❤❤❤❤❤❤ assalam aleyikum warahmatullaah shekhe mimi nimeota ndotoni naona panya wengi ndani walikua wana cheza cheza ikabidi ni mwambie baba mwenye nyumba tafuta dawa panya ni wengi lakini walikua wanacheza tuu ndani kisha wakaingia wengi kweli mwisho ni kawaacha ni liona hakuna chenye wanaharibu
Ahsante shekh jafar..nimeota nafukuza kuku kwa fimbo ndan kwetu walikua weng na walinisumbua sana kuwatoa nje ila alibak kuku mmoja chin ya uvungu wa kitata alikua na vifaranga nilimshindwa alikua mkal sana, je kuna maana yoyote
Pongezi maashaallaah kwa kuona hivyo utabakia na jaka moja tu yaa tatizo moja tu lenye kukuletea majonzi au shida za kimaisha ila mengi yatakuondoka katika unayoyaona matatizo au yanayo kuyia majonzi na huzni
Masha Allah...sheikh jafar,mm nliota nmeona wanawake wawili wafukuzwa na mtu anae tisha san,ila wao hawakueza kumkwepa mm ndio nliwasaidia kwa kuarusha kuanzia gorofani juu mpka chini....na mm pia nliruka cha kushanga skuumia na gorofa lenyewe lilikua refu sana...sasa kufika chini nkaona kati ya wale waschana nlio wasaidia kuarusha chini ilkua akitapika udongoo
Shehk asalam allahykum mimi naomba uniambie nimeota panya kaingia kwenye miguu yangu mguu wa kulia wawili na kushoto wawili ila nikafanikiwa kujichana nikamtoa mmoja wengine wakawa wanaama ama kwenye miguu naomba unijulishe
Waalykum msaalam waramatulah wabarakatul. Masha Allah tabaraka Allah. Samahani sheikh Jafar nimeota mm na wenzangu tunaenda bombani kuchota maji baada kufika maji yalikuwa bei gali hata atukuchota maji tukaondoja gafla nineshutuka.
Kuna mpango utaghairishwa au hautatimia wakwako na hii inaweza kujulisha wa hela kwa kiashiria cha maji Omba kwa Allaah pia tunakuombea mambo yabadilike inshaallaah
Shekhe asante sana,,Mimi nimeota panya na nyoka mdogo kitandani lkn panya amekufa kwamba ameuwawa na yule nyoka,halafu nyoka akapotea nikamwambia mama yangu mdogo kuhusu huyo nyoka lakini hakutilia maanani kwenye kumtafuta,,nini maana yake
Mimi nimeota panya ameingia kwa nguo yangu. Nikamsika nikamkamta na nguo ,alafu nikamchapa chini akapasuka akanguka pande ingine na matumbo yake pande ingine. Hi ina mana gani??????
😂😂😂asili ya congo wanakula panya,ubwa,paka nyanyi,na vinginevyo kwawo wanyama wengi ni chakula mimi ni liwahi kuishi congo palinishinda juu ya nyama wanazo kula
tumia namba za simu hapo juu gusa alama ya channel yetu kisha yakija maeleo pangusa kuelekea kushoto utaona neno about hapo ukiligusa utaona namba zetu za simu na page zetu zingine pia 0656606014 whatsap
Wewe unasihri kwa rangi ya matapishi hayo , lakini nikitazama pia kuna matatizo unayo hivikaribuni matatizo hayo yataondoka jiombee duaa pia waweza nieleza jina lako kwa whatsap nitakuombea inshaallaah dua ndoto hii ni katika ndoto muhimu
Wewe kuwa makini sana sana kwani kama unabinti yako muangalie vyema kwani anapata shida kupitia mahusiano vijana wanamtesa, lakini kama hauna binti basi kuwa makini kuna mwanaume anatajwa hapo kwamba atafuta njia kwako.
Shekhe mimi nimeota ndugu yangu wa kike ananiambia niingie shimo eti anitibie na mimi nikaingia lkn nilivo ingia tu nikabadilika tukawa mapacha lakini nimeota mchana sasa ni nini Maana yake
kuna moja ya mawili, Aidha maisha yatakuwa safi, au utapata mitihani kidogo, kuwa na subira HII YATEGEMEA USIKU ULIOONA NI TAREHE NGAPI YA MWEZI MUANDAMO
Yani tafsir yako nayayoendelea kwangu na nilivoota umoumo
Walekumusalamu warahmatullah wabarakatu,ALLAH akidishie nguvu ktk kiwiwilwili chako, leo umechoka sana
asalam allahykum mimi nakuunga mkono kwakutafsiri ndoto mashaallah
Wa,salaam maashaallaah
❤❤❤❤❤❤ assalam aleyikum warahmatullaah shekhe mimi nimeota ndotoni naona panya wengi ndani walikua wana cheza cheza ikabidi ni mwambie baba mwenye nyumba tafuta dawa panya ni wengi lakini walikua wanacheza tuu ndani kisha wakaingia wengi kweli mwisho ni kawaacha ni liona hakuna chenye wanaharibu
Je huo mtaa unasifika kwa wezi? Au wanawake waasharati?
Ahsante shekh jafar..nimeota nafukuza kuku kwa fimbo ndan kwetu walikua weng na walinisumbua sana kuwatoa nje ila alibak kuku mmoja chin ya uvungu wa kitata alikua na vifaranga nilimshindwa alikua mkal sana, je kuna maana yoyote
Pongezi maashaallaah kwa kuona hivyo utabakia na jaka moja tu yaa tatizo moja tu lenye kukuletea majonzi au shida za kimaisha ila mengi yatakuondoka katika unayoyaona matatizo au yanayo kuyia majonzi na huzni
Nimeota nimewauwa panya wengi Sana nikawabeba wakiwa wamekufa nikawatoa njee nni maana yake
Masha Allah...sheikh jafar,mm nliota nmeona wanawake wawili wafukuzwa na mtu anae tisha san,ila wao hawakueza kumkwepa mm ndio nliwasaidia kwa kuarusha kuanzia gorofani juu mpka chini....na mm pia nliruka cha kushanga skuumia na gorofa lenyewe lilikua refu sana...sasa kufika chini nkaona kati ya wale waschana nlio wasaidia kuarusha chini ilkua akitapika udongoo
Kuna watu wako wakaribu unawapambania ktk maisha yako mm nishawahi kuota ivo nanikamfata ustadh hakanijib ivo
Shehk asalam allahykum mimi naomba uniambie nimeota panya kaingia kwenye miguu yangu mguu wa kulia wawili na kushoto wawili ila nikafanikiwa kujichana nikamtoa mmoja wengine wakawa wanaama ama kwenye miguu naomba unijulishe
Usumbufu katika kupata rizki au unaambiwa kwamba utaneemeka inshaallaah jitahidi kuongeza ibada
Mashaallah mimi nimeota panya yuko ndani ya chumba na pale ndani ya chumba Kuna nyoka mkubwa nini maana yake shekh
atazniwa mtu wa karibu yako au pataibiwa kuwa mkini sana
Waalykum msaalam waramatulah wabarakatul. Masha Allah tabaraka Allah. Samahani sheikh Jafar nimeota mm na wenzangu tunaenda bombani kuchota maji baada kufika maji yalikuwa bei gali hata atukuchota maji tukaondoja gafla nineshutuka.
Kuna mpango utaghairishwa au hautatimia wakwako na hii inaweza kujulisha wa hela kwa kiashiria cha maji Omba kwa Allaah pia tunakuombea mambo yabadilike inshaallaah
@@MTAVASSYTvshukran jazaakaAllah kheirsheikhJafar . Ameen yaraab alamiinInsha Allah.💕💕💕
Shehe mm nimeota napiga vitoto vya panya kwa mchanga na vinalia sana
Unazunguka zunguka saaana had video inakaribia katikat
mashaAllah
Aww mimi nimeota panya anakula godoro yangu inamanisha nini
Shekhe asante sana,,Mimi nimeota panya na nyoka mdogo kitandani lkn panya amekufa kwamba ameuwawa na yule nyoka,halafu nyoka akapotea nikamwambia mama yangu mdogo kuhusu huyo nyoka lakini hakutilia maanani kwenye kumtafuta,,nini maana yake
Aww mimi nimeita panya anakula godoro yangu inamanisha nini
Asalam alley kum sheikh mimi nimeota panya ananidandia kichwan lkn sikumuogopa nini maana yake
Mtoto wa kike huyo, au mtu mzinifu unaambatana nae
Nakukubali niliota vitandaa ulivyo tafilisili siku pili yake zimeletwa balua ndoa😅
Maashaallah baarakallahu fiyk
Mimi nimeota panya ameingia kwa nguo yangu. Nikamsika nikamkamta na nguo ,alafu nikamchapa chini akapasuka akanguka pande ingine na matumbo yake pande ingine. Hi ina mana gani??????
Asalamualeykum shkhe mm nimeota namfukuza panya ndani ya chumba ilinimuue lakini sikufaniwa kumuua Wala kumtoa ndani. nn maana yake
Asalamu Aleykum.me nimeota panya yupo ndani frigi anakula vyakula Baad yakufunguwa frigi akakimbia yule pany nn maan yake shekhe
Kuwa makini kuna mzinifu kwako, au unabinti mchunge sana
asallam allahykum mimi niliota ninampezi ambaye akinikaribia naisi isia kali sana ambazo sizakawaida namtu mwenyewe simjui ninini tafsiri yake
wewe nimekujibu hii kwa Whatsapp
@@MTAVASSYTv asallam allahykum sijatumia kuuliza maswali watsap uenda kunamwenzangu tumefanana majina2
Shekhe mimi maana ya ndoto za paka
Sawa tutasema tena hili hivi karibuni tunaandika kwenye daftari la kumbukumbu inshallah 🙏🙏
Nimeona panya anazaah
Waleykumuslamu warahmatulah wabarakatu yani hapo wacongo wakiwaona hawa panya watakutafuta wakijua wanagawa😂😂😂😂😂
hat taar kwani huliwa kwao
@@MTAVASSYTv nina akhui yangu anasafiri kwa magari ys mixigo kwenda congo anawapiga picha wamewachoma mishikaki
😂😂😂asili ya congo wanakula panya,ubwa,paka nyanyi,na vinginevyo kwawo wanyama wengi ni chakula mimi ni liwahi kuishi congo palinishinda juu ya nyama wanazo kula
😂😂😂😂😂
@@oman1oman179 hatari kweli
n ukiota Panya mweupe jee
Na uki ota ume ona panya mbili moja kubwa na ndogo na wame kufa.
Nimeotapanyamkubwalkn nimempigakumua
Tusaidie mawasiliano
tumia namba za simu hapo juu gusa alama ya channel yetu kisha yakija maeleo pangusa kuelekea kushoto utaona neno about hapo ukiligusa utaona namba zetu za simu na page zetu zingine pia 0656606014 whatsap
Nimeota panya cumbani nikawa nazifukuza n'a kijiti ça moto zikafa zilikuw mbili
Sheik mm nimeota nasomewa quran na baba yangu baadae akanishika kifuan akinikamua nikatapika matapishi Meusi
Wewe unasihri kwa rangi ya matapishi hayo , lakini nikitazama pia kuna matatizo unayo hivikaribuni matatizo hayo yataondoka jiombee duaa pia waweza nieleza jina lako kwa whatsap nitakuombea inshaallaah dua ndoto hii ni katika ndoto muhimu
0656606014
Mm nimeota namuona panya mweupe amenaswa kwenye mtego anaangaika kutoka , Nini maana yake
Wewe kuwa makini sana sana kwani kama unabinti yako muangalie vyema kwani anapata shida kupitia mahusiano vijana wanamtesa, lakini kama hauna binti basi kuwa makini kuna mwanaume anatajwa hapo kwamba atafuta njia kwako.
Lakini mara ingine hii hujulisha kuapata pesa
@@MTAVASSYTv bint ninae lkn mdogo darasa la tatu, uyo mwanaume kutafuta njia kivip sijaelewa
Nini maana ya kuota nguo njiani zime jaa msili ya kutupwa ama mala nyine waweza kuona kama zimeanikwa
Nini maana ya kuona mlango mkubwa na mdogo
Nimeota panya cini yakabati cumbani ninapo lala nikawa nawafukuza mmoja akapita cini ya mlango ingine ilikuwa ndogo nikampa kiyato aliekuwa pembeni yangu akaipiga
Panya walikuw weusi nilikuwa nawawinda naogopa
je,haujamshauli mtu kumpata mpenzi,?
@@MTAVASSYTv ndio yupo.nilimwambiag sinag bahati ya mpenzi
@@MTAVASSYTv nini maana
@@MTAVASSYTv kuna mtu kanambia amenipatishia mpenzi akini mi sikumpenda
Shekhe mimi nimeota ndugu yangu wa kike ananiambia niingie shimo eti anitibie na mimi nikaingia lkn nilivo ingia tu nikabadilika tukawa mapacha lakini nimeota mchana sasa ni nini Maana yake
kuna moja ya mawili, Aidha maisha yatakuwa safi,
au utapata mitihani kidogo, kuwa na subira
HII YATEGEMEA USIKU ULIOONA NI TAREHE NGAPI YA MWEZI MUANDAMO
@@MTAVASSYTv mm nimeota panya kaja kitandan kila nikimfukuza hatoki nikatoa neti ili atoke hakutaka nikamtia kwwnye kanga nikaanza kumpgiza ukutani hadi akawa mahututi nahisi hatopona
Shehk je ukiota pesa zako zimeliwa na panya kisha ukalia Sana hii ina maana gani