Mbunge alizwa na wanavyotendewa Uamsho

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 เม.ย. 2021
  • Mbunge wa jimbo la Konde kisiwani Pemba kupitia chama cha ACT Wazalendo, Khatib Said Haji, amesema kwamba mahabusu wa Uamsho walioko gerezani Tanzania Bara wanazidi kutendewa dhuluma.

ความคิดเห็น • 81

  • @jakuvuai1428
    @jakuvuai1428 3 ปีที่แล้ว +7

    Nlikuja baada ya kusikia taarifa ya kifo chako, Allah akurehemu

  • @stonetown578
    @stonetown578 3 ปีที่แล้ว +6

    Allah atawafanyia wepesi In sha Allah dua'a tu kwa wingi

  • @aliawam3471
    @aliawam3471 3 ปีที่แล้ว +8

    Allah atawalipa mashehe wetu kwa dhulma walio fanyiwa

  • @nassrakhalef3437
    @nassrakhalef3437 3 ปีที่แล้ว +3

    Inna lillah wa inna lillah rajiwn Allah amsamehe madhambi Yake Ampe kauli thabit Amiin yaa Rabby.

  • @is-hakabinruweikh3833
    @is-hakabinruweikh3833 3 ปีที่แล้ว +5

    Inshaallah mbunge ww mungu atakulipa kila la kher

  • @abasamwame6583
    @abasamwame6583 3 ปีที่แล้ว +13

    Laana za Allah ziwashukie waliwaseka rumande mashekhe zetu ,walaaniwe wao na familia zao ,awape nuhsi na mikosi wao na vizazi vyao ,awadhalilishe wao na vizazi vyao kila aliehusika

  • @ibnismail8831
    @ibnismail8831 3 ปีที่แล้ว +5

    Mm nasema hv haina haja ya kuzid kuwepo kwenye muungano tuzd kumtgemea mung ipo sk atajib vilivo vetu...wallah inauma snaa jaman so mchezo😓😓

  • @amosmoses7800
    @amosmoses7800 3 ปีที่แล้ว +6

    HiVi haKunA waBunGe waiSLamu isipoKuWa huYu mZee tu...NaMsiKiTikiA saNa. AnAjiKuTa yupo peKee aKiwaTeTea waBunGe weNgiNe wamEBaKi kimYa waKisuBiLi poSho zAo Za siKu

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 ปีที่แล้ว

    Allah ambarik huyu kiongozi wetu

  • @MohamedOmar-sg8ts
    @MohamedOmar-sg8ts 3 ปีที่แล้ว +2

    Kweli umesema mbunge InshAllah Allah ataleta kheri yake

  • @sabraabdilnasir8826
    @sabraabdilnasir8826 3 ปีที่แล้ว +3

    Mashaallah mbunge

  • @user-oy8go8zs7e
    @user-oy8go8zs7e 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akulaze pema pepon

  • @mrmdimi9406
    @mrmdimi9406 3 ปีที่แล้ว +1

    Allah akurehemu ndg yetu

  • @safiaothman1098
    @safiaothman1098 3 ปีที่แล้ว +2

    Namwomba Allah awajaalie watoke Rumande, Aamiin.

    • @yusufujamali4577
      @yusufujamali4577 3 ปีที่แล้ว

      Usisahau huyu mbunge amefariki leo Innalillah wainna ilayhhi raajiun

  • @khamismaulid6839
    @khamismaulid6839 3 ปีที่แล้ว +6

    Huo sio munganoooo huo ni upuzi wa hali ya juuu kabisa

  • @pilichumu9331
    @pilichumu9331 3 ปีที่แล้ว +3

    BC ukiona simbunge wa ccm huyo,uyoo mbunge wa act maana mbunge wa ccm hawez akasema ivyoo

  • @halimanafoo2468
    @halimanafoo2468 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akupe kauli thabit

  • @faridifriction8805
    @faridifriction8805 3 ปีที่แล้ว +2

    Rest in peace champ, Allah akurehemu amiin🤲🤲

  • @khadijahaji6341
    @khadijahaji6341 3 ปีที่แล้ว +3

    Innallah wainailahi

  • @jamalmshenga1851
    @jamalmshenga1851 3 ปีที่แล้ว +1

    AS HAABU L KAHFI, NI MIFANOWEE, MSIJALI JAMANI. WANAWAZIDISHIA UTUKUFU. WANAWAPOKONYA DHAMBI ZAO KWA MIKONO YAO WENYEWE, ALLAH AWAPE SUBRA PAMOJA NA SISI.

  • @khalfanamour7174
    @khalfanamour7174 3 ปีที่แล้ว +1

    Allah akupe khatma njema mhe Khatib

  • @abdullaabdullahmpakanjia2336
    @abdullaabdullahmpakanjia2336 3 ปีที่แล้ว

    Walowaweka ndani masheikh ninduguzetu waislamu wazanzibar hvo tusiwalaumu viongozi wakitanganyika

  • @abdulrazaqmwandika8421
    @abdulrazaqmwandika8421 3 ปีที่แล้ว

    Duuuh uliyasema haya leo yametimia allah akulipe kher

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 3 ปีที่แล้ว

    Innaalillah wainnaailayhi raajiuun Allah amuhifadhi.Yaa ALLAH tuletee mwingine atakaye tusemea huko bungeni katka haqqi.amiina

  • @ibrahimsalum4727
    @ibrahimsalum4727 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ndiya hakimu mkuu free mashekh free zanzibar haki itasimama inshallah

    • @habibasule2360
      @habibasule2360 3 ปีที่แล้ว

      Aaamin

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 3 ปีที่แล้ว

      Ahhh Mungu ana mipango yake tulijuwa kama Maalim Seif Sharif Hamadi ataiwacha DUNIANI?? 😪 na alikuwa ameyapanga mengi MAZURI hakupanga MABAYA.. MUNGU AMRAHAMU. Mungu hafundishwi na mengi ya dhulma hapo Zanzibar pio maana Nchi taabu sana KUKAA SAWA HIYO AU TUU MUNGU ASHUSHE RAHMA ZAKE. AMIN

  • @iamaly9239
    @iamaly9239 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu ndio mtetezi wa wanyonge natamani kuuna Act 2025 achukuwe form ya kugombea uraisi

  • @is-hakabinruweikh3833
    @is-hakabinruweikh3833 3 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah

  • @arafatkombo5823
    @arafatkombo5823 3 ปีที่แล้ว +1

    Ni kweli ila sio haki hii wanyo fanyiwa maskhe mama samia liangalie hili

  • @labuhamad641
    @labuhamad641 3 ปีที่แล้ว +1

    Noma sana serekali inalaaana hio isioKwisha

  • @ShamisYussuf
    @ShamisYussuf 7 วันที่ผ่านมา

    Alla amsamehe makosa yake almarhuum OBAMA

  • @saidabdala4980
    @saidabdala4980 3 ปีที่แล้ว +1

    UNAJUWA hebu tukinukushe wazanzibar. Halafu tuwone.. watajibu tu hawa vifaranga wa MAGUFULI

  • @musamusahshafi1496
    @musamusahshafi1496 3 ปีที่แล้ว +1

    Nakuungamkono kuhusu wanavyofanyiwa dhuluma dhidi ya uamsho

  • @jumamshenga2666
    @jumamshenga2666 3 ปีที่แล้ว

    Allahummaghfirlahu warhamahu waraudhahu wamaskanahufiljannat

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 3 ปีที่แล้ว

    Yaa الله mrehemu mjawako huyu, msamee makosa yake tunakuomba mlaze mahali pema.

  • @muhammedabdulla2179
    @muhammedabdulla2179 3 ปีที่แล้ว +1

    Rip Hatibu

  • @samiraali1632
    @samiraali1632 3 ปีที่แล้ว

    Hee jamani, serikali muogopeni Allan kesho mtakwenda kuulizwa mtajibu nini? Nyie kuwaeka waja wa mungu ndani bila ya sababu kama wana makosa si muwahukumu basi ijulikanee

  • @peterkisanga8089
    @peterkisanga8089 3 ปีที่แล้ว

    RIP Amina!

  • @sabraabdilnasir8826
    @sabraabdilnasir8826 3 ปีที่แล้ว

    Umeongea mbunge allah akulipe kwa hili tumefurahia kwa kuliongelea machungu ila mungu yupo na sifa yake nimudilifu someni viongozi juzi rumemzika magufuli hatujatarajia kwa hafla tu basi nasi tukonyuma madaraka yasiwalevye na huwo uongozi isiwe nisehemu yakuzulumu wa nyonge hapa sote niwapita njia nawakumbushia

  • @muhamedmsomally4175
    @muhamedmsomally4175 3 ปีที่แล้ว

    Good

  • @user-mb2ob6kg8z
    @user-mb2ob6kg8z 3 ปีที่แล้ว

    mbunge msema kweli

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 3 ปีที่แล้ว

    Alafu Kikwete anafunga Ramadhan yeye ndio aliye amrisha waletwe bara, Waislam Tanzania huteswa na Waislam wenzao, maana wakiwa na vyeo wanaona hawastahili ndio wanaamua kulipa Fadhila

  • @KhamisHaroub-uj5ci
    @KhamisHaroub-uj5ci 2 หลายเดือนก่อน

    Hakuna marefu yasoncha

  • @senseiamazing1823
    @senseiamazing1823 3 ปีที่แล้ว

    Rest in peace our brother

  • @mtindikoja8837
    @mtindikoja8837 ปีที่แล้ว

    Chema hakidumu

  • @clausemsemwa297
    @clausemsemwa297 3 ปีที่แล้ว

    Huyu bwana alikua na HEKMA SANA

  • @mwalimumbukuzi7273
    @mwalimumbukuzi7273 3 ปีที่แล้ว

    Huyu mbunge kila uchao ye anatetea uamsho na kuangalia maslahi mapana ya taifa. Ukweli ni mzalendo

  • @zubeirsalum128
    @zubeirsalum128 3 ปีที่แล้ว

    Allahuma ghufirlahu waarhamahu waaskinahu filjannat

  • @seakodammam2285
    @seakodammam2285 3 ปีที่แล้ว

    Sikazi utaskia siku moja hakimu asema hawa hata kama wengekutwa na kosa ilikuwa watakiwa kukaa gezani miaka 10 na sasa washatumikia 8 kwa mujibu ya kifungu No 112 nawaachia huru. Ili wasipate kushtakiwa 😀😀😀

  • @mohamediidd7579
    @mohamediidd7579 3 ปีที่แล้ว

    Allah ampe kauli thabiti

  • @SA-xj8hc
    @SA-xj8hc 3 ปีที่แล้ว

    Mahabusu miaka 8! . UK kwa kosa la Ugaidi ni siku 28 maximum na makosa mengine ni 24 hours maximum.
    Nguvu kazi mnaisweka mahabusu hivyo?! Siasa za mawazo finyu Tz kweli zitakwisha?

  • @ibrahimjuma10
    @ibrahimjuma10 3 ปีที่แล้ว

    Wanahc wataishmilele ipo cku dhulma hii wanaoifanya makafir haya itafika cku yao

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 3 ปีที่แล้ว

    RIP

  • @kramsjunior4447
    @kramsjunior4447 3 ปีที่แล้ว

    R.I.P

  • @abdulbogoyo1243
    @abdulbogoyo1243 3 ปีที่แล้ว

    MWENYEZI MUNGU AKAMUADHIBU KISAWASAWA KILA YULE AMBAE ALIKUWA NI 7BU YA WATU KUKOSA HAKI ZAO.

  • @mselemhaji1969
    @mselemhaji1969 3 ปีที่แล้ว +2

    Mulioiweka juu ni mikafiri mibaguzi kishenzi Sasà watalifikiriaje swala la waislam wakati wao lengo Lao ni kudidimiza uisilamu

    • @mohdmaalim8452
      @mohdmaalim8452 3 ปีที่แล้ว

      Inshaalllah Allah atakulipa kwa kuitumia vizuri nafasi yako na kupaza sauti kutetea wanyonge.

    • @abdullaabdullahmpakanjia2336
      @abdullaabdullahmpakanjia2336 3 ปีที่แล้ว

      Kwahyo walowaweka ndani ni makafiri ama ninduguzenu waislamu

  • @fugameza6011
    @fugameza6011 3 ปีที่แล้ว

    Tatizo nadhani nyie wabunge ( watu) mnao piga keleleee kwa masheikh wa uwamsho hao walizuiliwa na ccm na tuna piga keleleee waachiwe na nanii sasa wakati wapo njiya rahisi tuwaondowe kwa hiyari kwa nguvu vyenginevyo gitaa kwa mbuzi hachezi jengine ccm wakisema kitu walio wapa jina wapinzani hicho kitu kiyama kitakuja hawafanyi hata kiwe na maslahi trillion %

  • @Munyama675
    @Munyama675 3 ปีที่แล้ว

    Hao UAMSHO ni wajinga. Wasitolewe na ikiwezekana watoswe kwenye kemikali. Walikuwa wanasambaza chuki sana za kidini. Kikwete alifanya la maana sana

    • @abdumodest5898
      @abdumodest5898 3 ปีที่แล้ว

      Laana ikukute ww kabla yao

    • @khadijahaji6341
      @khadijahaji6341 3 ปีที่แล้ว

      Hasbia llah mungu akuhukumu kwa makosa yako inshallah na ramadhani hii

    • @eddybrizzy76
      @eddybrizzy76 3 ปีที่แล้ว

      acha ujinga wako ww Hanisi wa Kiume Nakuombea Dua Wazee wako wafikwe na la kufikwa lolote ili na ww uone uchungu wa dunia...

    • @aliymaulid8941
      @aliymaulid8941 3 ปีที่แล้ว

      M/Mungu akuongoze au akuangamize

    • @ashajoj4211
      @ashajoj4211 3 ปีที่แล้ว

      Mungu akuhukumu kwa kauli yko hii

  • @truthspeaker2062
    @truthspeaker2062 3 ปีที่แล้ว +1

    Mshahara wa dhulma ni mauti. Endeleeni ivo ivo madhal sote tutakufa tutakutana uwanjani . Hv kuwaachia wale watu wakarudi kumaliza uhai wao uliobakia na familia zao ndio itafanya tanzania izame ama itakuwa vp. Ipo siri si bure . Ngoja mufe mashetani nyie mnanijuwa mnaokwamisha hii kesi .

    • @muhammedkhamis1407
      @muhammedkhamis1407 3 ปีที่แล้ว

      Inauma Sana Inaumiza Sana Inasikitisha Sana Mpaka Leo Miyaka 8 Wanakunya Ujigerezani Allah Atawalipa Hapa Hapa Duniyani Kila Aliye Wazulimu Mashekhe Wetu Hata Kwa Kuchangia Neno Tu Kabla Yakufa Yeye Insha Allah 🤲🤲😭😭