Sheikh kishk allah akulinde inshaallah utuongoze waislam ambao tunababaishwa na hawa watu kisa matatizo yenu alhamdulillah unantuelimisha hatuwaamini allah awagamize asituharibie watoto weth ambao wanakua yaallah
Wallah sijaona shehe kama ww nchin hapa au kwa kuwa sijazungunga sana mungu akizidishie umri pamoja na iman uzidi kutulingania maana siai bado wachanga nakupenda sana shekh mung anikutanishe na ww siku moja kabla sijafa
Mtoto Yule kama anaonqozwa na watu wazima nyuma yako mwenyezi munqu amuonqoze inshaallah mkamilifu ni Allah ahsante Sana kipenzi sheikh wetu Allah atuweke uzidi kutupa elimu
Allah akuhifadhi sheikh Nurdini Kishki Wallah umeni furahisha umeongea ukweli wa haki lillah Allah akulinde na shari za wanadamu na majini MashaAllah MashaAllah MashaAllah TabarakAllah
S ❤A ❤ W alhamdhulillah mm nashkuru mungu kunipa nafsii yakumuamini yeye na mtume wetu SAW ❤ na vitabu vake 😢 na ndungizangu wengine mungu awaepushe na fitnaa hizi inshaallah 😢
Hawa akina mazinge nao sijui njaa mtume wetu anasema mwisilamu tuombe mwisho uwe mwema Leo tunashangaa kuona waisilamu Leo tunageuka kama walakole hata Mimi sijasoma sikubaliani ujinga huu
MAZINGE NDIE MWALIMU MKUBWA WA MATAPELI HUWAFUNDISHA HAWA VIJANA KUFANYA UTAPELI. NAKUMBUKA MWAKA WA 1994-1995 ALIWAHI KUJA MOMBASA KENYA NA KATOTO KIMOJA AKIITA SHEKHE SHARIFU. ALIO ONGEA UZUSHI MWINGI NA UONGO WAKUTUNGA KUMUHUSU YULE MTOTO NA KUTAPELI WAISLAMU WA KENYA PESA NYINGI SANA. ALLAH ATAWAFEDHEHESHA MADHWALIM WOTE
Huyu mazinge sio yule alikuwa ana sema mtume wakwanza alio njega hôtel ni mwanposa haya sasa mbona anatetreya mabo ya mwamposa au kule kwa mwamposa alikuwa hapate hela huku anapata hela 😅😢😢
Mwenyew uliwai kuwa na mazing akikupigia domo msktn wakukubali kisha watoe sadaka Acha roho kubwa mangapi umeyafanya mbn umewasomea dua watu lakin majibu chwee
Maulidi imekufanya nn achaa mambo yakiuwahabii , maulidi imehusianann hapooo mauli Azimisho ya mazz yamtume na kumrehem kosalake nn achen kufatakumbooo
Kheri kupigwa mawe kuliko kuacha uislamu udhalilike waislam wapotoshwe kheri kuilingania dini ya Allah sw isimame na kuzilinda Sunnah za mtume wetu Muhammad s a .w hata mm Niko radhi kupigwa mawe kwa ajili ya Allah sw na mtume wake s.a w
hAsalam aleykum,Tunaomkubali na kusimama na sheikh katika hili tuweke like hapa kuonyesha solidarity na sheikh Nordin Kishki na kukwaza na utetezi usio wa kiislam wa akina Walid na Mazinge.
Kuna wakati uliwai kuzungumzia kuusu afande sele mimi nimekua mtu wakwanza kukataa ambayo uliosemaga kama mtaa soma duwaah baada ya week mbiya afande sele atakua amefari ila mpaka sasa afande yupo. Anyway kwahili ambalo umeongea kuusu hili Aisee wenye KHakili wameskia HAKUNA UPAKO KWENYE UISLAAM
Mimi pia sina elimu ya kuunga mkono upande wowote ila nahitaji kwa za kukaa kitako kama ninavyokaa kitako kuangalia mpira au wanasiasa ili kjifunza kwanza dini yetu tukufu ili ALLAH atupe uongofu
Kuna shekhe mmoja alikuwa anaonesha uchawi msikitini mbele yako na ulikuwa unachekelea, Leo mtu anajiita sharifu mishipa ya koo inakutoka. Tatizo lenu wivu, unafki na ubinafsi umewajaaa.
Subuhana.llah kinacho sikitisha ni kua zama.hiz kika akikosea haambiwi kwa ustaarabu wala.upole je kwani Allah alipo.mwambia mtume musa nenda kwa firauni.kwa lugha laini na.useme nao maneno laini je mbona hatuwalinganii kwa upole ila ni.maneno makali ataachaje kwa kulaaniwa na.kufokewa Allah awape mashekhe njia.nzury na lugha safi za kumfanya aogope.
Hapo ni uelewa kama ni zaidi wewe unavoelewa usilazimishe kila mtu akufuate wewe unavoelewa cha muhimu toa Elimu kama tiba hizi ni haramu na uharamu wake unakujaje ikiwezekana mjadiliane Kwa hoja lakini sio kama unavofanya
Mwamposaa unakubarikaa karibiaa nchi nzimaa alafuu wewe ndy sheikh unayeheshimikaaa sanaaa wallah wabillah watallah Ilaa kwenye kuupinga huoo upako na unakataaa haliakua munaita upako na kwenye qurani yetuu hakuna Unazinguaaa acha njaa nawe ushaanza angalia pesa sasa siku hizii😢😢😢
Muongeaji kaongea na sipingi lakini swali je ukisema bibilia nikitabu lakini qur.an nibora kuliko bibilia je Kwa kauli hiyo je qur.an itakuwa bibilia Sasa kusema maji haya nizaidi ya upako je itakuwa upako hayo ni maneno TU sheikh nurdini ww nishekhe mm nakuamini nakuoenda Sana nakufatilia Sana
Sio kama ana husda tunakosea waislam wnzangu na mara kadhaa tunasisitizwa kufuata maneno ya sheehe wako ispokua usifuate matendo yake hivo basi mimi na ww ni nanii kama anaetoa elim ametuzid elimu
SHEKH WANGU MM NIKO NA WEWE KILA UTAKACHOKISEMA NITAKIFATA ALLAH AMEKUPA NURU KUMBUKA KUNA WATU WSLIKUWA WANAMPINGA MTUME MUHAMMAD VIPI WEWE KISHKI SIMAMA KAMA MTUME MUHAMMAD TUPO PAMOJA NAWE
Ila kishik umewapiga vibaya Hawa matapeli WANAOTAKA kuangusha din yetu wanataka wawez kama kuhanimusa au kiboko yawachawi kweny uislam 🤣🤣iv hawa wanaojiita mashekh kutoka tanzania walioweng wamecharuka sana mbn nchi zingine haya mambo hakuna kweny uislam jamn ee Allah tusaidie
UISILAMU UMEVAMIWA KWA KWELI, KIASI MTU HUELEWI NA YUPI ANAYESEMA KWELI NA YUPI ANAYEDANGANYA, HALAFU KILA MMOJA ANADAI NDIO YEYE ANAYEFUATA HAKI NA HAPO HAPO ANASOMA AYA NA HADITHI KUKAZIA HUKMU MADAI YAKE.
Mazinge kila kukicha yeye na Bibilia tu, mifano ya elimu yake anaitoa kwenye biblia sasa imemuathiri. Mwamposa akiingia kwenye shimo la Mbulu kenge na yeye ataingia. Sharifu huwasomea watu dua bure hawezi kuuza maji dini haiuzwi. Je mtume gani aliwauzia watu maji?
Mbona usimkabili ukampa nasaa dini zimekua mashindano kila mmoja ajua lake vijana wengi wamekosa madili mbona Ummah wazidi kuangamia!! Badala ya msikitini kuongea na mutembe kuongoza Ummah
Sema mim siwa elewi wa Tanzania iweje kale ka toto mkape na fasi na mic kamjibu sheikhe kama huyu nyie adabu hamna yule mtoto msimge mpa na fasi bana. Eshima kwa viongozi wetu ina bidi isi mamiwe
Kuna kitu kimoja sisi waislam tunaferi ni kuwa na masheikh wenye kufundisha itikadi zao katika dini yetu... Kama kuna mtu muislam anatibia watu na watu wanatoa ushuhuda ya kwamba wanapona shida ipo wapi?....labda wafundishwe ya kwamba hii rukya maana yake ni zinguo ......nini maana ya zinguo ni matibabu ya kisheria...katika uislam tiba sahihi ni kufanya hivi na vile ndio maana nzima ya kuelimishana ...kusoma quran sahihi sio lazima pale sio msikiti ....hata mtume wetu muhamad s.a w kiarabu alifundishwa na malaika....mambo ya tiba ni karama za allah sio usheikh....ila masheikh mnaweza kutoa muongozo kwa hawa watoa tiba ...msipinge kila kitu mwisho mtakuja kukufuru bure.....wakati wanakuja hawa mitume na manabii awakuwa na elimu yeyote ,,na kulikuwepo wasomi kama wewe sheikh wangu kishk,,,,lakini Mungu anampa mtu amtakaye ....wapeni njia za haki za kufanya tiba kupitia dini yetu...msiwasimange.
Alhamdulillah namuomba ALLAH atupe umli mrefu wenye manufaa kwetu na kwawaja wake
ALLAH kuzijidishie shekhe kishik
Mungu akupe maisha marefu we ndio shekhee unaefaa kweny nchi yetu kishki upendagi unafk hakika we ni muislam wa kwel
Kweli
Muongo😂
Amen
❤❤Allah akupe maisha marefu Shekh wetu kipenz❤❤
Shekhe kishki nakuonbea mwenyez akulinde na akupe maisha marefu inshallah
Mana we shekhe wetu tunae kuamini kwa imani yako umebadilisha mioyo yetu
Amiin Amiin Amiin
Mimi ni mkiristor sema nakukubali sana kishiki enderea kusimamia ukweli huu sio uislamu tunaoujua viva kishiki ❤❤❤ one love
Shukran sheikh kwakukemea ayo mambo ya upotofu mutume wa mungu hajatufuza ayo mambo hayamo katika dini ya uislamu
Sheikh kishk allah akulinde inshaallah utuongoze waislam ambao tunababaishwa na hawa watu kisa matatizo yenu alhamdulillah unantuelimisha hatuwaamini allah awagamize asituharibie watoto weth ambao wanakua yaallah
Kishki ndio aliebaki na msimamo ☝😎🎯💯‼️✔️
Shekh kishki hapendi ujinga katika dini Masha allah allah atupe mwicho wema in sha allah 🙏
❤❤❤walai sheikh shukran kwa kazi unayo ifanya Allah akulipe kilalaheri barakallaw fikum alhamdulillah ya rabbiy
Asante Sana shekhe kishiq Mungu akulindee uzidi kuilinda Dini Na kutufungua machoo❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Very true sheikh Kishki. MashaAllah Ajaab
Wallah sijaona shehe kama ww nchin hapa au kwa kuwa sijazungunga sana mungu akizidishie umri pamoja na iman uzidi kutulingania maana siai bado wachanga nakupenda sana shekh mung anikutanishe na ww siku moja kabla sijafa
Allah akupe maisha marefu shekh kishiki
Barikiwa sana shekhe we ndo muislamu wakweli
Mtoto Yule kama anaonqozwa na watu wazima nyuma yako mwenyezi munqu amuonqoze inshaallah mkamilifu ni Allah ahsante Sana kipenzi sheikh wetu Allah atuweke uzidi kutupa elimu
Asante sana shekhe wetu mungu akulinde kale katoto nikahuni mungu atamdhalilisha
Allah akuhifadhi sheikh Nurdini Kishki Wallah umeni furahisha umeongea ukweli wa haki lillah Allah akulinde na shari za wanadamu na majini MashaAllah MashaAllah MashaAllah TabarakAllah
Alla akujalie umri mrefu shekhe kishk
S ❤A ❤ W alhamdhulillah mm nashkuru mungu kunipa nafsii yakumuamini yeye na mtume wetu SAW ❤ na vitabu vake 😢 na ndungizangu wengine mungu awaepushe na fitnaa hizi inshaallah 😢
Shegh wangu uko vyema sana njaa hao zinawasumbua sana hao
piga nyundoo hzoo shekhee
Maa shaa Allah! Kishki kaanza kuwaradd MASUFI....
TUNAMUOMBA ALLAH AKURUDISHE KATIKA MANHAJ YA AHLUSUNNAH WAL JAMAAA...!!!
Kuna mafungamano gani kati ya kufanya biashara ndani ya msikiti na usufi .
@@ZogoMtaani Mmmh! hyo sijui...
I think hata masufi wanajua kuwa hauruhusiwi ila wanakaza ubongo tu!
@@ABUUBAAZNYUNGU-j4xhujui halafu una comment
@@dottomoshi8324 Sijui nini?
Sheikh Nurdin ALLAH akulinde,akuhifadhi na kukupa umri mrefu ili undeleee kuwaumbua hawa wanaotaka kuichafua dini ya ALLAH
ALLAH AKUHIFADHI SHEKH WETU❤
Mashaallah shekhe kishk Allah akujaalie uzima tuendelee kupata elmu Toka kwako
Allah akulipe kheri shekh Nurudin Kishki
Mashaalha mungu akuzidie ilimu
SHEKH KISHKI SIMAMA USIOGOPE WAAMBIE UKWELI MM NAENDELEA KUMUOMBA ALLAH NDIYE MPONYAJI NA QUR_ANI YAKE NDIO TIBA BORA ALHAMDULILLAH
Swadakita sheikhe wetu
Sheikh kishk mungu akupe uumli mrefu sheikh wangu
Shekh kishiki nimekuelewa ahsante kwa kutuelimisha dini ya kweli
Allah SWT akulinde Sheikh Kishik
Allah akulipe sheikh wangu
Sheikh kishiki mwenyezimungu kulinde Mimi nakupenda sana wewe ni mtu mkweli
Safi sanaa simama imara kutetea dini 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Naam shekh,,swadakta
Faman shuq shuq fahuwa yy......na walivyoibuka Mpk huyo anae semekana ni shekhe wa mkuu wa mkoa ............#🎉❤🎉umewaweza manyau nyau wote😂😂😂mabrouq
Mazinge analeta uhuni namuweka pembeni siwec tena kuxikilixa mawaidha yake anatupoteza waislam
We kichwa chako hakina uwezo kumuelewa Mazinge ..
Huo wakati wote haukujua mazinge ni muongo..
Wote ni hali moja uislamu ni ushirikina...
Sina uhakika ila muhuni yuledogo et anatunia ndimu60 kumuangamixa maanayake ni nini!!!?!???!
Hakielewi vp wanatuletea mambo gan
Assalam Aleikum Warhamatullah, Watu hawa wamedjalib kuingia kwetu Rwanda na Dawa zawo za FK tukawatowa mbaya sana
Hawa akina mazinge nao sijui njaa mtume wetu anasema mwisilamu tuombe mwisho uwe mwema Leo tunashangaa kuona waisilamu Leo tunageuka kama walakole hata Mimi sijasoma sikubaliani ujinga huu
Shekhe Nurdin uko sahihi na ukweli utadumu uongo utabainika muda siyo mrefu
MAZINGE NDIE MWALIMU MKUBWA WA MATAPELI HUWAFUNDISHA HAWA VIJANA KUFANYA UTAPELI. NAKUMBUKA MWAKA WA 1994-1995 ALIWAHI KUJA MOMBASA KENYA NA KATOTO KIMOJA AKIITA SHEKHE SHARIFU. ALIO ONGEA UZUSHI MWINGI NA UONGO WAKUTUNGA KUMUHUSU YULE MTOTO NA KUTAPELI WAISLAMU WA KENYA PESA NYINGI SANA. ALLAH ATAWAFEDHEHESHA MADHWALIM WOTE
EWAAA MWAKA HUOHUO MIAKA1996 ALIKUJA MWANZA TANZANIA PIA NA ICHO KITOTO WALIJIZOLEA PESA SANA KWENYE MIHADHARA😢😢😢
@@ramahkesh9360kishehe Sharifu😂
@@aishamuhammad7785 ewaaaaaa🤣🤣🤣
MAZINGE KASHAPIGA HELA HAPO NAE HAELEWEKI
Tunasimama na Sheikh kishki washirikina na matapeli hwana nafasi katika uislamu
Hawa masharifu nimatapeli ndio walikua chanzo chakuritadi waisilam nyamwage rufiji shekhe kishk anajuaa
Huyu mazinge sio yule alikuwa ana sema mtume wakwanza alio njega hôtel ni mwanposa haya sasa mbona anatetreya mabo ya mwamposa au kule kwa mwamposa alikuwa hapate hela huku anapata hela 😅😢😢
Na sheikhe huyu kishki ata tukanwa ata pingwa kwa sababu si mtu wa maulidi subiri uta sikia ma sheikh wa kubwa wana unga mkono kale ka bwana mdogo
Mwenyew uliwai kuwa na mazing akikupigia domo msktn wakukubali kisha watoe sadaka Acha roho kubwa mangapi umeyafanya mbn umewasomea dua watu lakin majibu chwee
Tuitetee Dini Yetu ya Islamu na tuwafichue wanafiq wanaotaka kutuchafulia Dini yetu..
Bismilaahi rahmani raahim namshukuru mungu tena sana alhaamdulilaah na yeye ni mfalme hakuna mwingine zaidi YAKE AMIN AMIN AMIN yaarab AMIN alhaamdulilaah namshukuru mungu tena sana kua mwislam dini iliyoo nyookaa na isiokua na shaka juu yake alhaamdulilaah uislam raahaa sana alhaamdulilaah uislam ni njiaa iliyoo nyookaa na isiokua na shaka juu yake alhaamdulilaah ukweli unaaumaa waaambie ukweli mashaalhaaalhaah mashaalhaaalhaah mashaalhaaalhaah alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu takbir alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaamdulilaah alhaamdulilaah alhaamdulilaah wape ukweli wape ukweli haaaoooo wanafki wakubwa
Asalamu Aleykum sheikh kishki mpe naswaha Mazinge ndie anae changia huyo kijana kutapeli watu
Vyuo vya maulidi ndio vinatuletea mabalaa ktk dini, Alhamdulillah kwa kuwakimbia, eti Masharifu utapeli mtupu.
Maulidi imekufanya nn achaa mambo yakiuwahabii , maulidi imehusianann hapooo mauli Azimisho ya mazz yamtume na kumrehem kosalake nn achen kufatakumbooo
Muongoooo @@NuruJumanneHamimu
@@BakariHassan-p6z 😁😁😁 jamaa Muingo.
@@NuruJumanneHamimu mimi si wahabi na wewe kataa maulidi, nyinyi na Maswahaba nani anampenda Mtume (s.a.w) ?
@@NuruJumanneHamimuww ndo unafuata mkumbo mana mnajifany mnaielew dini kuliko nyinyi man mnafany uzushi
Kishkiiiii Utapigwa Mawee sanaaa Unagusaaa Mipango ya Watuuu Utagombana na Mashekhee wengiii Sanaa
Kheri kupigwa mawe kuliko kuacha uislamu udhalilike waislam wapotoshwe kheri kuilingania dini ya Allah sw isimame na kuzilinda Sunnah za mtume wetu Muhammad s a .w hata mm Niko radhi kupigwa mawe kwa ajili ya Allah sw na mtume wake s.a w
Sharifu wangu wa Kongowe anazidi kutrend! 😂😂 nimepita pale leo ndo kwanza kunatapika... Maisha haya bana...
Mwambiye kweli japo chungu asituchafuliye uislamu mjinga mmoja mshirikina mkubwa
Kweli mashekh sasa wamekuwa wanafiki kishiki mwenyew nimnafik huombea watu dua nakujikusanyia mapesa kibao wivu tu
WAFUASI WA mafuta ya upako dawa ishawaingia
allah akuhifadh
hAsalam aleykum,Tunaomkubali na kusimama na sheikh katika hili tuweke like hapa kuonyesha solidarity na sheikh Nordin Kishki na kukwaza na utetezi usio wa kiislam wa akina Walid na Mazinge.
Mimi ni mkirito uwa nakukubali shehe
Mungu azidi kukulinda
Kuna wakati uliwai kuzungumzia kuusu afande sele mimi nimekua mtu wakwanza kukataa ambayo uliosemaga kama mtaa soma duwaah baada ya week mbiya afande sele atakua amefari ila mpaka sasa afande yupo. Anyway kwahili ambalo umeongea kuusu hili Aisee wenye KHakili wameskia HAKUNA UPAKO KWENYE UISLAAM
Mimi pia sina elimu ya kuunga mkono upande wowote ila nahitaji kwa za kukaa kitako kama ninavyokaa kitako kuangalia mpira au wanasiasa ili kjifunza kwanza dini yetu tukufu ili ALLAH atupe uongofu
Allah kasema haita simama qiyama mpaka tufuate mila za makafiri ndio hizi sisi tunawafuata kina mwamposa na manabii wa uongo
Mazinge ni chawa
😅😅 ata waislam wakina mwamposa wao sai wow
MUNGU AKULINDE
Shekh wali mtetea babu wa loliondo sasa hivi babu yuko wapi shekh tuko pamoja piga 🔨
Allah akuhifadhi waambie ukweli
Mungu akuongoze utueleze ukweli na uwazinduwe waliohafilikaa
Kuna shekhe mmoja alikuwa anaonesha uchawi msikitini mbele yako na ulikuwa unachekelea, Leo mtu anajiita sharifu mishipa ya koo inakutoka. Tatizo lenu wivu, unafki na ubinafsi umewajaaa.
Kwani Kuwazinduwa Watu Kwa yafanywayo na Wachawi/Matapeli ni Dhambi/Haramu?!
Huwezi kuamini isipokuwa mwenyee Akiliiii
😂😂😂😂😂 manyau nyau
Uyu kijna akija mtaan kwangu fimbo
ETI WATU WANASEMA HUYU SHEKEH WA MJINI SIJUWI AWAJASOMA KUA MTUME MWENYEWE KATOKA KATIKATI YA JIJI KUU LA MAKA ITAKUWA KHALIFA KISHI KUTOKA KARIYAKOO
Sasa sheikh Zubeir bakwata msimamo wake ni UPI akiwa kama kiongozi wa juu
Subuhana.llah kinacho sikitisha ni kua zama.hiz kika akikosea haambiwi kwa ustaarabu wala.upole je kwani Allah alipo.mwambia mtume musa nenda kwa firauni.kwa lugha laini na.useme nao maneno laini je mbona hatuwalinganii kwa upole ila ni.maneno makali ataachaje kwa kulaaniwa na.kufokewa Allah awape mashekhe njia.nzury na lugha safi za kumfanya aogope.
Hapo ni uelewa kama ni zaidi wewe unavoelewa usilazimishe kila mtu akufuate wewe unavoelewa cha muhimu toa Elimu kama tiba hizi ni haramu na uharamu wake unakujaje ikiwezekana mjadiliane Kwa hoja lakini sio kama unavofanya
Mwamposaa unakubarikaa karibiaa nchi nzimaa alafuu wewe ndy sheikh unayeheshimikaaa sanaaa wallah wabillah watallah
Ilaa kwenye kuupinga huoo upako na unakataaa haliakua munaita upako na kwenye qurani yetuu hakuna
Unazinguaaa acha njaa nawe ushaanza angalia pesa sasa siku hizii😢😢😢
unajua unachokiongea au umelewa
Amekurupukwa kutype badala ya kuskiza kwanza@@allysaid5800
@@allysaid5800uyu mmoja wa wafuasi wa mwamposa wala usimshangae
Na lishehe lingine liko linampepelea kabisa UPUMBAVU huu unaletwa kwenye uislamu
Njaa mbaya jamani jamaa aende akafanye kazi na mwamposa
Wote wale wanaosema tumepona wametengenezwa tu ili kuuza utapeli wao sisi tupo nyuma yako waislamu bongo dini inaharibiwa kweli na watu wale
Warekebishe matapeli
Mfundishe masharifu feki, kwanza hatuyataki hayo mafuta yake,aache kuibia watu.
Muongeaji kaongea na sipingi lakini swali je ukisema bibilia nikitabu lakini qur.an nibora kuliko bibilia je Kwa kauli hiyo je qur.an itakuwa bibilia Sasa kusema maji haya nizaidi ya upako je itakuwa upako hayo ni maneno TU sheikh nurdini ww nishekhe mm nakuamini nakuoenda Sana nakufatilia Sana
Kuna machawa wanamtetea na ni maarufu yote tamaa ya pesa
Sawa sawa endelea kumkamata huyo mshirikina sharif firdaus na yeye alete kitabu kama yeye msomi
Lakini sheih wangu tunakufahamu kwanini usimfuwate Sheh mwenzenu mkaa kaa pamoja mkafahamishana jinsi mambo yalivyo kuliko kuzugumza kwenye midia
Sawa kabisa
Hata akikanao chini hawaelewi
Hapo katumia busara kuwafunza na wengine maana hapo hajaongelea kuhusu mashekh
Sio kama ana husda tunakosea waislam wnzangu na mara kadhaa tunasisitizwa kufuata maneno ya sheehe wako ispokua usifuate matendo yake hivo basi mimi na ww ni nanii kama anaetoa elim ametuzid elimu
Yambiyeeeeeeee hayooooo
SHEKH WANGU MM NIKO NA WEWE KILA UTAKACHOKISEMA NITAKIFATA ALLAH AMEKUPA NURU KUMBUKA KUNA WATU WSLIKUWA WANAMPINGA MTUME MUHAMMAD VIPI WEWE KISHKI SIMAMA KAMA MTUME MUHAMMAD TUPO PAMOJA NAWE
Ila kishik umewapiga vibaya Hawa matapeli WANAOTAKA kuangusha din yetu wanataka wawez kama kuhanimusa au kiboko yawachawi kweny uislam 🤣🤣iv hawa wanaojiita mashekh kutoka tanzania walioweng wamecharuka sana mbn nchi zingine haya mambo hakuna kweny uislam jamn ee Allah tusaidie
UISILAMU UMEVAMIWA KWA KWELI,
KIASI MTU HUELEWI NA YUPI ANAYESEMA KWELI NA YUPI ANAYEDANGANYA,
HALAFU KILA MMOJA ANADAI NDIO YEYE ANAYEFUATA HAKI NA HAPO HAPO ANASOMA AYA NA HADITHI KUKAZIA HUKMU MADAI YAKE.
Sheikh piga kichwani hao bado wanapumua😅😅😅
Mazinge kila kukicha yeye na Bibilia tu, mifano ya elimu yake anaitoa kwenye biblia sasa imemuathiri. Mwamposa akiingia kwenye shimo la Mbulu kenge na yeye ataingia. Sharifu huwasomea watu dua bure hawezi kuuza maji dini haiuzwi. Je mtume gani aliwauzia watu maji?
Mbona usimkabili ukampa nasaa dini zimekua mashindano kila mmoja ajua lake vijana wengi wamekosa madili mbona Ummah wazidi kuangamia!! Badala ya msikitini kuongea na mutembe kuongoza Ummah
Ajibiwe kama vile yeye huchukua video mama zawatu akiwapost Kila mahali akiwamwagia maji na kuwapa mafuta ili Kila mtu askie
Sema mim siwa elewi wa Tanzania iweje kale ka toto mkape na fasi na mic kamjibu sheikhe kama huyu nyie adabu hamna yule mtoto msimge mpa na fasi bana. Eshima kwa viongozi wetu ina bidi isi mamiwe
Lugha anayojua Allah ni kiaarabu tu?
Sharifu firdaus kaumbuka kichwa chini
Yaani njaa ni mbaya sana mfumuko wa dini serikali au bakwata kazi zao nini??😢
Kuna kitu kimoja sisi waislam tunaferi ni kuwa na masheikh wenye kufundisha itikadi zao katika dini yetu...
Kama kuna mtu muislam anatibia watu na watu wanatoa ushuhuda ya kwamba wanapona shida ipo wapi?....labda wafundishwe ya kwamba hii rukya maana yake ni zinguo ......nini maana ya zinguo ni matibabu ya kisheria...katika uislam tiba sahihi ni kufanya hivi na vile ndio maana nzima ya kuelimishana ...kusoma quran sahihi sio lazima pale sio msikiti ....hata mtume wetu muhamad s.a w kiarabu alifundishwa na malaika....mambo ya tiba ni karama za allah sio usheikh....ila masheikh mnaweza kutoa muongozo kwa hawa watoa tiba ...msipinge kila kitu mwisho mtakuja kukufuru bure.....wakati wanakuja hawa mitume na manabii awakuwa na elimu yeyote ,,na kulikuwepo wasomi kama wewe sheikh wangu kishk,,,,lakini Mungu anampa mtu amtakaye ....wapeni njia za haki za kufanya tiba kupitia dini yetu...msiwasimange.