Amen huyo baba ni mtumishi wa kweli kabisa...mimi naangalia video zake almost everyday but I receive my healing while I'm home. What a wonderful God we have. Asante mtumish.❤
Amen na connect from Lebanon . This morning I receive my deliverance ,calling FINANCIAL break through .my children I call the blood of Jesus to change my situation
Shalom apostle, naomba nishuhudie kuhusu " jinsi ya kutumia damu ya Yesu." Kwanza namshukuru Mungu sana kwa ajili yako. Asante Sana kwa ajili ya mafunuo mengi Sana unayotufundisha na Sana hili la damu ya Yesu. Baada ya kusikiliza Hilo somo nilienda kulifanyia kazi. Mkono wangu wa kulia ulikuwa unaniuma Sana ..nikawa siwezi kubeba kitu au kuinua ,ulikuwa unakufa ganzi. Nikachua damu ya Yesu, na mwili wake nikashiriki meza ya Bwana . Nikatamka , damu ya Yesu ukanene uponyaji juu na ndani ya mwili wangu... Weeee it was an instant miracle...nilipomaliza tu kushiriki... nilikuwa nimepona. Pili Kuna muhindi Fulani tunaomba naye kwenye maombi Fulani ..akanishirikisha kuwa anaenda kufanyiwa upasuaji wa moyo Kuna anatatizo la moyo akaniomba nimuombee. nikamnyunyizia damu ya Yesu kwenye moyo rohoni...maana Yeye Yuko India...nikafuta ripoti ya daktari nikaandika ripoti mpya ya uponyaji wake..nikaomba naye online kumaliza maombi alikuwa amepona...daktari kwenda kumfanyia ukaguzi ,hakuona tatazo. Asante apostle...sio wengi wanaoweza kujitolea na kushare mafunuo waliyonayo. Nimefungulia punda...
Asante Sana mtumishi am connected with you nikiwa Kenya lkn naomba tafadhali mnielekeze njia ya kutuma sadaka ya huduma juu kupitia maji na Roho Nina Amani.barikiwa Sana mtumishi
Nime barikiwa sana kwa neno ili mubarikiwe nanyi wote ❤❤❤mtumishi Mungu azidi kuku tia mzima wa afya pia na nguvu mana kupitia ww ma elfu wana funguliw 🥰🙏🙏
Nimebarikiwa sanaa hili somo siku ya leo. Nimejifunza kitu kikubwa katka maisha yangu nimeshindwa kula chakula hiki pekee yangu imebidi ni-share marafiki zangu. Mtumishi wewe umetumwa kwetu kwa majira na wakati huu. Na uzidi kubarikiwa Apostle.
Mungu akupe unabii wenye heri kama sasa uendelee hv coz mimi umenifanya niwe mtu mwingine kabisa hadi sasa umekuwa mtumishi uliyefanya maisha yangu yawe ya baraka kila siku mungu akubaliki sana 🙏
Amen huyo baba ni mtumishi wa kweli kabisa...mimi naangalia video zake almost everyday but I receive my healing while I'm home.
What a wonderful God we have.
Asante mtumish.❤
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu. Nimejifunza na kubarikiwa na hilo funzo. Amen. From Kenya.
Asante mtumishi wa Mungu Leo nimepata ufunuo mpya kuhusu Roho mtakatifu was Mungu
Asante nami napokea uponyaji dhidi ya nguvu za adui. Amen
Nimebarikiwa sana nasomo zuri mungu wa major one andelee kukutumia kuponyonya watu wake
Ubarikiwe sana Mtumishi nimeelewa somo hili kabisa.
Mungu akubarik mtumish
Amen na connect from Lebanon . This morning I receive my deliverance ,calling FINANCIAL break through .my children I call the blood of Jesus to change my situation
Ubarikiwe sanaaaa na YESU akuzidishie miaka 100 ya kuishi
Amina mimi nimepona kwa Imani niko Turkey mkenya
Shalom apostle, naomba nishuhudie kuhusu " jinsi ya kutumia damu ya Yesu." Kwanza namshukuru Mungu sana kwa ajili yako. Asante Sana kwa ajili ya mafunuo mengi Sana unayotufundisha na Sana hili la damu ya Yesu. Baada ya kusikiliza Hilo somo nilienda kulifanyia kazi. Mkono wangu wa kulia ulikuwa unaniuma Sana ..nikawa siwezi kubeba kitu au kuinua ,ulikuwa unakufa ganzi. Nikachua damu ya Yesu, na mwili wake nikashiriki meza ya Bwana . Nikatamka , damu ya Yesu ukanene uponyaji juu na ndani ya mwili wangu... Weeee it was an instant miracle...nilipomaliza tu kushiriki... nilikuwa nimepona. Pili Kuna muhindi Fulani tunaomba naye kwenye maombi Fulani ..akanishirikisha kuwa anaenda kufanyiwa upasuaji wa moyo Kuna anatatizo la moyo akaniomba nimuombee. nikamnyunyizia damu ya Yesu kwenye moyo rohoni...maana Yeye Yuko India...nikafuta ripoti ya daktari nikaandika ripoti mpya ya uponyaji wake..nikaomba naye online kumaliza maombi alikuwa amepona...daktari kwenda kumfanyia ukaguzi ,hakuona tatazo. Asante apostle...sio wengi wanaoweza kujitolea na kushare mafunuo waliyonayo. Nimefungulia punda...
Nimekuelewa sana, kupitia nguvu Roho Mtakatifu , MUNGU akuzidishe zaidi ili uendelee kuwa msaada kwa vipofu!
Kweli kabisa Mimi Ni kama mti WA mwerezi wow that's great message 🙏🙏🙏
Amen baba nimepona
Asante Sana mtumishi am connected with you nikiwa Kenya lkn naomba tafadhali mnielekeze njia ya kutuma sadaka ya huduma juu kupitia maji na Roho Nina Amani.barikiwa Sana mtumishi
Tupatie namba zako tutakupigia tukupe maelekezo
Amen mtumishii
Nimeona mkono,wa Mungu baba mali hapa,Huizi milele apostle wetu.
Shalom shalom mtumishi ubalikiwe na bwana wa majeshi🙏🙏🙏 na kulinde daima 🙏🙏🙏
Hallelujah, somo ni zuri saàna; naendelea kujifunza Kila iitwapo Leo. Ubarikiwe sana mtumishi.
Maji ni dawa kwa somo hili naenda kuyatenda na kuyatumia dawa mapooza yaenda kufa
May God Bless you Apostle🙏nabarikiwa sana na mafundisho yako🙏
Amen Papaa
Ameen ubarikiwe pastor Qatar France Kenya
Kazi nzuri mtumishi wa Mungu.tunakuitaji wana mwanza.
Amen like from Lebanon 🇱🇧 daddy
Nime barikiwa sana kwa neno ili mubarikiwe nanyi wote ❤❤❤mtumishi Mungu azidi kuku tia mzima wa afya pia na nguvu mana kupitia ww ma elfu wana funguliw 🥰🙏🙏
Amen Apostle ubarkiwe Sana unatufundisha vizuri
Napokea mjiza kwako baba🙌🏿
Ubarikiwe Sanaa Apost nashukuru Mungu azidishe upako maraeflu maana wewe nimusaada ya watu wengi duniani
Ubarikiwe baba, Mungu akutunze kwaajiri yangu🤚
Nimebarikiwa sanaa hili somo siku ya leo. Nimejifunza kitu kikubwa katka maisha yangu nimeshindwa kula chakula hiki pekee yangu imebidi ni-share marafiki zangu. Mtumishi wewe umetumwa kwetu kwa majira na wakati huu. Na uzidi kubarikiwa Apostle.
Amen na asente kwa neno.
Mungu akupe unabii wenye heri kama sasa uendelee hv coz mimi umenifanya niwe mtu mwingine kabisa hadi sasa umekuwa mtumishi uliyefanya maisha yangu yawe ya baraka kila siku mungu akubaliki sana 🙏
Amina ubarikiwe apostle kwakweli tunahitaji kufundishwa na kujifunza.🙏
Amen.
Wooow glory to God. from Kenya. this is a big grace teaching nimebarikiwa sana
Thanks for listening
Nimepokea uponyaji kwa jina la yesu
I get you well
God bless you sir!
apo nimeelewa kitu cha muhim sana maana imenisaidia kujua mambo ambayo nilikua sijui asante sana pia ubalikiwe mtumishi
Napokea uponyaji kwa jina la yesu
AMINA AMINA AMINA
SoMo zuri kwa wakati muafaka
Ee MUNGU nisaidie kuwa ROHONI kwa Jina la YESU
Napataje flash za mahubiri haya na zaidi ya hayaaa
Karibu kanisani Mtumishi uje tu na flash yako tutakuweka Masomo unayoyaitaji ukifika muulizie Director Sam Karibu Sanaa Mtumishi
Majibu yangu nimeyapata kabsa kabsa
Mapepo na majini yanao sumbua mimi usiku yapigwe radi