenda kama mm tujuane hapa

  • @nyamogafamily4262
    @nyamogafamily4262 4 ปีที่แล้ว +61

    2020 like zenu wadau

    • @saidyibu5099
      @saidyibu5099 4 ปีที่แล้ว +1

      Nyamoga family good

  • @KhamisBahan
    @KhamisBahan 9 หลายเดือนก่อน +2

    Naipenda sana hii nyimbo

  • @magdalenaandrew5457
    @magdalenaandrew5457 4 ปีที่แล้ว +6

    2020 bado si choki kusikiliza huu wimbo

  • @leaderilunga7345
    @leaderilunga7345 วันที่ผ่านมา

    Depuis le Congo 🇨🇩 20% 2024

  • @neemaulomi1728
    @neemaulomi1728 7 ปีที่แล้ว +30

    bro tumekumic kwenye game

    • @claudiusmaximus319
      @claudiusmaximus319 7 ปีที่แล้ว

      bro we ni mchagga wa wapi? Mbona unabeba jina la familia yetu?

    • @hailuismail8814
      @hailuismail8814 7 ปีที่แล้ว

      huyu jaaamaa jaaamaani enzi zaakee haataali nyimbo zote kalli jaamaani manema bange mone maisha ya bongo tama mbaya

  • @wybzokizzy4416
    @wybzokizzy4416 ปีที่แล้ว +2

    2023 here we go 🇰🇪🇰🇪🔥huyu kaendaje jameni

  • @eliudmkumbwa5681
    @eliudmkumbwa5681 ปีที่แล้ว +4

    wanangu tuliotendwa na kurudi kuitazama tupite hapa kwa like nyingi 2023

  • @KuweTwa
    @KuweTwa 10 หลายเดือนก่อน +1

    20 percent is one of the most composed and mature artists we are blessed to have here in east Africa,he deserve his flowers #respect from Kenya

  • @ritarmaureen3197
    @ritarmaureen3197 4 ปีที่แล้ว +10

    I still love this music until today 2020.20%where are you

  • @alfredkihwili4548
    @alfredkihwili4548 4 ปีที่แล้ว +1

    Oooh wangap bado wanasikiliza mziki mzuri

  • @gregnas2955
    @gregnas2955 4 ปีที่แล้ว +5

    Big up brother...ngoma safi sana...message so clear...yanikumbusha mbali...rudi kwa game...Huhu Kenya twapenda muundo was mashairi yako...you so simple and clear man...

  • @santosclassic9935
    @santosclassic9935 3 ปีที่แล้ว +1

    Mzk ndio huuu sio matusi wanaoimba saiv

  • @kwakilikilikwakua3127
    @kwakilikilikwakua3127 6 ปีที่แล้ว +39

    Ningekusamehee ila sio kimapezi, ningekuwa na wewe ila nimesha pata mupezi.

    • @ChuseIcon
      @ChuseIcon 4 ปีที่แล้ว

      Kwakilikili Kwakua san

  • @YawingeJohny
    @YawingeJohny 9 หลายเดือนก่อน +1

    Nani kaikumbuka 2024

  • @jkatheu5337
    @jkatheu5337 5 ปีที่แล้ว +61

    Still Loving this jam#2019

  • @nanzalajuritah6883
    @nanzalajuritah6883 4 ปีที่แล้ว +2

    Huyu jama Siku hizi ako wapi? Na anafanya kazi gani. Mkongwe wa bongo. Gonga like 2020 kama upo hapa

  • @ramadhanikibenga6317
    @ramadhanikibenga6317 4 ปีที่แล้ว +62

    2020 ngoma safii big up 20%

  • @daudisambay632
    @daudisambay632 3 ปีที่แล้ว +2

    2021 ngoma bado ipo On fire 20% big up kwako

  • @alvinmbatha4479
    @alvinmbatha4479 6 ปีที่แล้ว +27

    +254 tunawakilisha still 2018

  • @beninyojamestungaraza9190
    @beninyojamestungaraza9190 10 หลายเดือนก่อน

    Ngoma la kuishi milele daima maneno mazur naelekea kufunga nalo mwaka 2023 Mungu atulinde tufike salama 2024

  • @ezechieljacques9320
    @ezechieljacques9320 2 ปีที่แล้ว +3

    Never get old .we still there 20%

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 10 หลายเดือนก่อน

    Dahhhhh 20% the living legend tumheshimu kabla hajafa

  • @ByBlazeEnt
    @ByBlazeEnt 3 ปีที่แล้ว +17

    2021 still listening to this banger

  • @fatmafatom3034
    @fatmafatom3034 3 ปีที่แล้ว

    Iyi nyimbo haijawayi kuisha utam kwakweliiii 💞💞💞💞💞💋💋💋💋💖💖💖💖💖😻😻😻😻😻😻🇧🇮🇧🇮🇧🇮👌👌👌🇧🇮

  • @dennismuthui
    @dennismuthui 5 ปีที่แล้ว +21

    2019 still in love with this hit fro wamlambez Nation 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙊🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @tuyizereghadi1619
    @tuyizereghadi1619 ปีที่แล้ว +1

    uliponitosa mie, nilibembeleza ukataa tena..
    sikuwa na kosa mie, mie nahisi sina chapaa
    sasa sijapata, hata kama nikipata
    nitazidi kutafuta, naomba ondoka
    mwenye mapenzi ya kweli, asije akakuta
    ningekusamehe ila, ila wewe huna ila
    ningekuwa na we, ila, ila unapenda sana hela
    eeh
    nani? alotaka kunitoa roho, penzi likafika mwisho
    mimi, ya kale achana nayo, niko chini ya miguu yako
    kwani nani? alotaka kunitoa roho, penzi likafika mwisho
    mimi, ya kale achana nayo, niko chini ya miguu yako
    mmh
    mhhh
    basi sikia mpenzi, mbona wanipa kazi
    bila wewe siwezi, nitajawa na simanzi
    mwenyewe wajua, jinsi gani nimekufia
    basi nakuimbia, usiweze kunikimbia
    unajua sina ujanja wa kuachana nawe
    kuniacha njia panda, nitapata kiwewe
    huyo mtimue, mi unirudie eh
    usiniache nilie, wewe ni wangu mie
    mhhh, eeeh
    ningekusamehe ila tayari mi nishampata mwingine
    ulitaka uniuwe nitaichwa chizi mi nikikupa nafasi nyingine
    nani? alotaka kunitoa roho, penzi likafika mwisho
    mimi, ya kale achana nayo, niko chini ya miguu yako
    kwani nani? alotaka kunitoa roho, penzi likafika mwisho
    mimi, ya kale achana nayo, niko chini ya miguu yako
    ni machungu kiasi gani, uliponiacha gizani mi
    ulitaka nifanye nini, kama si kusaka kampani
    nilidata, nikasaka, na hatimaye nikapata
    nashangaa, wanifuata, eti tusahau yalopita
    ningekusamehe ila ila, ila sio kimapenzi
    ningekuwa na wewe ila ila ila nimeshapata mupenzi
    sina habari, sitaki kuwa nawe tena
    huna nafasi ndo hivyo nishakutema
    nakupa fact unielewe kiundani
    sina mapenzi kwako yalikuwepo tu zamani
    nenda tu uniache wala usijali
    nimempata mwingine ananipa mapenzi ya kweli
    ulivyonitenda mi nasema iliniuma
    we nenda tu mi sikutaki tena
    sina habari mami sikuhitaji tena
    mtoto mzuri nipo naye mwenye heshima
    na shida zote atavumilia na
    atanipa mapenzi ndivyo alivyoniambia
    andika story ya kwamba ulikuwa nami
    andika story ya kwamba ulikuwa nami
    kifo cha panzi ni furaha kwa kunguru
    sikutaki tena mami we niache huru
    nani? alotaka kunitoa roho, penzi likafika mwisho
    kwani nani? alotaka kunitoa roho, penzi likafika mwisho

  • @dangotesam9845
    @dangotesam9845 7 ปีที่แล้ว +27

    Kweli Man Water hajaanza kuvinukisha leo, alikuwa mkali tokea enzi hizi!

  • @benjamindenice53
    @benjamindenice53 4 ปีที่แล้ว +1

    2020 wangapi tupo hi, tuzidi kumshukuru mungu

  • @kizerubakarimachaku4409
    @kizerubakarimachaku4409 5 ปีที่แล้ว +39

    2019 mkowap?? Gonga like tutembee

  • @estherwilliam4378
    @estherwilliam4378 5 ปีที่แล้ว +2

    Nyimbo iko vizur sana na haiwezchuja kabisaaaaaa

  • @rochhelmond7925
    @rochhelmond7925 5 ปีที่แล้ว +6

    Best hits are missing come back brother. . .miss u much

  • @bisekojmafwele2777
    @bisekojmafwele2777 4 ปีที่แล้ว +1

    muziki mzuri na wenye mafunzo haufi, unaishi milele. hongera kwa 20% kwa kazi nzuri

  • @shabanimruke195
    @shabanimruke195 6 ปีที่แล้ว +143

    kama unamkubali20% gonga like hap 2018

  • @flashlightstudio5399
    @flashlightstudio5399 3 ปีที่แล้ว +1

    20% popote ulipo tafadhali rudia hii ngoma uipe video nzuri au ukanywa remix

  • @abdullizzer6221
    @abdullizzer6221 2 ปีที่แล้ว +8

    2022 still on top this song is another level

  • @michaelwekesa1686
    @michaelwekesa1686 8 วันที่ผ่านมา

    Tufungie 2024 humu ndani🔥🔥

  • @thobiaselias2066
    @thobiaselias2066 7 ปีที่แล้ว +22

    jaman twety penda sana kaz zako

  • @fanuelsulle3314
    @fanuelsulle3314 3 ปีที่แล้ว +2

    Kama bado upo 2021 twende sawa