Yes Mungu atusaidie sana.. tuelewe vita vya kiroho pamoja na kuvishinda na kuwa washindi daima🙏 God bless promover Tv, God bless Arnold Kisanga, God bless Jactan Msafiri, God bless the entire crew of Promover Tv🙏🙏🙏.....🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Niwambie shetani uwa amfati mtu bali mwanadam ndie utafuta shetani😢kama uamini kaa bila yeye kama atatakutafuta😢kwaza uwe nasadaka tam naumwongopei kama unavyo mwongopea mungu😂nakumwapia bure manyumbani makanisani maakaman😢pia atujui mamlaka😢tuliio pewa na mungu Someni mwazo mungu alivyo umba dunia navyote😢utagundua sisi nani nashetani ni nani
@@aurelianmassao4974umejibu vyemaaaaa. AKITAFUTA mtu ammeze. Shetani anatafuta mtu na watu. Biblia ipo clear. That's why bible says watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa. Yaan kukosa kujua neno la Mungu
Hapa kwenye mafuta sijaelewa anamaanisha mafuta yale ya kimiminika? Au la? Maana shuhuda nying zimekataa matumiz ya mafuta...aliyeelewa naomba anieleweshe
Yes Mungu atusaidie sana.. tuelewe vita vya kiroho pamoja na kuvishinda na kuwa washindi daima🙏 God bless promover Tv, God bless Arnold Kisanga, God bless Jactan Msafiri, God bless the entire crew of Promover Tv🙏🙏🙏.....🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Jameni wakristo tuombeane sana kila siku, bila kukoma.from 🇰🇪
Mbarikiwe watumishi, Mungu awape macho ya rohoni wazazi wetu wa kiroho watusaidie kwa habari ya mapambo
Mungu atusaidie san
Mungu awabariki promover Kwa kuleta injili karibu.kila mtu na atambue kuwa anao wajibu katika kristo yesu kuujenga ufalme wake.
Niwambie shetani uwa amfati mtu bali mwanadam ndie utafuta shetani😢kama uamini kaa bila yeye kama atatakutafuta😢kwaza uwe nasadaka tam naumwongopei kama unavyo mwongopea mungu😂nakumwapia bure manyumbani makanisani maakaman😢pia atujui mamlaka😢tuliio pewa na mungu Someni mwazo mungu alivyo umba dunia navyote😢utagundua sisi nani nashetani ni nani
1 Petro 5:8
Mwe na kiasi na kukesha; kwa kuwa mshitaki wenu Ibilisi, kama simba angurumaye, huzunguka-zunguka, AKITAFUTA mtu ammeze.
@@aurelianmassao4974umejibu vyemaaaaa. AKITAFUTA mtu ammeze. Shetani anatafuta mtu na watu. Biblia ipo clear. That's why bible says watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa. Yaan kukosa kujua neno la Mungu
Mungu atusaidie kanisa ukiimba ukimtaja Yesu ,kwenye huo wimbo usitaje jina shetani,Mbarikiwe Promover
Niliokoka kupitia shuhuda na sitaacha kusikiliza shuhuda nafurahi na promover tv endeleeni kwa hii huduma.
Ahsante Sana MUNGU awe nanyi promover.
Mengi mengi mengi Sana makubwa na magumu nimeyajua kupitia promover MUNGU anisaidie kuyaishi.
amen
Kwenye maombi hapo nimejifunza maombi bila kunukuu vifungu vya biblia ni kupigana bila upanga kwa kuwa upanga wa Mungu ni neno lake.
Mungu atutie nguvu za maombi,ili tuushinde ulimwengu wa giza
Glory to Jesus Yesu asante kwa kunidumisha kwa wokovu hii ni 2024
Eeeeeh Mungu wa mbinguni, tusaidie sana
Ubarikiwesan reta mwenderezo
Haaaaahaa wanakuwa watatu kitandani sitaki kucheka Mungu Anisamehe.. Huuhuu
Mungu tusaidie tuenende katika njia yako
Blessed watumishi wa MUNGU....
Bwana Yesu atusaidie
shuhuda hizi nazipenda sana zimesaidia roho yangu zimenipa kumwogopa mungu
Da!Mungu tusave namambo ya sirini tusiyo yajua ameni bless na hii media yako Jesus
Amina nawafata toka Congo
Barikiwa mtumishi wa Mungu . Mungu atusaidie sana kama kanisa
Amen
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa ujumbe huu..hakika tunayo bahati kubwa kujua haya wengi watashutuka siku za mwisho kusikia haya
MUNGU Asante kwa ufunuo huu
Kweli Thiiology ni ya shetani, hawa wachungaji wanaoenda kusomea biblia nimakosa, wanatoka huko na Thiiology, lazima wapindishe neno, w
Amina mubarikiwe promover
Mbarikiwe Sana promover
Mbalikiwe sana promover mungu awapandishe zaidi
Eeeeh tasaitie sana ututie ngufu ya maombi
Hapa kwenye mafuta sijaelewa anamaanisha mafuta yale ya kimiminika? Au la? Maana shuhuda nying zimekataa matumiz ya mafuta...aliyeelewa naomba anieleweshe
Amina amina, Mungu akubariki sana🙏
Dah
Mm naamini hayo ila mungu anipe nguvu zaidy maana utakatifu na imani ndo silaha kubwa
Ooh Bwana Yesu 😢😢😢
Mathayo 22,9,10
Hakika nimepata jibu vilivyyo wekwa wakfu na shetani usivitumie
Amina