HAMISS WA BSS AFUNGUKA KUCHANGWANYA NA PENZI LA MZUNGU : MASTAA WANAMTONGOZA SANA !
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Shoga hili nilikuwa namkubar wakat yupo bss ila Sasa naliona kabisa hili n punga
Awezii kuomba sababu huna mzee sas aombee nn wakt we unavitop tyu
Aiiii nimecheka sana
Mdhungu gani: maajabu Africa ni mengi nndo maana watalii hawaachi kuja kutushangaaa.
Duuuuh maisha yako na high speed
Hyo diva nae anjfanya mzungu kumbe mswahili wa mbagala
Eti wazungu watamu.😂
Mpuuzi kumbe huyu Hamis BSS 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Umezingua...
Kakosa nn kwani 😊
Huyu jamaa anaepuka majukumu ya kuombwa hela 😂
Sana ataki majukumu yake
kunenepa hasa ukiwa mwanaume wa dar nakuweka bleach unakuwa punga kabisa😂
Hahaha 😂😂😂😂
We bado unaushamba flani mshkji
Kuna tatizo la vijana wa kusini generally mkifika mjini na kujanjarushwa ...mna viushamba flani hivi haviwatoki...😂😂😂
Wallahi usimwamini mtu kupendukia,huyu hamisi alivyokua mwanzo na hamisi huyu wa ssa tofauti kitabia,ustadh sahii kavaa msalaba.....ni ajabu sana kumuona ustadh kavaa msalaba na anaongea sana kama alomeza cassete
Kavaa crop top pia
Duuh jamaa mshamba sana
Kapita Ushamba😮
Sisi uku kwetu tumewakanyaga sana tumewachoka😂
Uwongo tu hizo ni kiki za kurudi mjini😂😂
Kwasabab huna hela
Mbana kama uyu jamaa ulikua ni ostazi amekuaje tena
😂😂😂😂Nicheke tuu
Pata pesa tujue tabia yetu
Huyu jamaa akiwa staa mkubwa sifa zitazidi duuh
Ache uongo huyu dg
Uongo hamisi uwongoooooooooo🤫
Haha Daah et wazungu watam
Mashavu 😂😂😂
Uuukazi ipo
Kiufupi yeye ndo analelewa 😅
Si unaona shavu dodo
Ahahhaha Hamis inabidi uje Zanzibar nikufundishe kitu, Wazungu hajakaa akampa dhaman Muafrika, wanatuona bongo lala sana , zero brain 🧠.
We peke uko unamuona ivo
Pumbavu huyu hana maana shenzi kabisa mtumwa wa ngono huyu
Diva😂😂😂
Hiv diva anakichaa huyu..mtu anasema hajui ngeli yeye ndo anazidi kumuongelesha kwa hiyo lugha kama gujinga
😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
Langi tuu hiy0 usijimarize achaushamba ww
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂