Kijana wa miaka 13 apigwa risasi na kuuawa Kiamaiko, Huruma
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
- Jioni ya leo, maafisa wa polisi bado wanasalia kwenye darubini kufuatia mauaji ya kijana wa miaka 13 aliyepigwa risasi akiwa kwenye roshani ya nyumba yao katika eneo la Kiamaiko mtaani Huruma hapa Nairobi. Yassin Hussein alikuwa akifuatilia yaliyokuwa yakiendelea nje wakati wa oparesheni ya kuhakikisho agizo la kutotoka nje usiku linatimizwa. Huku uchunguzi ukiagizwa kufanywa, mwanahabari wetu Gatete Njoroge amehudhuria mazishi ya kijana huyo aliyetarajiwa kufanya mtihani wa KCPE mwaka huu
😭😭😭😭😭😭😭😭😭Yaa Allah Mpokee Kijana Wetu Mpe Kauli Thabit lifanye Kaburi Lake kuwa kiwanja Miongoni mwa Viwanja Vya Peponi Allahumma Ameen
Amiin
Ameen ya Allah
Allahuma ameen
Amiin
AMIYN YA ALLAH
So painful seeing the dad breakdown in tears..
Mungu amemwona huyo police....
So painful young son,
@@mercyindire9019 of course
I almost bursted in tears when I saw that papa shedding bitter tears 😭😭😭😭
Me too bro
woi aki nmemhurumia aki mtoto wake ameenda ivo tu bila hatia ,Mungu anaona
This is too much ,we have idiots at the helm
Imagine the pain of the parents
Why ??why Lord help my country stop this Ni ujungu Uhuru ajana na his city Aja Corona ituue kuliko kuuliwa bila kids pliz mbona Kenya yetu polisi wanatumaliza bila uharibifu
And was preparing for KCPE exams
Kenya 🇰🇪 is a war zone since long time but the world is not aware of that I feel pity for my African brothers and sisters here in abroad we don’t hear such inhuman behaviour
This is not right! Many policemen in Kenya are very ignorant, arrogant and foolish!
We need wise ones! Poleni sana familia.
😭😭😭OH no, but why? I can feel the pain jamani, innocent boy gone just like that? God why
Wajinga sana
“Nataka kuona haki ya huyu mtoto kama kuna haki hii Kenya” thats the mother’s words 😭😭😭
Bro Kenya hakuna haki kuna shwria
Hakuna haki Kenya. Mungu tu. But the wrath of God is unstoppable
@@thevineyard7149 so sad bt mungu ampe subra wakti huu mgumu
Inalillah waina ileyhi raajicuun😭😭😭 poleni sana😭😭😭😭😭😭
Tupoe sana kwa msiba.
Mtoto wetu tayari amepokewa katika bustani ya M/Mungu na atakuwa kinga ya wazee wake kwenda motoni.
Subiri Sister subiri brother wangu.
ALHAMDULILAH uhuru umewaua waislamu 2 BURE tu, ALLAH ATAWALIPIA in sha ALLAH . Yassin umekufa shahid in sha ALLAH makazi ya peponi
Wacha kuleta mambo ya dini ndugu yangu
Updy Jamal
Yep! This has nothing on dini! More kenyans have dead through police brutality 😰
@@somaliskysports1673 wataka niseme walioliwa ni akina NANI? Ikiwa ww huoni uchungu Kwa waislamu kuuliwa kiholela bila SABABU ntakuita MNAFIKI Ama vipi, unaweza niambia sababu yakuuliwa ilikua nini ? Walifanya makosa gan ? Naomba unijibu
INSHAALLAH AMEEN
We want justice ya hiyo mtoto police wenye kulinda watu dio hao wamekuwa wakuua kheri waache kulinda
So sad RIP toto
Poleni sana kwa familia na marafiki wa huyu Kijana. Mungu awafariji na awape amani. Wale waliomuua huyu mtoto hataepuka hukumu ya Mungu.
This time hakutakuwa na case na police but the only way ya kuwakomesha ni kuzika mwili na dawa za kiganga the killed body to follow the killer
True nimesubiri tu wajikute wameuwa wangu it will be a lesson to the rest of other police hakuna case tutafanya but kuondoa yule aliye muua .yani wataamini wasio yajua
This is so bad! I can imagine that father shedding the tear for his son.
The government is failing us
Newton Atavachi its painful .
Poleni sana pia mimi ni mama naskia uchungu sana Allah akupee subra dear hata mimi sijue nigefanya nini coz mimi hata naweza kuuwa huyo police akuna vile utauwa mtoto wangu na haja fanya makosa na wewe utempe free 😪😪
Na yeye Allah atampa la kumpa askie uchungu kama alivoukia mtoto huyu mdogo. Amin Yarraby
@@barkesaid7200 Ameen ya Allah
It’s time regular police to be stripped off all weapons, let’s have a special armed unit.
Spot on
Jamani police wa wakenya mnaelekea wapi mbona mtaletea nchi laana badala ya ugonjwa mnawamaliza wananchi kwa mikono yenu
Nimelia sana leo kwani hata mimi niko na mtt 13 old kila mzazi lazima aumie zaidi haki mungu amlaani alie katisha maisha ya huyo mtoto kwa kisingio cha Corona na mungu amlipe maumivu zaidi walio pata family yake huu mto is so beautiful 😢😢😢😭
Polisi hawajui wanaua taifa la kenya 🇰🇪" sio kazi rahisi kufikisha mtoto Hadi huo umri" ni kazi ngumu" hao polisi wajue hivyo' badala waende kupambana na al-shaabab military
😂😂kweli
@@nasraabassnasraabass1888 yes" al-shaabab military wanachoma Hadi tractors" Sasa mtoto hana hata silaha yeyote" kwani imekuwa mzaha kwao?
Inauma kweli 😭😭😭😭😭😭
@@salmanamianga9868 wamezuia coronavirus
@@salmanamianga9868 ilikuwa vigumu polisi wa kitambo kufyatua risasi" sijui siku hizi kunaendaje
Mwenyezi mungu atalipa hili kwa aliye litenda hili pamoja na kikosi chote kilicho kuwa kwenye dolia hawa machizi tunao waona barabaran sio wote wamerogwa wengine dam za binadam za Watu naamini hili Allah atalipa Alhamdulilah
A father lossing a son is very painful.That pain cannot measured to anything
Poleni kwa yasin mungu awape subra yasin amekufa shahid inshalla
Pesa na mtoto nikipi cha maana 😭😭😭😭imeniuma sana tena sana hadi machozi yananitoka ila tu Inna Lillahi wainna ilayhi Rajiun
Misishangai polisi wa Kenya kufanya Jambo hili.HAWANA DISPLIN. Wametrain kuwa agresive kwa mwananchi wakenya. Ninauhakika vile atanitreat Mimi sio vile atamtreat mzungu.
Very sad indeed. Is just an innocent child. Our Condolences to the family and relatives. Pamoja❤️🙏.RIP.
I went to give pole kwa family of this innocent soul.They own the house from ground to third floor huezi sema wezi waliingia hapo ama wenye walichelewa nje walijificha ati kwa hiyo nyumba.They are in their own balcony.why was he killed he was in his dad's residential home.soo sad
So sad.may his soul rest in eternal peace 😭😭😭
Juzi MTU wa NTV alipigwa na baadae ati ameomba msamaha kisiri kwanini hatujaonyeshwa hadarani.
Na hii pia lazima tuonyeshwe ni huyu ndio amemuua mtoto ahukumiwe kifo!!
Inalilahi waina ileyhi rajicun......better Corona than shotting.....may Allah give us better life than this
Wewe polisi may you never know peace..this is so inhuman.
This is so sad😭😭😭 RIP may God comfort the family. While people are stressed about corona Kenya police are causes much more stress and depression the incosent citizens.
Wait. They are using live bullets on citizens? Why?
Nashangaa sana, this is sad
Gavaa watasema haikuuwawa na Police, eti ni majambazi.
Imgn 😭😭😭c hery
I was born in kiamaiko I have lost 12 friends to police bullets
Coz this is kenya wajinga sisi....
Poleni sana kwa njaga hili pole sana babangu kumwanga machozi ni uchungu sanah
So painful to the family and friend, we as kenyans we are not happy, huyo police anafeel aje akiwa kwake akicheza na mtoto wake kwa nyumba. Kenyan police je kitumbua kiliingilia mchanga wapi? Why is the law in Kenya?
Innalillahi wainna ileyhi raajiun poleni Sana Wana Familia mungu awape subra
😭😭😭😭Allah awajalie wazazi wake sabr,hakika ni uchungu
Huyo mama amesema ukweli afadhali mtu akufe na corona kuliko kuuliwa na binadamu mwenzako.. police r not Human at all
Asikari wa huruma wanatusumbua sana akishika mtu wanasema leta pesa kwani sisi tuna wokota pesa chin
And all of this after they let in the virus through the airport
Senseless use of force on innocent civilians . Yet when they are needed to patrol our neighborhoods to curb crime they are no where to be seen. Kenya police need to be retrained and to be reminded that they are members of society with just but a responsibility of enforcing the law. They are not the law , neither are they above the law.
I think they even need to be arrested
it feels like we are safer without the police
The pain of losing a child hurts so bad 😢. May GOD comfort the family.
Mahali imefikia heri hii caufew ipigwe marufuku mtu ajitunze mwenyewe 🙆♀️😘😘juzi sehemu za mombasa wamezika jana pia sijui wapi wamezika leo tena🙆♀️🙆♀️waliolazwa mahospitalini ni wengi wanaouguza vidonda hawaesabiki😘😘😘
Am fully in support of lockdown and police at work to keep order, but this not the way to do it. Let there be justice for that young soul. It's painful...😭😭😭
Gaaaaai soo painful may he rip
*From Allah we belong and to him is our return!* 😢
Polisi wako na makasiriko juu hawana hongo raundii hii,Mungu awaone xna kwaza hao wana viatua risasi ujinga ujinga,rip bby boi😭😭😭
The sad thing is that justice is not for the common mwananchi in kenya, wanadanganya wakenya ati wanafanya uchunguzi which is nonesense. Uchungunguzi ni ya kazi gani na polisi ameuwa mtoto Nkt
Mungu lakini halali.
Na kama huyo polisi ni mtoto wake aliuawa agesikia aje malipo ni papa hapa duniani
Broken my heart 💔💔 why don't they dill with Corona virus waihitafute waipate na wahipige na gun kuliko kuhuwa mtoto innocent like that .
Naomba serekalini ya Kenya kuandika kazi watu waakili timamu,walevi wanamua malaika was mungu inauma sana.
Corona imeua =1
Polisi imeua =2
Bado wakenya tunahesabu.😷😷😷😷😷
Ni 3 sasa
@@salimamalongo8832afadhali Corona
Inna lillahi Wainna Illayhi rajiun aki uruma sana alie fanya hayo atakwa na amani katika maishani mwake😢😢😢😭😭😭😭
Woiye pole kwa familia ,aki kenya ni lazima kukitokea jambo ,damu isiyo na hatia imwagike .
Baada ya mtoto kuuwawa ndio uhuru anajitokeza kuomba msamaha wananchi..ile ujinga iko kenya mungu atusaidie tu
Rais uhuru ajatoa amri kuwahatarisha wa kenya alitoa amri kwa kuwalinda maisha wa kenya. Kwa maana polisi waliwatisha Tisha kidogo ndio wawaogope jaribu kuwalinda maisha maisha zao. Polisi ni watoto wa kenya wanailinda maisha wazazi wao wa kenya hawawezi kuwaua wa kenya bila sababu. Wale walimuwa kijana tulisikia ispekta wa polisi alisema nataka jua haraka inawezekana hivyo wakina Nani walimusika kwa sababu gani haki itapatikana wazazi wakuena subra tafadhaleni Corona virus si ugonjwo Raisi hatari zaidi kama wa kenya sisi zote tujilinde zaidi inshaAllah may God grant him jannatul firdooss inshaAllah
Yeah police you really prove to us how wonderful and intelligent u are trained, thank u very much🤔🤔
Wewe demol solva stupid kabisa au kwa vile mtoto sio wako au wewe hujazaa au muliungana na huyo police ngombe wewe
@@ilhamswabir5977 my friend dont u see how sad i am?? , i think uv got to digest my message deeper to understand
@@ilhamswabir5977 tafakari ya babu, thats a parable...
Okey sikua naelewa
Me singewai acha kulia....this is so painful to imagine it happening to me 😖😯
Huyu polisi akamatwe na afungwe kinyonge kama iko please, poleni wazazi!
😢😢😢😢😭😭😭😭😭😭😭. Innalillah waina illah rajiun,pole sana Allah awape subra katika kipindi hiki kigumu inshaallah, Kenya hakuna haki ila ALLAH NDIE HAKIMU WA HAKI 😭😭😭😭 .Ya Allah wahukumie waja wako wanaodhulumiwa bila hatia Amiin
Inauma sana bora ufe na corona kuliko kuua mtoto kwa mikono yenu
wanapata raha sana kuuwa wananchi ambao walifaa wawalinde hasa huyu alietumia risasi sehemu kuna watoto akija akauliwa na magaidi kesho atahurumiwa wakati mwenyewe hana huruma,na corona.enyewe inawamaliza hao wanasiasa na watu wenye cheo
Allah atawapa subra familiya ya yasin na inshaallah malipo ya mtoto Allah hakeem
Why why why police? Innocent boy. May God revenge for him
Ina lilah waina ilahi rajiu Pole sana mungu ampe subra wakati huu inshaallah
Which hearts do these guy's have honestly 😭😭😭 surely you shoot an innocent boy for no reason,,why why why????mi Sina uwezo .. condolence to the family 😒😒Almighty God will see you through . Mr President just see this and do something.. it's really hearting 😒
So sadi indeed and in Kenya always there is no justice.. the scene makes me to recall baby Pendo mbaya sana poleni familia Yasin
Very sad indeed 😢😢 kiukweli police wengine niwabaya Sana
Huyo police labda alikuwa navisa vyake tu nasio kulinda watu kwakweli nimeumia sana kwani tunaokufa kwa corona ni sisi nn kinawaumiza sibora muache tufe kwahyo corona 😭😭😭tujuwe ni Mungu kapanga kuliko nyinyi kuuwa watu
But why why... Did they have to shoot? Aki woi..
The fact that this has been going on longer than I've lived (over three decades) shows you that this is systematic and no leader gives a shit. Not even one has ever addressed police brutality in Kenya. Do you know if Uhuru issued orders today and threatened their careers, this would all end today? Halafu tunakasirika tukiitwa shithole country na ni ukweli...
The police will get away with it as that's kenya but in the eyes of God they will never. My condolences to the family and friends may he rest in peace
It's even more worrying that neither Matiang'i or the president have commented nothing on the police brutality so far. God help Kenya.
They should not be shooting in the 1st place.... This is so painful may God comfort you. Pole sana Baba na Mama Yasin .And may justice be done!!!
Inallilahi wa inna ilehi rajiun so painful wallahi... May Allah give the family the patience and sabr
Very painful 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 young and innocent kid,Mungu tukumbuke qwa Imani yako 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Wanakosea hao maaskarii kaaaa bora corona iue watu sio vita za utumwaaa poleniii sanaaa siye tunashukuru Mungu nchi yetu haipo ivyooo
Pole sana kwa family, police wanaua watu kuliko Corona,pls raisi uhuru tuambie vile wakenya tutaishi
THIS POLICE DEPARTMENT ARE BUSHIT. THE GOVERNMENT IS BUSHIT. MTOTO BASI JAMANI!!! NAYUKO HOME!!! HAWA CYO POLICE BALI NIWASHENZITU KUMAMAZAWO.
Allah awape subra kubwa jamii yote waliopatwa na msiba huu mkubwa, tena mzito
This is so painful!I feel for His parents😢😢😢😢Kenya,Kenyaaaaa
Uhuru must intervene this.waandike watu wa C and above kazi.kuandika watu wa D ndo shida coz hawana akili ya kufikiria
Akili zao ziko chini ya miguu jameni
He cant intervene...he is one of them. Ask Bensouda.
This time tutatumia uchawi kuangamiza wauwaji yani kuzika mwili na dawa kuuwa yule aliye uwa
I feel for the young man Yassin whose life has just been wasted by trigger happy cops. Curfew doesn't require use of live bullets in the hands of rogue cops. There is so much transformation work that's required in our police service, especially those in localities that are economically deprived. I doubt the same behavior could be seen at Karen, Runda, Kitisuru, Muthaiga etc. The IG Mutambai, should just go back to the Barack where he was. Policing is not military and it deals with civilians and not enemy soldiers or Al Shebab fighters. President Uhuru needs to review policing and listen to experts not rogues like Matangi & Kebichi who are masquerading as security experts. We have lost so many lives in the hands of rogue cops while others try to imagine they're Sherlock Holmes in the manner they investigate crimes that end up more where. The curfew has already claimed two lives in just three days of it effectiveness. The president has to decide if he will have Kenyans killed by the police if Corona spairs us. Government squandered public funds on useless Reggae BBI fun fair and now there no medical PPE supplies to help medical personnel in their work of saving lives. A small land locked state like Rwanda has demonstrated what quality leadership isn't or is it?
When a police force acts with impunity then the government it represents forfeits it's legitimacy!
The police chief and Mr Matiang'i should do the decent thing and resign or be sacked immediately.
😭😭😭😭 Innalillah wainahillah rajiuon
Kenya ni ya kikuma sana
It is sad to say in kenya we are safer without the police😞😞😞
Police brutality in Kenya is too much, no compation to the mwana inchi RIP Husain.
We want to see the bottom of this!!
Ya Allah let it be justice
😭😭😭😭😭😭pole saba kk mungu atalipa kwani haya sasa ni mateso sasa sio ata wala corona tena watu wamepata sababu zao.juzi kwetu likoni na wabasema ni uzushi na je hilo nalo watasemaje? Innalilai wainahilai rajun.inshallah mungu akupe subra pamoja na shemegi yetu hakuna lisilo na mwisho kama viongozi bado wanasalia kiziba mashikio na macho kama hawaoni.
Police hawajui kazi yao,WAJINGA police, alshaabab imewashinda takataka kabisa, najihurumia kuwa mkenya
Monique Williams maze waende wakapambane na alshaabab kwanza hao sio mapolisi tena itabdi tuwaite covin19 coz wanauwa kuliko iyo ugonjwa
😫😫 hao maafisa wa polisi wachukuliwe hatua. Rest in peace Hussein
Bora Corona ikue kweli mama .pole kwa kumpoteza mwana wako.mimi pia nimehuzinika sana
WAJINGA WAO UCHUNGUZI WA NINI???? NA ALIULIWA NA RISASI ALIE MUUWA ASHUKWE NA HUU UGONJWA WA CORONA SO SAD HAKI REST IN PEACE 😭😭😭😭
Tutajua ni corona ama kutumaliza kirahisi hivi bora corona tena 😭😭😭😭😭😭😭😭Inna Lillah Wainna Ileyhi Rajiuun poleni Wafiwa
Innahlillahi wainnailayhi rajiun 😭😭😭 hadi mama asema afadhali mtoto angekufa corona angejua ugonjwa umeua wallahi feeling sorry for the family Haki itendeke kitambo corona iishe itakua innocent people wanauwawa kiholela tuu hivyo for the excuse of corona Serikali chukua hatua
Heartless officers na mko na watoto surely:? May God fight for Kenyans against this freemasons
Inna lillahi wainna ilayhi rajiun, maskari Corono imewachanya akili wamekua wandawazimu watumia bunduki kiholeholela huyu mtt mulie mua mungu atamlipia
I can`t watch for more than one time.. i feel paaaiiin inside my heart...very sad,,but why??????????????????????????? 😭😭😭😭
aaaii my God kwan tunaelekea wapi ata kama saa ilikua ishafika mbona kuua hasa Rip boy inauma tuu sana
Uhuru ordered curfew without any good plan and now it has brought it to many problems. Bure kabisa
I feel the pain in that family the police that are supposed to protect the lives of Kenyans are the same taking their lives...too bad failed state
Kama President Uhuru anajua haki huyo Gaidi ashikwe ahukumiwe life sentence na ndugu zetu wapewe FIDIA.if not."no justice no peace" Allah awape subra ndugu zangu In Sha Allah