MUSILE KUKU WAPEDUU WATA KUULIYA FAMILIA YAKO | DR ABUU KHALID

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 ส.ค. 2024
  • #AdilTV

ความคิดเห็น • 72

  • @user-fq1gg8rj9i
    @user-fq1gg8rj9i หลายเดือนก่อน +3

    Kweli sheikh viwanda vipo vya kutengeneza mayai ... wallah tumuombe Allah atuhifadhi na atulinde na vizazi vyetu amiiiiiin.... Hali nibaya sannaa

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud3634 หลายเดือนก่อน +4

    Nimempenda sana huyu mtaalamu, ni muhimu Kwa afya katika kujikinga na magonjwa. Wanao tusabishia magonjwa wao wanajenga UCHUMI WAO KWA KUUZA MADAWA. Napenda nipate nafasi ya kuonana naye.

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq 13 วันที่ผ่านมา

    Shukran sana sheikh wetu

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s หลายเดือนก่อน +4

    UKo sawa sheikh,hawa viongozi wanatumaliza

  • @RauhiaJuma-m8n
    @RauhiaJuma-m8n หลายเดือนก่อน +1

    Hongera dk ABUU KHALID kwa kutufumbua macho tunaumia kwa kweli

  • @user-gu1xf3zc7z
    @user-gu1xf3zc7z 21 วันที่ผ่านมา

    Sahihi kabisa ustadh

  • @SadikKhamis
    @SadikKhamis หลายเดือนก่อน

    Masha allah beautiful speech

  • @baizobaizo6638
    @baizobaizo6638 หลายเดือนก่อน +1

    Akuna Kitu Kizur Kama Kupata Darasa Nakushukuru Sana Dr Kuanzia Leo Itakuwa Mwisho Kula Vitu Visivyo Vya Asili.....

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 26 วันที่ผ่านมา

      Hakuna vyakula asili kwa dunia ya leo, kilicho baki asili, ni ubuyu,mrenda poli, ukwaju basi!! Vyote vilivobaki ni hatari kubwa sana,, na tuki ishi miaka 45-50, inatosha sana.

  • @user-pw8ml6ts8r
    @user-pw8ml6ts8r หลายเดือนก่อน

    Shukrani sana!

  • @SapaJrsine-rf3qe
    @SapaJrsine-rf3qe หลายเดือนก่อน

    Mashaallah

  • @user-fq1gg8rj9i
    @user-fq1gg8rj9i หลายเดือนก่อน

    Subhana Allah Laa illa Haillallah 😭😭😭😭

  • @user-fq1gg8rj9i
    @user-fq1gg8rj9i หลายเดือนก่อน +1

    Tupooooo tupooo kwa kweli mtihan... Yarrab atupe mwisho mwema

  • @user-bg2yc4kw9k
    @user-bg2yc4kw9k หลายเดือนก่อน +2

    Umesema kweli

  • @maryamsuleiman6340
    @maryamsuleiman6340 หลายเดือนก่อน

    Ama kwa hakika ndongaliishi kw usafi wa nafsi na Imani za kiroho ,maneno yetu na maisha yetu yasingalitupotosha tukaenda sivo ,tumfuate Mtume kiukweli sio kumtajatu

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu หลายเดือนก่อน +3

    Na kwanini mpaka inafikia nchi I aruhusu kuingiza vibudu kutoka ulaya. Utasikia kutoka Poland ambapo kuchinja mfungo kwao ni kosa la jinai

    • @OmanOma-xi3hm
      @OmanOma-xi3hm หลายเดือนก่อน

      Upo sa hh tuna kala kk hawaja chinjwa kisheria mtihan

  • @user-wc9vd7dg9o
    @user-wc9vd7dg9o หลายเดือนก่อน +1

    Wee wazanzibari tupo na nguvu CNA mbona musiseme hatuna nguvu wewe 😊

  • @izamahmasaki4795
    @izamahmasaki4795 หลายเดือนก่อน +1

    AmBAR anapinga ni kati ya hao wafanya biasha na vibaraka wa wazungu mashoga na watumwa wa marekani

  • @feiz3180
    @feiz3180 หลายเดือนก่อน +2

    kwani hawa viongozi wetu sio waislamu?.. Hivo ni kweli watu wanalishwa mizoga na serikali hii?. Hee hili balaa.

  • @user-fq1gg8rj9i
    @user-fq1gg8rj9i หลายเดือนก่อน +2

    Inna lillah wainna illaih Rajiuun eeee.... Viongoz mtaulizwa yaumu l-kiyama ....tunaingiziwa vitu chemical tupu na nyie mpooo kimpya .... mtaulizwa

  • @fatmaabdi7192
    @fatmaabdi7192 หลายเดือนก่อน +1

    Alokwenda kwa mtume ni julaybib

  • @SuleimanRajab-fc6xh
    @SuleimanRajab-fc6xh หลายเดือนก่อน +1

    Elimu nzur

  • @rosemary3816
    @rosemary3816 27 วันที่ผ่านมา

    Sasa izo kuku mbona ndo zimejaa Omani

  • @MkambaSaleh-kr7pi
    @MkambaSaleh-kr7pi 28 วันที่ผ่านมา

    Sadakta shekhe umepatia lakini na Mafuta ya madumuni hayo oki na samli za praide vyote hiyo bandia

  • @user-zn7vw3pj6p
    @user-zn7vw3pj6p 19 วันที่ผ่านมา

    Waafrica tujitambue.tumekuwa majaa kwamamboyote.

  • @user-tu2ne7so3b
    @user-tu2ne7so3b หลายเดือนก่อน +1

    Acha utapeli

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 25 วันที่ผ่านมา

    Kumbe tunajiuwa wenyewe.hawa KUKU kawaida yake ni miezi 6..leo ni siku 22😂 na sio miezi 3? Badi n8 sumu kubwa

  • @Ayuminchasi
    @Ayuminchasi หลายเดือนก่อน

    Kabisa dokta mchele kma kitumbo wallah nimeula ni mtam sana ukipata mafuta ya kutosha bila mboga unakula tu

  • @abdillahmchia8557
    @abdillahmchia8557 หลายเดือนก่อน

    Mnaocoment ujinga m naona ni walevi

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 หลายเดือนก่อน

    Nauliza kuku wa peduu ni nini? Mtufafanulie

  • @HamzaMakame-vm2tm
    @HamzaMakame-vm2tm 29 วันที่ผ่านมา

    Kweli mm nafuga hao kuku siku22 tu kashakuwa wakuwa tena kuku wengj kweli wanafika hata kuku milion 5 kwa mwezi twazalisha

  • @AbeidMabrouk-yu7iy
    @AbeidMabrouk-yu7iy หลายเดือนก่อน

    Yaniweukijiunga nadaimondi mutafikambi kwaniunakipaji chausanii

  • @AbdalaRamadhani-by6bt
    @AbdalaRamadhani-by6bt หลายเดือนก่อน

    Unapatikana wapi

    • @seifhabib5987
      @seifhabib5987 หลายเดือนก่อน

      Bububu kijichi Zanzibar kituo kinaitwa Mnarani

  • @user-wc9vd7dg9o
    @user-wc9vd7dg9o หลายเดือนก่อน

    Tunanguvu Kam myama

  • @maryamsuleiman6340
    @maryamsuleiman6340 หลายเดือนก่อน

    Maneno yake niukweli wakutosha mno ,fata maneno yake

  • @OmanOma-xi3hm
    @OmanOma-xi3hm หลายเดือนก่อน

    Ndomaana wa Zanzibar hawana nguv za kiume wengine wao

    • @user-qr7et3vl5z
      @user-qr7et3vl5z หลายเดือนก่อน +3

      Unajuaa mm Niko Tanzania baraa sijawahi kumsikia mtanganyika hata mmoja akawahi kumsifu mzanzibari hata amfanyie jemaa yaani mtanganyika sijui anaugomvi gani na mzanzibari unajuaa sielewi kosa la wazanzibari kwa watanganyika

    • @OmanOma-xi3hm
      @OmanOma-xi3hm หลายเดือนก่อน +1

      @@user-qr7et3vl5z natangu lini m Zanzibar akamsifia tz kl siku wabongo hawana madili Wana eaharibia nchi yawazenj na wazungu Hawa julikani nakumbeliwat ni zambi kubwawameianzisha wazenj

    • @OmanOma-xi3hm
      @OmanOma-xi3hm หลายเดือนก่อน +1

      Na mm nime ka zanj wa bong wanasemwavibaya San baaz ya wazenj hawajui km tz wanawpend nakuwakaribishabilakinyong wanaubaguzi uli pinfulia

    • @OmanOma-xi3hm
      @OmanOma-xi3hm หลายเดือนก่อน

      Kwani kusema wazenj hawan ngu nikuwasemavibaya? Huo ndooukweli wapunguzenakulaurojo unawamaliza kbs uto tungu tudg😀

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 หลายเดือนก่อน

      😂

  • @muhammadkifakara2573
    @muhammadkifakara2573 หลายเดือนก่อน +5

    We siyo mganga wala nini hata ukweli pia umekushinda itoshe tu nikikuambia we muhuni muongo, na ukimwi kutuchafulia lugha yetu ya kiarabu.

    • @khadejakhadeja9713
      @khadejakhadeja9713 หลายเดือนก่อน

      M

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 หลายเดือนก่อน +2

      We utakuwa kafiri huwezi kumdhalilisha kuongozi wako wa dini

    • @salmamohd3913
      @salmamohd3913 หลายเดือนก่อน +3

      Hata km yy sio mganga lkn alichokiongea km unaakili timamu unaelewa alichokiongea.

    • @baytumuqqaddas
      @baytumuqqaddas หลายเดือนก่อน

      Acha ujinga kiarabu ni lugha yako

    • @baytumuqqaddas
      @baytumuqqaddas หลายเดือนก่อน

      Lugha yko Kiswahili