Boss Kimaro | Free Full Bongo Movie
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 24 ก.ค. 2021
- Baada Ya Mke Wa Adamu Kupata Ujauzito Ndipo Changamoto Zinapoanza Katika Familia Yao! Adamu Anafukuzwa Kazi Na Boss Wake [Boss Kimaro] Baada Ya Kuacha Ofisi Na Kwenda Kushuulikia Swala La Hospital. Na Ata Pale Alipo Jaribu Kutafuta Kazi Sehemu Nyengine Bado Boss Kimaro Aliendelea Kumfanyia Visa Mpaka Akafukuzwa Tena Hali Ya Maisha Inazidi Kua Mbaya Kwa Upande Wa Adamu Na Familia Yake Mpaka Boss Kimaro Alipo Amua Kumludisha Kazini Kumbe Lengo Lake Lilikua Kumlaghai Kimapenzi Mdogo Wake Na Adam [Mwana].
The challenges begin after Adamu's wife got pregnant! His boss [Boss Kimaro] fired him from his job, and when he started to work in another place his former boss still troubled him until he lost his job again. Life got worse for Adamu and his family, until Boss Kimaro hired him again at the office, but his only purpose was to deceive Adamu's sister[Mwana] into a false relationship.
Tunapatikana kwenye mitandoa ya kijamii kama vile:
/ kingsofbongo
/ kingsofrealbongo
/ kingsofbongo
#TH-camSwahiliMovie #SwahiliFullMovie2022 #LatestSwahiliMovie2021 #kingsofbongo - ภาพยนตร์และแอนิเมชัน
Wewe ni noma kaka angu nakukubali
Zur sana
Pamoja kaka
woow
Vizuri sana
Movi nzuri sana ongereni
Awoteeeee.....!!!!!good job
Very nice.
Vizuri sana kaka Adam lakin inabid usichoke wewe pambana nakuaminia very nice
Sauti jamani
Aminia
Nzur sana
yan unajua
komaa na broh aadam utafika mbali
Daaa hiyo kicheko Adam😁hapana😂😂😂😂
done subscribing
Good boss kimaro kifaru block
Adam unavituko sasa huko ndo kucheka🤣🤣 ongera movie nzuri sana brother
Mbona ikifika part ya boss kimaro Haina sauti
Saf boss kimaro
🤣🤣🤣🤣Hakuna mkate mgumu mbele ya chai
Kwenye kuongea musiweke mziki
Ni kweli kabisa muziki unakera.
Jamani huyu ni daktari kweli???
Link ya kudownload ipo wapi?
Nataka kuona huyo maya mdogo sura🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂yaan wanawake tungekuwa hivi kwa waume zetu tungebarikiwa,ila nimecheka hicho kicheko cha adam
Huyu boss kimaro hata nguvu zakulalisha mke anazo kweli??? Kiburi chako kitazushwa na mwenyezi mungu🤔🤔
Wadoctors wakutowa mimba ni wa criminals nilazima wahukumiwe na kufungwa ile ile miyaka inayopewa mwanahume alimubebesha ujauzito mwana funzi.
🤣🤣 eti asnte pesa
Hivi Maya amefariki au?
Kiruuuuu🤣🤣🤣
Mmmmh,hilo neno kiruuu,umeiba wapi 😂
@@aishaomaryyousefomaryloiru1990 Kwan kiruuuu inamaanisha nn
Wasichana wanawake musiwe munatowa mimba juhu asili 99% ya wa nawake huwa wapoteza mahisha juhu ya hiyo( abortion)ni dhambi kubwa ,munakima malipizi kihumbe cha Mungu hakikuwahomba mukilete ni juhu ya usherati wenu kwa hiyo kwanini kukitesa?
Muziki unakera sana.
Mwomba Mungu hachoki,usikufuru kaka Adam pamoja na kuwa ni movie.
Halafu sehemu nyingine kelele nyingi.
woow