Nimempenda sana huyu mtaalamu, ni muhimu Kwa afya katika kujikinga na magonjwa. Wanao tusabishia magonjwa wao wanajenga UCHUMI WAO KWA KUUZA MADAWA. Napenda nipate nafasi ya kuonana naye.
Hakuna vyakula asili kwa dunia ya leo, kilicho baki asili, ni ubuyu,mrenda poli, ukwaju basi!! Vyote vilivobaki ni hatari kubwa sana,, na tuki ishi miaka 45-50, inatosha sana.
Ama kwa hakika ndongaliishi kw usafi wa nafsi na Imani za kiroho ,maneno yetu na maisha yetu yasingalitupotosha tukaenda sivo ,tumfuate Mtume kiukweli sio kumtajatu
Unajuaa mm Niko Tanzania baraa sijawahi kumsikia mtanganyika hata mmoja akawahi kumsifu mzanzibari hata amfanyie jemaa yaani mtanganyika sijui anaugomvi gani na mzanzibari unajuaa sielewi kosa la wazanzibari kwa watanganyika
@@user-qr7et3vl5z natangu lini m Zanzibar akamsifia tz kl siku wabongo hawana madili Wana eaharibia nchi yawazenj na wazungu Hawa julikani nakumbeliwat ni zambi kubwawameianzisha wazenj
Kweli sheikh viwanda vipo vya kutengeneza mayai ... wallah tumuombe Allah atuhifadhi na atulinde na vizazi vyetu amiiiiiin.... Hali nibaya sannaa
Nimempenda sana huyu mtaalamu, ni muhimu Kwa afya katika kujikinga na magonjwa. Wanao tusabishia magonjwa wao wanajenga UCHUMI WAO KWA KUUZA MADAWA. Napenda nipate nafasi ya kuonana naye.
Shukran sana sheikh wetu
UKo sawa sheikh,hawa viongozi wanatumaliza
Hongera dk ABUU KHALID kwa kutufumbua macho tunaumia kwa kweli
Sahihi kabisa ustadh
Masha allah beautiful speech
Akuna Kitu Kizur Kama Kupata Darasa Nakushukuru Sana Dr Kuanzia Leo Itakuwa Mwisho Kula Vitu Visivyo Vya Asili.....
Hakuna vyakula asili kwa dunia ya leo, kilicho baki asili, ni ubuyu,mrenda poli, ukwaju basi!! Vyote vilivobaki ni hatari kubwa sana,, na tuki ishi miaka 45-50, inatosha sana.
Shukrani sana!
Mashaallah
Subhana Allah Laa illa Haillallah 😭😭😭😭
Tupooooo tupooo kwa kweli mtihan... Yarrab atupe mwisho mwema
Umesema kweli
Ama kwa hakika ndongaliishi kw usafi wa nafsi na Imani za kiroho ,maneno yetu na maisha yetu yasingalitupotosha tukaenda sivo ,tumfuate Mtume kiukweli sio kumtajatu
Na kwanini mpaka inafikia nchi I aruhusu kuingiza vibudu kutoka ulaya. Utasikia kutoka Poland ambapo kuchinja mfungo kwao ni kosa la jinai
Upo sa hh tuna kala kk hawaja chinjwa kisheria mtihan
Wee wazanzibari tupo na nguvu CNA mbona musiseme hatuna nguvu wewe 😊
AmBAR anapinga ni kati ya hao wafanya biasha na vibaraka wa wazungu mashoga na watumwa wa marekani
kwani hawa viongozi wetu sio waislamu?.. Hivo ni kweli watu wanalishwa mizoga na serikali hii?. Hee hili balaa.
Inna lillah wainna illaih Rajiuun eeee.... Viongoz mtaulizwa yaumu l-kiyama ....tunaingiziwa vitu chemical tupu na nyie mpooo kimpya .... mtaulizwa
Alokwenda kwa mtume ni julaybib
Elimu nzur
Sasa izo kuku mbona ndo zimejaa Omani
Sadakta shekhe umepatia lakini na Mafuta ya madumuni hayo oki na samli za praide vyote hiyo bandia
Waafrica tujitambue.tumekuwa majaa kwamamboyote.
Acha utapeli
Kumbe tunajiuwa wenyewe.hawa KUKU kawaida yake ni miezi 6..leo ni siku 22😂 na sio miezi 3? Badi n8 sumu kubwa
Kabisa dokta mchele kma kitumbo wallah nimeula ni mtam sana ukipata mafuta ya kutosha bila mboga unakula tu
Mnaocoment ujinga m naona ni walevi
Nauliza kuku wa peduu ni nini? Mtufafanulie
Kweli mm nafuga hao kuku siku22 tu kashakuwa wakuwa tena kuku wengj kweli wanafika hata kuku milion 5 kwa mwezi twazalisha
Yaniweukijiunga nadaimondi mutafikambi kwaniunakipaji chausanii
Unapatikana wapi
Bububu kijichi Zanzibar kituo kinaitwa Mnarani
Tunanguvu Kam myama
Maneno yake niukweli wakutosha mno ,fata maneno yake
Ndomaana wa Zanzibar hawana nguv za kiume wengine wao
Unajuaa mm Niko Tanzania baraa sijawahi kumsikia mtanganyika hata mmoja akawahi kumsifu mzanzibari hata amfanyie jemaa yaani mtanganyika sijui anaugomvi gani na mzanzibari unajuaa sielewi kosa la wazanzibari kwa watanganyika
@@user-qr7et3vl5z natangu lini m Zanzibar akamsifia tz kl siku wabongo hawana madili Wana eaharibia nchi yawazenj na wazungu Hawa julikani nakumbeliwat ni zambi kubwawameianzisha wazenj
Na mm nime ka zanj wa bong wanasemwavibaya San baaz ya wazenj hawajui km tz wanawpend nakuwakaribishabilakinyong wanaubaguzi uli pinfulia
Kwani kusema wazenj hawan ngu nikuwasemavibaya? Huo ndooukweli wapunguzenakulaurojo unawamaliza kbs uto tungu tudg😀
😂
We siyo mganga wala nini hata ukweli pia umekushinda itoshe tu nikikuambia we muhuni muongo, na ukimwi kutuchafulia lugha yetu ya kiarabu.
M
We utakuwa kafiri huwezi kumdhalilisha kuongozi wako wa dini
Hata km yy sio mganga lkn alichokiongea km unaakili timamu unaelewa alichokiongea.
Acha ujinga kiarabu ni lugha yako
Lugha yko Kiswahili