KUACHIWA KWA MBOWE CHADEMA WATOA TAMKO KALI | WANAZUIWA WASISEME | KULINGWANISHWA NA KENYA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ย. 2024
  • Facebook: / earadio
    Twitter: / earadiofm
    Subscribes: / @eastafricaradio

ความคิดเห็น • 195

  • @bukeyyerawadh1725
    @bukeyyerawadh1725 29 วันที่ผ่านมา +5

    Huyu Kigaila bado hajawajuwa hawa wenye hii radio ni machawa wa CCM

  • @pmfalila
    @pmfalila 29 วันที่ผ่านมา +6

    Hatuna waandishi kwa kweli!

  • @rejobu9723
    @rejobu9723 29 วันที่ผ่านมา +13

    Wantangazazi wote mmeniangusha yaani mmeonyesha uwezo wenu wa kuhoji maswali yamsingi hamna!

    • @frankmaeda4284
      @frankmaeda4284 29 วันที่ผ่านมา

      Waandishi ubwabwa hawajui wanachohoji angali wao ni vijana. Chawaaa

    • @mutabebwa-bm6pm
      @mutabebwa-bm6pm 28 วันที่ผ่านมา

      Ni kweli hamna. Inaelekea uwelewa ni mdogo. Uwelewa ukiwa mdogo hata uulizaji wa maswali unakuwa ni mgogoro.

  • @mpendamema3694
    @mpendamema3694 29 วันที่ผ่านมา +4

    Beni kigaila ni chuma ❤❤

  • @sofiamsuya2254
    @sofiamsuya2254 29 วันที่ผ่านมา +4

    Wakenya hawana waandishi wa habari hovyo kama hawa

  • @ernestkibada3845
    @ernestkibada3845 29 วันที่ผ่านมา +4

    Kwa kweli watangazaji wetu uwezo wao no mdogo Sana hawana uwezo wa kuhoji Hilo ni tatizo kubwa,uwezo mdogo sana

  • @robertzingu9889
    @robertzingu9889 29 วันที่ผ่านมา +1

    Ila maswali ya waandishi wa habari wa Kibongo ni kama hawakwenda shule vile. Uwezo wao mdogo sana..!

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 29 วันที่ผ่านมา +6

    FANYENI STUDIO KUWA SEHEMU YA MAANA MZIKI HUO NI WA NINI

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 29 วันที่ผ่านมา +1

      Wanaifanya studio kama kuna Disco huu ni ujinga jamani 😂😂😂😂 kelele za watu na za music...

  • @exaudmohamed736
    @exaudmohamed736 29 วันที่ผ่านมา +4

    Nimefurahishwa na mjadala wa maswali nimeelewa kitu Fulani angalauu Asante redio Asante kigaila

  • @user-hu9bf7nw4c
    @user-hu9bf7nw4c 28 วันที่ผ่านมา +1

    Watangazaj wanataka watake kujibiwa wanavyotaka wao ,kwa swala la kutetea Chama Cha ccm

  • @user-sy5lx7el4z
    @user-sy5lx7el4z 29 วันที่ผ่านมา +2

    Yani waandishi hawajui hata kuandamana ni haki na ipo kikatiba wao Wana ng'ang'ania 4R ya mama tu ndo kama vile imeruhusu maandamano so sad for country kama wasomi wenyewe tulio nao ndo kama Hawa,wapo kwenye media kubwa

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 29 วันที่ผ่านมา

      Hawana upeo na ndio shida ya watanzania wengi. Pia hakuna Elimu ya uraia infact since Mwalimu tulifanywa vipofu

    • @user-sy5lx7el4z
      @user-sy5lx7el4z 29 วันที่ผ่านมา

      @@leokamil6284 kabisa

  • @sadhamis5463
    @sadhamis5463 29 วันที่ผ่านมา +1

    TATIZO LA TANZANIA WANA HABARI NI MASHABIKI WA CHAMA FURANI NA NI MASHABIKI WA CHAMA FURANI NDIYO MAANA HUWA AWAWEZI KUKEMEA WAO WANASHABIKIA TU.

  • @makeyhunter2006
    @makeyhunter2006 29 วันที่ผ่านมา +2

    Ukiwasikiliza watangazaji lazima ukasirike. Uwezo mdogo plus uchawa ndani yake. Pumbavu kabisa

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 29 วันที่ผ่านมา +2

    Walitaka wajadiliane ili kila kijana atowe shida zao ili waweze kutafuta matatizo yao ili waweze kuyajadili. Sasa watajuaje hatima yao wakati hawajadili kwa pamoja waweze kujadili kwa pamoja waweze kutafuta hatima ya viongozi hata hawa waandishi wametumwa pia.

  • @Zenny89
    @Zenny89 29 วันที่ผ่านมา +1

    East Africa radio ni ya Serikali..Mzee wa watu anapoteza nguvu tuu kuongea nao.

  • @WazaeliStefano
    @WazaeliStefano 29 วันที่ผ่านมา +5

    Nyie waandishi mnajua kiswahili kwelii

    • @daudibukuku6490
      @daudibukuku6490 29 วันที่ผ่านมา

      Pamojaaaaaaa!!!

    • @daudibukuku6490
      @daudibukuku6490 29 วันที่ผ่านมา

      Waandishi daaa!! Mkiulizwa swali hamjibu

  • @LuciaAgustino-pt5mg
    @LuciaAgustino-pt5mg 29 วันที่ผ่านมา +1

    Uko vizuri Kwa maneno ya makini

  • @bezalelmbijima8182
    @bezalelmbijima8182 29 วันที่ผ่านมา +1

    Kwa nini usiulize walioqakamata unawauliza waliokamatwa uandishi uchwara tu huu. Ungewauliza Polisi uliowasikia uoga wa nini ninyi waandishi.

  • @ZainabuHassan-uk2zt
    @ZainabuHassan-uk2zt 29 วันที่ผ่านมา +4

    Chadema hatokagi fara

  • @elibarikimbise1896
    @elibarikimbise1896 29 วันที่ผ่านมา +2

    Nyie waandishi ni sifuri mtu mmoja mapambana naye kwa maswali hii inaonyesha nyie hamjielewi

  • @daudkondo4069
    @daudkondo4069 29 วันที่ผ่านมา +2

    Hawa watangazaji siwaelewi , ufahamu wao kichwani

  • @bukeyyerawadh1725
    @bukeyyerawadh1725 29 วันที่ผ่านมา +2

    Halafu wako hapo kujipendekeza na kujikomba kwa CCM

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 29 วันที่ผ่านมา +2

    Hawa waandishi kwani mstakabali ni kutojua maana ya maneno haya mawili hamyajui? Mbona mnamtaabisha huo mnayemuuluza? Mbona hamfuati huyo mkubwa wa polisi wajibu kwa nini aliwashika hao watukufanywa watumwa katika Inchini kwetu? Kwahiyo sasa Kwahiyo Katibu wa CCM ndiyo aliwagiza kuwafanyia hivyo wana CHADEMA?

  • @gaspermatee3970
    @gaspermatee3970 29 วันที่ผ่านมา +1

    Bravo kigaila weldone baba

  • @josephatkajange8714
    @josephatkajange8714 29 วันที่ผ่านมา +2

    Redio zingine bwana!

    • @mwalyoyoalexander2758
      @mwalyoyoalexander2758 28 วันที่ผ่านมา

      Yaani hawa waandishi wamepewa script, hawataki kuuliza maswali nje ya script. Yaani wanachotaka kijibiwe ndicho wanachokomaa nacho, hawataki kujiongeza. Huu ni upuuzi wa hali ya juu sana. Dr. Nchimbi na Mnyika wana nafasi sawa (Makatibu wa Vyama Vyao). Je Mnyika anaweza kuagiza polisi (dola) wawaachie watuhumiwa?

  • @SeverinMagwaya
    @SeverinMagwaya 29 วันที่ผ่านมา +2

    Mchimbi ana mamlaka gani ya kuwaelekeza police kuwaachia chadema!!

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 29 วันที่ผ่านมา

      Ni yeye aliwaweka Kwa hiyo ana mamlaka kuwatoa. Nchi ngumu sana hii

  • @SakinaHassan-xc2in
    @SakinaHassan-xc2in 29 วันที่ผ่านมา +3

    Hawajaenda shule hawa wasndishi pia chadema kuna watu wa kuijenga nchi

    • @philemonsnyanda9450
      @philemonsnyanda9450 29 วันที่ผ่านมา

      Siku hizi hakuna wandishi wa habari bali makanjanja

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 29 วันที่ผ่านมา +2

    Huyo Dada ni CCM

  • @jamesjahasa3348
    @jamesjahasa3348 29 วันที่ผ่านมา +1

    Tuliosoma Cuba tunaelewa ambacho kingefanyika mbeya

  • @Zenny89
    @Zenny89 29 วันที่ผ่านมา +1

    Polisi wa Tanzania ni MACHANGUDOA wa CCM!!! Wakiambiwa Ruka!!! WanaRuka!!!😆

  • @timothbenard8213
    @timothbenard8213 29 วันที่ผ่านมา +3

    Watangazaji wahovyo

  • @thobiasmarandu214
    @thobiasmarandu214 29 วันที่ผ่านมา +1

    Takataka Hizi

  • @abbynimel-kindy5107
    @abbynimel-kindy5107 29 วันที่ผ่านมา +2

    Hawa waandishi wote machoko.. Hamujuwi Maana Kujadili Hatma nyinyi mbwa wakubwa nyinyi waandishi hamjasoma nin wapumbavu wakubwa..

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 28 วันที่ผ่านมา +1

    Elimu ndogo sana sana . Mnapataje hizi ajira?

  • @josiahsimon5333
    @josiahsimon5333 29 วันที่ผ่านมา +1

    Waandishi Bana kazi tunayo

  • @CHARLESKINYALA
    @CHARLESKINYALA 29 วันที่ผ่านมา +1

    Na ninyi waandishi jinsi mnvyohoji ni kama mnaonekana mnafanya kana kwamba mnataka kulazimisha kauli ya Hatima ni kama vita, pia kwa mnavyoonekana ni kama mna hofu na mamlaka kumbukeni ninyi mnatakiwa kusimama kwenye sheria si kulemea upande fulani.

  • @RahmaMwamwezi
    @RahmaMwamwezi 29 วันที่ผ่านมา +1

    Walijua wanatufukuza kumbe wanatusindikiza kila mtu aone sasa acha tuzidi kuipendaaa chadema yetu japo ulikuwa wakati mgumu kwetu

  • @RevocatusKitambi
    @RevocatusKitambi 29 วันที่ผ่านมา +2

    Wahandish wa 2024

  • @PASCALJUMANNE-s7w
    @PASCALJUMANNE-s7w 29 วันที่ผ่านมา +1

    Kuanzia leo unikuti naskiliza hii redio anauliza maswali kinafki sana tangu afariki mwenyewe

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 29 วันที่ผ่านมา +2

    Kigaila usipoteze muda kuongea nawatu ambao wana maslahi yao wanayo yajua.

  • @user-ub1yx5vc8b
    @user-ub1yx5vc8b 29 วันที่ผ่านมา +5

    Ninyi east Africa radio acha unafiki

  • @pablo_066
    @pablo_066 29 วันที่ผ่านมา +1

    Hawa kwa kupata iki kibarua cha utangazaji wanadhani matatizo ya wengine hayawahusu akili zao ni kuwaza tu kujipwndekeza labda ili kuvizia teuzi. So disgusting

  • @irenemwanja3800
    @irenemwanja3800 29 วันที่ผ่านมา +1

    Mbe wanahabari wetu sio waelewa kiasi hicho. Sikuamini warudi darasani na wakasome sheria

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x 29 วันที่ผ่านมา +1

    Hivi vijitu vya east Africa
    Nimewagundua Toka John heche na peter msigwa akiwa chadema walifanyiwa mdahalo na east Africa aisee ndipo NILIPOANZA kujua Hawa ni wasenge

  • @Farida-jx5nz
    @Farida-jx5nz 28 วันที่ผ่านมา

    Nyinyi watangazaji wanafiki mnahoji maswali wakt uharisia mnujuwa ....huo ni uchochezi

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 29 วันที่ผ่านมา +2

    Nyie watangazaji. Ni mafisi em. Kakojoeni mlale mungesubir waitamuke hiyo hatima yao msilazimishe

  • @danielkanso
    @danielkanso 29 วันที่ผ่านมา +1

    Waandishi uchwara hawa

  • @jimmyluhende5417
    @jimmyluhende5417 29 วันที่ผ่านมา +1

    Kwa hiyo Polisi wakiona kuna kiashria cha uvunjifu wa amani unakamata wenye jambo au unaongeza nguvu kullwalinda wahusika wenye jambo ?

  • @pablo_066
    @pablo_066 29 วันที่ผ่านมา

    Ukiwasikiliza hawa watangazaji wa tz ys leo utajua kiasi gani cha ukasuku na uchawa ulivyojaa kwenye jamii yetu

  • @JuliusMhina
    @JuliusMhina 29 วันที่ผ่านมา

    Waandishi hawajui maana ya mustakabali

  • @JacksonMartin-pb2vq
    @JacksonMartin-pb2vq 29 วันที่ผ่านมา

    Ila sister Kissa umewazidi mbali sana uwezo wa kufikiri hao jamaa studio

  • @giztony2009
    @giztony2009 28 วันที่ผ่านมา

    Akili mingi aise bado nashangaa weledi wa viongozi wa chadema hata hawa ambao hawajulikani mwaipaya, pambalu, james mboye, huyu kigaila wasikilize kwanza niliowataja hawana majina chadema ila wanaakili mingi kigailaaa! Brilliant

  • @maggiehiza5884
    @maggiehiza5884 29 วันที่ผ่านมา

    Hawa watangazaji wanakupotezea muda. Achana na machawa hawa.

  • @leoncebenjamin8107
    @leoncebenjamin8107 29 วันที่ผ่านมา

    Nyie waandishi kwani hamna mstakabali wa maisha yenu?

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 29 วันที่ผ่านมา +1

    Hakuna Maombi ni amri ...hiyo mkasome protocol za uongozi...Ile ni amri ndio maana waziri alijibu nimepokea mkuu

  • @maikonyondo-gr7gd
    @maikonyondo-gr7gd 28 วันที่ผ่านมา

    Hanna waandishi hapo

  • @FabianPhene
    @FabianPhene 29 วันที่ผ่านมา

    Nyie watu wa redio, (Vyombo vya habari) acheni ujinga, sometimes mnauliza maswali yakipuuzi, au mnaogopa kukamatwa na nyie? Maana maswali yenu yanaonekana dhahiri yanaegemea upande mmoja, jitathminini acheni ujinga

  • @bukeyyerawadh1725
    @bukeyyerawadh1725 29 วันที่ผ่านมา

    Na hapo wanamsanif na kumpotezea muda wake

  • @JacksonMartin-pb2vq
    @JacksonMartin-pb2vq 29 วันที่ผ่านมา

    Hakuelekeza mbona mashirika mengi yameelekeza watolewe ila ccm waliomba tena ni wa mwisho kabisa hapo chadema ila nimeelewa nia ilikuwa nini

  • @frankcharles3980
    @frankcharles3980 29 วันที่ผ่านมา +1

    HIRI RADIO TUMEPIGWA NI ZILO TU MATANGAZAJI NIVICHWA HASARA PORENI SANA

  • @user-uz9mw1ie6z
    @user-uz9mw1ie6z 29 วันที่ผ่านมา

    Nimesikia kiongozi wa ccm ametoa kauli VIONGOZI wa CHADEMA na wananchi waliowekwa ndani waachiwe ! Ccm wanahusikaje ktk hili ni vizuri wakatoa maelezo. TAIFA hili litaangamia kwa kukosa watu wenye HEKIMA.... Haki ya kikatiba haiwezi kuwa ni Mali ya ma-ccm na machawa wao eti eeh! When we lose our Fear they lose their Power...
    Let's stand and fight for our Right muda unakimbia haraka . KATIBA MPYA ni sasa na TUME HURU YA UCHAGUZI ni sasa.

  • @elibarikimbise1896
    @elibarikimbise1896 29 วันที่ผ่านมา

    Hivyo ndo vichwa vinapaswa kuongoza nchi

  • @jimmyluhende5417
    @jimmyluhende5417 29 วันที่ผ่านมา

    eastafrica, kuna mtoto kafanyiwa ukatili (gandrape) lini mnawapigia simu wahusika na kujadiliana nao kwa nguvu kama hii hii ?

  • @pitosjuma7224
    @pitosjuma7224 29 วันที่ผ่านมา

    Nyie waandishi vipi mbona mnatia shaka,

  • @sofiamsuya2254
    @sofiamsuya2254 29 วันที่ผ่านมา

    Naomba cv za waandishi😂😂😂

  • @user-sy5lx7el4z
    @user-sy5lx7el4z 29 วันที่ผ่านมา

    Ndo waandishi wetu hawa

  • @JackKanyigo
    @JackKanyigo 29 วันที่ผ่านมา

    Hawa waandishi ni wa hivyo na nimeanza kuidharau Eastafrica radio hamna watu humu

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v 28 วันที่ผ่านมา

    Hao mnaowakamata kesho wakija kuongoza nchi itakuwaje?.

  • @eliah1993
    @eliah1993 29 วันที่ผ่านมา +3

    Jembe hilo chadema hakuna mtu kama huyo

    • @abdullahmasakata170
      @abdullahmasakata170 29 วันที่ผ่านมา

      Wale wengine ni manini Kama huyo ndio mtu pekee pale? Au mahaba yamekushika ukapaliwa?

  • @user-sl7mi8vc9b
    @user-sl7mi8vc9b 28 วันที่ผ่านมา

    Watangazaji wanajikana wenyewe, Yani wameona wamejipata au ndo kibarua kisiote nyasi

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj 29 วันที่ผ่านมา

    Hawa watangazaji ni hovyo hawajui hata msamiati wa hatma .au ni vibaraka?kwani kujadili hatma ya nchi ni makosa .?sasa nchi itaendeleaje bila kujadili badae yake

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 29 วันที่ผ่านมา

    Watangazaji vijana wanaojitoa fahamu kwamba hawajui changamoto zinazowakabili vijana, unafiki uliojaa akili za kitoto.

  • @yosephatMasanyiwa-oh1rl
    @yosephatMasanyiwa-oh1rl 29 วันที่ผ่านมา +1

    Mmeona Kigaila alivyowakojolesha sasa😂😂😂

  • @salimamri6738
    @salimamri6738 29 วันที่ผ่านมา

    Hawa wanahabari hawajielewi.Hasa huyu binti.

  • @user-fl3fb5gh6b
    @user-fl3fb5gh6b 29 วันที่ผ่านมา

    Wapumbavu tu Chadema

  • @REUBENIMWAMBUJULE
    @REUBENIMWAMBUJULE 29 วันที่ผ่านมา +2

    Est Africa Kuna namna hamko sawa kwenye kuhoji mjitafakali lakini pia ongezeni kusoma

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 29 วันที่ผ่านมา

    Hawa waandishi ni wanauliza maswali haya wauliza maswali ni wachawa.

  • @emmanuelmwakyoma5746
    @emmanuelmwakyoma5746 29 วันที่ผ่านมา

    Waandishi mnauliza uzushi kama police

  • @ZaidAKissinza
    @ZaidAKissinza 29 วันที่ผ่านมา

    Hao wanaouliza maswali ni zeroooooooooooooooo

  • @mussakilo4916
    @mussakilo4916 29 วันที่ผ่านมา

    Hahahaaaaa hawa jamaaaa bhana ooo ngojj nipitie

  • @dizzytv7981
    @dizzytv7981 29 วันที่ผ่านมา

    Hii radio ya hovyo

  • @MustaphaSeleman-z7c
    @MustaphaSeleman-z7c 29 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂 uyo kigaira noma 😅😅

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 29 วันที่ผ่านมา

    Pia lindeni ikama ya uandishi na utangazaji

  • @ivanrobert3071
    @ivanrobert3071 29 วันที่ผ่านมา

    Hutana kbsa Waandishi wa habari hasa huyo dada hafai kbsa kuwa mwandishi sioni hata sifa moja alonayo angalau kwa mbaaali hao Jamaa wawili ila kwa ujumla tu waandishi Bongo hii unaweza bahatisha 2 tu wa maana

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 29 วันที่ผ่านมา

      Hakuna waandishi Bongo ni wababaishaji tu, wanauliza maswali ya kipuuzi hata wakijibiwa hawataki. Wote machawa WA Mama au wanaogopa CCM na serikali yake

  • @EzekielChalomhola
    @EzekielChalomhola 29 วันที่ผ่านมา

    Yaan nyie waandishi wa habari hamna hoja kabisa mnakosa maswali ya msingi ya kuuliza

  • @user-ev5xw1ev6f
    @user-ev5xw1ev6f 29 วันที่ผ่านมา

    Chadema hamna kitu njaa tu

  • @MaridadiBakari
    @MaridadiBakari 29 วันที่ผ่านมา

    Kinacho niuma waandishi mmekuwa machawa sana

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 29 วันที่ผ่านมา

    Hatuna waandishi😢😢

  • @user-ub1yx5vc8b
    @user-ub1yx5vc8b 29 วันที่ผ่านมา

    Don't ask questions

  • @AlexMlaba
    @AlexMlaba 29 วันที่ผ่านมา

    Wana habari msiwe chawa wa ccm hayo maswali mbona hukuwauliza ccm agenda ya mkutano wao

  • @JackKanyigo
    @JackKanyigo 29 วันที่ผ่านมา

    Wanawaza teuzi ni machawa hawa waandishi pumbafu zao

  • @user-hu6kw7rk2h
    @user-hu6kw7rk2h 29 วันที่ผ่านมา

    Huyu kigaila anatakiwa hache siasa ni mzee

  • @GABRIELGAVU-vf7cn
    @GABRIELGAVU-vf7cn 29 วันที่ผ่านมา

    Watangazaji fafuteni maada za kuwezesha vijana kiuchumi. Kwa maswali haya. Haina haha ya kuwepo kwenu

  • @daudibukuku6490
    @daudibukuku6490 29 วันที่ผ่านมา

    Kigaila heshima kwako kwa majibu mazuri!!!!!

  • @AishaShaban-x4m
    @AishaShaban-x4m 29 วันที่ผ่านมา

    Yaan nyinyi wandishi naona hamuoji ya msingi

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 29 วันที่ผ่านมา

    Nanyinyi niwaandishi wa habari??

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd 29 วันที่ผ่านมา

    Kwani hatima ni mabaya au kiswahili kigumu

  • @bukeyyerawadh1725
    @bukeyyerawadh1725 29 วันที่ผ่านมา

    Radio yenu nyie wala haina ladha

  • @SalumKombo-sf5gs
    @SalumKombo-sf5gs 29 วันที่ผ่านมา

    kigaila hao waandishi weupe unaumiza akili Yako tu

  • @allyshaban406
    @allyshaban406 29 วันที่ผ่านมา

    Hawa nao ni walewale,