INAFIKIRISHA| UNAMPELEKAJE WAZIRI KWENYE MAZINGIRA YALE| "JESHI LETU LILIRIDHIKA NA INTELIJENSIA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 19

  • @islandinsuranceagency8008
    @islandinsuranceagency8008 6 วันที่ผ่านมา +5

    Semeni tu waziri alisutwa!

  • @AthanaseKiyoja
    @AthanaseKiyoja 6 วันที่ผ่านมา +5

    Hapa sinema ni ndefu.Kule visiwani mara chache kusikia mtu katekwa. Bara kila kukicha.Waziri ni mzanzibar, amekaa kimya,tuchukulie kuwa haoni,hasikii,hajali kwa vile nyumbani ni shwari.Masauni anakwaza,Kama anapendwa,atafutiwe kazi nyingine,nasikia ni muhandisi.

  • @kashuradiocles1068
    @kashuradiocles1068 6 วันที่ผ่านมา +2

    Ingekua kenya 🇰🇪 waziri angekua mahali pema

  • @JninjaH2R
    @JninjaH2R 6 วันที่ผ่านมา +1

    Wajiuzuru hao .watu hatuna amani

  • @smilemediatz
    @smilemediatz 5 วันที่ผ่านมา

    Ila zembwela muelewa sana, yani unamtumaje waziri sehemu kama ile ili kumfhalilisha au kutaka kuona nini kinafuata

  • @wakalaafrica4013
    @wakalaafrica4013 6 วันที่ผ่านมา +3

    Hii inchi viongozi wetu awana uzalendo tumetawaliwa na starehe za kikahaba ndio vinavyo leta shida hii

  • @Naju645
    @Naju645 5 วันที่ผ่านมา

    Ingekua Kenya saiz kunauteuzi mwingine angemfata marehem

  • @AkiliMali-f3j
    @AkiliMali-f3j 6 วันที่ผ่านมา +2

    Zembwela bana 😅

  • @Naju645
    @Naju645 5 วันที่ผ่านมา

    Halafu waziri niudongo wa Zanzibar huyu

  • @sheirasaid3623
    @sheirasaid3623 6 วันที่ผ่านมา +3

    Zembwele ze way anavyoongea utamuelewa anaongea kma moyo wake unavuja dam lkn hajui namnah nn afanye 😂

  • @abdallahyasin6829
    @abdallahyasin6829 6 วันที่ผ่านมา +1

    Intelijensia ipo kwa ajili ya mikutano ya upinzani siyo kwa watu wasiojulikana

  • @jonakajigili6991
    @jonakajigili6991 6 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂 zembwela mnafki😂😂

  • @lifardKombolela
    @lifardKombolela 6 วันที่ผ่านมา +1

    kwani uyo alie uliwa kikatili c binadam anae staili kuishi c mtanzania mwenye haki sawa nauyo masauni ukiondowa vyeo hivyo tena vyakuteuliwa basi tuamini sote tunaaki sawa chini yaaridhi hi tunakuwa naofu kuliko kuchukizwa naunyama uliopo

  • @LensonMwaigombe
    @LensonMwaigombe 4 วันที่ผ่านมา

    Zembwela kweli wewe chawa wa serikali,jeshi imara mtu anatekwa ndani ya basi!?

  • @Naju645
    @Naju645 5 วันที่ผ่านมา

    Zembwela mnaf kumbe nae pale wangeamua kumpiga wangempiga Tu sema nn walijua Tanzania watu wake wajinga yaan pale hakua naulinzi wowote

  • @WakiliHaule
    @WakiliHaule 6 วันที่ผ่านมา +1

    Hakuna ubaya waziri kwenda msibani uwezi jua ukaribu between waziri na marehemu walikuwa watu wenye mahusiano gani...watanzania sio kila kitu tukichukulie vile hisia zetu zinavyotutuma muda mwingine hisia zinatupeleka long place...embu jiulize kwa nini Mbowe jana alipandwa na jazba baada ya wanachama wa chadema kumzomea waziri..