Hapo inakuwaje kwa chama kimoja tu kusemwa au kutajwa kuliko vingine ? Hofu au husda au nini kolichopo nyuma ya pazia ? Maneno fulani yakisemwa na jamii A hayana ubaya na maneno hayohayo yakisemwa na jamii B inakuwa UCHOCHEZI.....!!!? Hii ikoje ?
Mzee kaongea maneno matam sana kama hujielewi hutamuelewa ila hapa mashoga na machawa hawatajua mzee anaongea nn kumbe wazee wenye hasira nanchi yao wapo
Kichwa like baba wa Taifa❤
Barikiwa sana mzee
Kama namsikiliza NYERERE
Amina mzee wetu Mungu akubariki sana ila uwe macho usije ukatekwa na kuuwawa.
Naona mzee unawakumbusha kazi waandishi manyumbu
Mzee anawapa na semina ya bure waandishi ndio aina ya waandishi tulionao vichwa empty
Safi Sana mzee uenda mungu kakutuma utupe maneno mazuli
Mungu ni Mwema kupitia Utumishi uliotukuka uweza uwezo wa kusema ukweli
Alikuwa nani uyu mzee mim sijui?
God bless you 🙏 uko sw sn unabusara.
Hao waandishi wote hapo hakuna anayeweza kuuliza chochote wenyewe ni Machawa,waandishi ni Kikeke na Odemba
Nakuunga mkono
Ni kweli mzee wetu maneno yako
Kwa mzee WETU Butiku , endeles kuwatia moyo wakuwa na kufua mbele katika kweli
Mzee butiku mungu akuongezee umri mrefu , kwa maneno ya ushujaa
Safi sana mzeee
Wazee wangekuwa kama huyu nguvu yetu ingekuwa imara sana
Bado kuna woga katika kufunguka
Mzee una kiti chako kwa mungu
Mh butiku mungu akubaliki
Wambie mzee wamekuwa machawa badala waandike habari
Walau Mzee wetu huyu anatimiza wajibu wake kama mzee bila kujali itikadi ya chama chake cha siasa.
Mzee unawapa darasa waandishi😂
Wanaogopa kupotezwa
Serikali hii haitaki kukosolewa! Inataka kusifiwa sifiwa tu! Ndo maana kuna chawa! Chawa hupenda pachafu!
azina ya taifa kama hii
🔥🔥
Ukiwa mwanahabari lazima uwe critical thinker
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤Amina baba hiii pia waandishi waelewe
Siyo siasa inaumiza sana
Tutamuunga mkono kwa mazuri nasio kwa kukandamiza watu na wapa hofu ili mambo Yao yaende sawa kwenye uchaguzi
Duuh Mzee kawaka..😅
5:50
Wuwi munatupeleka wapi kunanini katika madaraka mkumbukeni mwinyi alijiuzulu ninyi kunanini hamtoki
ALIZOMEWA KWELI, LAKINI FAHAMU KUWA NI KWA USHABIKI.WA KISIASA.
Wagalatia WAMESHAINGIZA SIASA 😢😢😢😢😢KISA NI WA UPANDE WA 2
ngoja ya kufike alafu useme siyasa vitu nywa kweli una sema siyasa daaa
Haya banah
Hapo inakuwaje kwa chama kimoja tu kusemwa au kutajwa kuliko vingine ? Hofu au husda au nini kolichopo nyuma ya pazia ? Maneno fulani yakisemwa na jamii A hayana ubaya na maneno hayohayo yakisemwa na jamii B inakuwa UCHOCHEZI.....!!!? Hii ikoje ?
Hicho chama mm mwenyewe nawasiwasi nacho kichunguzwe Kwa nn wao tuuh
Mmi simuungi mkono raisi nikimunga mkono ntabaki nanin
Tunae RAIS mmoja tu si wawili au watatu hapo Thaaa thaaa!!
polisi ndiyo wanavuruga 😢😮
Mwanahalisi post zenu hazina sauti kubwa kwaniniiiiii??
Mzee anawapiga waandushi na nyundo😅
Mzee wetu Butiku upo sahihi kabisa, Lkn dhambi hupovusha hawana macho ya kuona tena.
HAWA ndio wazee Wenye busara waliobaki kwenye hii nchi wana hekima nabusara
Semausiogope semaaa
akika mzee upo makini sana wengi waliopo sasa wapo wapo2 pesa mbele kuliko utu
Unaakili nyingi zahao waandishi waoga uliokonao
huyu ni mtu sahihi abarikiwe na bwana
Mzee kaongea maneno matam sana kama hujielewi hutamuelewa ila hapa mashoga na machawa hawatajua mzee anaongea nn kumbe wazee wenye hasira nanchi yao wapo
Hkn waandishi hao wasenge
Ma. 5:38
Babu umenena kweli
Wakumbushe wajue umhim wao
Laisi ni mnafiki2 anajuwa atakavyo waficha
MZEE BUTIKU UPEWE MAUA YAKO MZEE WETU
Hazina yetu
Jua tu watenda zambi awaonivizuri mbele
Na kwanini wanauwa watanganyika tu?
Jee umesahau mauwaji huko Pemba baada ya uchaguzi wa 2000,uliotekelezwa na vyombo vya dola ndani ya serikali iliokuwa ikiongozwa na hao hao.
@@ahmedalbalooshi8518ya ccm
Wezi sana ccm hii ni dhambi kubwa sana inchi itaingia gizani hii ni hatari unapambania uccm badala utaifa hii ni kero sana
Ccm haina sera
Mungu ni Mwema kupitia Utumishi uliotukuka uweza uwezo wa kusema ukweli