Manara safi sanaaa uko riziki mungu ndio anagawa na haipatikani simba pekee japo kuwa mimi pia ni simbaa sema pole kwa uliyoyapitia mwenyezi mungu akutie nguvu usonge mbelee
Leo ndio nmejuwa maana ya ule msemo wa ngombe wa maskini hazai..Tajir mwenye hela Amemfukuza kaz mfnyakaz wake kisa kawa maarufu kuliko yy. Hiki ni kisa kilichotokea hko Afrika Tanzania
Kiukweli hapo ina onesha ugomvi si simba na yanga ugomvi ni azam na mo manara ana tafuta rizki yake mo haku takiwa ugomvi wao na azam wa bishara kumuingiza manara
Mimi kama mwana saikojia naamini maneno ya Manara 80%japo kapanik kidogo which is very okay ila ningemshairi asiongee sana otaonekana kama anatafuta huruma kutoka kwa mashabiki
Tofauti kati ya mpenzi na mapenzi ya mpira ni vitu mbili tofauti bro hi game ya mpira inataka akili mingi kila jambo linataka time sababu hakuna siri chini ya juwa
Manara ndo tafsiri halisi ya club kuwa habari kuu Africa na dunia nzima na utani wake na wapinzanzani ndo umeipeleka viral miles #Simba SC kuwa ndo Club inayofuatiliwa zaidi duniani na haijalishi aliongea nni lakin mnapaswa kujua nini Manara feels.
Ukiishatoka umetoka sasa maneno yanasaidia nini Naangalia alipotoka senzo manara ulivyotukana mpaka nikasema senzo mbaya leo wewe senzo alitoka akajiendea unaongea sana leo wewe nimekuheshimu na kupenda maneno yako sasa napata wasiwasi
Simba timu kubwa na itaendelea kuwa kubwa zaidi hata kama manara hayupo.Haya mambo ya msemaji wa klabu si yameanza miaka ya ivi karibuni tu.Simba hata kama haina msemaji wa klabu bado itaendelea kuwa kubwa tu.
Barbara ni Ng'ombe, mademu wa sampuli yake huwaga wanafeli sana, kijiba cha roho, ANYWAY SHE GOD SOMETHING TO OFFER AS LADY and that is only thing that is giving her power to lead chaos in Simba football club, let her not forget men too can probably tired of offer 😂😂😂
Katika hili pamoja yote aliyotendewa kama ni kweli au siyo kweli angenyamaza tu kwani pengine huko mbele umuhimu wake ungeweza kuonekana tena akapewa kutumika tena Simba.
Hakuwa sahihi. Alipoona Barbara hamzingatii why hakwenda kwa Mo kumpa mrejesho kuwa Barbara hampi ushirikiano? Naye alikuwa na lake jambo tu. Ajiendee tu maana Simba ni kubwa kuliko yeye.
Tumejua mengi juu ya mo roho mbaya Sana lakini tulifumbwa macho akapambwa sana kumbe hamna kila kitu kigwangala aliwahi kusema kuhusu no watu wakapinga mo yupo kwa masilahi siyo kwaajili ya Simba wa vile alikua manji tu
Mungu akulinde manara riziki popote Wenda mungu kuna kitu anakuepushia sema alhamdulillah
Hakika likuepukalo lina kheir nawe
Allah Kareem
Mungu akulinde Manara.
Mungu atampa riziki zenye kheir na yeye,,,manara we got your back bro
Kama kaonewa povu la nini
@@shabanimuhammad2228 lazima atoe povu mana katumiwa miaka sita,halafu bro usifagilie Sana mwenzio kupata matatizo,,,huezi jua kesho yako,
Nilichopenda ni kwamba tumejua mengine ambayo tulikua hatujui kwa hiyo tuna ya kujifunza kwenye maisha
Babra ana roho mbaya
Manara safi sanaaa uko riziki mungu ndio anagawa na haipatikani simba pekee japo kuwa mimi pia ni simbaa sema pole kwa uliyoyapitia mwenyezi mungu akutie nguvu usonge mbelee
Jaribun kutofautisha shabiki wa timu na mpenzi wa timu. Manara anaweza akawa mpenzi wa simba na sio shabiki
Hivi mnajua ngozi nyeupe inatuzarau san yaani wanajiona wao ndo top kibiashara
Manara na Barbra si weupe wote Broh
@@jacobnorbertchenga9465 🤣🤣🤣 Amesahau kwamba hata manara pia ni ngozi nyeupe
@@jacobnorbertchenga9465 🤣🤣🤣🤣 hivi ni kweli
Anaongelea uyo muhindi modeoj
@@jacobnorbertchenga9465 Punguza utani Bro! Ngozi nyeupe gani wakati ni mweupe kwasababu ya ulemavu wa ngozi
Mwanamke huyu amezaa kweli! Mhhhhhhh aache roho mbaya
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Katolewa kizazi
Yupo Sahihi. Huyo mwanamke ana roho mbaya sana .
Mungu yupo pamoja nawe alhajj wetu eti wwe na simba mbona n mzizi wataelewa tu
Wahind Wana roho mbaya
Manara mim binafs nakukubali sana
Mimi nipo upande wa manara bhaana 💪🔥
Yeye anaweza kusamehe, yeye inabidi atubu kwa Mola na sio kusamehe maana kadhuru wengi mwanamke huyu hasidi
unaongea ty
Kbsaaa
Barbra tuache umevuruga sasa wewe changamsha Simba sasa😳😂
uyo sister ni mduanza sana,foolish
@@georgembunda9233 amemuachia simba tuone ss
Uyu babra mshenzi sana na shetani
Siwez kusimama na ngoz nyeupe yyt hasa dhidi y manara uyu uyu ninayemjua mimi, never
Yani ww kama mm cwezi kisimama na ngozi nyeupe hasa hasa muhindi
@@tatunjenje2426 hakika🙌🏼 hao sio watu
Umaaarufu wa kudumu ni matokeo wa ya kazi nzuri zinazoonekana kama JPM.
Sasa msemaji awe uyo uyo dada yanu😁
😄😄😄😄
Babra sijawahi Kumuamini Anaonekana Mtata.
Mweu uyu binti shetani
Ana roho mbaya
Kazi kweli
Haji yk sahihi
Simba yetu inpotea jmn kwa warabu hawa upuuzi tu 🙄
Huyu Dewji si kuna wakati ali isusa simba. Wahindi kwanza na football wapi na wapi. Wa kashabikie cricket na swimming ndio michezo yao
Boya uyo analiwa na Mo anajifanya hana maneno mengi yeye ndo bora kuliko Manara
Dewiji atuachie simba yetu, tutapata wafadhili wengine,, ondoka na babra
TafSIRI: Unapokua na uwezo wa kulipiza: Samehe
Kademu na mo wamechafua hewa tz yanga inafurahia kuona hili
Sana Yanga wamefurahi sana
Leo ndio nmejuwa maana ya ule msemo wa ngombe wa maskini hazai..Tajir mwenye hela Amemfukuza kaz mfnyakaz wake kisa kawa maarufu kuliko yy. Hiki ni kisa kilichotokea hko Afrika Tanzania
Huyu mwanamke ana rohoo mbaya sana duu
Tusubiri upande wa pili
Alikufanyia ubaya lini
Nikwar manala nimunafiki2 kaka
Tafuteni camera inarekodia cm camera resolution
Yes
Manara ni simba na simba bila manara sio simba wll call 📞 u back...
Sio sahihi hana uwezo wa uongozi
Manara abakiye kimya
Kiukweli hapo ina onesha ugomvi si simba na yanga ugomvi ni azam na mo manara ana tafuta rizki yake mo haku takiwa ugomvi wao na azam wa bishara kumuingiza manara
Kimemuuma
Wahindi wabaguzi saaaana
Wahindi wabaya sana wanachuki
Manara kakurupuka kwa hiyo anataka kutuambia hakuna hata zuri moja alifanyiwa na Simba aende huko mropokaji tu
Huyo zungu koko a achane na manara wetu
Awa wahindi sio ipo siku tutasikia timu yetu ya Simba ipo India😂😂😂😂
Umeona Eeeeh alafu watu wanajifanya kumtetea Mo wajinga sana
@@kennyrogers4734 wanaroho mbaya
😃😃😃😃
@@leahally4618 Wasi wasi mkubwa Babra chakula cha Mo
@@kennyrogers4734 meonaeee
Wanawake ni watu fitina sana hawapewi majukumu makubwa coz sie ni wafitinishaji hiyo ndo kawaida yetu haswaa
Kwanini kama halikuwa Anataka kusame hasinge kakimya
Mimi kama mwana saikojia naamini maneno ya Manara 80%japo kapanik kidogo which is very okay ila ningemshairi asiongee sana otaonekana kama anatafuta huruma kutoka kwa mashabiki
Hata aseme nn.haji tunampenda kuliko yyt simba kakuza .klabu yetu.natayari.kaigawanya tm yetu..huyu mwanamke.
Amesema mengi weyesurisikiya
Mbona mwanzo haku ya sema
Tofauti kati ya mpenzi na mapenzi ya mpira ni vitu mbili tofauti bro hi game ya mpira inataka akili mingi kila jambo linataka time sababu hakuna siri chini ya juwa
Manara ndo tafsiri halisi ya club kuwa habari kuu Africa na dunia nzima na utani wake na wapinzanzani ndo umeipeleka viral miles #Simba SC kuwa ndo Club inayofuatiliwa zaidi duniani na haijalishi aliongea nni lakin mnapaswa kujua nini Manara feels.
Aache ufala uyo Babra si aseme tu Mo anakula mzigo ndiomana plesha hana
Hii club ishakuwa ya waarabu tu kwahiyo mimi naona watoe bech lote la ufundi na wachezaji wawe waarabu ....
Wahindi wanaroho mbaya sana 😂😂😂😂😂😂
@@hapi6113 sana wana ubinafisi saana warabu
@@sumaiyamunisi5228 IMEHUSU NINI WARABU NA UGOMVI WA HAJI NA BABRA???? LAZIMA MUJUWE WARABU NI NANI NA WAHINDI NI NANI NI WATU TOFAUTI.
@@salimsaid7200 na maanisha wahind kin Barbara Hahahahah
@@sumaiyamunisi5228 Ok
Na msimshabikie hii imeonekana kuna ukweli anaihujumu Simba
Miyayuso
Vimeumana
Huyu kahaba wa mo kanikera sanaaa
Hawa nao wasikere na pesa zao
Iko kitu na hilo jibu
Tukutane maskin jeuri wajamen kama wanasimba sisi as Hajmanara🤣
UBINADAMU KAZI MANARA NI MKWELI
Hakuwa sahihi wanfeket wakayamaliza
Wahindi wanachoyo sana
Manara kama bado unaipenda Simba nunua petroli nenda kachome Simba
😀😃😃😃umeni maliza
Mbona ss washabiki tunasafiri na kuisaport Simba KWA pesa zetu? Yeye Manara analipwa kuisaport Simba.
Manara uko mwanaume asikutishe
Manara hamia Yanga wahindi wanaroho xzkorosho
Nani kamuondoa jamani
Barbara inatamkwa Babra!
Ukiishatoka umetoka sasa maneno yanasaidia nini Naangalia alipotoka senzo manara ulivyotukana mpaka nikasema senzo mbaya leo wewe senzo alitoka akajiendea unaongea sana leo wewe nimekuheshimu na kupenda maneno yako sasa napata wasiwasi
Tatizo sio mwanamke wala mo mwanaume jasiri niyule anaemudu hasira zake Haji kakosea sana na kaikosea Simba na haipendi Simba huyu jamaa ni mtu hatari
Ila gombaneni mkimaliza mtuachia Simba yetu kama mlivyoikuta Mana mnakela jmn badiliken
Mwisho wasimba unakaribia, Na Mo siku akitakiwa kuiachia Simba itakuwa vita maana atawadai Pesa nyingi Sana.
Aliandikishana nanan atakae mdai???
Aliandikishana nanan atakae mdai???
Hii barabara irudi india....🙄
Akawe msemaji Wa azam
Chawa t
Haji nikama demu aliyeachwa namtu anayempenda kwahiyo lazima haji atepete
Nyie mnaotetea ujinga kujipendekeza kwa matajiri wajanja wajanja mwishowake mtapigishwa magoti
Huelewi lolote bora unyamaze t
Wewe nawe sijuhi umeandika NN?
😂kweli
Nashauri mo amuoe babra waunde timuyao
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
mnaomuunga mkono Manara nendeni naye mkaanzishe klabu yenu
Simba timu kubwa na itaendelea kuwa kubwa zaidi hata kama manara hayupo.Haya mambo ya msemaji wa klabu si yameanza miaka ya ivi karibuni tu.Simba hata kama haina msemaji wa klabu bado itaendelea kuwa kubwa tu.
Ndo shida ya kuwapa wanawake madaraka mambo ndo huwa hivi.. move on brother...
😅😅😅
Uyo Godfrey kibaraka wa Mo tu hana lolote
Babra acha roh mbay
Barbara ni Ng'ombe, mademu wa sampuli yake huwaga wanafeli sana, kijiba cha roho, ANYWAY SHE GOD SOMETHING TO OFFER AS LADY and that is only thing that is giving her power to lead chaos in Simba football club, let her not forget men too can probably tired of offer 😂😂😂
utakuwaje Simba halafu utangaze bidhaa za Bakhresa bidhaa shindani za METL mdhamini mkuu wa Simba? Wacha upumbavu!! Elimu duni inakusumbua...!!
Upumbavu wake nini? Kwa kuwavumilia janja janja !
Hivi alichozungumza bado ujaelewa au Kwa sababu wana nywele za kihindi!
Yani ww pumba
Huyu naye asamehewe tu
Sasa aache pesa si usengerema huo. MO acha achanwe tu
Katika hili pamoja yote aliyotendewa kama ni kweli au siyo kweli angenyamaza tu kwani pengine huko mbele umuhimu wake ungeweza kuonekana tena akapewa kutumika tena Simba.
Kwan hata km amesema umuhim wake hautaonekana???
Hakuwa sahihi. Alipoona Barbara hamzingatii why hakwenda kwa Mo kumpa mrejesho kuwa Barbara hampi ushirikiano? Naye alikuwa na lake jambo tu. Ajiendee tu maana Simba ni kubwa kuliko yeye.
Umeckiliza toka Mwanzo au hauna mb???
Hapana naweza kumtetea pia manara kwamba na yeye yuko after money like huyo mdhamini pia ili kumfikia yeye pia lazma awe hvyo
Hyo milard naye tumchunguze vzuri
Kama wanasimba
Huyo zungu koko a achane na manara wetu
Tumejua mengi juu ya mo roho mbaya Sana lakini tulifumbwa macho akapambwa sana kumbe hamna kila kitu kigwangala aliwahi kusema kuhusu no watu wakapinga mo yupo kwa masilahi siyo kwaajili ya Simba wa vile alikua manji tu