Elewa Sheria: Haki za watoto wanaozaliwa nje ya ndoa
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
- Elewa Sheria: Haki za watoto wanaozaliwa nje ya ndoa
SUBSCRIBE to our TH-cam channel for more great videos: www.youtube.com/
Follow us on Twitter: / ktnnews
Like us on Facebook: / ktnnewskenya
For more great content go to www.standardmed... and download our apps:
std.co.ke/apps/...
KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.
Naweza pata number ya ofisi ya idara watoto?
naomba kuuriza kwa mfano mwanaume amempa mimba mke wa mtu wandoa anaruhusiwa kudai mtoto
Je mm nilipata mutoto 2007 na babake alikua wavita mwaka wa 2009 babake alinipiga na kuninyaganya mtoto kwa sasa hua tunaogea na babake lakini hua akubari mm nimuone mtoto
Ni haki mwanamume akupe 1500 na yuwafanya kazi na kampuni ya text tuliachana nae wakati niliposafari Kuja uwarubni aka chukua mtoto na akanishtaki mimi kotini nimpe pesa 6000 kila mwezi ampo yeye likuwa yunipa 1500 na ilipokwisha niambiwa nimpe yeye hio 1500 lakini a likuwa yuwataka 6000 alishika wakili ni mimi huku uwarabuni ikabidii nishike wakili tuli dorvice ni haki