Usante saana kaka Joël nanauka. Yaani wewe ni mtu ambae kila siku nikiona videos zako najihisi niko juu kabisa. Mungu azidi kukubariki na akupe maisha marefu ili ufundishe watu zaidi na zaidi. Wapate Maarifa yakufundisha generations zitakuja. Mafu'disho yako imebadili mambo mengi katika maisha yangu. DAILY ROUTINE. Asante kaka.
I mean sio jambo baya kureffer articles nyingine, ila talk inapojaa content za watu wengine inapoteza proof ya kuwa mjuzi na mbunifu. Nilijifunza kua nikitaka kufanya kitu bora niache kujifunza, nianze kufikiri. (Elewa, simaanishi tusijifunze) ila at the moment unataka kufanya wewe kama wewe inatakiwa ufikiri kwa kina kutoka ndani mwako ili uepuke kutumia ya wengine uliyoyaingiza kwenye subconscious mind yako.
Kaka haya matangazo yutubu yanakera kweli, mtu unajifunza jambo mara tangazo linajitokeza, ndani ya dakika tano yanaweza kutokea zaidi ya mara tatu, daa inaudhi sana.
Bro asante sana nikua sijui n nini cha kufanya kwa kile nikipendacho sasa ntarifanyia kazi m hupenda sana wototo na ndo hao marafiki zangu asante sana bro
Nimekua nikikufuatilia kwa mda sasa toka mwaka jana na umenibadilisha kiasi fulani hususan kuifaulisha ndoto ya ukuaji wa kampuni yangu itwayo Image 36 Production nilioifungua mwaka wa 2016.
Honestly nilichokiona ni compilation ya ideas za waandishi mbalimbali, sio jambo baya ila nilitegemea kuona vitu vipya. Nikiwa kama msoma vitabu nimeona ni kama vile nimepata mtu wakunisimulia vipande vya vitabu nilivyosoma. Btw. Nimefatilia masomo yako mengi, you are doing good
I mean sio jambo baya kureffer articles nyingine, ila talk inapojaa content za watu wengine inapoteza proof ya kuwa mjuzi na mbunifu. Nilijifunza kua nikitaka kufanya kitu bora niache kujifunza, nianze kufikiri. (Elewa, simaanishi tusijifunze) ila at the moment unataka kufanya wewe kama wewe inatakiwa ufikiri kwa kina kutoka ndani mwako ili uepuke kutumia ya wengine uliyoyaingiza kwenye subconscious mind yako.
Jamani mimi kuna jambo linaniumiza sana..kaka Joel mbona mm huwa hata sipat taarifa kama kutakua na conference ambayo itaongozwa na ww..hata kama mkoani jaman uwezekano ukiwepo tunakujaaa..naomba utuandalie namna ambayo tunaweza kutaarifiika mapema kuhusu aya ili tuwe pamojaa..plzzzz jaman
Tnx broo ubarikiwe sanaa nmejifunza jins ya kubajet fedha na kuweka akba na kuacha matumis yasiyokua na faida,tunasubil conference ya dar jmn broo Joel Lin nataka kujua ili plzz
Usante saana kaka Joël nanauka. Yaani wewe ni mtu ambae kila siku nikiona videos zako najihisi niko juu kabisa. Mungu azidi kukubariki na akupe maisha marefu ili ufundishe watu zaidi na zaidi. Wapate Maarifa yakufundisha generations zitakuja.
Mafu'disho yako imebadili mambo mengi katika maisha yangu. DAILY ROUTINE.
Asante kaka.
I mean sio jambo baya kureffer articles nyingine, ila talk inapojaa content za watu wengine inapoteza proof ya kuwa mjuzi na mbunifu.
Nilijifunza kua nikitaka kufanya kitu bora niache kujifunza, nianze kufikiri. (Elewa, simaanishi tusijifunze) ila at the moment unataka kufanya wewe kama wewe inatakiwa ufikiri kwa kina kutoka ndani mwako ili uepuke kutumia ya wengine uliyoyaingiza kwenye subconscious mind yako.
Your too much,nakuelewa sana,barikiwa mno nanauka
unanifanya nikuone kama #Ruge Mutahaba, nice work na Mungu akufikishe mbaaaaaaali
Asante sana kwa upande wangu shida matumizi mpaka nafanya shooping wakati nakosewa nazijutia.
Ahsante sana brother ubarikiwe sana 🙏 🙏
asnte kaka nanauka kwa kutushilikisha kwa sisi tulioko mbali.kalibu sana kasuru kigoma
Wow.. Somo hili limekuwa key la kufungua mawazo na ubunifu uliopo ndani yetu
Asante sana Mwalimu Joel kwa video hili na somo safi👏👏
Asante Bro Joel Nanauye, upo vizuri, unatupa mwanga.Barikiwa
Kaka haya matangazo yutubu yanakera kweli, mtu unajifunza jambo mara tangazo linajitokeza, ndani ya dakika tano yanaweza kutokea zaidi ya mara tatu, daa inaudhi sana.
Nataka kitabu cha timiza malengoo
Balikiwa sana
Bro asante sana nikua sijui n nini cha kufanya kwa kile nikipendacho sasa ntarifanyia kazi m hupenda sana wototo na ndo hao marafiki zangu asante sana bro
To have you is a blessing
Kaka umekuja kama nabii kutukomboa kwa kweli
Shukrani sana
Safi sn kaka yaani nimejifunza kitu ,,,mungu akubariki mno
Barikiwa sana Pastor , nimepata kitu kikubwa
Nafuatilia kutoka @Kenya @Mombasa afisi za Radio @SautiYaPwani
Captain lui1 nipe namba yako nakuja mombasa mwaka huu 🔥🔥🔥
@@joelnanauka +254711526919
Nimekua nikikufuatilia kwa mda sasa toka mwaka jana na umenibadilisha kiasi fulani hususan kuifaulisha ndoto ya ukuaji wa kampuni yangu itwayo Image 36 Production nilioifungua mwaka wa 2016.
dodoma lini?
Amina
Mtaalamu ubarikiwe sanaa
Nimefarijika sana sana sana
Mungu akubariki kaka joel
Sauti imetoka vibaya masomo yalikuwa mazuri
Kaka unaakili kama za kwangu nakupenda sana aisee
KAKA JOEL YOUR THE BEST,
Hakika wewe ni mwalimu bora
hongera kaka kaz nzuri
Honestly nilichokiona ni compilation ya ideas za waandishi mbalimbali, sio jambo baya ila nilitegemea kuona vitu vipya. Nikiwa kama msoma vitabu nimeona ni kama vile nimepata mtu wakunisimulia vipande vya vitabu nilivyosoma.
Btw. Nimefatilia masomo yako mengi, you
are doing good
I mean sio jambo baya kureffer articles nyingine, ila talk inapojaa content za watu wengine inapoteza proof ya kuwa mjuzi na mbunifu.
Nilijifunza kua nikitaka kufanya kitu bora niache kujifunza, nianze kufikiri. (Elewa, simaanishi tusijifunze) ila at the moment unataka kufanya wewe kama wewe inatakiwa ufikiri kwa kina kutoka ndani mwako ili uepuke kutumia ya wengine uliyoyaingiza kwenye subconscious mind yako.
Shukran 🙏
Asante bro
Karibu tukuyu tunaomba usiishie mbeya tu kaka
Ungeweka no zako za whatsp kaka nikutafute
Shukran
Asante
Mkuu nakipataje kitabu cha timiza malengo ?npo njombe
Wwaaawww
Joel abari dungu please nataka unipe number zako kama unatumiya whatsapp nataka kuogeya nawewe thanks
naomba namba yako Bro..email yangu in tinotairo@gmail.com
Jamani mimi kuna jambo linaniumiza sana..kaka Joel mbona mm huwa hata sipat taarifa kama kutakua na conference ambayo itaongozwa na ww..hata kama mkoani jaman uwezekano ukiwepo tunakujaaa..naomba utuandalie namna ambayo tunaweza kutaarifiika mapema kuhusu aya ili tuwe pamojaa..plzzzz jaman
Andika neno NDOTO YANGU kwenda WhatsApp namba 0743868507
@@pascalkasandakasela4541 Asantee sanaaaaaaaaa sanaaa
Kwaiyo ukishaandika hivyo inakuwaje yani mikutano yote itakayofanyika inakuwa unatumiwa ujumbe au
@@maryammaram2612 Utaona profile yake na about imeandikwa Timiza malengo yako..
@@faudhiatmasoud4025 asantee
waoooooh amazing bro one day can you come to meet us in Arusha, you are welcome
Nimeshakuwa tajiri tayariiii wa maono baaada ya miezi mitatu insha'Allah nitaleta mrejesho
Joel nakuelewa sana pia nataman kuanza biashara ila nilisha feli malanyingi mpaka naogopa japo na jua nguvu niliyo nayo
Ilikuwa semina yenye nguvu sana kama ulikosa pole
mbona ukiwa unasemina dar huwa sijui nitajuane kama unasemina dar
Like page yake fasebook yenye jina jnanauka
Niunganishe kwenye gurupu rako plz
Tnx broo ubarikiwe sanaa nmejifunza jins ya kubajet fedha na kuweka akba na kuacha matumis yasiyokua na faida,tunasubil conference ya dar jmn broo Joel Lin nataka kujua ili plzz
Asante Kaka mungu akuzidishie nguvu na maarifa zaidi
mzee baba,,,asante kw kunifaamisha kua mm ni muindajiii,,,japo ngumu ila naimeza,2
Ahsante sana Joel Nnauka hatukuwepo ila na sisi tumejifunza kiasi kama chao
Asante sana my mentor huwa nakuelewa vizuri sana
Kazi nzuri sana.
Ubarikiwe sana kaka
Thanks my brother
kanda ya kati lini?
Brother thanks!!!!!!