KISHINDO CHA NAPE ZANZIBAR "WASIOWEZA WATUPISHE / TUPUNGUZE URASIMU USIO NA MAANA"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2024
- Serikali ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania na serikali ya mapinduzi ya Zanzibar zimesema zitaendelea kushirikiana kwa ukaribu na kampuni ya mawasiliano ya simu za mkonono Zantel ambayo kwa sasa imeunga na mtandao wa tigo, katika kuimarisha upatikanai wa huduma bora za mawasiliano kwa wananchi wake.
Yamebainishwa Hayo kwa nyakati tofauti Huko visiwani Zanzibar, na Waziri wa habari, Mawasiliano na Teknolojia ya habari Nape Nnauye Mara baada ya kufanya ugazi wa shughuli ya ujenzi wa Minara ya mawasiliano inayoendelea kujengwa katika maneneo mbali mbali ya visiwa vya unguja na Pemba.
Nape amesema kuwa Hatua hiyo ya ujengwaji wa minara ya mawasiliano inayofanywa na kampuni zanztel ambayo kwasasa imeungana na mtandao wa tigo imekuja kufuatia maelekezo ya Raisi wa Zanzibar na mwentekiti wa baraza la mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi ya kutaka kuhakikisha wananchi wote wa visiwa hivyo wanapata huduma bora za mawasiliano popote walipo.
..............................................................................
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Waziri wa Zanzibar wa habari Yuki wapi ukoloni mambo Leo unaendelea
Masha Allah mkuu wa mkoa ni jembe mungu akulinde uwe president in future ishalla
Vutulo
Asante mungu hatimae jembe umerudi kiutendaji wameona umuhimu wako piga kz najivunia kuzaliwa kusini mpo wengi waelewa Allah Awalinde
Acha ukanda nyerere aliondoa hiyo mipaka all are Tanzanian
Huyu kama nani zanzibar
One day free Zanzibar insha Allah
Uhuru gani Kaka unaoutaka wewe mbona hatuwaelewi jamani?
Ukoloni mambo leo unaendelea mkuu wa mkoa wa zanzibar sio rais msiwazibe watu macho yanajulikana yote hayo
Zanzibar ina kuhusu nn s tuna wazir wetu
Zanzibar hakuna wazir wa habar,??