Hakuna Mtume, Shehe, Ustaadhi na Muislamu Yeyote Mwenye Akili Timamu Anayeweza Kukubali Mkataba Huu Kwa Sababu Eti Akiukataa itakuwa ana chuki dhidi ya Uislamu na Waarabu !!
Chadema wamepata mjadala wa kuingia nao kwenye uchaguzi wa serekali za mitaa ndiomana wanajitahidi sn kuupingaa huu mkataba walianza na katiba mpya wakaona haito wasaidia saivi bandari aise nyie kiboko
Video hii imezimwa sauti, tafazali mushuhulikiye sauti. From Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸.
Huyu mama ile royal toure alikuwa anatafuta watu wa kununua nchi syo kuwekeza maana syo kwa mambo haya
Kweli kabisa, huyu mama ni nyoka.
Duuuuu tundu lissu hanaguruma Shinyanga
Uishi milile Kaka
huuu ni msiba mkubwa sana kwa taifa letu .ni laana tu ndio inaweza kufanya uteseke ktk inchi yako .
People's power
Harafu kuna mijitu inasema, tunaunga mkono jitihada za serikali
Watanzania tumelogwa na aliyetuloga kafa
Hakuna Mtume, Shehe, Ustaadhi na Muislamu Yeyote Mwenye Akili Timamu Anayeweza Kukubali Mkataba Huu Kwa Sababu Eti Akiukataa itakuwa ana chuki dhidi ya Uislamu na Waarabu !!
Mungu mkubwa akulinde daima ktk kipindi hiki kigumu, akujalie afya Kwa Taifa letu
Ifike wakati watanganyika tuwe na hasira na nchi yetu
People's power ✌️✌️✌️👏
Kuna.viongozi wa dini watahaibika
Tutashinda mungu yuko upande wetu
Kwa kuwa pia anakopa mikopo ya IMF ni dhahiri hatuna tena tuchomiliki zaidi ya kuwepo kama tusiokuwa na P.o.Box
Mama ni mama yetu huyiu mh hana huruma
Chadema wamepata mjadala wa kuingia nao kwenye uchaguzi wa serekali za mitaa ndiomana wanajitahidi sn kuupingaa huu mkataba walianza na katiba mpya wakaona haito wasaidia saivi bandari aise nyie kiboko
Sio magu br behind
✌️