YOUNG LUNYA AFUNGUKA KUHUSU YOUNG KILLER/ FID Q na JOH MAKINI HAWAWEZI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp....
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Alafu huu jamaa akiwa na dread locks kama Carter Wayne vile🧐
Achana na mzee Fid Q ba2 wa rapper tanzania 🇹🇿
acapela ni sifur ila huwa anabebwa na biti
Namkubar lunya coz stayle yake yakuimba kujikubar kuwachana masnichi nataka kumfananisha na Mick mill 🎉
Sasa hapo konekupika mwanaume alafu unajisifu kuwa Dah! Utakuja kuwa shishi beby
Kama una mpenda young lunya gonga like hapa
wanamchuka mtu alofanikiwa sahivi wamemtafutia mpinzani samata kuwa msuva ndo mkali, mondi wanasema kiba mkali, mwakinyo wanasema mkali ni kiduku ila ukweli tunajua wote lunya nw ndo mkali labda useme mtu kama darasa na mtu kama jay moe hao wanaweza kuachia jiwe ata kesho ila nw kina killer wamepotea
Umeongea ukweli mtupu 😂😂
Toka zama za mangwea sjawai muona mbuzi mwenye mashavu yaliolegea
Hatuna rapper hapa kulinganisha na mistar ya msodok namakelele hayo Bado mno
Huyu ndio rappa tunatambua global🇰🇪hawa marapa wengine warudi shule wanaimba ufala
Sony wameuziwa mbuzi kwenye guni
Mjomba bado kila mkorofi hata sauti yake ina ladha ya kuimba tatizo wewe ni kelele nyingi na kutunga mistari bado
Nashukuru kwa kutambua heshma ya regends poa dogo umetisha
Pumzi zamkata hamna kitu hata ywanyongwa na mate
Hahahaahhahahha hv tenah kmbeee lunyaaa jingaaaa kwl😢
Bro nyimbo zake kali sana
Nyinyi mafala acheni kumsema mtuvibaya . Kama kuna noma nawe . Mfate mwambie
Kama sijaelewa 😂😂😂😂😂
Watangazaji wengi mic 🎤 chache studio duh!Presenters liangalieni hili
Msodokiiii🎉🎉🎉🎉
#uyu aimbii bari anabwata
Daaah pole mwanang bola ungekaa kimya jam mjinga
Msodoki❤❤
Watangazaji wanaongea haraka kama wana tongue twist au Muda ni mchache??
@##Mbuzi kamambuzi🎉🎉hamatiki
Kila mtu na style yake yakuchana acheni majungu lunya anajua ❤❤❤
kalibia ana left group
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Egotistic
Mbwa mwitu❤❤❤❤❤ mbuziiiii
Oya uyo namba moja tu
Safii kak
Young lunya wewe ni Noma ndio raper Bora hivi sasa hakuna ushindani wewe ni namba moja
Youngking🔥🔥🔥
Lunya ni Lil Wayne wa bongo naye Hana kidevu kama wiz wa USA Ila mbuzi mnyama Ana kidevu hapo imekaaje
mbwa mwitu ina inspiration mtaani bro💪
Huyu ni Rapper tu kwenye HipHop hausiki kabisa.fake ,sioni meseji anayoileta kwa mitaa zaidi ya majigambo
Mna maswali ya kiwaki.uyo meneja angepewa muda angetupa madini mengi
Mbuzi International rapper🙌🏻🔥
Hakuna raper hapo mwambie aache kelele
Oiii kelele nyingi hana jipya huyu amefula nini vile ngoja nimuulize toxic😂😂😂😂😂😂
Fanya ww ambae hupigi kelele
Inspiration .the G.O.A.T
Sura imaetakata kama naogea maziwa😂
❤❤❤❤❤too much love brother
Acha zako wewe huwa muda mwingi unamuwaza young killer
Still Moja kama nkombe😂
Msodoki 👑🏆
Pole
Dogo anajua sanaa sema minyama sanaa
Baba wa kambo🎉
Wala huyu sio mkali sana sema ni managment yake ina mbeba
Usipomdiss killer wewe huna jipya unyama wako ni kumdiss imba na maisha
Pumzi pumzi pumzi pumzi hamna
Mate yamejaa kwenye maiki
Msodoki👑🤴🏻
Kurap anajua ila free stail uwongo
Huyu shoga tu…hamna rapper hapa
Unaweza mchukia mtu lakini jaribu kumaintain respect kwa huyo mtu, itakusaidia sana kwenye maisha kuliko kuropoka mambo kama f*la.
Shoga kwanini? Kwajili kafanikiwa au?
@@richlord22634 we unamuona kabx jamaa ni wakiume??…”kuwa fahari kwa wenzio michezo ya namna hiyo hatuikubali ni ya kidemu,ni sawa na kusema we ni mkali wakat na radio zinakupa promo ya hatar unaua game…🎶
@@abuubaqr5808 jamaa analiwa kinyeo..afu sio kwamb nmemdharau ..jamaa kashazoea kwaio sio shidah
rapper ni ww n dada yak half ww unfkiria mbuzu n mbuz kweli hamn broo wach majung
Uyu anafosi bifu na msodoki
Kila mtu na zama zake
promo za kishamba mbona mziki wetu hauendi kokote huyu anatumiwa na mabossi2 mda wake ukiisha mtamuona msanii anachana utumbo mtupu😂😂😂
Storytellers
Rapcha, pc the MC, kontawa, young killer na wengne. 😅
Live hana pumzi 😂jamaa
Kinachokuharibia nikuwa shoga tu pale Ramada na ushahid upo
Uko wapi?
Anapiga sana kelele uyu boya
Fanya ww ambae hupigi kelele
Makelele kama generator 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂
Toa yk ambayo haina kelele
Andika Jomi Africa song makopo uone tunavyoandika idea
Ana free style nyimbo zke hawezi kuzungumzia ata cheni yke huyu rapa gani sasa
mpeni definition ya mbuzi kwanza anaonekana hajui maana ya hilo neno
Una kipaji bro ila hujui kubadirika kulingana na nyakati hebu jaribu kujifunza kwa OG maana nae alianza hivihivi lakini alikua anajua anachokifanya badae akachange na sas ukimsikiliza unaelewa anachozungumza
Huyu ajuw chochote..anacho kiimba akieleweki 😂😂😂😂
Yani mavi matupu
Kashindane na gigy boya sana huna lolote,ukizungumzia mwalimu wako ni p the mc kelele nyingi
Lunya ni mkal bt mti wa matunda unapigwa mawe
Bado msodoki king❤
Akashindane na gigy money ao sio type yake kbc ten kma fd atoboi kbc
Hip hop ni majigambo ww mtoto wa 2000 na k2 nn
HIPHOP IS DEAD
Hip hop never died
Chid Benz oyee our legend
Msodokiiiii
Young killer ft Aumuwezi
Kila mtu na zama zake
Huyu boy hata sijui demu wake anamsifia saangap😂
Hunalolotewewe mbweha2
Ww mwenye lolote toa ngoma yk tuone