Imagine unakua na mawazari wa 5 tu kama hawa, ambao hawafanyi kazı kisiasa Bali nia ya dhati ya kuleta masuluhisho kwenye jamii na Taifa letu. Mungu akubariki sana Jerry🙏
kuna haja ya kuangalia mnaajiri watu gani serious vipanga wote wako private mabunju yako gov haya sasa ndio yanatokea haya angalia slaaa anavyosikitika aiseeee aiseee
Kiwanja cha kada wa CCM ibra line.Hapo alikuwa ameweka ofisi za mabasi kukata ticket na kuweka mizigo akavunja last month tu. Rushwa inalimaliza hili taifa, CCM shame on you.
Muheshimiwa waziri na jimboni kwako kata ya kivule mwenyekiti wa serikali anatoza kodi ya mtu yeyote anaetaka kujenga au kuendeleza jengo anatakiwa kwenda kulipa hela kwake na amepanga kundi la migambo kupita kukagua majengo yanayo endelea kujengwa au yanayojengwa pesa zinazotozwa hazijulikani sababu
Muheshimiwa waziri wa Ardhi njoo Singida uone madudu jinsi watu walivyovyamia hifadhi ya barabara kuanzia Mrumbani kuelekea Kinyeto na Mrumbani barabara ya Arusha n.k,na sijawahi kuona maeneo ya wazi
NAONA HUYU BWANA SLAA ANA MATATIZO!! KITUO CHA KUJAZA MAFUTA HATA SQM 200 INATOSHA PUMP AENDE NAIROBI AKAJIFUNZE!! HALAFU UMBALI WA KITUO NA KITUO HAIMHUSU,WAJENGE VITUO ILIMRADI WALIPE KODI,!!
Ww ndio bwege kweli uko kenya nchi ya mabepali wanafanya chochote kwa kupindisha kisa pesa aende akaone nn ss unaona sawa mtaa mzima uwe na vituo vya kwenye makazi ya watu
Juzi kati ilitokea ajali ya kuungua kituo Cha mafuta kipo katikati ya makazi wakabaki wanajishangaa ilikuwaje kibali Cha Ujenzi. Kenya Rushwa imeharibu nchi yao
Uzuri Wizara imempata... Mswahili atawanyoosha.....Safi Wazirii.
huyu sio mswahili ni mchaga wa Moshi
yaani ni mmachame 100% sema kazaliwa Uswahilini kakulia uswahilini, thats how we behave wasomi wachaga wenye discipline zao
EBWANA MASHA ALLAH UNAONGEA KIAKIL KIONGOZI NA SIO KUPIGA ZOGO MAANA HUTUMII NGUVU NA SAUT NA MTU ANAKUELEWA KAKA WW NI MSOMI
Mh.waziri naoma nifanye kazi ya kufagia uwanja wako nyumbani maana.sina lakisema Mungu akulinde ❤❤❤
Yaani mambo ya hovyo sana yamefanyika kwenye hiyo wizara!
Safi sana waziri pambana wanachukuwa maeneo ya wazi
Mbona ccm maeneo mengi wamejenga Ofisi zao mbona hamunji
Safi sana waziri nyoosha kote kulikopindapinda
Tunataka mawaziri wa mfano huu,,,ongera sana mh jerry
Hongera sana waziri wa watu, mwika sokoni, mchanganyiko huohuo
Safi sana silaa uko vzr
Ivi samia sijui alijua uy sijui ndo fani yake mama pongez kwakwerrrr
Imagine unakua na mawazari wa 5 tu kama hawa, ambao hawafanyi kazı kisiasa Bali nia ya dhati ya kuleta masuluhisho kwenye jamii na Taifa letu. Mungu akubariki sana Jerry🙏
Huyu kiongozi yupo safi sana tatizo wanakuja mda umeenda saana tunapo kalibua uchaguzi
Una kazi nzito ya kufanya waziri, pambana na pambania haki waziri
Kazi nzuri waziri
Mwili mdogo akili kubwa god bless u
Mh. Waziri njoo na Mkoa wa Singida kuna vituko vya Ardhi.
Ujanja ujanja.....😢 inasikitisha 😢
slaaaa yatakukuta unasimamia sheria sana watu hawataki sheria watu wanataka ujanja ujanja ila safi i like smart people kweli
Duu!Mungu saidia
Waziri temeke pare wamejenga sehemu ya wazi wanajeenga gorofa pare hatuerewi
Waziri huko moshi kuna maeneo mengine yananyima watu njia ya kuingia kwenye mijengo yao na magari.tusaidie waziri.
Muheshimiwa waziri njoo mwanagati viwanja vya umma vimeuzwa hususan viwanja kwa ajili ya shule na masoko
kuna haja ya kuangalia mnaajiri watu gani serious vipanga wote wako private mabunju yako gov haya sasa ndio yanatokea haya angalia slaaa anavyosikitika aiseeee aiseee
Atoke na kenya yake huyo mjinga
inatakiwa waziri aanze na maafisa wao
Waziri Karatu Bibi yangu tajiri kujenga pamoja na kusimamishwa mkuu wa wilaya na mkuu mkoa kunanjama kwa tajiri na viongozi
Mama Samia hapa umepata waziri, wengine wako wapi? Au mpaka makonda awashtue
Waziri ana kazi kubwa,
Kiwanja cha kada wa CCM ibra line.Hapo alikuwa ameweka ofisi za mabasi kukata ticket na kuweka mizigo akavunja last month tu. Rushwa inalimaliza hili taifa, CCM shame on you.
Mbona hapa majengo kuna kituo kipya hata hakijafunguliwa hakuna hata robo kilomita kutoka kingine na kiko eneo LA makazi ya watu.
Majengo fire
@@AnastaziaKundi-mv8mr Ndio Majengo fire.
Vituko vya waswahili. Maneno meeeengi kazi hakuna.!!!!
Pumu imepata mkohozi.. au ngoma kaipata kenge mamba mbona mtajuta.
Sikuweke sheria moja tu ni inchi moja hii .
waziri njoo simanjiro uone vituko vya ardhi huku kuna watu wanamiliki mpk ekari 4000 na haijulikani walizipata vipi
Huyu jamaa anaupiga mwingi,naona Kuna kitu anatafuta,amenifurahisha sana
Aende na Magogoni Kigamboni atrmbelee na mkondo wa Bahari unaoanzia Mikadi beach.
Tena kule hata sielewi
Muheshimiwa waziri na jimboni kwako kata ya kivule mwenyekiti wa serikali anatoza kodi ya mtu yeyote anaetaka kujenga au kuendeleza jengo anatakiwa kwenda kulipa hela kwake na amepanga kundi la migambo kupita kukagua majengo yanayo endelea kujengwa au yanayojengwa pesa zinazotozwa hazijulikani sababu
Wizi wizi ujambawazi ujambawazi kila kukicha mama anaupiga mwingi huwezi kumuamini mtu mmoja aongozi watu milioni sitini bila Ya kufata sheria
Badilisheni sheria za municipal na ardhi Tanzania mzima kwa sababu wanainchi wanaongezeka na ardhi aiongezeki.
Muheshimiwa waziri wa Ardhi njoo Singida uone madudu jinsi watu walivyovyamia hifadhi ya barabara kuanzia Mrumbani kuelekea Kinyeto na Mrumbani barabara ya Arusha n.k,na sijawahi kuona maeneo ya wazi
Mor kimejengwa kwenye stend yamkoa kabisa naniametoa Kibali?
Raisi mtarajiwa miaka kadhaa mbele
Nchi ya hovyo sana hii
Mawaziri wote wangekuwa kama ww dah migogoro inge kwisha
Sasa hao watu wa ardhi hapo Manispaa Ina maana hawaelewi chochote, au?.
Sasa hao wanashitakiwa mhe waziri? Wamezidi kila mkoa madudu
Mwamvuli huo... Kuna mtu wamegongana ki biashara hapo... Yaani hapo ndo eti Iko kazini....!? Waziri huyo
Iyumbu Jiji la dodoma viwanja vya shulevimevamiwa pia
Mulipe garama sake asara nikubwa sana inauma musamee atelee nakasi tiyo uwekesaji kuliko dubahi
Eti luluvu alimuda hiyo Wizara ililuwa kuwa ni kusifia kitu bure tu ila Jerry Silaa.ndio anaonekana ataiweza hii.Wizara
Acha ukichaa wakumsema vibaya lukuvi otaonekana huna akili umezidiwa na uchadema
Hii imekaje Kwa mfano
Fungeni hayo mapiga madili
Ukiendelea ivi nitaanza kukuelewa
Ukishapewa chako tu unapoa
NAONA HUYU BWANA SLAA ANA MATATIZO!!
KITUO CHA KUJAZA MAFUTA HATA SQM 200 INATOSHA PUMP AENDE NAIROBI AKAJIFUNZE!!
HALAFU UMBALI WA KITUO NA KITUO HAIMHUSU,WAJENGE VITUO ILIMRADI WALIPE KODI,!!
Ww ndio bwege kweli uko kenya nchi ya mabepali wanafanya chochote kwa kupindisha kisa pesa aende akaone nn ss unaona sawa mtaa mzima uwe na vituo vya kwenye makazi ya watu
Kenya ndio nchi ya hovyo kuwahi kutokea Afrika,siku nyigine usituletee mfano wa hiyo nchi kabisa,kwani ninaijua mijini na vijijini
Juzi kati ilitokea ajali ya kuungua kituo Cha mafuta kipo katikati ya makazi wakabaki wanajishangaa ilikuwaje kibali Cha Ujenzi. Kenya Rushwa imeharibu nchi yao
Achani mutu alete maendele
FIDDA HUSSEIN NI MWIZI WA NYUMBA ZA WANYONGE DAR